Watanzania kitu gani cha kufurahiya hapo?.... Watu wangapi wamepoteza maisha Yao?.. It's very sad story to see people clapping and happy, remember how many families are grieving. Sijaona cha kufurahiya hapo.
Tunasahau mara moja maafa yaliyotokea, sasa hv watu wanashangilia kuvutwa kwa kivuko. Ujinga wa kiasi gani huu!? Alafu mnao upload hz video acheni captions za kizushi tukio lile siyo movie ni janga.
Wanaolaumu watu kushangilia, fikiria kama una ndugu yako amefariki na bado hujapata mwili wake. Hii ni fursa kwa wafiwa kujiridhisha. Kwa imani nyingi za kitanzania msiba bila kupata mwili unakuwa na majonzi makubwa. Kuna familia zinashinda ufukweni kusubiria labda watapata miili ya wafiwa wao. Wana kila sababu ya kufurahia kivuko kutolewa ili wapate miili ya wapendwa wao wakawapumzishe. Tujiweke kwenye nafasi zao kidogo
Ajali inapotokea sio mwili unapopatikana mzee sasa usione hilo dude ndo lililofcha hao watu pengine hata hawapo apo wako sehemu nyingne washapelekwa namaji huezi jua
Sielewi, sijaelewa sababu inayompa mtu nguvu ya kupiga makofi na shangwe kwenye kuinua kivuko, bado nasikitika uhai wa ndugu zangu hawapo tena, msiba kama huu watu wanafurahia kivuko kuinuka?
tuyathamini maisha ya binadamu wenzetu, muone jemadari wetu pamoja na mafanikio ya juhudi zake kwa uokozi wa kivuko, haonyeshi furaha 7bu nyuma yake upo msiba mzito kwa watanzania.
kiukwl INA penda kuonana ni jinsi gani tuna ummoja mshkamano katika hili INA pendeza ummoja wetu katika majanga kama haya tuwe na mshkamano juu ya majanga makubwa kama haya yaliyo tokea yame tokea tuache ya pite kukitoa kivuko ime onnyesha ni jinsi gani tuna weza hongereni wote mlio shiriki katika zoezi hili pongenzi Kwa wote mlio shiriki ktk zoezi zima
Huo muda na gharama za kukinasua hicho kivuko zingeelekezwa kwa watoto yatima waliopoteza wazazi/walezi wao kwenye hiyo ajali na kuangalia watapata vipi malezi. Maana hicho kivuko sidhani kama kina thamani kama mustakabali (future) ya watoto au jamaa za marehemu waliokuwa wakuwategemea. Na sidhani kama kuna mtanzania yeyote atakayetamani kukitumia tena hicho kivuko ... bora wangekinasua kimya kimya na wakikarabati kwa kukibadilisha muundo na kukibadili jina kimya kimya pia
Gamata jr kabla hujasema hayo tafakari kwanza kwann hawa watu wanashangilia shida ni hicho kivuko ndo barabara yao ndo usafir wao Kwa maisha yao, ukisema upuuzi ww barabara kwako ipo hupiti majin ,tafadhari muweni na kauli za busara
hivii?? kinacho wafanya mshangilie haswaa nini??? jmn watanzania ni lini tutakuwa na akilii kwa hiyo hilo lipanton ndio la muhim xn kuliko ndugu zetu wa Tanzania wenzetu kweli ht wenzetu wa nchi jirani c watatushangaa haijapita ht ck 5 tulikua tunalia leo mnashangilia hakika Tanzania u 9t
watu tuliopoteza ni zaidi yaiyo fel mnayoishangilia nibora nayenyewe ingepotea kama ndugu zangu nawaliokuwa wanashangilia nais awajaguswa kwani aliyeguswa naamin awezi shangilia
Kwa mbaaali ukiangalia vizuri utaona wengi kama sio wote walioingia ziwani kushiriki zoezi wamevaa life jacket. Ilishindikana awali, lakini sasa hii timu ya uopoaji kivuko wote wana life jacket. Basi iwe ni sheria kila anayepanda kivuko ni lazima awe na life jacket. Ikishindikana ni bora tubebe tube za gari tu huenda zikasaidia lolote likitokea
yan watanzania bana yani mnacho kishangilia apo me skioni yan mwashanglia mavyuma yakitolewa majini wkat uwo msaada ungetakiwa kabla maafa ayaja eneya alf Leo mwajashanglia mavyuma yakitolewa jmn shitukeni sasa kumekucha Aaah mwaniboaaaa
hivi nyie akili zenu timamu kweli hicho kivuko hata kikiopolewa hakina faida tena kimeua watu kibao halafu mnashangilia ujinga ingekua amri yangu hicho kivuko ni marufuku kwa matumizi ya kubeba abiria huo ni uchuro kushangilia kitu ambacho kimepoteza roho za watu wengi.
Dogo kamera yako nzuri tunatazama vizuri, jeshi kweli wanahuruma na wananchi wao, naliheshimu jeshi letu nawaheshimu sana waliookoa watu 40 ,jeshi lingekuwepo karibu wangeokolewa wengi.
Wekeni mazingira rafiki ya kudumu sio mnajipongeza tu tena kwa kujisifu kuwa Kazi nzuri wakati tumepoteza mamia ya watu hapo.... Mie binafsi nasikitika tu badala ya Kuweka wanamaji kwenye bahari na maziwa eti mpk majanga ndo akili ifunguke..... Mazingira rafiki huokoa watu na Mali zao dhidi ya vifo vilivyo vya lazima. Mwambieni Yule jamaa alieamlisha watu wakalale na kusitisha Lile zoezi kuwa aachane na akili Za kushikiwa...... HIVI BADO YUPO OFISINI EEEE????
Daa ipa watanzaniA tuna akili za madafu,hizo jitiada zilizo fanyika hapo,zingekuwa za kusaidia watu wasife kwa ajali ya hilo pantoni basi ningeipongeza serikal pamoja na jeshi.ilaaah..
hongeleni sana jeshi letu la tz pia hongeleni sana AYO TV kwa update zenu za uwakika mungu azidi kuwapa nguvu na afya njema ili mzidi kutupa habari za uwakika masaa 24. BIG UP BROTHER MILLADIAYO salute kwako kaka👏👏👏👏👏👋
Kwan we hujawah ona nyumba imewaka moto ikakarabatiwa na watu wakarud kish tena????kipi cha ajab kwa hcho kivuko kufanyiwa matengenezo na kikaendelea na kaz??
Wahenga walisema EVERYTHING TOO MUCH IS HARMFUL .... Ukianza KUPINGA KILA KITU hatimaye utafikia hatua ya KUJIPINGA MWENYEWE ... Inashangaza kutambua kuwa pana Watanzania waliomba USIKU na MCHANA kivuko hicho kibakie kama kilivyopinduka ama kizame na kupotea kabisa ... SO SAD
Duuh juhudi zingefnyik siku ile ya kwanza hivi nyie unajuwa hii juhusi ya kukiinuwa imefanyika siku ngapi? akili. zenu zinawaza ile siku hii juhudi ingewezekana kweli kwa ? yaani akili ni. nywele kila mtu. anazake binaadam hatukosi la kulaumu kila nafsi itaonja mauti hi ajali ilikua tu. sababu ila wakati wao ndio huo. umefika tuwaombee dua tuliobaki tujiandae hatujui zetu kama zitatolewa tukiwa sehem. gani
kazi nzuri imefanywa na wenzetu wa jeshi lkn lazima tukubali aina hii ya uokoaji ni ya kizamani sana kuvutwa na bulldoser,tushukuru ilikuwa jirani na nchi kavu je ingekuwa kimezamia mbali kidogo na nchi kavu kingenyanyuka leo kweli jamani ajali kwa vyombo vya usafiri iwe angani,barabarani na majini zipo tu iwe kwa bahati mbaya au kwa uzembe tujitahidi kuwa na vifaa vya kisasa vya uokoaji wa haraka watu mia mbili sio mchezo kupotea kwa mara moja Mungu awarehemu.
Watanzania kitu gani cha kufurahiya hapo?.... Watu wangapi wamepoteza maisha Yao?.. It's very sad story to see people clapping and happy, remember how many families are grieving. Sijaona cha kufurahiya hapo.
Nakupa like kaka mi pia sijaona walicho chekelea apo
I was shocked to see people screaming loh! Crazy people, I think hawana uchungu wa zile grieving families
Wamefurahia kwa sababu wapo watu wengi wanategemea huduma ya kivuko katika shughuli zao
Ndio ujue watanzania mataira
mataira kweli kweli 😤😤😤
ogeleni sana jeshi letu kwa kazi na wananchi kwa ushilikiano wenu
Tunasahau mara moja maafa yaliyotokea, sasa hv watu wanashangilia kuvutwa kwa kivuko. Ujinga wa kiasi gani huu!? Alafu mnao upload hz video acheni captions za kizushi tukio lile siyo movie ni janga.
Wauuuuuuiiiii sukari hongera sana
Kilicho baki, kibuko kivutwe nchi kavu kitengenezwe watu wafe tena, kwann msilete vivuko vipya, na kuiboresha sehem ya kupandia
Duh kweli
Kama uliwahi kuiona ama kuipanda Meli ya MV. BUKOBA kabla haijazama nadhani wazo la TAFUTENI KIVUKO BORA ZAIDI ungelifuta kabisa
safi sana makamanda
Mambo hayo kama unatoa support kwa jeshi gonga like hapa
Like
nawapa ongera jeshi letu ta tanzania
Hongera???... Wakati walilala usiku mmoja hawakuokoa watu.. Wakaacha wafe tuu af et HONGERA?? unafki huo qmmke meli na binadam kwel kipi cha thaman?
Wangetoa msaada hivi wakat wa kuokoa Maisha ya Watu ningewaona mashujaa
Panton lina LIFE RAFT LAKINI ZIMESHINDWA KUFUNGUKA AUTOMATIC MELI ILIVYOZAMA
Wanaolaumu watu kushangilia, fikiria kama una ndugu yako amefariki na bado hujapata mwili wake. Hii ni fursa kwa wafiwa kujiridhisha. Kwa imani nyingi za kitanzania msiba bila kupata mwili unakuwa na majonzi makubwa. Kuna familia zinashinda ufukweni kusubiria labda watapata miili ya wafiwa wao. Wana kila sababu ya kufurahia kivuko kutolewa ili wapate miili ya wapendwa wao wakawapumzishe. Tujiweke kwenye nafasi zao kidogo
Ukimaliza kushangilia usipoupata mwili unaoutarajia kinafuata nn? Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Naendelea kuwaombea wenzetu waloondokewa na Wapendwa wao, Mwenyezi Mungu azidi kuwapa Faraja, Yatima walioachwa tuungane kuwasaidia
Ajali inapotokea sio mwili unapopatikana mzee sasa usione hilo dude ndo lililofcha hao watu pengine hata hawapo apo wako sehemu nyingne washapelekwa namaji huezi jua
MILLARD YAO huyo alieandika kichwa cha habari arudi shule. "SHANGWE IPI HAPO. Wana Ukara wana MSIBA sio SHANGWE.
mzidi kuwa pole WA Tanzania... kwani chenu ni chetu....Julius..nrb kenya
#nikumbukumbu ambayo aitofutikak kilahc......mung zipokee lohza wajawako
Hahahaaaaa. Kweli. Sis wanaadamu ....wepesi wakusahau ..Mara hii tushasahau wenzetu waliopoteza maisha tunashangilia vitu ambavyo havina maana yoyote ......
Sielewi, sijaelewa sababu inayompa mtu nguvu ya kupiga makofi na shangwe kwenye kuinua kivuko, bado nasikitika uhai wa ndugu zangu hawapo tena, msiba kama huu watu wanafurahia kivuko kuinuka?
Ahhahaha
Kumbe wabongo bado niwashamba watu walifariki badala ya kuhuzunika wanashangilia fuck those who clap for nothing
Ongereni kwakazi nzr tuamie hupande wa 2 MV bkb nayo tuitoe
Wanaume kazini, hongereni sana na poleni sana kwa kazi nzito mungu awabariki sana
Alhamdulillah japo watu walibeza miundo mbinu mibovu lkn Allah amewezesha
Salma Khamis c unajua tena binaadamu hawana jema
unatoa habari za kijinga,yani watu wamepoteza ndugu zao halafu washangilie kutolewa kwa kivuko kwenye maji,kinasaidia nn sasa
wenzangu mmepitikiwa mmasahau vifo vya mamia ya binadamu wenzetu?
Cha kushangilia hakipo maisha ya wa2 yamepotea there is nothing to be proud of
Hicho kivuko hakiko sahihi,kivuko kinatakiwa kiwe kipana ndio baransi sijawahi ona kivuko chembamba hivyo
"Eti rekodi mda"wabongo sijui tuna matatizo gani asa cha kufurahia hapo nini eti sijaelewa watu wangap wamepoteza maisha apo
tuyathamini maisha ya binadamu wenzetu, muone jemadari wetu pamoja na mafanikio ya juhudi zake kwa uokozi wa kivuko, haonyeshi furaha 7bu nyuma yake upo msiba mzito kwa watanzania.
Kama nguvu hii ingekutumika tangu awali kilipozama kivuko ingependeza zaidi kwani maisha ya Wengi yangeokolewa
kwanini msinge itoa siku hiyo hiyo, wengine wangepona. sasa eti mnafurahi ili iweje, mpande tena?
Sumatra kuweni makini jamani,, tazameni roho zinazoangamia bila hatua,,, inaumwa sana
Poleni sana kwa wafiwa na Watanzania kwa ujumla, Pitia link hii hapa kuna wimbo was Faraja kwa watu wote
th-cam.com/video/ZN-3poi0kZs/w-d-xo.html
kiukwl INA penda kuonana ni jinsi gani tuna ummoja mshkamano katika hili INA pendeza ummoja wetu katika majanga kama haya tuwe na mshkamano juu ya majanga makubwa kama haya yaliyo tokea yame tokea tuache ya pite kukitoa kivuko ime onnyesha ni jinsi gani tuna weza hongereni wote mlio shiriki katika zoezi hili pongenzi Kwa wote mlio shiriki ktk zoezi zima
Huo muda na gharama za kukinasua hicho kivuko zingeelekezwa kwa watoto yatima waliopoteza wazazi/walezi wao kwenye hiyo ajali na kuangalia watapata vipi malezi. Maana hicho kivuko sidhani kama kina thamani kama mustakabali (future) ya watoto au jamaa za marehemu waliokuwa wakuwategemea. Na sidhani kama kuna mtanzania yeyote atakayetamani kukitumia tena hicho kivuko ... bora wangekinasua kimya kimya na wakikarabati kwa kukibadilisha muundo na kukibadili jina kimya kimya pia
wapumbavu ushabikia awajui roho za watu zimepotea why? watanzania 2nakua naroho za hajabu sana
Eeeeee jeshi LA nawakubali sana,,shikamoni
umekosa ubinadamu! wenzako wameondokewa na jamaa zao, wewe unapiga vigelegele kwa kuibuliwa kivuko. ama kweli dunia sasa inafika mwisho
Gamata jr kabla hujasema hayo tafakari kwanza kwann hawa watu wanashangilia shida ni hicho kivuko ndo barabara yao ndo usafir wao Kwa maisha yao, ukisema upuuzi ww barabara kwako ipo hupiti majin ,tafadhari muweni na kauli za busara
hivii?? kinacho wafanya mshangilie haswaa nini??? jmn watanzania ni lini tutakuwa na akilii kwa hiyo hilo lipanton ndio la muhim xn kuliko ndugu zetu wa Tanzania wenzetu kweli ht wenzetu wa nchi jirani c watatushangaa haijapita ht ck 5 tulikua tunalia leo mnashangilia hakika Tanzania u 9t
Acheni dharau sasa kudharau majeshi yetu,ili mungu siku asiamue utuoneshe umhimu wao.
watu tuliopoteza ni zaidi yaiyo fel mnayoishangilia nibora nayenyewe ingepotea kama ndugu zangu nawaliokuwa wanashangilia nais awajaguswa kwani aliyeguswa naamin awezi shangilia
tuzid kudumisha amani and upendo tuwaombee dugu ztu walio tutaguliya mbele za haki hakika mbele yao nyuma ytu mugu awalaze mahali pema peponi
Ayo Tv asante kwa ubora wa picha kwakweli umepiga hatua.
Asante Mungu. Hongereni sana sana kwa juhudi kubwa mlioifanya, Mungu mwenyewe awabariki
Mungu amebariki nini asee...😂
Juhudi kubwa wakat usiku ilipozama walilala wakaacha kuokoa watu🤔🤔🤔
Kwa mbaaali ukiangalia vizuri utaona wengi kama sio wote walioingia ziwani kushiriki zoezi wamevaa life jacket. Ilishindikana awali, lakini sasa hii timu ya uopoaji kivuko wote wana life jacket. Basi iwe ni sheria kila anayepanda kivuko ni lazima awe na life jacket. Ikishindikana ni bora tubebe tube za gari tu huenda zikasaidia lolote likitokea
kakaza huku kalegeza huku atakae tafsiri ndo ataelewa
yan watanzania bana yani mnacho kishangilia apo me skioni yan mwashanglia mavyuma yakitolewa majini wkat uwo msaada ungetakiwa kabla maafa ayaja eneya alf Leo mwajashanglia mavyuma yakitolewa jmn shitukeni sasa kumekucha Aaah mwaniboaaaa
hivi nyie akili zenu timamu kweli hicho kivuko hata kikiopolewa hakina faida tena kimeua watu kibao halafu mnashangilia ujinga ingekua amri yangu hicho kivuko ni marufuku kwa matumizi ya kubeba abiria huo ni uchuro kushangilia kitu ambacho kimepoteza roho za watu wengi.
Aisee kwel hcho kivuko nikidogo kwakwel
We kichaa sana shangwe ya nini limeua watu we mjinga haujui watu wanauzunika
Yaani mlishindwa kufanya kazi hiyo kwa watu waliokuwa humo Leo hii mnakesha kwa ajiri ya kugeuza vyuma hivyo. Hata taa hazizimi tena
Safff jesh LA wananch kwa kufanikisha hil
Mbwembwe nyingi kibao mmeshindwa kuokoa watu mnaokoa kivuko mnazingua mjue
kaka, hiyo ni ajari,
Dogo kamera yako nzuri tunatazama vizuri, jeshi kweli wanahuruma na wananchi wao, naliheshimu jeshi letu nawaheshimu sana waliookoa watu 40 ,jeshi lingekuwepo karibu wangeokolewa wengi.
Kha maskini watu wanachekelea wanaumia ni wale waliopoteza ndugu jamaa na marafiki uwiii
litoeni nchi kavu mlitupie njiti.
Hongeren sana wote walifanikisha kukiinua kivuko chetu mungu awap nguvu zaidi amen
Nawapa pongezi jeshi letu
Yaan kazi kubwa iyo baraaa kunasua MV nyerere
Hongera walio husika
hongera sana kwa kufanikiwa kukiinua
NYIE MLIO DISLIKE MNAMATATIZO YA AKILI
eti mungu mkubwa, yani nyie mungu mkubwa meli kugeuzwa na baada ya kuuwa watu. mi lingeharibika tuu
Kilichoua ni kivuko ama ni huyo kapteni mzembe na asiyejitambua pia wasimamizi wote wa hicho kivuko?
said malala umeona eeh!
sitamani atakuiyona tena dhu!
Ameni
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Zetu ni du'aa Allah afanye wepesi
Wamesahau na majangaa juziii wa tz bhnaa
Dah yaani hongereni sana kwa kazi kubwa mliyoifanya
Hongela sana jeshi letu
Baada kufurahia wa2 wakiwa ...mhhhhhh
Hongereni sana wahusika Mungu awabariki mmepambana💪💪
Mungu mwema mnastahili pongezi wapendwa
Mungu azidi kuwaongoza
Hao ndo watanzania.... wameshasahau machung ya vifo vya ndugu zet wanafurahia kvuko....inackitish ety
nakupokeza kwa kazi nzuri hongrreni
Ooooo
Allahu Akbar
Mungu awatangulie kwa kila hatua
Mungu ni mwaminifu. Pongezi kwa jeshi pia
Twawapa ongela jamani
Gonga like wa kwanza kuangalia na ku comment
all arms congratulation for good work
asilei
Amen mbarikiwe
hongereni aiseeeee
Wekeni mazingira rafiki ya kudumu sio mnajipongeza tu tena kwa kujisifu kuwa Kazi nzuri wakati tumepoteza mamia ya watu hapo.... Mie binafsi nasikitika tu badala ya Kuweka wanamaji kwenye bahari na maziwa eti mpk majanga ndo akili ifunguke..... Mazingira rafiki huokoa watu na Mali zao dhidi ya vifo vilivyo vya lazima.
Mwambieni Yule jamaa alieamlisha watu wakalale na kusitisha Lile zoezi kuwa aachane na akili Za kushikiwa...... HIVI BADO YUPO OFISINI EEEE????
Hicho kivuko ni kutupa tuu kitengewe nini Sasa kiwekeni kama kumbukumbu Huko mesium
Na mulete Vivuko bora
Nendeni kenya ferry mukajionee vivuko
Daa ipa watanzaniA tuna akili za madafu,hizo jitiada zilizo fanyika hapo,zingekuwa za kusaidia watu wasife kwa ajali ya hilo pantoni basi ningeipongeza serikal pamoja na jeshi.ilaaah..
@@ifozatv2513 waambile wasikile
Mie sina hamu nacho kimetuulia ndugu zetu letupeni tyu hiro Panton staki ata kuliona
mungu ndo mpangaji ndugu yangu wala sio kivuko
Mungu nimwema
Shangwe za kazi gani dude lenyewe limepoteza watu walichome moto
Bado muko n 1
hongeleni sana jeshi letu la tz pia hongeleni sana AYO TV kwa update zenu za uwakika mungu azidi kuwapa nguvu na afya njema ili mzidi kutupa habari za uwakika masaa 24. BIG UP BROTHER MILLADIAYO salute kwako kaka👏👏👏👏👏👋
Ni week sasa hatuna ndg zetu bt naishukuru serikali kwa kukuinua kivuko hicho RIP my family from Ukerewe
Acheni Matusi, Shangwe??? Au kwa vile hujafiwa eti. Watu wamebaki yatima. Watu wengine bhna
Ili maisha yaendelee lazima wengine wakosee ili wengine wapate pongezi... Akhsante mungu na serikali yetu
duuh hiyo boat iloandikwa CHATU inaonekana imepiga sana kaz ma'ake nimeiona kila clip tokea uokoaji. hongereni kwa kaz nzuri
Daaaa hongera saasaana jeshi letu LA Tanzania na vyombo vingine vyote vilivyoshiriki kufikia hatua hiyo kwani itasaidia pia kujua chanzo hasa ninini
Wamifurahi kivuko kugeuzwa lkn wenzao walopoteza watu wao wanaumia usku na mchana ovyo kabisa pumbavu zenu nye wte
Hichi chombo hakifai kutumika tena kikae tu kama kumbukumbu. Wa tanzania yafaa kununuliwa chombo Chengine cha kuvukia.
Mungu mkubwa na watu wamekufa wengi hivyo hicho kivuko kina kaz gani tena eti watu wanashangilia kabisa
kha kwan kina ttzo gani bas na huo mto uondoeni hapo
Kwan we hujawah ona nyumba imewaka moto ikakarabatiwa na watu wakarud kish tena????kipi cha ajab kwa hcho kivuko kufanyiwa matengenezo na kikaendelea na kaz??
+Justine Funde kama kivuko kina ttzo bas hata mto nao waususie
@@destiny4life439 we subr kikarabatiwe kianze kaz watatumia tu hawawez kususa. Ile ni ajar ishatokea haiwez kufanya maisha mengne yasiende mbele
Wahenga walisema EVERYTHING TOO MUCH IS HARMFUL .... Ukianza KUPINGA KILA KITU hatimaye utafikia hatua ya KUJIPINGA MWENYEWE ...
Inashangaza kutambua kuwa pana Watanzania waliomba USIKU na MCHANA kivuko hicho kibakie kama kilivyopinduka ama kizame na kupotea kabisa ... SO SAD
Duuh juhudi zingefnyik siku ile ya kwanza hivi nyie unajuwa hii juhusi ya kukiinuwa imefanyika siku ngapi?
akili. zenu zinawaza ile siku hii juhudi ingewezekana kweli kwa ? yaani akili ni. nywele kila mtu. anazake binaadam hatukosi la kulaumu
kila nafsi itaonja mauti hi ajali ilikua tu. sababu ila wakati wao ndio huo. umefika tuwaombee dua tuliobaki tujiandae hatujui zetu kama zitatolewa tukiwa sehem. gani
Majanga
Waoooo God be the glory, na MV Bukoba nayo itolewe pale ilipozama.
mungu azidi kuwapa nguvu mfankishe salam amiin
kazi nzuri imefanywa na wenzetu wa jeshi lkn lazima tukubali aina hii ya uokoaji ni ya kizamani sana kuvutwa na bulldoser,tushukuru ilikuwa jirani na nchi kavu je ingekuwa kimezamia mbali kidogo na nchi kavu kingenyanyuka leo kweli jamani ajali kwa vyombo vya usafiri iwe angani,barabarani na majini zipo tu iwe kwa bahati mbaya au kwa uzembe tujitahidi kuwa na vifaa vya kisasa vya uokoaji wa haraka watu mia mbili sio mchezo kupotea kwa mara moja Mungu awarehemu.