HIVI NDIVYO WASHIRIKI KUMI WA MASHINDANO YA ADHANA WALIVYOSHINDANA KATIKA MSIKITI WA IDIRISA DAR.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 มี.ค. 2024
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

ความคิดเห็น • 185

  • @YusraynatAlly-mo7sq
    @YusraynatAlly-mo7sq 3 หลายเดือนก่อน +4

    mashaAllah(neema hizi ni kutoka kwa Allah (SW). ALLAH (SW) atujaalie tuzid kuipenda dini yetu na atujaalie tuingie katika pepo ya firdauss amiiin

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 4 หลายเดือนก่อน +7

    MashAllah, mshiriki namba 3 amefanya vizuri, kisha wote wako vizuri

  • @ngolwetv3523
    @ngolwetv3523 4 หลายเดือนก่อน +12

    Maashaaallah Mungu awazidishie

  • @yusufismailali6914
    @yusufismailali6914 4 หลายเดือนก่อน +8

    Mashallah wote ni washindi kwa mola mlezi.

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 4 หลายเดือนก่อน +8

    ومن أحسن قولا ممن دعا إلى الله وقال إنني من المسلمين

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui 4 หลายเดือนก่อน +8

    Inaonekana mshiriki no 4 sauti imetole kwa kukusudia.

    • @DeBoy-oy2jg
      @DeBoy-oy2jg 3 หลายเดือนก่อน

      Huyu namba nne ameadhini vizuri sana MashaAllah,tena sauti kama ya Al marhum Sudeis

  • @user-cd3lg1uj4c
    @user-cd3lg1uj4c 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alaykum tunawashukuru viongozi wetu kwakubuni jambo Zuri kama hili allah awazidishie kheri nyingi mzidi kusimamia dini yetu nakuleta kivutiyo kizuri ila ninaomba kuuliza washindi wanapatikana kutokea darusalam pekeyake au huwa mnachaguwa baadhi ya mikowa maana sisi huku mwanza hatujawahi kuona wanatafutwa washiriki ili kuiniwa vipaji zaidi kama haiko hivo tunaomba mje nahuku mikowani ninaeuliza naitwa abdulrahman nipo mwanza.

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 4 หลายเดือนก่อน +4

    MashaAllah MashaAllah Wote wapo Vizuri 😍💖💖💖

  • @abdallahyusuph9151
    @abdallahyusuph9151 4 หลายเดือนก่อน +4

    Adhana Inataka Sauti Nzuri Sana Matamshi Ndo Muhimu Ila Kama Mshindi Anapatikana Kwa Kukosea Kosea Sawa

  • @chagaboy2532
    @chagaboy2532 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah Muharam Mazola is the best 4 me❤️

  • @IkhuwarKhalid-zk7bv
    @IkhuwarKhalid-zk7bv 4 หลายเดือนก่อน +4

    Masha Allah Allah ajalie kheri

  • @FatmaAbdal-uj5lu
    @FatmaAbdal-uj5lu 2 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah mungu awape wepes nyot mko vizur

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mashallah allah azidi kutupa nguvu uwezo na afya tuzidi kuipenda dini yetu amin yarabbi

  • @mgeniothman9061
    @mgeniothman9061 4 หลายเดือนก่อน +3

    3,na 1 mashallah

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ustaadh Othman mashaallah,haujashinda lakini kwangu ni mshindi

  • @KAZIJASALUMKIDEMEA
    @KAZIJASALUMKIDEMEA 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wote mashallah ila ingependeza kwa watoto

  • @user-sp9re7kc1u
    @user-sp9re7kc1u 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wa kwanza mashaallah akifumua mishipa kwa saut

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m 4 หลายเดือนก่อน +3

    No. 4 no sound how can you judge? Or what?

  • @mahijayusuph8186
    @mahijayusuph8186 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wote wamejitahidi ila hawana sauti au niseme pumzi ya kutosha. Rithim inapanda na kushuka. Ila namba 3 akipata brush anaweza fanya vizuri

    • @DeBoy-oy2jg
      @DeBoy-oy2jg 3 หลายเดือนก่อน

      Tàfuta hiii video kwa Chanel nyengine alafu usikize namba nne utapata majibu kamili,,InshaAllah

  • @OmarShauri-jt5jd
    @OmarShauri-jt5jd 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nimeona utofauti wa sauti zilizo mzuri lakini kifik-hi baadhi wamesoma kikaraha zaidi😢.

  • @OmarsaidVuai
    @OmarsaidVuai 2 หลายเดือนก่อน

    Mashalla mumeadhini vizuri

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah6893 4 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤❤❤Mashaa Allah

  • @SaumMwamrezi-wo8vk
    @SaumMwamrezi-wo8vk 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah tabaraka llah

  • @samxx411
    @samxx411 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wasomaji wote wazuri ila ningependekeza kuwa hizo mic wanazotumia bado hazipo sawa, wenzetu mitambo yao inawasaidia kutoa sauti nzuri zaidi

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaalah alhamdulilah Allah akbar kabiira alhamdulillah rabilghalamiin ❤takbiir ALLAH AKBAR.

  • @mwasimwajambo4686
    @mwasimwajambo4686 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah tabarakallah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah allah awatie nguvu inshallah ❤❤❤

  • @hamadsaid2232
    @hamadsaid2232 4 หลายเดือนก่อน +3

    Dua baada ya adhana ni SUNNA muhimu pia baada ya adhana.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 หลายเดือนก่อน

    So nice❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😮

  • @LatifaOmar-dk7yb
    @LatifaOmar-dk7yb 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah

  • @user-mf5rs1cy5p
    @user-mf5rs1cy5p 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah 4👏👏

  • @AdamuDotti
    @AdamuDotti 3 หลายเดือนก่อน

    Mazola kaka mashallah m/mungu akuzidishie

  • @twahahango3968
    @twahahango3968 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah....

  • @user-sp9re7kc1u
    @user-sp9re7kc1u 4 หลายเดือนก่อน +3

    No tatu nae mashaallah

  • @wahidakhalfan241
    @wahidakhalfan241 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ma"Shaa"Allah

  • @user-xj2qn4ly7o
    @user-xj2qn4ly7o 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah

  • @user-zq1hy1ec5n
    @user-zq1hy1ec5n 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shekh mharam umeadhini vizuri wewe ni mshindi

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 หลายเดือนก่อน

    Koukweli Tuendako Mungu2 Atusamee Adhana Inaitaji Mashindano Jamani Kweli Mbona Mambo Yanaenda Tofauti Kabisa Na Imani Ndani Ya Msikiti Hata Mtu Akiwa Na Sauti Mbaya Kikubwa Itamke Kweli Kwenye Adhana Watu Wakusanyike Na Kutii Wito Mashindano Ya Kazi Gani Sasa

  • @user-sw2fi1gu4j
    @user-sw2fi1gu4j หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤maaashaaalaa

  • @nabilnassur707
    @nabilnassur707 4 หลายเดือนก่อน +2

    MashallAlllah

  • @ZombeAhmad-qc9tj
    @ZombeAhmad-qc9tj 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaalh sheikh abuu hanifa

  • @IkhuwarKhalid-zk7bv
    @IkhuwarKhalid-zk7bv 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mohamed mazola katisha pongezi kwake

    • @rashididdi5140
      @rashididdi5140 3 หลายเดือนก่อน

      ahahaha ni muharrami Mazola uliemsema ni kaka yake

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 4 หลายเดือนก่อน +4

    Allhahu akbaru

  • @ShariffahHamidu
    @ShariffahHamidu 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 หลายเดือนก่อน +4

    WOTE hawana Sauti ya kuonyesha wito HUO ni MUHIMU sana

    • @Vitalis-jb1ul
      @Vitalis-jb1ul 3 หลายเดือนก่อน

      Hapo umenena.

  • @FettyAlmas
    @FettyAlmas 4 หลายเดือนก่อน +2

    Namba 3 mashaallah

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 4 หลายเดือนก่อน +11

    Hayo mashindano yanafaa kwa watoto

    • @user-fl5zp2gq3w
      @user-fl5zp2gq3w 4 หลายเดือนก่อน +3

      Fadhila hazina watoto mana watoto wakati mwingine hawasomi kwa ufasaha kwa hapo ni sawa Inshaalah tutapata mshindi sahihi

    • @user-fl5zp2gq3w
      @user-fl5zp2gq3w 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nazani unamkumbuka Bilal wakati anaazini ndugu yangu kiimani utamu wake sasa sisi tunapenda kama vile inatakiwa wote wafanye sio tuu watoto hata hao wakubwa cha muhimu lengo litimie na yale matamshi yasikike kiufasaha

    • @samxx411
      @samxx411 4 หลายเดือนก่อน

      Mmmhhh 😂😂 kwani watu wazima haifai kusoma adhana..Allahu Akbar jamani sio lazima tucomment

    • @DeBoy-oy2jg
      @DeBoy-oy2jg 3 หลายเดือนก่อน

      Pia watoto wengine watashindwa na pumzi

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 4 หลายเดือนก่อน +1

    Maashallah Tabarak Allah ❤❤❤❤

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 หลายเดือนก่อน

    Oooh allah kwa uwezo na utukufu wako wape kheri yarabi uislamu under mbele

  • @OthmanMaalim-xs6ol
    @OthmanMaalim-xs6ol 3 หลายเดือนก่อน

    اللهم امين اللهم زدعليهم وعلينا

  • @user-ul7rl3ef2w
    @user-ul7rl3ef2w 4 หลายเดือนก่อน +3

    Uyo ilokuw haitoi saut ndio mshind mm nmeon inayotoa saut ni noma sn

    • @Vitalis-jb1ul
      @Vitalis-jb1ul 3 หลายเดือนก่อน

      Tena alionyesha nguvu ama with kwa bidii ya kuadhini.

  • @athmanshuria
    @athmanshuria 2 หลายเดือนก่อน

    Wakosawa mashaallah

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs 4 หลายเดือนก่อน +3

    No 1 ndio mshindi

  • @abdullahswalehhamad6128
    @abdullahswalehhamad6128 3 หลายเดือนก่อน

    اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ‎

  • @user-pr4px4kx5t
    @user-pr4px4kx5t 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana abedi

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wote wamefanya vzy naomba namba za waazini wote walio azini

  • @CaptainShabani
    @CaptainShabani 3 หลายเดือนก่อน

    Maasha Allah

  • @user-rb5lb7tg7o
    @user-rb5lb7tg7o 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabaraka llah

  • @abdullahswalehhamad6128
    @abdullahswalehhamad6128 3 หลายเดือนก่อน

    ALLAH AKUPENI NGUV MUWEZ KULIENDELEZA HILI INSHAALLAH

  • @mngwalijuma597
    @mngwalijuma597 3 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah

  • @user-br6er7zf5z
    @user-br6er7zf5z 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mshiriki wa 3 anastahiki kua 1 mshindi

  • @bobomuamarg3856
    @bobomuamarg3856 4 หลายเดือนก่อน +2

    Number 4 SAUTI yake haitoki, kwani imeminywa? Ao vipi ?

  • @user-jh7oh9bn1b
    @user-jh7oh9bn1b 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mshirik namb 4 yamjamtendea haki kumkatia sauti kwa makusudi mngu anawaona

  • @SherryMasoud
    @SherryMasoud 4 หลายเดือนก่อน +1

    ALHAMDULILAH WAPO VIZURI ALLAH AWAZIDISHIE

  • @abdiomar6832
    @abdiomar6832 4 หลายเดือนก่อน +3

    Namba 3 sawa

  • @rashidramadhan-vr3ct
    @rashidramadhan-vr3ct 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hajika mashindano ni moto haswa inshaalah kwa mshindi

  • @salamasalum6956
    @salamasalum6956 4 หลายเดือนก่อน

    Muhara mashallah ww nimshindi

  • @saidali2981
    @saidali2981 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah 💖

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h 3 หลายเดือนก่อน

    MANSHALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akuze kipaji chako inshallah

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 หลายเดือนก่อน

    Abuu hanifa herufi unazikosea..hauko vzr

    • @user-kd8em8om2u
      @user-kd8em8om2u 2 หลายเดือนก่อน

      NAMBA3 ANASAUTI NZULI

  • @user-db1yj4fs1f
    @user-db1yj4fs1f 4 หลายเดือนก่อน +6

    Uyo wa kwanza atakuja kufa 😂

    • @ngolocomedian
      @ngolocomedian 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂 We jamaa mchokozi Sana

    • @NassorcholoCholo
      @NassorcholoCholo 4 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah

    • @ZombeAhmad-qc9tj
      @ZombeAhmad-qc9tj 3 หลายเดือนก่อน

      Usiseme hivyo

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤no 3 is good but ends mixed somalian voices

  • @AsumanMayai
    @AsumanMayai 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaala

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 หลายเดือนก่อน

    Bado sijampata muadhin mzur...nendeni Makkah mukaangalie waadhin..hamna pumzi..sauti na shibe..kuleni mushibe sio muhogo na masheli

    • @zuberhamza7852
      @zuberhamza7852 2 หลายเดือนก่อน

      Unajielewa ww??
      Kwani Bilali alikua akiadhini au Adhana za watu wa zaman unadhani walikua wakiadhini wanavuta saaaana herufi ee??

  • @mngwalijuma597
    @mngwalijuma597 3 หลายเดือนก่อน

    ALHAMDULILLAH

  • @mbeyusaid4688
    @mbeyusaid4688 4 หลายเดือนก่อน +1

    Namba 1

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h 3 หลายเดือนก่อน

    SUBHANNALLAH WALHAMDULLILLAH WALAHU AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @abilahimohamed5869
    @abilahimohamed5869 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mshiriki namba 3 kaua

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe Mwarabu soma kwanza Siyo ushabiki adhana bora ya Swahaba Bilal bin Habesh, Sauti ya kutisha wito wa LAZIMA Tukaswali tukamilishe DINI ya ALLAH Leo mnaremba wito wa kupeana taarifa sasa muda wa swalla.mtihani mkubwa.

    • @omarjuma5532
      @omarjuma5532 4 หลายเดือนก่อน

      Kua na busara,,unamwambie mwenzako asome ma we umesoma,,,bilal bin habesh ndo nani😂

    • @omarjuma5532
      @omarjuma5532 4 หลายเดือนก่อน

      Kua na busara,,unamwambie mwenzako asome ma we umesoma,,,bilal bin habesh ndo nani😂

    • @samxx411
      @samxx411 4 หลายเดือนก่อน

      Acha fitina ina maana wewe ndio umesoma sana au swahaba kama kakosea si tumia lugha nzuri

  • @user-ul7rl3ef2w
    @user-ul7rl3ef2w 4 หลายเดือนก่อน +1

    Itafteni iyo

  • @user-bn8zj6hs6q
    @user-bn8zj6hs6q 4 หลายเดือนก่อน

    Mshiriki na 3 kazi kazi

  • @abduljecha7779
    @abduljecha7779 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wote washindi, walisheni tende na Vya tamu na microphone ziwe kama za wenzetu. Utawashangaaa. Sehemu kama hiyo kuwa judge ni mtihani. Hisia lazima

  • @user-um5xx5ct7q
    @user-um5xx5ct7q 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wako vizuri ila wa darusalam mmejipendelea

  • @user-is8vm9tl2u
    @user-is8vm9tl2u 4 หลายเดือนก่อน +12

    Mshirik namba 3 Muhammad mazola ndiy mshind namba moja

    • @shuaibalula9003
      @shuaibalula9003 4 หลายเดือนก่อน +1

      No

    • @Mwombe-de-poet
      @Mwombe-de-poet 4 หลายเดือนก่อน

      Hapana anasauti nzuri ila umaliziaji wake ndo umemuangusha

  • @samiraaley1531
    @samiraaley1531 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yahya bihaky❤️❤️

  • @abdullahswalehhamad6128
    @abdullahswalehhamad6128 3 หลายเดือนก่อน

    كيف حالك

  • @abdullahswalehhamad6128
    @abdullahswalehhamad6128 3 หลายเดือนก่อน

    waisilam wenzangu na mm nahitaji niingie kwenye hayo mashindano ya adhana

  • @scheffertomar2069
    @scheffertomar2069 3 หลายเดือนก่อน

    😅mshiriki namba 3. Ameamza vizuri.alikua anamaliza vibaya. Walakin. Nimempa no.1

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 4 หลายเดือนก่อน +1

    Manga ndiomshindiwangu

  • @mohamedmwaku6150
    @mohamedmwaku6150 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yahya bihak

  • @alawi6796
    @alawi6796 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mmemchagua mtu kuwakilisha nchi wala hajui kuadhin

  • @mussakhatibhassan6430
    @mussakhatibhassan6430 4 หลายเดือนก่อน +5

    Yanne haitoi sauti mbona

    • @ally_Ym.69
      @ally_Ym.69 4 หลายเดือนก่อน

      Uyo ndo ilikua awe mshindi lakini kwasababu hakuvaa kanzu ndio kakosa ushindi na ndo maana wakatoa saut

    • @kautharBihaki-wv7kd
      @kautharBihaki-wv7kd 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂habib wala haikua sabab ya kanzu..

  • @bakarially253
    @bakarially253 3 หลายเดือนก่อน

    Number 1 na number 6

  • @user-pd4qb7uz8b
    @user-pd4qb7uz8b 3 หลายเดือนก่อน

    Kwan wa 4 kwa sababu hajavaa kanzu au mbona saut ilikatwa

  • @lukumanisharifu
    @lukumanisharifu 4 หลายเดือนก่อน +2

    Abeidy Azana mashallah unaweza ila kidevu km balbu mh

    • @TawfiqHaji
      @TawfiqHaji 4 หลายเดือนก่อน

      Alkamalu lillah,fatabaraka llahu ahsanul-halikiin.

  • @omarsakawa2070
    @omarsakawa2070 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mshiriki wa tatu lakini kaharibu herufi ya (ه)ha

  • @user-jh7oh9bn1b
    @user-jh7oh9bn1b 3 หลายเดือนก่อน

    Pia anaweza kua wa 1 mulio mtolea sauti

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan- 4 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo namba 4 haina sauti

  • @Shabani_Eka
    @Shabani_Eka 3 หลายเดือนก่อน

    Wa inna kulla bidaatun dhwalalah😢