Maisha ughaibuni na kungo madala
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Maisha ya ughaibuni ni hadithi ya maisha ya Waafrika wanaoishi nje ya bara lao. Tunachunguza changamoto wanazokutana nazo, mafanikio wanayopata, na jinsi wanavyokabiliana na tofauti za kitamaduni. Katika video hii, utaona hadithi za kweli za watu wakijitahidi kutimiza ndoto zao huku wakihifadhi urithi wao wa Kiafrika. Usikose kujifunza kutoka kwa uzoefu wao na kugundua jinsi wanavyofaulu katika mazingira mageni. Tazama sasa na upate msukumo!
#MaishaYaUghaibuni #AfricaDiaspora #CulturalJourney #LifeAbroad #Kiswahili #Motivation #Inspiration #GlobalAfrican #ExpatLife
Kamanda umeanza vizuri, mpaka koo limekukauka, mwake.
KINGO
Mashalla kanona
Mtangazaji unaongea sana muwache asimulie
Huyu si kingo huyu? Au
MNARUDIA STORY 👋
Kweli kabisa Hii story ya Kingo inarudiwa lakini kuna mambo mengi wakati huu naona Kingo anayaongea kwa ufasaha na kwa Kina kuliko pale Mwanzo, pia kuna mambo mengi sana yameongezwa na Kingo tofauti na pale Mwanzo na hii inaifanya Story kuwa nzuri zaidi na zaidi. Hongera sana Bab Seif
Kwani kuna watu mpaka hii 2024 wanaenda south kwa njia za panya kuluka nyenge??
Hakuna professionalsm hapo. Unasikia kuku tu