AMENIKATILI MBELE YA MWANANGU WA KUMZAA /NA MDOGOWANGU WA KIUME NIKANUSIRIKA KUFA PART 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ค. 2022
  • (SUBSCRIBE MAI TV ON YOU TUBE)
    Ujue yanayojiri
    Kwa visa /Mikasa na Matangazo na Mengineyo tupigie
    📞0714080880
    Mai Tv Tumerudi TH-cam 📌
    #maitv
    #maimarthatv
    #maimarthajesse
    #maimarthawajesse
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 29

  • @mwajumalubunga1534
    @mwajumalubunga1534 ปีที่แล้ว +1

    Yaani da Mai napendaga the way unavo hojigi Mungu azidi kukujaza nguvu na maarifa ya utendaji kazi 🙏🙏

  • @mwajumalubunga1534
    @mwajumalubunga1534 ปีที่แล้ว +1

    pole sana dada kwa mkasa 😭😭

  • @Mushidebb
    @Mushidebb 2 ปีที่แล้ว +3

    Kama kweli ni mwanajeshi aende jeshini popote pale aka mriport kwa alicho kifanya hata kazi ataipoteza hastaili kuwa mlizi wa wana nnchi

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 ปีที่แล้ว

    pole sana mdogo wetu ila huyo jamaa kazingua kichizi kama ataendelea kuzingua bora ufe naye tu hizo fedhea nyingine sio powa...hii kali mai martha kama mimi huyo ndio ndugu yangu ile wa toka nitoke mbona mama samia ataniwekea nafasi yangu segerea yaaani nitakupiga visu vingi sana vya koromeo kama 360 hivi vyote sehemu moja njoo uowe kwetu uone kisha ulete huu usenge wako mbele yangu kama mmeshindwana si umuache kwahyo mai martha watu kama awa unawasaidiaje yaaani kisheria mfano kama huyu anatakiwa kusaidiwa kisaikolojia na kiusalama pia tunaipenda nchi yetu ya tanzania na tunapendana pia raia 💪🇹🇿🇦🇪

  • @victor5318
    @victor5318 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wangu asimame na huyu dada jaman

  • @latifahabdallah7844
    @latifahabdallah7844 2 ปีที่แล้ว +2

    Wanajeshi wana roho mbaya sana tena kwa masimango wanajiona wao dunia ni yao siwezi date na mwanajeshi ata siku moja

    • @modysultan6170
      @modysultan6170 ปีที่แล้ว

      baadhi yao wanatumia cheo kuwanyanyasa watu

  • @anziwikechapuga4487
    @anziwikechapuga4487 2 ปีที่แล้ว +1

    Jaman ifike hatua hebu wadada tujitambuae jaman mtu anakuingilia hadi uko period bado unavumia tu jaman,,,,we mzima kweli????kisa tu umeolewa na mwanajesh iv Mungu anisamehe kabisa maana serikali ingenipa kesi kwa kweli

  • @annamussa185
    @annamussa185 ปีที่แล้ว +1

    Hayo kama ameweza kufanya kwa mke wake basi na Raia ndo wanavyo wafanyia huko kwenye vituo vyao wakiwakamata watu

  • @annamussa185
    @annamussa185 ปีที่แล้ว +1

    Kuna wanajeshi wanakuwaga wapumbavu kabisa na kwa wasiyo wafahamu na bangi wanavuta sana tu wapumbavu mno kujitia uwanajeshi mpaka majumbani

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 ปีที่แล้ว

    Aiseeeee🙌🙌💔💔💔💔💔

  • @lovejackson3624
    @lovejackson3624 2 ปีที่แล้ว

    Imeniuma Sana.. Muache Dada.. Atakuuwa.. Mwache mlee tu mtoto.

  • @ramadhanseleman6051
    @ramadhanseleman6051 ปีที่แล้ว

    Mmh! Jaman jaman

  • @kulwapaul2379
    @kulwapaul2379 ปีที่แล้ว +1

    Huyo jamaa n mbuzi kbsa

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 ปีที่แล้ว +1

    Kwanini usifunguwe mlango. Ukakimbia? Hapo alipo kwenda chumbani na mfanyakazi wko? Macho yk ni Mali sn. Usiku Ali ndio kila kitu

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 2 ปีที่แล้ว +2

    Mai mi napendaga jmn unavyo uliza maswali yan jumlisha kushangaa hako kasauti ova unabembeleza

    • @maitv142
      @maitv142  2 ปีที่แล้ว

      Karibu sana

  • @tatumakwega6170
    @tatumakwega6170 ปีที่แล้ว

    Pole sana kipenz 😭

  • @dottohamis4427
    @dottohamis4427 2 ปีที่แล้ว +1

    Mhm huyo mwanaume akufai kabisa dada na akachunguzwe akili sio mzima huyo

  • @flavianaephraim1521
    @flavianaephraim1521 2 ปีที่แล้ว +1

    Huu ni zaidi ya ushetani jmn

  • @matilsapaulinus4785
    @matilsapaulinus4785 ปีที่แล้ว

    Duh

  • @swaibahhassan5056
    @swaibahhassan5056 2 ปีที่แล้ว

    Part 2

  • @shufaaattass1920
    @shufaaattass1920 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mwanaume mungempunguza matako yae na uwanajeshi wake hivyo kabisaa atalinda wanachi huyo kweli au kila atakaekutanana nae atata amle mavii manaa ni mshenzii kupitlizaa

  • @leticiambilinyi1708
    @leticiambilinyi1708 2 ปีที่แล้ว

    Mnyakyusa woiiiiiiiiiiiiii poleeeeee shogaaaa nenda kamshtaki huko jeshini huyo mwanajeshi ashtakiwe Hana ni mkatili mkatili haswaaaaa astahili hata kutulinda wananch kumbafffffff

  • @Mushidebb
    @Mushidebb 2 ปีที่แล้ว

    Yaani alimmezea mwenzie viagra daaah

  • @swaibahhassan5056
    @swaibahhassan5056 2 ปีที่แล้ว

    Jmn

  • @Mushidebb
    @Mushidebb 2 ปีที่แล้ว

    Matha hapo mwisho umeni aibisha 😂

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 ปีที่แล้ว

    Waziri wa mlinzi ni mwana mama unaisikia hiyo?

  • @julevakizenga7599
    @julevakizenga7599 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mwanamume chenga mchele