WASIRA ATUPA DONGO KWA WAPINZANI/HATUWEZI KUWAPELEKA IKULU WATAGAWANA VIKOMBE "WAMESHIKANA MASHATI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 40

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 9 วันที่ผ่านมา

    Huna muda
    Utasema bwana ametoa na bwana ametwaa, kwahiyo hutuumizi Vichwa 😊😊

  • @JammalMuhammad
    @JammalMuhammad 10 วันที่ผ่านมา

    MMETUKOSEA WAZANZIBARI, HATUNA HAJA YA KUUNGANISHA KWENU. Jiunganisheni na Congo na Rwanda basiii.

  • @wilsonmbughi6445
    @wilsonmbughi6445 9 วันที่ผ่านมา

    Mzee Asp na tanu yupo,ccm imeishiwa

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 10 วันที่ผ่านมา

    Ila chadema wamekomaa kwenye democrasiya wapo vizuri

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 9 วันที่ผ่านมา

    Uchaguzi mzee kipara sio kugombana demokrasia hiyooo

  • @AyubuKamendu-r7l
    @AyubuKamendu-r7l 10 วันที่ผ่านมา

    Azeeka sana

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 10 วันที่ผ่านมา

    Mwenyekiti WA cc manyani

  • @CHRISTOPHERNKELEBE
    @CHRISTOPHERNKELEBE 10 วันที่ผ่านมา +1

    hapo hakuna unacho ongea ni puuzi tu😅😅😅😅

  • @deohaule98
    @deohaule98 10 วันที่ผ่านมา +1

    Chama cha siasa hakitakiwi kukamata dola kwa kutumia nguvu ya jeshi. Vyombo vya dola vitumike kulinda haki ya kila raia. Pale nguvu ya jeshi au dola inapotumika kulinda masilahi ya chama kimoja na kunyima uhuru wa demokrasia,sheria na haki ya kila mwananchi kujieleza na kuchagua mgombea anayemtaka basi huo unakua ni utawala wa kidikteta.

  • @hapapetu7018
    @hapapetu7018 10 วันที่ผ่านมา

    Ongozeni tuuu maisha yenu ila itafika mwisho dunia utaiwacha kama sisi

  • @wilsonmbughi6445
    @wilsonmbughi6445 9 วันที่ผ่านมา

    Hana hata aibu

  • @oltetiangaroya8489
    @oltetiangaroya8489 10 วันที่ผ่านมา

    Ovyo ovyo ovyo CCM 👇 mnaguswa

  • @PeterIdd-d3c
    @PeterIdd-d3c 10 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa mzee kazeeka hivi afu bado kuna vijana wanaenda kumsikiliza akili zao zimejaa matope

  • @BestonMwaminyambi
    @BestonMwaminyambi 10 วันที่ผ่านมา

    Watu tuliozaliwa tu wakati tanu na asp vinaunganishwa tunajihisi kuzeeka sasa huyu mzee sijui inakuwaje.

  • @oltetiangaroya8489
    @oltetiangaroya8489 10 วันที่ผ่านมา

    Kwanza unasinzia bungeni

  • @barakalowasa425
    @barakalowasa425 10 วันที่ผ่านมา +1

    Uyu Sasa Nini mbaya msee ameseka sana

  • @JosephatkaroliKaroli
    @JosephatkaroliKaroli 9 วันที่ผ่านมา

    Ndoto za ccm ni kukaa madarakani myaka yote. Hawaoni mambo yanavyobadilika kila siku.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 10 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee rudi porin nyara za serikal

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo 9 วันที่ผ่านมา

      Arudi tu porini kuna hifadhi katoroka kule Kigoma !!

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 10 วันที่ผ่านมา

    Hata wanaokusikiliza na😅kukupigia vimakofi.unafanana nao.pole.

  • @deomathew-s2q
    @deomathew-s2q 10 วันที่ผ่านมา

    mnajali masilahi yenu tu

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 10 วันที่ผ่านมา

    Uchu wa madaraka vijana awapew kaz 😮

  • @luthermartin1098
    @luthermartin1098 10 วันที่ผ่านมา

    Mzee usiseme uongo hakuna waliogombana ,ila walikua kwenye ushindani wa kisiasa , sasa wewe ulipata kura ngapi? dhidi ya mshindani wako

  • @BorchertWilliam
    @BorchertWilliam 10 วันที่ผ่านมา

    Ubongo ulio lala kusimamia ubongo ulio amka.. mna feli mno kwa haya maigizo yenu..

  • @AmbakisyeSimion
    @AmbakisyeSimion 10 วันที่ผ่านมา

    Babu kapumzike huna Sera Bora makonda

  • @wegesawaryoba3316
    @wegesawaryoba3316 10 วันที่ผ่านมา

    Kiburudisho

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 9 วันที่ผ่านมา

    Hakuna kulijibu remnant , yaani huyu mabaki ya Gorilla....
    CCM kwa ujenzi gani wa nchi?

  • @wilsonmbughi6445
    @wilsonmbughi6445 9 วันที่ผ่านมา

    Babu huna busara kbs,89yeas babo unakuwa chawa,huko hamna vijana,

  • @jumannendayigeze2899
    @jumannendayigeze2899 10 วันที่ผ่านมา

    Mbona sioni hoja hapo! so what kama ulikuwepo?

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 10 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee anajielewa kweli? Anawabagua wenye ulemavu!

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 10 วันที่ผ่านมา

    Nccr uliendaje

  • @mandelasamson8401
    @mandelasamson8401 10 วันที่ผ่านมา

    Ukweli ni kwamba umezeeka kama ulikuwepo kwenye kuunganisha Tanu na Asp

    • @AlbinMsechu
      @AlbinMsechu 10 วันที่ผ่านมา

      Na bado anang'ang'ania kuendelea kuongoza

  • @wilsonmbughi6445
    @wilsonmbughi6445 9 วันที่ผ่านมา

    Wasira hizozama za mawe bado upo,mzee unakosa hekima baby wa vitukuu na vilembwe ,bado unataka ucheze single,kumbe hata wajinga wamezeka

  • @hapapetu7018
    @hapapetu7018 10 วันที่ผ่านมา

    Mbona dola munayo zamani hio dola

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m 10 วันที่ผ่านมา

    Du huyu muhenga alipigiwa kura nani ?

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 10 วันที่ผ่านมา

      hakujaza hata fomu ya kugombea Samia alitoa jina lake mfukoni na kuweka mezani wajumbe wapitishe hakuna maswali wala mjadala CCM ni uozo

  • @adamsanga062
    @adamsanga062 10 วันที่ผ่านมา

    wasila made wajukuu2

  • @BENALDKILEO
    @BENALDKILEO 10 วันที่ผ่านมา

    Mzee umezeeka sasa angalia usifie madarakani 😂😂😂

  • @ipyanamwasampeta653
    @ipyanamwasampeta653 10 วันที่ผ่านมา

    CCM kweli wamechoka kwa kila kitu yaani hakuna mtu mwingine zaidi ya huyu kikongwe? Mawazo ya CCM ni kuiba kura tu ndio maana hawataki kabisa kusikia mambo ya katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, uchaguzi ulio huru.