Please Joshua,uliza rafiki ya Celina wakati ,Celina akiwachana na hezron ,alikaa mda Gani ndio aolewe na mureithi,huenda hiyo mimba ya hezron Celine anaweza kuwa alitoa then kulala na mzae ndio njoki alipatikana, Celine make things clear wewe kama mzazi unafeel aje mtoto wako akibishaniwa hivi na wewe kama mama uko hapo,why can't you protect you child wakati atajua hizi vitu what will you tell her,atachukuliwa aje kwa society, shuleni na wenzake Kila mahali, Celine huoni unaspoil maisha ya njoki completely, Celine fikiria sana
Celine sema ukweli cz kwa hii Dunia no one is perfect,ama mtu Hana makosa please like a mama mwenye anajua uchungu WA watoto tell everyone the truth,and it will set you free
Hawezi sema ukweli ju anataka Mureithi aibiwe vitu zake am sure if Mureithi hana kakitu hii kesi ingeisha kitambo hawa ni wezi tu hujiulizi mamake na babake walielewana lini ju saa hii wako pamoja??
Hata mm naona hivyo hiyo ball ya hesbon alitoa ndio akapata na na muirore (father in-law) Father inlaw NAE akaona yeye na mamake Celine ni chizi ikabidi alale nao wote 😂😂😂 .
Stano mjinga siwafanye DNA naamini Osborne aliekelewa na huyu Joshua naye analeta usenge tu Project kaiona wapi ? ikituma school fee na hospital bills ? ina maana wao wanaungana na baba Celline .
Mureithii.😂😂😂I don't know why stano is not working with the dates. When did Hesborn and Celine part? And when was Njoki born? Was Celine really 3 months pregnant according to the date the baby was born?
Hawa watu wote walikuwa wanatumia Celine, mzae alikuwa anata connection ya mama Celine tena kupitia kwa Celine, hesbon na yeye alikuwa anakuliwa pesa na aunt Celine za uongo
Mwangi AKA baba Selina yaani hata mzazi wako pia nikikulacho,who to trust akiongea venye anahuzunika kumbe yuapiga mahesabu Avery big shame to you Mwangi babake Seline,as a parent am so disappointed in baba Seline behavior en the sister,
Stano hii show imeisha tushajua ukweli Kama ni jela ,mwangi ajisalimishe pamoja na dadake kwa kushirikiana na Celine pamoja na mmake kunyemelea Mali ya mureithi. It's evident tht mama Celine alijifanya baba Celine hayuko ndio ajitokezs baadaye na njama ya kushika mureithi
I don't think hesbon akue in that mix for nothing, Celine slept with hesbon first akapata mimba then she got married to muriithi akiwa Na mimba after then muiruri akanyemelea, njoki niwa hesbon
Hakuna kitu cha maana hapa,kurudia tu the same thing, Joshua hajui anything stano,ni wewe unajua penye ulikuwa umefikia,ni makelele tu iko hapa, justice to murithi and Hesborn
Simple mathematics njoki alizaliwa lini na ni lini walipatana mureithi coz seline was 3 months pregnant na akaolewa na mureithi then njoki atazaliwa before 9 months not unless waseme she was premature
Celine ww ni mjinga kondoo, unawenza aji kubali mtu atoke nowere akuja auze mali mmetafuta na muriith 😢 surely mzee mzima auze vitu za mwanaume mwezake shame on you, Celine zoea street mapema sasa juu familia yako itakutema,walikuonyesha mapenzi wakule mali yako kimekuramba😂
Kinaboo na kusema Hesbon ni project yet walisanitize simu ya Mwangi na wakaona wanataka pesa ya Mureithi hi kesi ingeisha hapo but wapi kila Saa ni vitu hazieleweki hope hii ni ya before sanitization coz inaboo tayari
Kuna tumutu sumu, roho mbaya kama Celine mamke na na babake na auntie, roho mbaya , but wataaibika at last, God is at muriithi side, kila mtu avune chake
Celine is defending mzae before mama muriithi alikua side ya mzae sasa amerudi kwa muriithi this all families wako na gladge we pray for truth ukweli haiwezi fichika
Please mpange hizi episodes vizuri juu already tushaona episode ya Celine akisanitiziwa na antie pia sasa ona hii inangea kihusu sanitization...hii tulifaa kuwatch before sanitize
Hii show bila Stano inaboo tu jishua kazi ni mabishani tu show inaisha kama hujaelewa chochote.kitu iko wazi kazi ni kirundia rundia tu whats soo hard on having DNA??simi ya Mwangi iliongea wanataka oesa thats why hawakubali ukweli tena mko hapa aaaai
Nashangaa after sanitizing simu ya Mwangi evidence was there wanataka Mureithi ndio wachukue vitu zake ni nini tena wanabishana penye umefika inaboo though wao wanataka more episodes ni ju job
Hawa watu wako confused sana. At least wangesema aunt ya Celine ndiye amelipana ingekuwa better than baba Murithi. Tuliona kwa phn walikuwa wanaongea na aunt previously. Sijui shida yao ni gani mimi
Murith atakama baba yako amekukosea mpee eshima uyo ni mwanamke amewagombanisha unawez owa mwingine lakini baba uwezi pata mwingine kwanini unamkandamiza ivo mwenye mtoto kajitokeza kwanini amtaki kukubali yaishe msamee baba yako mwenyemakosa mwanamke kwasababu mwanaume kiumbe zaifu ata baba yako mzazi anaweza kukutaka sasa celini ndio mwenye makosa msamee babayako leo yupo kesho ayupo utakuja kujuwa umuimu wake siku moja
Bt kama ukweli ulipatikana Mbona ezbon asipewe mtoto na muachane na mureithi plz mbona mna geuzia mureithi kichapo kila siku hivi? Plz stano and your group leave mureithi aendelee na kazi zake na maisha yake kama n celline n gurue jambazi tu na babake
Seline na wewe ujifunze kuvaa bra bna 😢😢wacha kutuvalia hapa matiti zimelemàa kama waru zimefungwa kwa baiskeli vibaya zinatoka nyandarua zinaenda western
Nani mwingine amependa mama mureithi ❤
✋
Ako na kiherehere mingi sana
Ako sawa kabisa 💪😂
I love mama mureithi too
Hiyo kiherehere ya kukosa busara, ata kama nikutetea, mtoto wake ila sio kwa kiherehere hii na maneno mengi yasio na hesabu nzuri
The love mama mureithi has for mureithi is amazing. ❤❤❤ Love you mama...
Mtoto wa mtu ni wa mtu,
Aky
Huyo mama ana haribu mtowe
Huyu mama anakosa adabu
Celine enda training ya ku dress unakaa kama ngunia ya viazi
😂😂 na hiyo mwili
Huyo katumika sana mwili imekongoroka
Naona leo ako atleast
Celine has her father's structure 😊😊😊😊
😛😛😛🫣🫣kumbe uliona kitambo
Kwani " Sanitization" ya Juzi haikusaidia???This all Nonsense!! Repeating themselves again!!😳
I like the way Muriithi defends his mum .. asante sana Muriithi
Joshua ondokea hii kesi kabisa huwezani hata kidogo, stano plz malizia hii story iko boring sasa
If i were Mureithi, i wouldn't appear on this show once i realised from sanitisation that dead beat father of Celline is up for his wealth
True
@@sarahwanjiku1807pia mimi,nalilia Muriithi.
True, he should just go and start his life afresh without Cellin
Very true
Yaani mama Muriithi anajua kudress poa kushinda Celine na ni mshoshi jamani😂😂
Celine hana time… remember Moha saying Pauline’s matacore was still typing….so is Celine 😅😅😅😅😅😅
@@mugesiabrigitte8843 kazi ni kulala tu na wanaume hana masaa ya kujiosha 🤣🤣🤣
Please Joshua,uliza rafiki ya Celina wakati ,Celina akiwachana na hezron ,alikaa mda Gani ndio aolewe na mureithi,huenda hiyo mimba ya hezron Celine anaweza kuwa alitoa then kulala na mzae ndio njoki alipatikana, Celine make things clear wewe kama mzazi unafeel aje mtoto wako akibishaniwa hivi na wewe kama mama uko hapo,why can't you protect you child wakati atajua hizi vitu what will you tell her,atachukuliwa aje kwa society, shuleni na wenzake Kila mahali, Celine huoni unaspoil maisha ya njoki completely, Celine fikiria sana
Celine sema ukweli cz kwa hii Dunia no one is perfect,ama mtu Hana makosa please like a mama mwenye anajua uchungu WA watoto tell everyone the truth,and it will set you free
Hawezi sema ukweli ju anataka Mureithi aibiwe vitu zake am sure if Mureithi hana kakitu hii kesi ingeisha kitambo hawa ni wezi tu hujiulizi mamake na babake walielewana lini ju saa hii wako pamoja??
Hata mm naona hivyo hiyo ball ya hesbon alitoa ndio akapata na na muirore (father in-law) Father inlaw NAE akaona yeye na mamake Celine ni chizi ikabidi alale nao wote 😂😂😂 .
Huoni Celina anakaa nyanya mxee ametoa mimba mingi hdi amekosa shape
Stano mjinga siwafanye DNA naamini Osborne aliekelewa na huyu Joshua naye analeta usenge tu Project kaiona wapi ? ikituma school fee na hospital bills ? ina maana wao wanaungana na baba Celline .
Joshua ni kama umeshindwa ku run hii show.
hawezani anakaakana na mwangi😢😢
Asante Mureithi kwa kurembesha mama yako she's very smart and beautiful
Huyu Aunt celine ni mtapeli ndio kazi yake sio mwana biashara..,mwangi na aunt Celine ni matapeli, magaidi sugu... Mureithi sue those people
Joshua wewe ni mjinga Sana. Si stano ndio alipigia Hesbon simu na alitoa number kwa simu ya aunty ya Celine. Achia stano hii kazi wewe fanya security
Mureithii.😂😂😂I don't know why stano is not working with the dates. When did Hesborn and Celine part? And when was Njoki born? Was Celine really 3 months pregnant according to the date the baby was born?
DNA ifanywe kwa Njoki na Hesbon, Mureithi na Mureithi's father....simple....
Justice for mureithi and Hesbon enough for this greedy people called celine's family kiwarambe na huko
Ukweli kabisa
Yes
Celine unakaa poa umeanza kurudi msichana tangu uwache kulala na wazee 😂
Stano already the truth is out leave this ppls alone, stano are you happy when you this mumu ppls fight to Mureithi
Hata mnatubore na hizi story,,,, kwani mnaenda mbele mkirudi nyuma
All love to mama muriithi and mwari
The GOAT FAMILY, is back.
Huyu aunt kila siku biashara biashara ya kukula pesa ya watoto wawenyewe😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Napenda vile mwari anaside na kina muirithi huyu ameokaka kabisaaa
😂😂😂😂nakwambia mwari ananibaba sana..kweli ameokoka kabisa ❤❤
kweli kabisa huyu mama ni mwokovu na anasimama na ukweli
Mama Celine na baba Celine wameenda kupanga vile watamaliza mureithi wapate Mali
What is hidden unders the sea will always be exposed
Mama muirithi anavaa poa kushinda celine
Hawa watu wote walikuwa wanatumia Celine, mzae alikuwa anata connection ya mama Celine tena kupitia kwa Celine, hesbon na yeye alikuwa anakuliwa pesa na aunt Celine za uongo
Justice for Hesbon tafadhali
Mama Mureithi you are looking wow sturning bbygal ❤keep such way but don't dare to move out of your house Wacha mzee aende hadi ajibebe ajilete again
Joshua unaboo mtu ana wezaje kuja kusema mtoto ni wake na useme ana daganya hesborn si wazimu mtoto ni wake ,,mulhya siweziacha damu yake.
Celine is like her mother she can't accept the reality
Aki mama muirithi defend ako nayo juu ya mtoto wake waaau mpaka nasikia kumis mamangu😢 mama muirithi kitambaa na bag matches waaau
Mwangi AKA baba Selina yaani hata mzazi wako pia nikikulacho,who to trust akiongea venye anahuzunika kumbe yuapiga mahesabu Avery big shame to you Mwangi babake Seline,as a parent am so disappointed in baba Seline behavior en the sister,
Thugs
Stano hii show imeisha tushajua ukweli Kama ni jela ,mwangi ajisalimishe pamoja na dadake kwa kushirikiana na Celine pamoja na mmake kunyemelea Mali ya mureithi. It's evident tht mama Celine alijifanya baba Celine hayuko ndio ajitokezs baadaye na njama ya kushika mureithi
Joshua anapenda Kuwaste time!!
DNA is everything here
Mama moreithi looking good❤❤
Very very smart
I don't think hesbon akue in that mix for nothing, Celine slept with hesbon first akapata mimba then she got married to muriithi akiwa Na mimba after then muiruri akanyemelea, njoki niwa hesbon
Joshua joshua ni nini arguments za upuzi saa yote....DNA ifanywe fullstop
Pasta show we love you ila msitujazie episode tu kwa kurudia rudia.hii story ilipoishia imekuja story ingine kabisa
Celine alikua dustbin ya wanaume adi hajui mimba ilikua ya nani.....kuvaa tena anakaa ngunia😮
Hakuna kitu cha maana hapa,kurudia tu the same thing, Joshua hajui anything stano,ni wewe unajua penye ulikuwa umefikia,ni makelele tu iko hapa, justice to murithi and Hesborn
Hii story tulimasa juzi😂😂😂😂😂 celeni his father na auntie all are armed robbers
Huyu aunt ya Celine ni mfanyi biashara ya kuuza Celine 😂😂😂
Murithi never try to fight your father please
Justice for mureithi
Simple mathematics njoki alizaliwa lini na ni lini walipatana mureithi coz seline was 3 months pregnant na akaolewa na mureithi then njoki atazaliwa before 9 months not unless waseme she was premature
Baba Celine is a conman, aunt wa Celine con lady,mum Celine con lady and Celine the master of conman ship
Hii imeboo kaa muwezi fanya DNA
OG toa Joshua kwa hii show he is a total waste
We want you OG on set
Kabisa
Sure
Ako hata na mdomo mob sana. Kwanza huyo part akisema story ya project. Look at his body movement when saying that. He's a total waste here
@@marykangai4105 ata vile anaongea ni kama sio mtu anajua where he is heading
@@ladykemz Awachane na kuhost kama hawezi fanya vizuri. He's wasting our bundles
Am seeing Celine's friend will end up with mureithi😅
Mureithi and your family keep off cameras. Atleast you know the truth.......mkiendelea hivi kitakuramba kama vyenye kinawaramba kina Frank
Hi family ya mkufi ni wakora ashindwe kabisa wanataka kufuna kwa shamba yenye hawakubanda
Stano Joshua hafai kabisa
Stano do you work,Joshua is wasting a lot of time,he keeps on repeating the same questions over and over🤔
Muriithi ushaskia kwa Baba Celine chenye wanataka ni Mali. Acha kuja kuskiza hii ujinga
Joshua no ya Hesbon ya simu ilipatika kwa simu ya aunt ya Celine
It's like Celina aborted hesbon belle 😢😢 , Celina weww ni matako ,akili yote ilipotelea kwa matako
Hesbon where were you? Unafaa kumlipa Mureithi amekulelea mtoto na aka provide the basic needs to that girl, so ukitaka mtoto lipa Mureithi
Mama muriithi na Muriithi acheni kupigana na Baba Muriithi. Hata kama alikosa, si vizuri kushinda mkimpiga
Aunt conwoman I feel kukutwanga Kofi mbaya sana.Mureithi pls pls Celine akikupiga Tena,shika yeye umtwange ngumi yenye hatasahau milele na hatakurushia mkono tena.kindly kindly remember that
Celine ww ni mjinga kondoo, unawenza aji kubali mtu atoke nowere akuja auze mali mmetafuta na muriith 😢 surely mzee mzima auze vitu za mwanaume mwezake shame on you, Celine zoea street mapema sasa juu familia yako itakutema,walikuonyesha mapenzi wakule mali yako kimekuramba😂
Mama murithi your very smart❤❤
What was it sanitising yesterday? Or this video were supposed to be before ile ya jana? I'm now confused because this is before santanisation!
I Thot evidence was found in Mwangis phone that all they wanted ni mali, why are we still here?
Mama mureithi anachelewesha hii maneno too much noise. Nkt
Joshua haezani na show coz hamake kukue na order...sa kila mtu akiongea,tutaskiza nani?
Kinaboo na kusema Hesbon ni project yet walisanitize simu ya Mwangi na wakaona wanataka pesa ya Mureithi hi kesi ingeisha hapo but wapi kila Saa ni vitu hazieleweki hope hii ni ya before sanitization coz inaboo tayari
Joshua acha kuturudisha nyumba tumechola Hesbon si wazimu kama huwezi achia stano kazi yake
Kuna tumutu sumu, roho mbaya kama Celine mamke na na babake na auntie, roho mbaya , but wataaibika at last, God is at muriithi side, kila mtu avune chake
Celine is defending mzae before mama muriithi alikua side ya mzae sasa amerudi kwa muriithi this all families wako na gladge we pray for truth ukweli haiwezi fichika
Kwani hizi episodes ni za wen. Something is wrong here
Why are you forcing baba Mureithi to accept Hesbon's child? Wacheni upunzi do a DNA and move on. Mtoto ni wa Hesbon
What happened to our Mureithi?
Mwangi ajulikane kua Muriithi akapata mabaya ni yy,walisema wote watamuua,ati njia ni mingi .
Mureithi hata Kama mxee alikukosea naskia vibaya ukimpiga
Please mpange hizi episodes vizuri juu already tushaona episode ya Celine akisanitiziwa na antie pia sasa ona hii inangea kihusu sanitization...hii tulifaa kuwatch before sanitize
Mama mureithi ni the best na mwari pia.but mama Celine,aunt to ya Celine, Celine mwenyewe na baba Celine ndio wanaharibu hii show.hawana adabu
Stano Ako wapi Joshua atawezana kweli
Sanitize Hesbon ... Huyu Selene anakaa hajawai zalia mureithi inakaa mtoto wa Kwanza niwa Hesbon wapili niwa baba mkwe
Auntie ya Celine n mshenzi sana anabisha vitu amefanya
Rakini muriith uriza mamake babakoninani juu munashidiria huyomuzee mtoto niwake nikama munakitumunataka kutoka kwake
Mambo ni. Nimawili angalia sim ya. Hesborn. . la d,n,a,. Tosha.
Hii show bila Stano inaboo tu jishua kazi ni mabishani tu show inaisha kama hujaelewa chochote.kitu iko wazi kazi ni kirundia rundia tu whats soo hard on having DNA??simi ya Mwangi iliongea wanataka oesa thats why hawakubali ukweli tena mko hapa aaaai
Joshua leo umebungi, maswali ya kujirudia, rudia, na ujinga mwingi fah
Yaani hesbon amekuwa hosama😂😂😂😂😂
Kwani studio Leo imehama iko nyandarua
😂😂😂😂😂
Unty ya celine abasema mali gani na alikua anapanga na mwangi kuweka muirithi jela juu ya mali yake
Hawa watu wanajua mtoi ni wa hesborn soo baba alipewa mzigo akiwa na ball bt mwangis family wanataka mureithi ahangaike tuu
Celina kazi yake ni kucheat na hajui kufaa ni kama mama wa 55yrs kinyangarika kabisa 😂😂😂
😂😂😂😂 ukweli
😂😂
Hesbon was just chilling then mama mureithi decides to fufua osama bin laden in hesbon
Joshua you need to improve your skills,unatuwekea mabishano tu yasiyokuwa ya maana kesiilikuwa imeishw mnarudisha nyuma tena
Nashangaa after sanitizing simu ya Mwangi evidence was there wanataka Mureithi ndio wachukue vitu zake ni nini tena wanabishana penye umefika inaboo though wao wanataka more episodes ni ju job
Hawa watu wako confused sana. At least wangesema aunt ya Celine ndiye amelipana ingekuwa better than baba Murithi. Tuliona kwa phn walikuwa wanaongea na aunt previously.
Sijui shida yao ni gani mimi
Celine uko na heshima gani ww na ulitolea baba mkwe nguo
Stano ulikua uzanatize mwangi,Kwani alietoroga na simu ama
Kweli baada angetafuta security wengine namekuwa hakinjwa saa ya sanitization wanampokonya simu
Wakamalizane uko tumewachoka
Story haina muendelezo
Murith atakama baba yako amekukosea mpee eshima uyo ni mwanamke amewagombanisha unawez owa mwingine lakini baba uwezi pata mwingine kwanini unamkandamiza ivo mwenye mtoto kajitokeza kwanini amtaki kukubali yaishe msamee baba yako mwenyemakosa mwanamke kwasababu mwanaume kiumbe zaifu ata baba yako mzazi anaweza kukutaka sasa celini ndio mwenye makosa msamee babayako leo yupo kesho ayupo utakuja kujuwa umuimu wake siku moja
Sikua najua mwangi hata hata kazi until the sanitization ya Eunice kembe they are after Mali ya mureithi tulijua ukweli sasa
Joshua ask about what was in Eunice's phone
Bt kama ukweli ulipatikana Mbona ezbon asipewe mtoto na muachane na mureithi plz mbona mna geuzia mureithi kichapo kila siku hivi? Plz stano and your group leave mureithi aendelee na kazi zake na maisha yake kama n celline n gurue jambazi tu na babake
Eagerly waiting what happened next 😂😂
Hii episode ni lini? Sidhani kama ni ya after ku sanitize akina mwangi na Eunice jana
Hata ina boo situlijua ukweli chenye akina Celline wanataka
@@joycekungu4557 then why are they still calling hesbon a project?
Celine wewe nae vaa brah 😢😢😢😢
Seline na wewe ujifunze kuvaa bra bna 😢😢wacha kutuvalia hapa matiti zimelemàa kama waru zimefungwa kwa baiskeli vibaya zinatoka nyandarua zinaenda western
Aunt Eunice Na mama Celine wako Na hidden agenda Na wameweka mkufi box