Prof. Assad: Unanunua ndege ya nini kama hairuki?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 เม.ย. 2021
  • เพลง

ความคิดเห็น • 41

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 ปีที่แล้ว +4

    Miongoni mwa watu makini kwa nchi yetu ni huyu mzee mungu Ampe maisha malefu

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 3 ปีที่แล้ว +7

    Wataalamu Hawa ni hazina kwa nchi yetu

  • @eliusandrew3762
    @eliusandrew3762 3 ปีที่แล้ว +2

    I have to speak truth always

  • @mgeningogomeloathuman7230
    @mgeningogomeloathuman7230 ปีที่แล้ว +4

    Katoa rai mnamsema anataka huruma. Watu wengine wana roho za nyoka.

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 ปีที่แล้ว +3

    Hicho ni kichwa sio mchezo, m/mungu kampa akili nyingi, hekma, ustaarabu, kujiamini na ucha mungu, ndio maana hatetereki

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu mtu baba Kodi zetu lakini hatutakiwi kujua chochote

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 2 ปีที่แล้ว

    Kweli mzee huna njaa

  • @user-ss8iu3mx4q
    @user-ss8iu3mx4q 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa anadai nchi

  • @ahz6907
    @ahz6907 ปีที่แล้ว +3

    Tatizo viongozi wetu huwa wanafanya maamuzi kisiasa na kupata umaarufu na si kusolve tatizo. Maana haingii akilini kununua mandege mengi na yapo idle kwa asilimia kubwa.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 3 ปีที่แล้ว +2

    Shujaa alikuwa fisadi

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 3 ปีที่แล้ว

    Mmh ndo mmeamka sasa!.

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 ปีที่แล้ว +4

    2025 assad agombee uraus ajitegemee tumuweke madarakani

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 6 หลายเดือนก่อน +1

      Katiba inakataa mtu aliyeshika nafasi ya CAG kuajiliwa kwny nafasi ya utumishi wa umma

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 2 หลายเดือนก่อน

      Nakuunga mkono@fadhilamyovera

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 3 ปีที่แล้ว

    .

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Utasikia alikuwa mzalendo kama mtu alikua ataki kukaguliwa dah!

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  3 หลายเดือนก่อน +1

      Hahaha! Hata Adolf Hitler alikuwa mzalendo

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 2 หลายเดือนก่อน

      Ila @user ni mzalendo sana, hoja zako si za kuegemea upande, ushabiki au uchawa, uko critical. Usibadilike

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 3 ปีที่แล้ว

    Shujaa alikuwa mwizi😜😜😜😜😜😜

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 2 ปีที่แล้ว +3

    Mzee Assad ni ALAMA nzuri na tamu kwa nchi yake, mzew Assad ni MFANO usiyo na kifani.

  • @Worldunite
    @Worldunite 11 หลายเดือนก่อน

    Wewe kuongea kote ni kumnanga hayati jpm

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 2 หลายเดือนก่อน

      si kweli, hamnangi mtu hapa, angalia ukweli wa hoja zake na si ushabiki, akikosolewa kwa hoja mtu unayempenda unaona anamnanga...be critical,
      Hakika we have a long journey to go

  • @mashauritv4033
    @mashauritv4033 ปีที่แล้ว

    yani nilijua msomi mkubwa kama wee ndio uwe mstari mbele kwa kushauri serikali kuweweza mambo makubwa kama ndege kumbe weee ni kuponda na kubeza uwekezaji ili kuwe na ajira kubwa na watu waraisishiwe usafiri sasa weee huna akili kabisa

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 ปีที่แล้ว +1

      We ndio ziro kabisa wa kukurupuka

    • @NdelleMwanyama
      @NdelleMwanyama ปีที่แล้ว +1

      Duh shule muhimu sana, we unaongea nini ww

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 2 หลายเดือนก่อน

      Nani hana akili @mashauritv? Yule Mzee Alikuwa akiamua ameamua, hataki ushauri wowote, je prof angepata wapi nafasi kushauri madini haya
      Kwani zile report za CAG huyo unayesema mzalendo amewahi kumwajibisha nani?

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 3 ปีที่แล้ว

    Unataka huruma ya Mama Samia ili iurudi tena. Pumzika shughulika na mashamba yako. Unnamaama wewe pekee yako unafaa. 60% hawafai jambo la kushangaza.

    • @shaibuhamadi5435
      @shaibuhamadi5435 3 ปีที่แล้ว +1

      ach wivu

    • @ahmedsultan8561
      @ahmedsultan8561 2 ปีที่แล้ว +3

      Mmoja wasiofaa nini ww,uelewa wako ni mdogo, maana km ungekua muelewa usingesema hivyo

    • @omaryjuma5546
      @omaryjuma5546 2 ปีที่แล้ว +3

      Shule muhimu sana......ungeitumia shule nadhani ungemuelewa

    • @ahz6907
      @ahz6907 ปีที่แล้ว +3

      Bila shaka wewe ni miongoni mwa hao 60٪

    • @neemamhando5287
      @neemamhando5287 ปีที่แล้ว +1

      Ana akili sana aisee