ALIKIBA Alivyovamiwa na Warembo Jukwaani baada ya kuichapa Utu Live/Wammwagia Pesa ndefu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Iyooooo nyimbo ukiimba kwanza mwili wote wasisimka UTU KAMA UTU 👐🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯
Now we have known the real king.
Salute kiba haunanga wivu umekuja kusurpport
Hakuna nyimbo nzuri mwaka wa 2022 kama Utu kama ipo niambiwe tafadhali nipate kuiskiliza iyo nyimbo zaidi ya hii
Hakuna
Tanzania people be proud of this artist alikiba he's so talented I'm telling you from congo 🇨🇩 alikiba is my number one artist ✌
That true numero uno
Absolutely! We proud of him❤👑🎶
TheOnlyOneKing🔥
Mziki mzuri bila matusi wala maneno ya kejeli!!!
Nice job king of kings
Tanzania's greatest of all time,King Kiba👑 Utu will always be my favorite track
ALIKIBA ALICHO KIFANYA KWENYE SHOW YA MARIOO NIUNYANYASAJI WAKIJINSIA ASE KILA KONA ANAZUNGUMZIWA UTADHAN SHOW NIYAKE AISE HUYU NI 👑 nahakuna ubishi wala mjadala aise alikiba nakuita maratatu kiba kiba kiba aloooo
😂😂🤣🤣 hii kali...
Tokea mm mdogo namuona Ali kiba hivi na huu mwili hadi sai nmekua na yeye hajabadilika wow. King asozeeka🥰
Huyu Kiba ndo R Kelly wa Tz wanaoamini waniambie
Mimi na kubali
No one like king kiba forever
itachukua mda sana kupata msanii mwenye vocal kama kiba
Wa africa
Naaminia kaka
Alikiba haulinganishwi na msanii yeyote hapa Africa am crazy when saying this he is the real King
Ndio wajifuze na wawe na adabu mm nawambiaga alikiba ndio msani mkubwa tz na East Africa Mario amekula ugali bila mboga
Hapa ndio naelewa kuwa King ukiwa rafiki yake basi hatokuangusha kwenye jambo lako...nakumbuka harusi ya Nandy nayo aliinogesha sana🔥🎶👑💕
Ameonesha upendo mkubwa! Hongera Marioo na Kiba🙌
Real recognize real💪
Tunatrending na 12 na mbili twende namba moja King kiba
Nimependa kitu kiba alichokionyesha kwakumsapoti mdogowake marioo jukwani.more love kibamarioo
King kiba 4real haipingwi wewe ndio mfalme wao🔥🔥🔥🔥🔥🔥wafundishe
So amazing performance 💪💪king kiba no one like u, good voice brother
sijawai Ona msanii kama Kiba kuwa appreciated while on stage. Haya ni kati ya maajabu na maumbo yake Mwenyezi Mungu
Hata mimi sijaona tanzania
Wimbo hadi waheshimiwa wanaimba no matusi, mashairi mazuri unaweza kuusikiliza na familia yako🔥🔥🙌 sasa unakuta wimbo mwingine unasema njoo nikupekeche pekeshe
🤣🤣🤣
Chitaki chitaki🙄🤔🤣ww sambusa mimi maandazi
Gres Mungu anakuona😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣
This is the real music the one you feel better when listening
King ni mmoja tuu akuna chasimba Wala chui au tembo king ni kiba saut yenyew ni moto
Dah! Hiii Show niya Marioo Au Alikiba sikwakufinikwa huko anyway imeweza huyo ndo King" mwengine hatokeii😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Tuache utani kiba kwenye live performance ni waya 😁😂 angalia ya keysha alivoua
Anaebisha aje na mwanasheria wake jela inamuhusu😂 King n mmoja tu
@@ostermfungwe5377 kbsa my
MTU wa watu KIBA JAMANI hana makuu kaka wa watu
@@ibrahimuselemani4076 😂😂😂😂😂😂
Hata sisi wa mozambique tunamjua king king the only one king
Hii show vipi yaani nimechanganyikiwa mwenye show kaekwa chini kweli King is only one amd is Ali Kiba
Asake yupo Kweli au basi maana Mfalme kauwa sana❤❤❤❤❤
🤪🤪🤪🔩asake
Yaan Kwa live band kama hyo aje atake nn asee na anajua TU Kuna kuaibishwa na king kiba hapo watu wananyoosha live bn👑🔥🔥🔥
Classic one king kiba live voko 🔥🔥🔥💯
Alikiba mungu amtunze miaka na miaka aisee
Amen
Show nzuri sana mziki mtam sana Marioo unahitaji mazoezi ya Live kwa kweli
I’m very sure marioo alijuta kumualika alikiba perform… jamaa ana turn black to white viva king
Uyo ndo king 👑 upewe ulinzi nakupendaga mpaka basi kama wewe tanzania hakuna
King ni mmoja tu kwenye mziki wa Tz
That is what we call music
Classic one with vibe
Mario and king you pple amaizing...
Truly
Love you king kiba ♥️♥️♥️♥️ you are the best.
Alikiba is always my favorite King
Hela za wadada warembo 🤸🏾♂️🔥 king 🥰
Kiba Kama vile Chris brown Fulani
I love your voice Kiba
You have a good voice too.
Utasema Justin biba
Alikibaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeeh!!! Utaua watu! Basi kaka mariooo anakuangalia macho kodoo
Wallah watanzania hapa kwa kiba mulipata msanii
Jamani huyu kiba huyu jamani🔥🔥🔥🔥🔥
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Ali K. and Marioo Ishaalla Allah hjelp you
Marioo sikubingine asialike alikiba jamaa kafuka show ila kwakweli palinoga sana 🔥🔥
Jaman UTU ni wimbo wa taifa kubali kataa,King hapa alionyesha ukubwa wake kwa kweli.
Kip the gud music alive...
O rey👑 da música🎶 africana 💪💪💪🔥🔥🔥
Meu Rey 💪
💥💥💥💥 wamuache jaman mbona hawaelewi ety nawambiaajeeee wamuache KING wetu🎉😂😂😂😂😂
Alikiba king
Ali kiba ur the best all the time
King kiba no one likely you bro u know
Is this Alikba's show or Marioo's? am oves🤣!!
I miss you feat Alikiba moto sana🔥🔥
Hii show siku zote napenda kuiona it's my best
King tunajivunia sana kwa kipaji chako mmetisha sana na marioo
Kingkiba
King 🤴 👑 kiba✌
Yaani wasanii wetu wangeshikana hivi Tzd ingekuwa kama wasanii wa mbele ongera kiba kwa saport yako kwa marioo
Kwl sarut kwako kiba
Huyu jamaa anajua kuimba daa kiba salut
King 🤴 kiba
Good performance Ali
good love king kiba
Alikiba ni munoma hii show kaifunika hatari
Alikiba uyu mbwa anakipaj kuliko msanii yeyote bongo ila juudi sas👑👑👑👑😂😂
show ni ya king au marioo mbona sielew
Kando na nyimbo zako u r soo gud king love u
Chui _rayvan
Simba_daimond
Tembo_harmonize
King_KIBAAA
OrganicKing🔥🎶👑
King kama king
Tuache Usenge hv nan alimsikia siku ile mliman City mond akiimba Live Alikuwa anachukiza bora apite back vocal angalau utapenda lkn sikia Balaa hili
🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@zaudatmakula3454 niliona bro 🙌🙌
Huyu jamaa anavyo imba waweza dhan mzk n ki2 simple sana sasa jarb ww
Ukweli
Napenda kiba Nandy Gigy wanavyosuport wenzao bila chuki za kijinga yan palipo ushirikiano Mungu anafungua nchia cheki watu walivyojaa kingilio cha kawaida
King kibaaaa
King na live performance ni chupi na Tako haviachan
🙌🙌
Tako tena la nani eeeee hahahhahah
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hahaaaa fal wew
The only one king 🤴
akuna Kama zaidi ya king kiba
Kinggggggg 👑
Booongee moja la show 🔥🔥🔥
Nomaaaaaaaa
Kwani alikiba unatatizo gani kaka wewe ni 🔥
Kwann umeuliza hivyo🤪🤪🔩nikupe jibu yule king
Kasema ukweli kiba anajitoa sana kanikumbusha kwenye nai nai hakuimba sana ila alivyokuwa anaflow jimbo likanogaaa
Huyu kiba asee hapan umeua babaa 👏
Utu ringtone
Yaani ata ukimchukia alikiba bado utaipenda sauti yake tuu
wachana na king Aitwe king inamanaaake sw🔥🔥🔥
Uko juu mzee baba
Khaaa king mbona kafunika adi mwenye show 😂😂atari sana kwenye live bend kiba
Sana,nilikuwa najua kama show ni ya Kiba maana anajituma saana
Noma sana king kiba
King forever
Oy king kiba anaimba daah
Likiba linaimba km alitak khaaa😂🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣
Weeeeekiba unabalaaaaaaaaaa🤔🤔😋❣️❤️♥️❤️
Kiba hana mpinzani kwa live performances
Barnaba nae yupo vzr
@@jamilahshilah4327 ila kiba legend
100%
Hakuna ubishiii mbona juu ya Hilo
Barnaba Ni moto bhn
Kingkibaaaa
King n mmoja tu
King sikualiki kwenye harusi yangu usije shangiliwa wewe kumbe muolewaji n mimi 🤣🤣🤣 MARIO umepata kampani kijanaaaaaa
Kweli nayo😍watu watadhan kuna show kumbe n harusi yal
Alikiba anajua sna
Kuna huyu jamaa mmoja ni balaa kwy live czaani km Kuna msanii kwa bongo atakayeweza hii mambo🤣ni yy
Kali sana hiii🔥🔥🔥🔥🔥
King kiba x100
Tajiri kitasa kama kawaid mibandiko 🙌
African only king👑
Kiba kaiba show ya Mario kaigeuza yake 🤣, king kama king
Sasa atakosa aje kuiba wakati mweny show kapoa kama ugali wa jana 😂😂😂 baba levo 😂😂😂ndo kasema siyo mimi 😂😂😂
Yes✍
Utu ndio nyimbo pendwa ya mke wangu