Courage T.TV mnafanya kitu kizuri sana kwa kupana habari za Uvira.Sisi www.jaribuafrica.org, kama ka org kachanga tunakitu tutatuma kwa WAJANE na MAYATIMA wenye wamepoteza,...kama na wewe una kamuchango au swali tuandikie kwa Help@jaribuafrica.org or info@jaribuafrica.org ,asante
Poleni sana nduguzetu apo uvira. Mmi nataka niiombe selekari itutiliye miferegi yakebeba maji tena mikubwa kwa sababa kisa kikubwa hakuna miferegi yakueneya na miferegi yenye iko ni ya makazi ya regideso tu. Sasa mimi nilikuwa naona kila barabara mututiye miferegi
Poleni sana ndugu zetu kwa mvua hizo,shida ya vihongozi wakwetu wanajijali wanyewa na familia zako,huwa wanatukumbuka kama wakihona watu wanahanza kufa ndo wanajuwa kama kunaplani nyingine yakufanya hii ndo Afrique shida navihongozi wasiyojuwa samani ya mtu,samani yetu wanaijuwa wakati tu!wakuomba kura,mwenyezi mungu azidi kuwanusuru nahizo mvua
Pole sana ndugu
Congo akuna. Serekali kuna vilaza tu
Courage T.TV mnafanya kitu kizuri sana kwa kupana habari za Uvira.Sisi www.jaribuafrica.org, kama ka org kachanga tunakitu tutatuma kwa WAJANE na MAYATIMA wenye wamepoteza,...kama na wewe una kamuchango au swali tuandikie kwa Help@jaribuafrica.org or info@jaribuafrica.org ,asante
Pole watu wa Uvira.
Poleni san
pôle sana uvira
Poleni uvira poleni
Sasa waviongozii wenu kazigani wanafaa kwarahiya akili kidogo tu munapenda kula tu ni haya ,watu wanateseka ase munango tchitchi
Courage saaaana Divine kwa Kazi iyo, ni Justine, pole tena kwa Ndugu Zetu za Uvira.
Ivi congo serikali inakuwaga nasaidiana ivi kweli nauliza mana sijuwi kama congo kuna serikali
L'état congolais veillez aide nos frère de Uvira,
Dada ile kazi yako nimefurahia namna unaifanya kabisa. Courage sana na Congo yetu tuendeleye kuipenda na hata siku moja adui asitutawale 💪🇨🇩🇨🇩
Muacane na wanyamurenge mupate amani
Poleni Sana ndugu zetu wa uvira
Polen sana ndugu zetu Wa uvira
Pole sana ndugu zetu 😭😭😭🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️
ALLAH awafariji mlio athirika.
Rq
Poleni sana nduguzetu apo uvira. Mmi nataka niiombe selekari itutiliye miferegi yakebeba maji tena mikubwa kwa sababa kisa kikubwa hakuna miferegi yakueneya na miferegi yenye iko ni ya makazi ya regideso tu. Sasa mimi nilikuwa naona kila barabara mututiye miferegi
Siku za mwisho Matayo 24:1-14
Poleni sana ndugu zetu kwa mvua hizo,shida ya vihongozi wakwetu wanajijali wanyewa na familia zako,huwa wanatukumbuka kama wakihona watu wanahanza kufa ndo wanajuwa kama kunaplani nyingine yakufanya hii ndo Afrique shida navihongozi wasiyojuwa samani ya mtu,samani yetu wanaijuwa wakati tu!wakuomba kura,mwenyezi mungu azidi kuwanusuru nahizo mvua
Daah pole sana kwa ndungu zetu muliyo kubwa na mafuriko mwenyezi Mungu atuepuchiye 🙏
Congo miundo mbinu hakuna sio uviratu
Poleni sana kweli ndungu zangu
Poleni sana
Loba lingala