Ila wazazi mda mwengin Wana fail utamuaninije mtu ambae unaemuona kwa mda tu hujui katokea wapi Wala amefikajefikaje apo...pole Sana Tasha 😢ila nnaimani furaha Yako ni Zatiti na ipo siku atakuwa wako tu uyo kamkindee atafte kipapaa uko😂😂
Huyu Mzee amewatabiria vizuri Mr. Tasha na Zatiti b'se wanapendana wakioana itakuwa vyemaa zaidii. Nimatumaini yangu wataoana bila shaka kabsaa kama unaamini hivyo wekaa like❤❤ na Maua🎉🎉 hapo!!
Kwel mama wa mister tacha hajui kituu lakin mwenyezi munguu atamupitiya kwenye macho atakuja kuyawona naamini kwel zatiti atawolewa n'a zatiti n'a wapate watoto
6 mins ila acha ni coment saiv hatuzungumzii ndoa nya kai na zuuu saiv ni tasha na zatiti ila busati daa nyie mnajua kuonesha sers yaani kwa cku mara 2 hongera yenu
Wanao tamani mama Tasha ajuwe tabia ya Samia ilivo mbaya ,gonga like apa
❤😂
Leo nimewahi
Mama tasha anabugi sana kumuamini mt arie muona kwasiku chache daaaa inasikitisha
Tasha ira Kai Ari mwambia
Tukome tumechange mwaya😢😂😂
Sifurahii sania akiolewa na Mr tasha,naomba zatiti aolewa na tasha
Hilo ndo neno
Kweli sana
Jaman zatiti apewe maua yake ya kiuongo uongo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅
Wanaoamini mama Tasha ajue tabia halisi ya Sania gonga like apa
Mm nataka tu nione tasha n zatiti wakiwa pamoja kama unakubaliana n mm nipe like basi
You ❤❤❤❤❤❤❤
Wanaotaman zatiti aolewe na tasha abebe ujauzito chiko aumbuke gonga like hapa tujuane 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tuko hapa
@@YusraSiyaleo-yk2fz chiko hafai mlembo zatiti snapsmbana na genda Hela kedi
Which language is this@@TitoMichael-np2kh
🤞🤞🤞🤞
Na ataumbuka si haba
Wakwa leo wale wanao sema tasha amuoe zatiti like hapa
Jaman uku America tunawashukuru busati kwa kazi njema na kama mr tasha atamuoa zatiti wazae tujuane na like ata 10😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Huko America saa hizi ni saa ngapi😂😂😂😂
Saivi ni asubuhi ndo nina enda kazini
Lazima ungetuambia uko America@@melanianjau3244
❤
Ila wazazi mda mwengin Wana fail utamuaninije mtu ambae unaemuona kwa mda tu hujui katokea wapi Wala amefikajefikaje apo...pole Sana Tasha 😢ila nnaimani furaha Yako ni Zatiti na ipo siku atakuwa wako tu uyo kamkindee atafte kipapaa uko😂😂
Leo nko top 50 team strong from kenya now in Saudi Arabia Riyadh hello❤❤🎉🎉
Watu mko fasta bas naomben like namimi yakuchelewa😢
Natamani San zatiti aolew na tasha
Huyu Mzee amewatabiria vizuri Mr. Tasha na Zatiti b'se wanapendana wakioana itakuwa vyemaa zaidii.
Nimatumaini yangu wataoana bila shaka kabsaa kama unaamini hivyo wekaa like❤❤ na Maua🎉🎉 hapo!!
@@VicentSadick ila maneno ya mama Tasha sio mazuri kabisa kwa mwanao Tasha atamuowa sania kwa kuogopa radhi ya mama ila sijapenda Mama Tasha
Wanaoamini sania hataolewa na tasha gonga
Sania hawezi olewa na Tasha. Papaa atapiga cm. Mama Tasha atackia wakiongea. Na atajua tabia ya Sania.
Amina omary move zenu nzuri sana tunaomba mturejeshee na mtt wa ajabu
Waooo nimekuwaa wa kwanz naomb lik zang ap zatiii ataolewaa na mr tashaa
Kilamba unazidisha Comedy pasipohitajika comedy 😊
😂😂😂
Mm napenda 😂😂
Anaharibu
Warundi wanao penda iyi movie tujuane🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tupo weng hapa kutoka nyanza lac
❤❤❤❤❤❤tupo hapa Kwa raha zetu
Wakwanza wenzangu Like zangu kutoka Burundiป,🇧🇮🇧🇮
Kwel mama wa mister tacha hajui kituu lakin mwenyezi munguu atamupitiya kwenye macho atakuja kuyawona naamini kwel zatiti atawolewa n'a zatiti n'a wapate watoto
Boss wa hii Kaxi pepon moja kwa moja 😂😂😂😂
Ameen
Adelaa kwa kuigawa pepo ila kusali aah
@@AllyMkola-u7e 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣subili nimalize hii House girl nitaanza kusali
riswaaa😅😅 wa kwaza kucomment,nipen likes
Leo nimewahi jmn na mm wanaopenda Tasha na zatiti waoane tujuanee
Naomba mama Tasha ajue tabia y Sania, jamani tasha funguka umuelezew mamako dah 😳😂😂😂
Kabisaa
Nimechelewa Epson ya 12 na ya 13 niyangu sasa😂
w kwanza leo naomben like🎉🎉🎉🎉🎉jaman nimewahi🎉🎉
😂😂waa leo ninewai aki toka nianze sijawai kua wakwanza ❤❤❤❤
Wakwanza nipeni hizo like hata kumi
Like
Wa kwanza jamni naombeni like ❤❤❤❤❤
Wa kwanza Leo jamanii mnipe hata like 5 tyu
Nataka mumtege Sania yaani mumpe mtihani ashindwe nia ya mama ibadilike😢
Naskitika sana kuskia eti sania aolewe na tasha kweli 😢😢😢😢
ebu niaje kunipea pressure mm
Sania Sania Sania aaaaah this episode hapana nataka zatiti aolewe na taza aaa😪😪😪😪
Huyu mama anakera
Sio taza ni tasha
😂😂 mbona tazaa 😅😂@@AllyMkola-u7e
Wakwanza Jamani like zenu😂😂
Nambari 1🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅
Mr tasha na zatiti wanapendezana jaman
Pambania Haki yako Candy utaipata mama Ake Mr Tasha Acha kijana wako aamue mwenyewe mke amtakae usimchagulie unamchanganya
Tujifunze kitu kupitia movie hii inafundisha sana mamuzi ya mama Tasha sijayapenda kabisa siyo poa
🙏🙏
Ndio maana wazazi wanafanya tupitie maisha mangumu hivi better kuzichangulie kipendacho roho wee mama hapo umefanya bibaya akuendi hivio zame
Mm apo sijapenda kabisaa.mama Tasha alafu mbona Tasha unajipea pressure bure mwondoe uyu sania
K@@jacklineteresia2629 yan muondoe tu mm naskia uchungu 😂😂 san😢😢😢
Halafu naumia mimi sasa😢@@jacklineteresia2629
Mwanzo nilikuwa naangalia nikusubiri Kai na Zu lkn now days Niko naangalia Mr Tash na Zatiti..❤ nani yuko free tuanzishe mapenzi ya uongo uongo?😂
😂😂😂
🖐️🖐️😂😂🙌🙌🙌
Mimi
@@NeemaJeremiah-s9x 😂🥰
😂😂😂😂
Mbona mama Tasha anatumia ukatili,mwache Mr Tacha amuoe Zatiti
Nyie mnao omba likes je mnajifunza au
Cushendall tasha kukubali kumuoa sania bna wanapendezana na zayiti
Mama Tasha anamambo ya zamani ya kuchaguliana make wanaoungana na mm gonga like 🤙🥰🥰
Tasha na zatiti wamependezana Aky❤❤
Natamani sana zatiti aolewe na tasha❤❤❤
6 mins ila acha ni coment saiv hatuzungumzii ndoa nya kai na zuuu saiv ni tasha na zatiti ila busati daa nyie mnajua kuonesha sers yaani kwa cku mara 2 hongera yenu
Leo nmewahi, acha n watch afu ntarudi Tena kucomment
Kilamba nakupenda jamen❤❤❤good job
Mhhhh hatar naomben like 🎉❤❤❤❤ ubaya ubwela
Wanaoamini ndoa ya Kai na zu itakuawa pambe dondosha like
Wao wakwanza jamen nipeni like zangu
Wa mwisho kutoka🇰🇪🇰🇪ila mamake tasha ngoja kikurambe ndio utajua ukweli wenye mwanao alikua anakataa kumuoa sania utamruhusu mwenyewe amuoe zatiti❤❤🎉🎉
Tupendane kiuongo uwongo from Zanzibar apa❤❤
Nawapenda busati 🎉🎉🎉
Ingekuw vzr Tasha amuowe zatiti kwanza wanapendezana
Ay wakuu me nawap like tu cna bay n nyie mnipe zangu sas✌️✌️
Wa kwaza Leo kutoka rushoto nipeni like zangu
Haya mzeze nyiyangu
😂😂 Ete viazi kwaanza upate like
Mlola bumbuli mlwanzi au n.k
Waume 😂😂😂@@BintiYohana
Yule mamake Tasha atapata dawa yake ngojea huyu kamkonde aolewe atajutia😢
❤❤❤ movie nzur kwel
Asante sana
Wee sania bana tafuta mume kwan mpk tasha weeee hufai hata kidgo😢
Mama tasha natamani akutane na baba kai ili amweelezee tabia za sania busati ❤❤❤❤
Naombeni likes jamaniiii 😢😢😢
jamani mukovizuri ikiwekwa tu mushakuwepo au mnalalaga you teb nyny 😂😂😂😂😂 nimekuwa 201 hahahaa mubarikiwe sana❤❤❤❤❤
Daah pole sana mr Tasha wamama tujifunze kupitia movie hii
Jamn mom tasha c ajuw harak tabia Haris ya samia kama na ww unatakaivy like hapa tujuane
😂😂😂😂 tuone radhiii za babu na zamama kwa mr tasha tuone yanani itafanya kazi mama tasha ulijiforce kws baba tasha au ulimpenda
Move nzur sana Iko njema waomba like tupo pamoja
😂😂😂😂😂😂😂 ilaa candy et mjamzito ataa mimba yenyewe hanaa na mm natafuta mpenzi wa uongo uongo so kweli lkn
Kazi nzuri sana Mr. Kai🎉🎉🎉
Kend Kaz unay waooo zatiti Changmka maan Tasha anabahat ya kupendwa 😂😂😂 dada yak zuu anaotaa mchanaaaa kweupe😅😅😅
Sania hawezi olewa na Tasha. Papaa atapiga cm kwa Sania ili warudiane. Watakapo ongea mama Tasha atackia na atajua tabia za Sania.
Jaman Mr Tacha!! Usimuowe Sania
Watu wa Tasha mpo??
Kwani nihumuu tu hamkaimbali jmn Aya nimefika pia mm 🎉🎉
Tunakesha uku adi harusi ifanyike ya da zuu😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Mam Tasha anaharibu ban sis tunamtaka zatit aolew na Mr Tasha ndio itanoga
Tasha ukimuowa sania mutanipoteza katika movie zenu. Mutazinguwa sana
Hahahaha yani
Wow chura wangu malaika jmn toto likitembea latingisika kila maali juu mambo chini ndo usiseme jmn
Jaman mnaishia patamu sanaaaaa🎉🎉
Uyu candy kwa kukaa uchi2 yuko vzr😂😂😂
Zatiti hakupewa talaka na chiko huenda wakarudiana baadae😢
Munaharibu et sania aolewe na Mr Tasha dah sio poa sitazami tena amuoe zatiti ndo flm itanoga
Mama wengeni wa ovyo Sana mungu amsimamie tasha 😢😢
Kazi nzuri sana🎉❤ongera 🙏
Hongereni sana wana busat tv
Jmn kz zinaniban Ila nimewai pia wanaosem kibendu atamuoa keilina gong like tujuaneee ap😂❤
Wanao aman tasha ataoa samia na tabia umshinde mama na mama tachukia! Atamkumbka zatiti weka like!
naombeni mnipe like lkn za uongo uongo😂😂
Eee Mungu mpe macho Mama Tasha😂😢😮😅
Macho kashapewa ila kuona tu ndo Bado 😂😂😂😂😂
Huuuu ni moto but mnatuongezea afya tunaotazama hiii move na kupitia hiii mimi siwapingi❤❤❤
Ongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana🎉🎉🎉❤❤❤
Wanaotamani Mr. Tasha aowe Zatiti agonge like apa❤
Zatiti yupo in love 🥰❤️
I love you zatiti
I don't know why young talented like me. Nobody can see him I'm doing music. No one can see me why😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Just show your talent in TH-cam
@@SophiaHamadi-n6yyes very true 😅
Hongereni jama
Nimimi hapa jameni naomba yafanyike Karnataka ❤
Jmn zatiti anaachwa kweny mapenz ya uwongo uwong
Pole sana Mr tasha
Waaaah Makubwa madogo yako na hafuu,, Alafu kamukondee nakukumbusha papa hanakuitaji ss niwew kamukondee utoke kwa Tasha 🎉🎉🎉humwachie zatiti ndoa ❤❤❤❤
Mama ake tasha kishaanza kutia mkosi tena jamani wakati sisi tunataka tasha amuoe zatiti
Wanao amini zatiti ataolewa na Tasha gonga like 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉