#Live
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- #tundulissu
Copyright Disclaimer under section 107 of the Copyright Act 1976 This content may include copyrighted material, the use of which has not always been specifically authorized by the copyright owner. We believe this constitutes a "fair use" of any such copyrighted material as provided for in section 107 of the U.S. Copyright Law. Fair use is a use permitted by a copyright statute that might otherwise be infringing. Non-profit, educational, or personal use tips the balance in favor of fair use. This Video is for purposes such as criticism,comment,news reporting, teaching, scholarship, and research. All rights and credit go directly to their rightful owners. No copyright infringement intended. If you are the owner of any content used in this video and have concerns, please contact us through fenyawao@gmail.com and we will work with you to resolve any issues promptly.
Asante kwa ujumbe wa kutufungua akili,na fahamu, zetu
Asante mh lissu mungu akulinde damu ya yesu ikuzunguke
Wanao mpinga lisu wote wakapimwe akiri
Exactly
@@SephaniaMsigwa Hata wana o mkubali uraia wao unatia Mashaka Maa ma hana SERA zaidi YA UBÀGUZI NA POʻROJO ZA KISIIASA
Asantesana mutetezi wawatanzania
wambie ukweli wamezoea tumewachoka maccm
Yataondoka tu,ipo siku
Strong together ndugu zangu Watz,tumwombee sana nabii huyu
Kwa taarifa tu tuliambiwa Bandari ikimilikishwa magari yatapungua bei ila Kwa sasa gari iliyokuwa ikiuzwa m8 sasa hivi ni M19.
Kazi ya mabadiliko ni ya watu wote sio ya lisu tu
Hogela lisu mpinzanikiogozi waukweli mungu akulinde
Itakuwa Lisu hajui ila ni kwamba anaye ongea si yeye ila ni Mungu ndani yake. Hata yeye hajui ila naomba ajue ❤❤❤ Lisuuuuuuuu
Wewe mungu aumjui
Lissu de best chairman
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🖐🏿🙏🏾🖐🏿
Hongera mh Lissu Mungu akulinde na mabaya yote
Lisu ni adui wa rushwa,, MUNGU akupe nguvu na afya njema
Una akili sana Lissu MUNGU akulinde lkn usije ukageka badaye
Hongera Mweshimiwa Lisu kwakutufungua akili Mungu akulinde na maadui.
Wewe ndio msemaji wetu kwakweli😂😂
Hao viongozi wa dini wate wanaopokea rushwa ni mashetani.
Mbona Maaskofu Katoliki wananyooshewa sana vidole kwa mambo machafu
Ukweli utashinda tu maana ukweli ni wa Mungu HAKI itasimama na Amani ya uongo itakufa maana ni ya shetani LISSU siku zote ujawai kuleta rongo rongo kila mtu anajua
😢 tatizo njaa
Mnaombeza Lissu, Wana AKILI za mabox tupu. Mmepigika halafu mnakumbatia MAFISIEM!
UNA MALIZA DEGREE UNAAJIRIWA ALFU UNALIPWA MSHAHARA MDOGO KULIKO BOOM ULILO KUWA UNAPOKEA CHUO 😂😂
😂😂
Mbona kama UKWELI mnaukanyagia chini nilini mtajua haki zenu???Watanzania bana
Watanzania akir hamna lisu anaipambania nch nyny mnakoment ujinga pumbavu zenu kachatn na wake zenu pumbavu zenu
Namkumbuka Trump
Wanaleta wazungu kuwekeza migodini ila wakitaka watulipe kimataifa ccm hawataki na huku wametuwekea PAYE wanachekesha hawa
Shetani tena,😂😂😂😂
Huyu ndo mtanzania sasa.he took bullets for democracy.
🎉🎉
Nyinyi mkipokea hamsemi Pesa za Chafu ila wenzenu wakipewa ni Chafu 😂😂😂
We ni mjinga kabisa kwahio unajifanya huoni kinachofanywa na fisiem
@@nassibulimira8921 naww twambie Alizo chukua
Niwakumbushe2 magufuli alikaataaaga hii isue ya bandar kwa sababu hata TRA hawaruhusiwi kusogeza pua pale which means wao ndio first and last operator
Nafikiri huyu mtu sio yeye, ila ni mpango wa Mungu ndani yake,, yaani kama uko na akili timamu na utambuzi kichwan mwako,, He's 100% wa TZ tufike mahali tumuelewe,, Mungu atupe wepesi.. Live long TAL ..
Kimenuka sasa,ccm michupi inapwaya kwa dhulma.
hahaha😂 kumekucha😅
Kumechangamka
Watanzania wengi hawajii kinachoendelea
Mbona hii ya muda mrefu 😮😮
Nashindwa kukoment mana wezi wengi wanakoment kutetea wizi sababu nao ni wahusika
Ulipompinga magu ndipo nilikukataa
KATORIKI ndiyo nini mwandishi?
Tabia za viongozi wa dini kuomba,kupokea fedha za wanasiasa zipigwe vita.fedha za umma hazitoshi kutuhudumia.
Wacha ujinga ongea mambo ya maana weye huna isipokua bandari na mama Abduli
@@moddy8744 ww unajua nijambo dogo Kwasababu macho Yako yamefikia hapo na uelewa wako umekomea hapo.
Mama ako asidhani atafanya jambo watu watamuangalia labda ww na wenzako ndo mtashangilia
Wenye akili wote tupo upande wako ila wavivu wa kufanya kazi wanapenda uchawa
MCHUNGA KUNYWA MAZIWA YA N'GOMBE WAKE ZAMBI, ILA WEWE KUPOKEA PESA KUTOKA KWA MABEBERU KWA LENGO LA USALITI WA TAIFA LAKO NI SAWA?.. PUMBAFUUU
Wemuache iyo wasila kaludi Tena mtoto wako cv atafungia mandazi ushahidi anazo mfukoni apo mzima uyo
Sikumbuki mara ya mwisho nimeingia kanisani lini
Hata zile za ruzuku wakati wa uchaguzi au sio zote ni za wananchi bhana
Wewe mwenyewe mama amekulipa pesa zote ulizokuwa unadai hata wewe unahusika umeumwa serikali ilikuhudumia kila kitu leo unadanganya watu sio vizuri ach uongo kama ni za mashetani mbona ulipokea we bwana acha kelele tumechoka
Toa picha ya msalaba alafu weka mboga ndio uongee
Na maskofu wanadai
Wewe Isabella acha uchizi ,kumbuka lisu aliuguzwa na wasamalia wema baada ya jalibio la magufuli kutaka kumuua ,kumbuka nagufuli Allitumia bunge na ndugai ilikuzuia haki zote za Lisu ,sasa wewe Isabela unaanza kutoa ushuzi wa uchawa kwa janamke
Hii hotuba nikama cyo ya hivi karibun
Comment nyingi zinaonyesha jinsi waTz wengi bado kabisa wanaridhika na mienendo mibaya inayoendelea, wanabeza Elimu inayotolewa na wanasiasa wa ipinzani. ccm wanafurahia kuongoza wananchi wa aina hii( mbumbu)
Shida uzuzu na kutoelewa mambo.kupitia habari nak
Hakuna elim hapo ni uroho wa Madaraka anachotaka IKULU sio nyie wanyonge akiingia tu nyie mtabaki kulalamika Kama Kenya kwa Matumaini walikuwaa nayo kwa Ruto Leo story kibao wanamkumbuka Kenyatta njaa shida kibao utawala hapewi Mtu kwa Maneno ya kuropoka Uraisi sio jimbo Wala uwenyekiti wa chama
Hapana inaonEsha jinsi watanzania wanavofahamu pumba na yenyewe mpaka sasa hivi lissu KAZI yake kusengenya watu, kugombanisha watu, kuwagawa watanzania hivi vitu havitoweza kutupeleka mbele nini atafanya hatujaelewa. Pili kiongozi mwenyewe anaonekana ni mgomvi mzoefu the way anavyoexpress point zake .Mimi si mpenzi wa siasa lakini ikwa hizi ndio campeni zake AA watakaomchagua ni wale Kila wanalooambiwa wanaamini na wanaitikia sawa
@@rahmajaffar794sms ndefu pumba tupu
Ni kweli
Sawa mkuu swali vipi wewe uliyeuza familiya yako mke na watoto wako kwa wazungu vipi hapo eti huwo ni uzalendo gani kwa kuwauza watoto na mke kwa wazungu eti ututawale sisi vipi apo ?
WW LISSU NI MARAIKA UMEMDHALILISHA SANA MBOWE SS UMEGEUKIA MAASKOFU UNALETA SIASA CHONGANISHI TOA BORIT KWENYE JICHO LAKO NDIO UTOE BORIT KWENYE JICHO LA MWENZAKO
Ukweli ni mchungu mno. Buckle up kaka it’s about to get real hot.
Umeeanza fujo tueleze vizuri
Hii ina miezi kadha nyuma.
acha mdomo mchafu muwongo namba moja!!
Lissu ni mpango wa Mungu.
Kipi alichosema Cha uongo
Hela za ushoga nzurieeh
Acha ujinga wewe ushoga wa wapi
Ww uripewa Hela zakutengenezea gari mbona uripokea ziritokea wapi
Zilitokea kwetu WANACHAMA na wananchi tunaemwelewa Mh. Lissu kama mkombozi wa TANGANYIKA YETU.
Tafuta sera useme Chama mkipewa dhamana mutawafanyia nin watanzania na sio kukaa kwenye majukwaa na kukebehi kukisema Chama tawala
Baba Yako na mama Yako waliuza nguruwe na mbuzi kusomesha wewe mbuzi na nguruwe. ❤❤ Lisuuuuuuuu rais 2025
@joanitamedard5105 kama kura Yako moja ndo itaamua lisu awe rais ni vizur🧐🧐 but wew jua tu kwamba utake usitake mama mitano tena🙏
Ndiyo dela zako?
Unataka dela manzese yapo
Aanza kazi kivipi.? Hii Clp niyakabla ya Uenyekiti .
Hakuna kitu nimechukia kuwadhalilisha maskofu poleni viongozi wa dini mashee mjiandae anakuja na huko jipangeni haya bwanaa
Huna akili wew
Is he normsl?
Watoto wako si wako Ubelgiji, au unatukebehi! Chadema tujenge hoja vijembe na kushambuliana hatuta shinda hata uchaguzi mkuu
Hawa wanaokomenti ni washenga wa ccm
Umaskini wako wa akili hauwezi kujenga nchi .kiboko yako ni mama,Samia unaropoka yupo kimya .Bandari sasa inakusanya pesa haijawahi tokea .wewe ndiye mhuni.
Fanya bidii, hujasikika.
Alafu hayo makusanyo mengi yanakwenda wapi, kama siyo dubai, na kuhonga viongozi wa dini na wakata viuno wa wa bingo flever
@@clemencemkondya8561 Anakusanya nyingi zikowapi
we munyiha 🤣🤣
🫵🏿??????
Watotoga gani watoto wako Tundu Lisu wapo Marekani wacha kuleta ujinga wewe
Waislamu hakika ni misukule ,ivi kweli ninyi wakumchukia Lisu na kuwapenda majambazi CCM na Samia hakika waislamu ni machizi inabidi mwende uarabuni kula tende na harua
WEW HUNA SERA YOYOTE UNAONGEA UJINGA HUNA MIPANGO YA KUONGOZA NCHI UCHOCHEZI NA CHUKI YA UDINI ONGEA MAMBO YA MSINGI SIO KUSAKAMA MTU
KWELI KABISA TUNDU LISSU NIKO NA WEWE KWA HILI
WANAONGA HILI WAENDEREE KUKANDAMIZA WATU
WANAONGA HILI WAENDEREE KUKAA MADARAKANI NA HAWA VIONGOZI WA DINI WANAPEWA MABILIONI ALAM PESSA ZA KUIJUMU NCHI
MAASKOFU WANAPEWA PESSA HALAMU ZA ASILIMALI ZA WANYONGE
KIPINDI CHA MTIKISIKO WABANDARI MAASKOFU WALIKUWA WANAUMOJA LAKINI SASA WAMEPEWA ONGO WAKO KIMYA
Ukisikia siasa za mfilisi ni hizi siasa ambazo hazina sera na kilichobaki ni siasa za uchochezi na uzandiki
Unazijua sera wewe..? kafie mbali hujui kitu!
LISSU TUNDU HUNA SERA MUONGO NA KIONGOZI KUWA MUONGO NI AIBU KWA CHAMA KIKUBWA CHA SIASA KAMA CHADEMA KUWA MWENYEKITI CHIRIKU WEWE MWENYEWE COMEDIAN HUWEZI KUONGOZA HUNA SERA ZA MASHIKO HUFAI BABY GIRL WA MIREMBE
Mukimshiriki sana huyu babu mutajikuta munachukiana wenyew kwa wenyewe kwasababu ya siasa
Tundu rudi Marekani kakutane na Trump.... SI UMEZOEA KWENDA KUZUNGUKA HUKO KUDHALILISHA VIONGOZI WA TANZANIA.. Kwenda kuleeeeee
Huna SERA ZAIDI YA MATUSI NA POROJO WA TZ WAN̈AJITAMBUA HWADA N̈GANYIKÌ KABISA
Hadanganyi ni ukweri mtupu
Watanzania wanaojitambua hawakubali wizi unaofanywa na viongozi. Ninaweza kuona sawa iwapo ninanufaika na hali inayoendelea. Ukweli ni kuwa kinachodaiwa kuwa ni maendeleo yanayofanywa na viongozi kwa sasa ni kidogo mno ikilinganishwa na hasara tunayoingizwa watanzania.
Tusi liko wapi ndugu Tahira
Nenda na wewe ukaishi huko Kenya
@@SungiSaidi mbunbu ww
Ila lisu ni msenge
Kilakitu Kenya Kenya unajipya wewe
😂😂
Akimaliza ataanza na marehemu wote kama mtu unadilili kuwatukana maraisi wako hadharani inje nyingine ungewekwa ndani mshukuru mama kweli mama ni mama hongera samia kwa utulivu mwache aendelee kutukana chadema niliyokuwa naijua naumia sana aikuwa hivyo inati sha sana jamani wa macho aangalie sana apime mambo haya.
Mama alikuzaa ww kilandage
Mama yako umemuuza au ndio kumzalilisha mama yako
Bubaguzi
Jazba tu
siasa za chuki kweli zitakupa urais au zitakuletea chuki?
historia inasema bila siasa za chuki hakuna mabadiliko kwa sababu aliyeko madarakan hatk kutoka
Lissu una ushaidi au unaongea siku ipite.
Ushaidi gani unaoutaka
We unaongelea habari za kenya we unakosea kutukama maaskofu wetu sisi watanzani tunapenda amani watanzania kuweni macho jamani viongozi wa dini waeshimike wewe achakudanganya hata wewe ulipokea kakutoa inje kakuleta nchini watanzania angalieni sananadanganywa
Mbona amani ipo jombaa
We boya kweli Sasa hao maaskofu ndo kinanani mpa wasisemwe, hivi unajua Yesu alisemwa alitukanwa kpigwa kasulubiwa,huyo askofu mlarushwa ndo nani mpaka asiambiwe ukweli au nawe ndo walewale😏🤔
Huyu jamaa ni choko kweli kweli
Choko babako
Choko baba ako ndo maana kakuzaa taira
Kichwa chako kina shida nadhan choko ni wewe usiyejitambua
Ingestaili upelekwe kule kwa wakongomani washughulike na wewe
Hivi lissu tunaomba utwambie utatufanyia nini watanzania endapo mtachukua sio .sio kusema watu halafu tuchague wajumbe wa chadema
Huyu chizi sana ikulu ataisikia
Chizi mwenyew
Hufai kua Rais wa Nchi hii wewe
YULE DEREVA WAKO YUKO WAPI? 😅😅😅😅
Hana jipya lisu kila siku kulalamika
Tundulisu tangaza Sela iwapo ukiwa raisi utaifanyia nini Tanzania wewe ni mbaguzi unataka tuchaguane kidini sisi waisilaamu tutamchagua Samia wewe wamasishe wakiristo wakuchague wewe
Mimi ni mkristo.lakini chadema ikipewa nchi ,ni hatari sana kwa umoja wa kitaifa
Hapama ccm ndio hatari sana, haisaidii watu wake, Mheshumiwa Tundu lisu kwa mtu mwenye akili anamuelewa sana
🎉🎉