HIVI NDIVYO WASHIRIKI KUMI WA MASHINDANO YA ADHANA WALIVYOSHINDANA KATIKA MSIKITI WA IDIRISA DAR.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 มี.ค. 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
mashaAllah(neema hizi ni kutoka kwa Allah (SW). ALLAH (SW) atujaalie tuzid kuipenda dini yetu na atujaalie tuingie katika pepo ya firdauss amiiin
MashAllah, mshiriki namba 3 amefanya vizuri, kisha wote wako vizuri
Maashaaallah Mungu awazidishie
Mashallah wote ni washindi kwa mola mlezi.
ومن أحسن قولا ممن دعا إلى الله وقال إنني من المسلمين
Inaonekana mshiriki no 4 sauti imetole kwa kukusudia.
Huyu namba nne ameadhini vizuri sana MashaAllah,tena sauti kama ya Al marhum Sudeis
Asalam alaykum tunawashukuru viongozi wetu kwakubuni jambo Zuri kama hili allah awazidishie kheri nyingi mzidi kusimamia dini yetu nakuleta kivutiyo kizuri ila ninaomba kuuliza washindi wanapatikana kutokea darusalam pekeyake au huwa mnachaguwa baadhi ya mikowa maana sisi huku mwanza hatujawahi kuona wanatafutwa washiriki ili kuiniwa vipaji zaidi kama haiko hivo tunaomba mje nahuku mikowani ninaeuliza naitwa abdulrahman nipo mwanza.
MashaAllah MashaAllah Wote wapo Vizuri 😍💖💖💖
Adhana Inataka Sauti Nzuri Sana Matamshi Ndo Muhimu Ila Kama Mshindi Anapatikana Kwa Kukosea Kosea Sawa
Mashallah Muharam Mazola is the best 4 me❤️
Masha Allah Allah ajalie kheri
Masha Allah mungu awape wepes nyot mko vizur
Mashallah mashallah allah azidi kutupa nguvu uwezo na afya tuzidi kuipenda dini yetu amin yarabbi
3,na 1 mashallah
Ustaadh Othman mashaallah,haujashinda lakini kwangu ni mshindi
Wote mashallah ila ingependeza kwa watoto
Wa kwanza mashaallah akifumua mishipa kwa saut
No. 4 no sound how can you judge? Or what?
Wote wamejitahidi ila hawana sauti au niseme pumzi ya kutosha. Rithim inapanda na kushuka. Ila namba 3 akipata brush anaweza fanya vizuri
Tàfuta hiii video kwa Chanel nyengine alafu usikize namba nne utapata majibu kamili,,InshaAllah
Nimeona utofauti wa sauti zilizo mzuri lakini kifik-hi baadhi wamesoma kikaraha zaidi😢.
Mashalla mumeadhini vizuri
❤❤❤❤❤❤Mashaa Allah
Mashallah tabaraka llah
Wasomaji wote wazuri ila ningependekeza kuwa hizo mic wanazotumia bado hazipo sawa, wenzetu mitambo yao inawasaidia kutoa sauti nzuri zaidi
Mashaalah alhamdulilah Allah akbar kabiira alhamdulillah rabilghalamiin ❤takbiir ALLAH AKBAR.
Mashallah tabarakallah
Mashallah allah awatie nguvu inshallah ❤❤❤
Dua baada ya adhana ni SUNNA muhimu pia baada ya adhana.
So nice❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😮
Mashaallah
Mashallah 4👏👏
Mazola kaka mashallah m/mungu akuzidishie
Mashaallah....
No tatu nae mashaallah
Ma"Shaa"Allah
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah
Shekh mharam umeadhini vizuri wewe ni mshindi
Koukweli Tuendako Mungu2 Atusamee Adhana Inaitaji Mashindano Jamani Kweli Mbona Mambo Yanaenda Tofauti Kabisa Na Imani Ndani Ya Msikiti Hata Mtu Akiwa Na Sauti Mbaya Kikubwa Itamke Kweli Kwenye Adhana Watu Wakusanyike Na Kutii Wito Mashindano Ya Kazi Gani Sasa
❤❤❤❤❤❤❤maaashaaalaa
MashallAlllah
Mashaalh sheikh abuu hanifa
Mohamed mazola katisha pongezi kwake
ahahaha ni muharrami Mazola uliemsema ni kaka yake
Allhahu akbaru
Mashallah
WOTE hawana Sauti ya kuonyesha wito HUO ni MUHIMU sana
Hapo umenena.
Namba 3 mashaallah
Hayo mashindano yanafaa kwa watoto
Fadhila hazina watoto mana watoto wakati mwingine hawasomi kwa ufasaha kwa hapo ni sawa Inshaalah tutapata mshindi sahihi
Nazani unamkumbuka Bilal wakati anaazini ndugu yangu kiimani utamu wake sasa sisi tunapenda kama vile inatakiwa wote wafanye sio tuu watoto hata hao wakubwa cha muhimu lengo litimie na yale matamshi yasikike kiufasaha
Mmmhhh 😂😂 kwani watu wazima haifai kusoma adhana..Allahu Akbar jamani sio lazima tucomment
Pia watoto wengine watashindwa na pumzi
Maashallah Tabarak Allah ❤❤❤❤
Oooh allah kwa uwezo na utukufu wako wape kheri yarabi uislamu under mbele
اللهم امين اللهم زدعليهم وعلينا
Uyo ilokuw haitoi saut ndio mshind mm nmeon inayotoa saut ni noma sn
Tena alionyesha nguvu ama with kwa bidii ya kuadhini.
Wakosawa mashaallah
No 1 ndio mshindi
اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ
Hongera Sana abedi
Wote wamefanya vzy naomba namba za waazini wote walio azini
Maasha Allah
Mashaallah tabaraka llah
ALLAH AKUPENI NGUV MUWEZ KULIENDELEZA HILI INSHAALLAH
Alhamdulillah
Mshiriki wa 3 anastahiki kua 1 mshindi
Number 4 SAUTI yake haitoki, kwani imeminywa? Ao vipi ?
Mshirik namb 4 yamjamtendea haki kumkatia sauti kwa makusudi mngu anawaona
ALHAMDULILAH WAPO VIZURI ALLAH AWAZIDISHIE
Namba 3 sawa
Kwa hajika mashindano ni moto haswa inshaalah kwa mshindi
Muhara mashallah ww nimshindi
Mashallah 💖
MANSHALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Allah akuze kipaji chako inshallah
Abuu hanifa herufi unazikosea..hauko vzr
NAMBA3 ANASAUTI NZULI
Uyo wa kwanza atakuja kufa 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 We jamaa mchokozi Sana
Mashaallah
Usiseme hivyo
❤❤❤❤no 3 is good but ends mixed somalian voices
Mashaala
Bado sijampata muadhin mzur...nendeni Makkah mukaangalie waadhin..hamna pumzi..sauti na shibe..kuleni mushibe sio muhogo na masheli
Unajielewa ww??
Kwani Bilali alikua akiadhini au Adhana za watu wa zaman unadhani walikua wakiadhini wanavuta saaaana herufi ee??
ALHAMDULILLAH
Namba 1
SUBHANNALLAH WALHAMDULLILLAH WALAHU AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mshiriki namba 3 kaua
Wewe Mwarabu soma kwanza Siyo ushabiki adhana bora ya Swahaba Bilal bin Habesh, Sauti ya kutisha wito wa LAZIMA Tukaswali tukamilishe DINI ya ALLAH Leo mnaremba wito wa kupeana taarifa sasa muda wa swalla.mtihani mkubwa.
Kua na busara,,unamwambie mwenzako asome ma we umesoma,,,bilal bin habesh ndo nani😂
Kua na busara,,unamwambie mwenzako asome ma we umesoma,,,bilal bin habesh ndo nani😂
Acha fitina ina maana wewe ndio umesoma sana au swahaba kama kakosea si tumia lugha nzuri
Itafteni iyo
Mshiriki na 3 kazi kazi
Wote washindi, walisheni tende na Vya tamu na microphone ziwe kama za wenzetu. Utawashangaaa. Sehemu kama hiyo kuwa judge ni mtihani. Hisia lazima
Ĺ😊1
Wako vizuri ila wa darusalam mmejipendelea
Mshirik namba 3 Muhammad mazola ndiy mshind namba moja
No
Hapana anasauti nzuri ila umaliziaji wake ndo umemuangusha
Yahya bihaky❤️❤️
كيف حالك
waisilam wenzangu na mm nahitaji niingie kwenye hayo mashindano ya adhana
😅mshiriki namba 3. Ameamza vizuri.alikua anamaliza vibaya. Walakin. Nimempa no.1
Manga ndiomshindiwangu
Yahya bihak
Mmemchagua mtu kuwakilisha nchi wala hajui kuadhin
Yanne haitoi sauti mbona
Uyo ndo ilikua awe mshindi lakini kwasababu hakuvaa kanzu ndio kakosa ushindi na ndo maana wakatoa saut
😂😂habib wala haikua sabab ya kanzu..
Number 1 na number 6
Kwan wa 4 kwa sababu hajavaa kanzu au mbona saut ilikatwa
Abeidy Azana mashallah unaweza ila kidevu km balbu mh
Alkamalu lillah,fatabaraka llahu ahsanul-halikiin.
Mshiriki wa tatu lakini kaharibu herufi ya (ه)ha
Pia anaweza kua wa 1 mulio mtolea sauti
Uyo namba 4 haina sauti
Wa inna kulla bidaatun dhwalalah😢