Mwalimu mungu anakupenda usikate tamaa sema ukweli uwaume tunakupenda❤
Mwalimu, aliye juu yako ni mkubwa kuliko wa duniani ..injili mbaka yesu arudi
Mwwalim mungu akubariki sana kwa kazi nzuli
Nakupata from tz dar salam
Anao mkataa YESU niwaislamu. Sisi tunaamini YESU yupo naanatulinda Hadi sahiii. Kwahiyo wao wanamsubili aje. Ahukumu Dunia Kisha afetena nimaskitiko Sana kwa waisilamu😮
Mtumishi wa BWANA usirudi nyuma katika utume wako.tunakupenda Sana .unaweka wazi na unafundisha ukweli.hao waje na hoja sio vitisho
Ukweli huhitaji hasira. Kila mtu anaweza kuuona tu.
Isitoshe, haya, tuseme wao wanataka kumuua Ishamail Kwa ajili ya Mungu wao, ili iweje? Mimi nilidhani Mungu ndiye hulinda waja wake wala sii watu kumlinda Mungu wao? Kwa tabia hii, imetosha kutudhihirishia kuwa waislamu ni wakuu kumliko mungu wao. Huenda hata mungu wao ni sanamu, kiwete, na ndiyo sababu hana uwezo wa kujitetea mwenyewe.
Poleni lakini. Ukweli ni ukweli, hata msipouamini
Mwalim Ismaili naswali 1 je yesu kama co mwanawamngu je kwanini aje kuhukumu wario hai na wario kufa
Wewe ni.mkweli ubarikiwe
Nilifatilia mwalimu mbogo Yani inaonekana ajasoma kbs kwani seem nyingi alikuwa akifosi uku akijichanganya tu
Yamkini mwalimu ismahil tuseme TU ukwer mwenyezimngu nabwanawetu yesu kristo wamekusimamia aswaha adi una nga'ara kwajina layesu
Waislam msipigane vita vya mwili bali vya kiroho maana vitabu vyenu ndo mwalimu anasoma,nanyi someni biblia wacha makasiriko ..72 virgins u will get in hell nt heaven..hata mohamad anangoja hukumu kutoka kwa YESU
Mwalimu following...
Kwanini nduguzetu wakiislamu awaamini iyo TU kazi aliyopewa yesu namwenyezimngu kuwa TU uyo yesu co kiumbe chakawaida
Unge wataja tu
Je uyo yesu wanae muita ISSA kwanini apewe KAZI iyo namwenyezimngu au mwenyezimngu cku iyo atakuwa yeye mngu Yuko wapi
Mbogo ni Muuza daws haliyejificha uislam
Mwaipopo alijaribu kukutisha akagundua wewe ni maji marefu yatamgharikisha akaogopa akakukimbia. Mbogo atakuweza?
Astaghafirullah rudi kwenye dini yako ya Haki kabla ya mauti Mzee wangu😭
Mwalimu achana na huyo mtu, anzia Mithali 7: 6-22, kachagua Mithali 7:16 ili kuukimbia ukweli...
Minguwao nimuhamadi. Nayuko kaburini adileo halafu wanamwombea maajabu🙄
Huyo mbogo ni nani hasa? asome Aya kwa Qur'an zinazokanusha Aya hizo na tafsir za maimam wake.
Kafir Ni mtu asiyekuwa na dini.wewe una dini yako tayari
Mwali ismahiil
wewe ni kafiritu
Njoo usome korani yako tuone Kama inasema tofaut utupe haya, acha ukali na ubishi usio na mashiko
@@abdallamkwaju6102waislam hawajielew hata shehewenu wamchongo mwaipopo amesema mnapelekeshwa
umefanya vizuri kumjibu mwalimu, angeona wakristo wetu waalimu ni kuropokwa. Mungu akupe nguvu siku zote kupitia mwanawe Yesu kristo