AIBU YANGU |2| Love story❤️😘
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 มิ.ย. 2024
- AIBU YANGU |2| Love story❤️😘
Ni filamu inayoelezea maisha ya mwanadada Hidaya ambaye anakata kuolewa na mpenzi wake wa muda mrefu Adam, kitu kinachopelekea shoga yake Zai kuona mwanya huo na kuutumia kumnasa shemeji yake kimapenzi
Fuatilia kisa hiki kizuri na usiache ku subscribe, ni filamu yenye mafunzo mazuri sana.
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #aibuyangu2 - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
AIBU YANGU |3| Love story❤️😘
th-cam.com/video/rtr8rCZQ9wA/w-d-xo.html
Hata dakika tano hazijafika mlishakusanyika. Hivi mnapataga wapi bando jamani😂! Nawakumbusha ku-like video, ku-share na marafiki na ku-subscribe tuendelee kutizama kazi nzuri za Adam Leo Studio! Pamoja
Shukrani mkuu
We unapataga wapi bando😂😂ungeuliza wanafanyaga kazi saa ngapi
Leo n Sunday bnaaa
@@Nailaty564 Mi naoteaga wifi ya jirani😂😂
Tunatumia Wi-Fi Mzee baba
Acheni shobo nyinyi watu wazima😏badala msupport adam kwa kazi wanafanya mko hapa mnang'ang'ania likes kama watoto nyooo💔😂😂😂pewa mkule basi😢
Jamaniii!! 🔥🔥😍😍asanteni kwa nyote
Na ww
Halafu hizi like zina maana gani😂😂😂😊
Wanaboa
Koma Musosi 😂😂 Unajitafutiya Matatizo Mweyeweee🤗🤗💛💛💛 Team Adam Leo Much Respect 🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️💜💜💜
Thanks burundian
Daah yani natazama nikiwa na raha Moyoni nimefurahi kuiona🥰 Adam Leo Ni wakipekee jmn
Shukrani sana
Daaah nimecheka sanaa et unioe mm au umuoe yeye
🤣🤣
We Acha tu😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nampenda Adam anavyo kuaga serious jaman akujie soda yake anatufunza mengi sana nampongeza kwa kazi nzuri Mungu azidi kuafikisha kiwango cha juu❤
Amen
Hongela sana Kwa funzo nzul muliyotufunza nawapenda sana WA Burundi tujuane 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Asante burundi
Duuuh dada mbaya sana Adam nakubali sana movie zako tupe nyengine Kaká adamo❤❤❤
Shukrani
Mwisho wa ubaya ni ayibu idaya. Ila kazi nzuri Adam
Shukrani
Tu nakupenda sana Adam uko vizuri kaz yako nzuri❤❤❤❤
Shukrani
Waoooh wakwanza leoo naomba likes
Endelea kuenjoy
Wewe wa pili
So kwell 🤔
Mashaallah kaka Adamu kazi nzur sana kipenz tuletee part 3 broo❤❤
Shukrani
Kazi nzuri sana tena yenye mafunzo nawapenda 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Shukrani sana sana
Nilisahauu kumbe ulisema sa nne unaachia mzigo Ila sijachelewa Sana hongera kazi nzuri🎉🎉
Endelea ku enjoy
Ww ukisema wa nn mwenzio yuwajiuliza atakipata lini😂😂😂❤
Umeona eh
"NYINYI JIANGALIENI KUNA WATU KWAO WAMEAGA" Nimecheka sana😂😂😂
Noma
Sijachelewa sana leo wa 55 😢😢sijawahi pata like
Endelea ku enjoy
Siyo like tu na comment nimuhimu!😅Kumbe midomo mizuri ya Idaya siyo mimi tu naiona!Dah Adam anajuwa chaguwa!😅
Asantee
Kazi nzur sana boss ❤
Nakuonaa nakuonaa😘😘
Waoooh filamu nzuri sanaa na yenye mafunzo kedekede nimependa kwamafunzo yenu barikiweni washirika nyote❤❤❤❤❤❤
Shukrani sana sana
Wow I come from Uganda I really like this movie
Thanks
Hii filam ni fundisho kwa watu wote 👁❤❤❤
Naan
Hii film mmelenga kweli. Maana cku hizi watu hawamuamini MUNGU. Wanaamini shirikina tu. Na pia hawaogopi kuwa dhuru wenzao. Bora mmewakumbusha na kuwapa nasaha. Wenye imani za kishirikina.
Kabisa
Napenda Sana KAZI zenu ongerani wote washiriki❤❤❤
Asante sana
hongera Adam kazi nzuri❤❤
Asante
Kweli filamu yenu ina fundisho kabsa nime kwisha tiya like yangu.
Asante
😂😂😂😂😂😂unioee mm ama umuee dadangu 😅😅😅😅😅mumejua kunifurahisha,,,,big up brooo Adam ❤❤❤❤❤
Asante
Mwisho wa ubaya n aibu wallah😂😂😂😂ila mchungaji pongez kwa nyimbo😂😂😂😂😂😂
Asantee jamani
Mchungaji wimbo huo wa lango hauimbwi vibaya ivooo😄😄😄 ntakufundisha
Hahahah aje kwa kwelii😂😂
nitakuunga mkono
Adam naomba mungu akupe miaka mingi zaidi
Ameen
ameeeeen. Iman. Ndio. Silaha. ya. Maishà. yetu
Ni kweli
KAZI iendelee Kaka akuna kulala pongezi kwa muandaaji mtuzi pia na washiriki 🎉🎉🎉
Asante sana sana!!
kaz nzuri kaka Adam🎉🎉🎉❤
Shukrani sana
Leten like za mchungaji apa nmecheka snaaaaaa
Hahaha mchungaji noma
😂😂😂😂mganga waludewa kakaa😂😂😂bonge la move mmeweza ❤❤chukueni maua yenu
Asante sana
Nakubali Sanaa move zako Zina mafunzo Adamu
Shukrani sana!
Move Tamu sana Aka sijawahi ona🎉🎉🎉❤❤❤❤
Shukrani
Marafiki wa Sasa wapo makini wanaenda na muda
Umeona eh
Wow ahsante sana Adamleo nimeziona bwana pati 2 ya aibu yangu good boy ❤ me shabiki ako sana yaani sana to
Asante
Karibu mwanza bwana tule makande 😆
Kaka yake hidaya jaman anajitoa akili eti unioe mm au umuoe dada yangu😂😂😂😂😂🙌
Hahaha noma sana
Brother katika movie zote nimewai ona hii imenibamba sana hasa huo wakati wa kuroga na uchawi ukadunda.
Mara mingi movie zetu mtu akikuroga hufanikiwa na unateseka Hadi pia aliyerogwa aende kwa waganga but wew umeenda tofauti..
Big up brother 💪
Asante kwa kuona hilo🙏
😅😅😅😅nalo neno
Nzr sana inafundisha
Shukrani
Hahaha 😂 Kaka wa Hidaya big up😅 umecheza vizr mno kiasi nimefurahi sanaa😂❤
Shukrani
Koma kabisa na ikiwezekana ufe ww kwa sababu huna tofauti na ule msemo kwamba shimo wanichimbia mie utadumbukia mwenyewe
Yaani
@@AdamLeoStudios Nimeumia sana kaka yan kama vile nn ndio maana nimeandika kwa hasra kabisa yaan
Filamu nzuri sna Adamu yenye mafundisho mazuri kila wakati me nakufwatilia natamani ufanye kazi na Vincent Kigosi❤❤❤
Shukrani sana
@@AdamLeoStudios vipi kuhusu kazi na Vincent Kigori maarufu Ray The Great ama utanifanyia kazi ombi langu hilo
Nimependa sanaaaa
Asantee
Daaaaaaah kweli shetani anambwembwe nyingi anaweza kumtumia mtu ili amwogopeshe mtu ashindwe kufanya mafanikio au matarajio yake Adam kazi nzuri
Asante
KAZ nzuri Adamu umnikumbsha 😊😊 mi pia kunao wanllintendea mabaya yakawarudia Mungu n mwema❤❤❤❤❤
Pole
Usifanyie mtu ubaya ambae hana ubaya na wwe
Kabisa yaani
Safii sanaaa............🎬⚘️
Shukrani sana🤝
Aloo adamu unajua bro
Asante
😅😅😅😅Kaka alijua amekataa yeye kuolewa😅😅😅😅nimecheka.kiboya 😅😅😅😅😅daaaaa hii adamu umeua kinoma😂😂❤❤😂🎉
Shukrani
Yaani izi beat🎶🎵 ni nzuri zinaendana na sehemu husika na hisiaaa❤😂
Shukrani sana sana
Nakupenda adamu unajua kuigiza sn
Asante sana
wenye kuroga wenziwao wangefanywa kama hidaya wallah tungeishi kwa amani tuu🤣🤣🤣
Hahaha jamani
@@AdamLeoStudios yah🤣
Sasa likes ni x nini uwanga mnaomba pia me niombe kaka Adam 🎉🎉 congrats kwa kazi nzuri unayofanya am watching from Saudi ❤❤❤❤❤🎉
Endelea kuenjoy🙏
Kazi nzuri sana
Asante sana
Adam Leo jiangalie unatangaza manabii wa uongo, lkn tambua hao sio manabii ni mawakala wa shetani ibilisi, hawana makarama yoyote, wanafanya mazingaombwe ya kichawi na nguvu za kichawi wamepewa na ibilisi shetani, hao sio manabii ila ni matapeli tu
Imani ni siri!
Eti namba za wanganga ziko zaidii ya mia😂😂😂fika kwa familia namba ni 3 tu tena bila thafathali 👌wacheza na idaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hidaya nomaa
😂😂😂😂😂 Nikuoe wewe nimecheka sana hapo 😂❤❤❤❤ Adam mungu akubariki bro nakupenda sana ❤
Asante sana sana
Kaka yake hidaya jamani ume7bisha nijikojolee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahha jamani
Wow😮 kazi nzuli sana
Asante
Ukiona chanini, mwenzio anasema nitampata lin
Kabisa kabisa
Et, waganga wa hidaya wapo wengi kwenye simu kuliko ndugu zake jaman 🤣🤣🤣 ila kaka ni mkali mno jaman......... Kazi nzuri 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hahaha
Upo vzuri kaka kaz iendlee
Asante
Dah kaka adam namaliza bando kweny move zako safi san kaka part 3 kaka tunaomba
Shukrani sana
Hongera sanaa kwa kazi nzur sanaa pokea mauwa yako kaka adamu🎉🎉❤❤❤
Asante
Jamani huyu mke waa Adam nimempenda sana
Sawaa
😂😂idaya idaya nimekuita mara mbili utajiroga mwenyewe
Nomaa
Jamani huyu ndugu ya hidaya aminichekesha sana😂😂😂unioe mimi ama yeye😂😂😂
😂😂kaka kaogopa kuolewa
@@AdamLeoStudios 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Usifanye maovu kwa mwingine katika dunia
Ni kweli
Hellow jaman tiinjoy pamoja na views jaman ziendane na likes plz MUNGU awabariki ❤
Asante
Nimejifunza
Asante
Li mwanamke halihakili hata kidogo limebembelezwa miaka3 linakata ety sasaiv ndio linampenda baada ya kusikia anaoa mpumbavu kwel uchawi tu kutubu aaa
Jamani
Huku mwishomwisho mbona patamu 🤣🤣🤣jamani.shemeji naye amekazana tu eti unioe mm au yy🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂noma
Asanteni Kwa Hii Movies Kwa. Ki Tucha Kujifunza Ongerani Sana. I'm Watch From Qatari Big Up Sanaa
Shukrani
Sasa idaya miaka mitatu unatongozwa unaringa kwa una gold shooga angu 😂😂😂😂😂
Hahaha yaani
Kaka mtu jamaniiii yuanivunja mbavu 😂😂😂 et umuoe yeye au mimi niko hoi n kicheko 😅😅
Endelea ku enjoy
Hongera sana Adam kazi nzuri
Shukrani
Kazi nzuri bro, filam zako zina mafundisho sana kaka, hongera
Shukrani sana
Eti Ludewa namba 2
😀😀😂😅
Imeweza sana❤
Asante
😂😂😂😂eti anaeza turoga abaki na nyumba😂😂😂😂😂
Acha kabisa
Wanawake wengi washirikina mwisho wa ubaya ndio hayo
Umeona eh
🔥🔥🔥
Shukrani
Adamu thank u so much ❤❤❤❤❤❤
Thanks
Kazi zuri kai nime zi fatilia sana yani ni poa azi boi 🎉🎉🎉🎉👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼
Shukrani
Mashallah ❤❤❤❤
😍😍😍
😂😂😂😂mtumishi lango haliimbwi hivo bana
Hahaha
Jamani kaka idaya anawaganga zidi ya sitini hatari
Nomaa
Kaka hidaya nawe et unio mimi au yeye😂😂
Kaka kaogopaa
😅😅😅Kutangatanga kaibalanga mikongo kilanga komo
KilangaKomo kidogoo
Wakwanza nipeni like wapendwa.❤❤❤
Shukrani
Et we kimbunga jomon wap kimbunga hidaya 😅😅😅😅😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉
Kimbunga kimemrudia
Next plz
Ipo tayari sehemu ya tatu
Wow!!! Kazi nzuri Sanaa Adamu.
Asante sana
Asante kwa mafundisho mazuri
Asante sana
Haya nd mambo ya waislam kuombeana dua zisizo rafiki 😂😂😂alafu ukute wanakwmbia awataki mambo ya kishirikina wkt wanayafanya hahaha😂😂😂bs tuish nao tu lkn so pow😂😂😂
Jamani
Hongereni nyie wakristo ambao sio washirikina
Skafu ya mchungaji mmh Adam umetisha
Hahaha mchungaji noma😂😂