AHMED ALLY"DEBORA NI BORA KULIKO CHAMA?/ANAKUJA KUTOA SOMO KWA VIUNGO WA MPIRA/KOCHA AMEPAGAWA MISRI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • EXCLUSIVE INTERVIEW NA SEMAJI LA SIMBA, MASHINE YA KUONGEA @ahmedally_ itakujia Saa 2:30 usiku huu kupitia Chaneli ya TH-cam ya @mpenjatv_
    Mwamba ametapika🤣🤣🤣, Semaji ameshusha Madini kuhusu @simbasctanzania 🔥
    Kuna stori nyingi sana katika Mahojiano haya ambayo yameongozwa na New Boy ndani ya Mpenja TV @tom_machupajr
    Subscribe mapema kabisa🔥🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 70

  • @daseselele5198
    @daseselele5198 หลายเดือนก่อน +3

    Sawasawa semaji la CAF 👍Simba SC nguvu Moja 💪

  • @meryceanaadrian3593
    @meryceanaadrian3593 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndo semaji sasa ❤❤❤

    • @meryceanaadrian3593
      @meryceanaadrian3593 หลายเดือนก่อน

      Na maua yako nakupa💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐

  • @alitante4279
    @alitante4279 หลายเดือนก่อน +10

    Semaji noma hasubr umhoji anajihoji mwenyew na kujielezea vzr tuu 😂😂🎉🦁

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwana umenifurahisha sana nikweli kama anatunga kitabu au muhubiri flani

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 หลายเดือนก่อน +9

    Jamani jeni yuko wapi?? Semaji ukihojiwa na jeni mnanoga sana jeni fanya huo mpangi unihojie semaji nicheke kidogo

  • @Elly-z3q
    @Elly-z3q หลายเดือนก่อน +4

    Nakubali broo unatupa hamasa sana ukweli ww ndio namba 9 simba

  • @soniimedia2440
    @soniimedia2440 หลายเดือนก่อน +22

    Maisha yangu ya mpira yanaongozwa na semaji la caf. Like za mo ni hapa.

  • @user-hg6zv6ii9s
    @user-hg6zv6ii9s หลายเดือนก่อน +1

    Hatali sana ongera sana Ally🎉🎉🎉

  • @RonjoSalum
    @RonjoSalum หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂 semaji hatar moto sana

  • @user-cu8mm8fw6u
    @user-cu8mm8fw6u หลายเดือนก่อน +3

    Hongera mzee wetu

  • @Hamisi-uw1mc
    @Hamisi-uw1mc หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂sema ahmed ally anajua sana kutamba

  • @user-cu8mm8fw6u
    @user-cu8mm8fw6u หลายเดือนก่อน +3

    Semeji kama semeji hongera

  • @abdurahiimjuma3661
    @abdurahiimjuma3661 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari sn

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius5036 หลายเดือนก่อน +6

    Joshua anakwenda babaaaa😅

  • @AnjelaPhilipo
    @AnjelaPhilipo หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali kaka barikiwe

  • @OmaryhamisndugwaOmmymchina
    @OmaryhamisndugwaOmmymchina หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂😂😂Ahmed ally wa moto

  • @user-vp6tq4yg5j
    @user-vp6tq4yg5j หลายเดือนก่อน +2

    Ahmed Ally chukua maua yako,🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂

  • @tadeymwalongo1528
    @tadeymwalongo1528 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂 mwamba kabisa

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo Mwamba anatuaminishaga mnooo yaani!!
    Mwishow magumashi!
    Tusubiri ligi ianze

  • @Athuman-e3g
    @Athuman-e3g หลายเดือนก่อน +2

    Happy. Sawa

  • @Amon-gj8tx
    @Amon-gj8tx หลายเดือนก่อน +1

    Sema interview za ahmed😂😂 ni moto

  • @FatherKunutti
    @FatherKunutti หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 Ahmed huendi Pepo!😂😂😂

  • @stevensingela5851
    @stevensingela5851 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂duhh😂😂😂

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda7534 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣
    Raha sana kumsikiliza huyu jamaa.
    Ila tu kama unaipenda Simba.
    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 หลายเดือนก่อน

    semaji la CAF nikilickilza2 mpaka nasahau magumu 2nayoptia wanacmba ni burudani jamaj💪

  • @jaffaralimakame1533
    @jaffaralimakame1533 หลายเดือนก่อน

    AHMEDI NJOO UPATE KIWANJA BURE UKONGORONI

  • @wizardmobile5493
    @wizardmobile5493 หลายเดือนก่อน

    Yani huyu ni semaji la caf simba msimu huu tutakiwasha moto Simba on fire👹 msimu huu atanguruma sana

  • @uniquehandxome6238
    @uniquehandxome6238 หลายเดือนก่อน

    Oya msela oya😂

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 this is 🦁

  • @UpendoKamala-yr6in
    @UpendoKamala-yr6in หลายเดือนก่อน

    Mm hoi tyu kicheko cha semaj la caf ......

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga หลายเดือนก่อน

    😂😂😂oya msela oyaaa

  • @nassorahmad6266
    @nassorahmad6266 หลายเดือนก่อน

    Semaji 😅😅😅 dah hahaha we jamaa achaa basi. Katika kumi moja tu😂😂😂 tunaaminiii. Haya ss tunafurahii semaji kama semaji

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣kwaiyo semaji hapo mlituchapa ili tununue habari

  • @jaafarmanhekman
    @jaafarmanhekman หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @bhuzahope2746
    @bhuzahope2746 หลายเดือนก่อน +2

    Nani kasikia oya msela oya

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y หลายเดือนก่อน

    Semaji wana Simba bado tunawadai Mpanzu ama Jonathan

  • @user-vp6tq4yg5j
    @user-vp6tq4yg5j หลายเดือนก่อน

    Kwa maelezo ya semaji la Caf ligi ishakwisha na makombe yote ndani ya Simba Sport Club 😂😂

  • @FelixMwinami
    @FelixMwinami หลายเดือนก่อน

    Ahmed mwehu sana aise 😜😜😜 ila msimu huu uto tutampasua tu

  • @LoveBadro
    @LoveBadro 29 วันที่ผ่านมา

    unatupa rah semaji

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 หลายเดือนก่อน

    Mashine yakuongea,semaji la Caf
    Nikweli ufaransa jina Hilo ni Debra japo linaandikwa Deborah

  • @DamianSoul-nh5hu
    @DamianSoul-nh5hu หลายเดือนก่อน

    Semaji la CAF umetisha xana

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el หลายเดือนก่อน +1

    Tunasubiri tuonee

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g หลายเดือนก่อน

    Semaji

  • @user-no7uo4ry7q
    @user-no7uo4ry7q หลายเดือนก่อน

    Mazezeta unayaaminisha kuwa mna wachezaj alaf kila msimu wanaishia kutalii tu wanarud kwao

  • @TwalibTwaha
    @TwalibTwaha หลายเดือนก่อน

    Sema msemaji wetu muongo

  • @johnmwalule3007
    @johnmwalule3007 หลายเดือนก่อน

    Hili semaji ni balaa aise

  • @Geofrey-ox2rv
    @Geofrey-ox2rv หลายเดือนก่อน

    😂 semaji huendi mbinguni

  • @severinlouis
    @severinlouis หลายเดือนก่อน

    HUYU jamaa😅😂😂

  • @Wallacenyusi3326
    @Wallacenyusi3326 หลายเดือนก่อน

    Nasikia walikula 6 sasa huu msemaji haoni ata aibu ?

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂🇫🇯

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 หลายเดือนก่อน

    Wana mihemko wachezaji wenu .kumambegeres tutwapiga kama ngoma pakabwachezaji watapigana nawambia mapema tu chemalone atapiga mtu namuona atakua captain

  • @PaulKijame-cm8op
    @PaulKijame-cm8op หลายเดือนก่อน

    Semaji hilo linamikwara hatari

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 หลายเดือนก่อน

    Huyu anashabikia badala ya kuongea uhalisia

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅

  • @paultungu1775
    @paultungu1775 หลายเดือนก่อน

    Majina magumu

  • @godfreyluther2087
    @godfreyluther2087 หลายเดือนก่อน

    Hapo huyo anae hoji hajui ataahoji nini

  • @RichardJanuary-gx6df
    @RichardJanuary-gx6df หลายเดือนก่อน

    acha uhongo

  • @NeymantBoy
    @NeymantBoy หลายเดือนก่อน

    Du weee acha zako hizo pesa za usajil bora mkawap watoto yatima

  • @erickbarthazar9316
    @erickbarthazar9316 หลายเดือนก่อน

    Semaji 😂 letu wewe mafaniko yako yapo kwenye komediani 😅

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile หลายเดือนก่อน

    Semaji la caf na kazi Yako unanijua Mimi atawangeondoka watu wote ukibaki wewe ni furaha kwetuuu

  • @benclever
    @benclever หลายเดือนก่อน

    Jane ndo anajua....huyu mwingine bado hajaizoea kazi

  • @user-no7uo4ry7q
    @user-no7uo4ry7q หลายเดือนก่อน

    Ww kaungane na kina ndaro kwenye uchekeshaji ila mpira huna timu broo

  • @noelthomas1227
    @noelthomas1227 หลายเดือนก่อน

    Wewe ally vipi acha uongo wenzio wako misri wewe uko mbagala kibonde maji wee vipi unatwambia uongo hapa toka hapa kawaongopee wajinga wenzio pumbafu wewe zuzu wewe

  • @advocatepetermbogoro1192
    @advocatepetermbogoro1192 หลายเดือนก่อน

    benchika alisema wachezaji wa simba vichwa ngumu, na huyo ni kocha namba tatu africa. huyu kocha msaidizi ataweza kweli. bira mngemuacha mgunda anajua kwenda na hawa vichwa ngumu.

    • @user-oy6kc8uy6f
      @user-oy6kc8uy6f หลายเดือนก่อน

      Alikwambia wapi kuwa ni vichwa ngum??😅

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 หลายเดือนก่อน

    Hawa tushawafunga nyingi tu timu bado wachezaji hawajashikana kuna group wanaonekana tu