Ni kweli kabisa k mziwanda,mukwala na Ahoua wanapresha wanalazimisha ubora wao,kocha awatake wacheze kwa manufaa ya timu wasijiangalie zaidi wao,pia kwa vile Awesu ameonyesha anaweza kuchezesha timu mukwala asimame kati kuwatikisa mabeki 2 watimu pinzani,pia ni kweli tunahitaji kuwa mabingwa lkn tusiwape presha wachezaji.Na huyo GSM Simba tulikosea kutomrudisha Barbara kuwa CEO ndio kiboko pekee ya TFF na mpira wa TZ maana Timu 15 na Tff ziliingia lingi mnyama pekee aliibuka mshindi
K hongera sana muuza magodoro afikishwe CAF kwa ufafanuzi wa alichokifanya. Ikumbukwe muekezaji mpya wa manchester united aliyenunua hisa kwa Glaze anamiliki timu ufaransa umesikia kilichowakuta ?
Vizuri KMziwanda this Simbaaaaaa. Tutulie mashabiki
Ni kweli kabisa k mziwanda,mukwala na Ahoua wanapresha wanalazimisha ubora wao,kocha awatake wacheze kwa manufaa ya timu wasijiangalie zaidi wao,pia kwa vile Awesu ameonyesha anaweza kuchezesha timu mukwala asimame kati kuwatikisa mabeki 2 watimu pinzani,pia ni kweli tunahitaji kuwa mabingwa lkn tusiwape presha wachezaji.Na huyo GSM Simba tulikosea kutomrudisha Barbara kuwa CEO ndio kiboko pekee ya TFF na mpira wa TZ maana Timu 15 na Tff ziliingia lingi mnyama pekee aliibuka mshindi
Ahua atulie asiwe napresha umeongea vizur sana
K hongera sana muuza magodoro afikishwe CAF kwa ufafanuzi wa alichokifanya. Ikumbukwe muekezaji mpya wa manchester united aliyenunua hisa kwa Glaze anamiliki timu ufaransa umesikia kilichowakuta ?
❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ UBAYA UBAYA UBWELA UBWELA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nataka namba zakoooo nikutumie kakitu kutoka Mombasa
💪💪🔥❤🌹🌹
Kwel kabisaa
Ee unasema kweli dada
Simba ubaya ubwela
Wale vidonge vyao k hao tff
Muongo san ww
Mnamfoxi uyo kulelezea wachezaji sio kz yke yeye kz yke kupika mpila wa waume
Wafahamishe hao TFF wasiyoelewa kazi yao
Tff nao wapigaji takukuru iingie hapo tff pananini na gsm
Washawanyoya supu jwangwani akina haji wamewekewA vivuli veusi apo wanatakiwA kukombolewa awo