BAHATI BUKUKU AFUNGUKA MAMBO MAZITO SANA SHUHUDIA MWENYEWE | NINASAUTI NZURI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
    kwa Mfano
    1 - WENYE MARADHI
    2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
    3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
    4 - UBAKAJI
    5 - MATUKIO YA KIKATILI
    6 - AJALI
    7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
    8 - WAZEE NA WATOTO
    ___________________________________________________________________________________
    KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
    Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
    Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
    Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

ความคิดเห็น • 134

  • @nascmpiri3492
    @nascmpiri3492 ปีที่แล้ว +2

    Wah mama yetu usitumie neno watanzania juu tunakutambua sana kenya na dunia nzima kwa kweli❤❤❤❤❤❤ from kenya

  • @jeannettekeza6434
    @jeannettekeza6434 3 ปีที่แล้ว +5

    Huyu mama njinsi ninavyo mkubali
    Mungu tu ndie anae juwa mungu akupe maisha marefu

  • @godfreymathew7870
    @godfreymathew7870 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi naomba mtumikieni sana mungu katika kweli maana wachungaji wengi wanamtumia mungu kwa njia ya kujipatia vipato kama biashara bahat mungu akubatiki

  • @salomelisence316
    @salomelisence316 3 ปีที่แล้ว +12

    Wakenya twazipenda nyimbo zako🇰🇪

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 ปีที่แล้ว +7

    Dimpoz zake na mwanya masha'allah. Aki anapendeza nimurembo Sana😘😘😘😘

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 3 ปีที่แล้ว +12

    Bahati ,bahati bahati ,Mungu Ni mwema kwako ,nakupenda Sana dada Bahati, una busara Sana ,na unastahili kuitwa Mchungaji ,kwa kweli ukiwafundisha watu kuvumilia Kama ulivyovumilia, wasalimie dada Neema na Amina Debora

  • @fabfab9310
    @fabfab9310 2 ปีที่แล้ว +1

    Bahati Bukuku; I just love this woman of God, her songs are so encouraging, inspiring & uplifting.

  • @Thefavouredelsa
    @Thefavouredelsa 2 ปีที่แล้ว +2

    Napenda jinsi mama bahati bukuku anajibu maswali yake kwa njia ya uastarabu na Hekima zaidi.. Mungu akubariki sana mama

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 ปีที่แล้ว +6

    Hata mimi naupenda huo wimbo #WARAKA WA HAMAN. Barikiwa sana Bukuku.

  • @twendythomas7072
    @twendythomas7072 3 ปีที่แล้ว +9

    Watu wanamtania sana Mungu wamemgeuza Mungu fursa haya siku ya hukumu ije upesi

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 3 ปีที่แล้ว +19

    Bahati bukuku anaongea sauti yake kama mama Rwakatale' kama umeona hilo nipe like

  • @peninahmaina8785
    @peninahmaina8785 ปีที่แล้ว

    Nakupenda bure bukuku dada bahati...God bless and keep you long

  • @ReverendKanguTv
    @ReverendKanguTv 3 ปีที่แล้ว +1

    Bukuku nalupenda sana kwa nyimbo zako. wanitia nguvu kwenye huduma sana kila nnapozisikoa nyimbo zako. Naomba siku moja nikuone macho kwa macho hapa Kisumu Kenya. Ubarikiwe sana

  • @ashuraalli1561
    @ashuraalli1561 3 ปีที่แล้ว +1

    Waraka uliooandikwa wayahudi wauawe, Waraka uliootangazwa modikaye anyongwe,,,, Ester akiwa kwenye nyumba ya mfalme,,, Ester akiwa ni malikia 👍👍👍😁😁 Ndipo modikaye,,,, aliralua mavazi yake.... 👍👍😂😂tatzo hajatoa kingiio 💃💃💃I, m Islamic but I love so much ur song......

  • @marierichard3074
    @marierichard3074 3 ปีที่แล้ว +8

    Mungu awahurumie nyinyi watumishi wa sikuzamwisho

    • @hadijaomary2000
      @hadijaomary2000 3 ปีที่แล้ว

      Hahahaaa 🙆

    • @lepadrechief4642
      @lepadrechief4642 3 ปีที่แล้ว

      Kweli maana wanajichubua,kucha kupaka rangi,rangi za mdomo...mawigi hahaha dini biashara siku izi.

  • @julliejullieirash1727
    @julliejullieirash1727 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana mama bahati bukuku tangu udogo wangu nilitamani kuwa kama wewe au hata kukuona but no huwa nakuona tu kwa tv au cd huwa unanijenga sana ,natamani maishani mwangu niwe mjengaji kama wewe In Kenya

  • @pretty_witney8124
    @pretty_witney8124 3 ปีที่แล้ว +9

    Nampenda sana

  • @koigathungu6770
    @koigathungu6770 3 ปีที่แล้ว +1

    I love bahati bukuku from Kenya

  • @estherkikwaya6408
    @estherkikwaya6408 ปีที่แล้ว

    Merci kwanyimbo maman bahati

  • @MildredNabwireolunga.
    @MildredNabwireolunga. ปีที่แล้ว

    I like your encouragement.

  • @lorinemulumba7793
    @lorinemulumba7793 3 ปีที่แล้ว +3

    My roll model i loooove you mama🙌🙏😘🌹💞

  • @bellah7467
    @bellah7467 3 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda sana mamake mungu aku jalie maisha mema🙏🙏

  • @deborasamweli8362
    @deborasamweli8362 3 ปีที่แล้ว +1

    Mama barikiwa saana na mungu aliye hai kwa kazi nzuri unyoifanya

  • @evevalentine6764
    @evevalentine6764 3 ปีที่แล้ว +2

    Mama ahsante. I admired you and God has graced me to join in Gospel music ministry

  • @alubetmwamtombe608
    @alubetmwamtombe608 ปีที่แล้ว

    Sister Safi sana nimekuona Ongera

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 ปีที่แล้ว +9

    Ni Wa Mbea Kweli, Hata Biashara Yuaficha Jamani.

  • @lovethildah7340
    @lovethildah7340 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda San'a Bahati.
    Endelea Mama,, Baado safali bado...inaendelea.

  • @harmonizemusic5896
    @harmonizemusic5896 3 ปีที่แล้ว +5

    Mina mupendaka sana uyu mama!! Je l'aimé beaucoup elle mon artistes préfère, de puis Lubumbashi rdc

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 3 ปีที่แล้ว +1

    Yuko vzr da Bahati tumekumis nyimbo zako

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria 3 ปีที่แล้ว +4

    Some questions are personal, and confidential. Mbona watu mnakerwa na bahati, asipo disclose biashara yake?

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว +1

    Eti sasa amekua ni mtumishi wa mungu so alikuaga Ni mtumish wa Nan shka adabu yako mwandishi, huyu Ni bahat bukuku tumpendae mtumishi wa mungu

  • @rizikiruwa7116
    @rizikiruwa7116 2 ปีที่แล้ว +1

    Mama na kushukuru sana. Umenifungua macho

  • @uwayisabachantal8474
    @uwayisabachantal8474 2 ปีที่แล้ว +1

    Bahati l love you so much

  • @mimie254official8
    @mimie254official8 3 ปีที่แล้ว +2

    Exactly my sister well said

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 ปีที่แล้ว +3

    Jah kipez bahati upoooo

  • @florahemmanuel8323
    @florahemmanuel8323 3 ปีที่แล้ว +2

    Yes Kila mtu amepewa neema yake

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwani uligeuza rangi yako Bahati Bukuku. Mbona ulikuwa na rangi nzuri sana!!!

  • @samsonezekiel9232
    @samsonezekiel9232 3 ปีที่แล้ว +4

    Mgendi namkubali

  • @dianajoseph6673
    @dianajoseph6673 3 ปีที่แล้ว +1

    Namiss sana sauti yako nasubiri wimbo mpya Dada yangu kipenzi

  • @zabibuluvuno9891
    @zabibuluvuno9891 3 ปีที่แล้ว +2

    Nyimbo songambele naipenda

  • @hatungimanagilberte3414
    @hatungimanagilberte3414 2 ปีที่แล้ว

    Na mimi nakupenda sana ♥️

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 3 ปีที่แล้ว +1

    Pesapesa ni mbaya sana uwii mungu tuhurumie jamani tunamchezea sana mungu

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว +1

      Magugu na ngano vinaruhusiwa kukua pamoja

  • @easternyiha7407
    @easternyiha7407 3 ปีที่แล้ว +3

    There's just one thing about Rose Muhando and Bahati Bukuku's speech👏

  • @Wangjuelaoshi
    @Wangjuelaoshi 3 ปีที่แล้ว +3

    Nampenda sana bahati bukuku mungu aendelee kukubaliki kila wakat na saa mungu awe pamoja na ww

  • @selinakioko3085
    @selinakioko3085 3 ปีที่แล้ว +2

    My mantor love u mamaaaa

  • @christowajamtinda8667
    @christowajamtinda8667 2 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂😂kweli umewazidi wote mpendwa.
    Wewe ni mama jasiri sana. Mungu akutunze!

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 3 ปีที่แล้ว +3

    Makanisa yamekua biashara mungu anawaona"

  • @user-nq2ol8ev8q
    @user-nq2ol8ev8q 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @emaklathamichael-sg6vy
    @emaklathamichael-sg6vy ปีที่แล้ว

    Nic sana

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 ปีที่แล้ว +1

    Bahati bukuku ameshukuru wa tanza nia ila sisi wa Congo tunaenda sana nyimbo nzako ila nyimbo za mwanzo hapo ulikuwa umeimba mungu ila leo umeimba sababu ya napitatu sisemi kitu

  • @priscaomolo126
    @priscaomolo126 3 ปีที่แล้ว +1

    Kanisa na biashara ya siri ninayojua Yesu ana okoa na ana badilisha life style ya dunia lazima tue tofauti na dunia

  • @agneskadzo9087
    @agneskadzo9087 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen 🙏🏾

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu hazihakiwi

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 3 ปีที่แล้ว +1

    Twaisubiri kwa hamu.. Album..

  • @florahemmanuel8323
    @florahemmanuel8323 3 ปีที่แล้ว +2

    Walipo legeza waongeze hahaha,nimependa mama

  • @sadasalum8778
    @sadasalum8778 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 ปีที่แล้ว +1

    Mama nampendaga Sana uyu

  • @kadogogibore5435
    @kadogogibore5435 3 ปีที่แล้ว

    This woman i like her than normal

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 3 ปีที่แล้ว +7

    Kalombo umetulia hapo

  • @sheillhamarow8371
    @sheillhamarow8371 3 ปีที่แล้ว +4

    Sasa mnataka kujua biashara yake kwani lazima 😅ili mgundue nn mengine n private

    • @christianchando7041
      @christianchando7041 3 ปีที่แล้ว

      Mchungaji hawezi akafanya biashara, asiyoweza kushirikisha wengine

  • @estherwafula6932
    @estherwafula6932 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen amen mama wetu

  • @saranasser542
    @saranasser542 3 ปีที่แล้ว +2

    Mwaka rombo kiukweli limekupendeza mnoo

  • @AbayaMAMa
    @AbayaMAMa 3 ปีที่แล้ว +2

    Ongerakwauduma

  • @zabibuluvuno9891
    @zabibuluvuno9891 3 ปีที่แล้ว +1

    Naipenda hekimazako maman

  • @janetnafula6963
    @janetnafula6963 2 ปีที่แล้ว

    G9goodjob

  • @marykamau6760
    @marykamau6760 3 ปีที่แล้ว

    Kujipaka.... Jezebel

  • @joshuamwambene9516
    @joshuamwambene9516 3 ปีที่แล้ว

    Hongerakwahuduma

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 ปีที่แล้ว +2

    🙏🙏

  • @justinlosa1575
    @justinlosa1575 3 ปีที่แล้ว +1

    Je suis bien OK ok

  • @uwayisabachantal8474
    @uwayisabachantal8474 2 ปีที่แล้ว

    I'm from Rwanda

  • @maayiwachoffuri3925
    @maayiwachoffuri3925 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda buree tu

  • @andersonmasala5741
    @andersonmasala5741 2 ปีที่แล้ว +1

    Love you bahat bukuku

  • @marierichard3074
    @marierichard3074 3 ปีที่แล้ว +5

    Mchungajii wa kuficha biashara?mungu akusamee

  • @peaceboyke
    @peaceboyke 3 ปีที่แล้ว +1

    mama ulienda wapi umepotew sana

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 3 ปีที่แล้ว +3

    👀👀

  • @hussainsajin9915
    @hussainsajin9915 3 ปีที่แล้ว

    Mbona ujamtaja Matha dada anaomba vizr

  • @Owuor-gg4so
    @Owuor-gg4so ปีที่แล้ว

    ❤😂🎉

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 3 ปีที่แล้ว +1

    Mumewe alikua malayaa...mwe..sijui kama mzima yule Dany

  • @emmanuelmajele9681
    @emmanuelmajele9681 3 ปีที่แล้ว

    Sasa hivi amekuwa mtumishi wa Mungu kwan Alikuwa mtumishi wanan mtanga zaji

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 3 ปีที่แล้ว +1

    ✌✌✌✌

  • @azmedmtwana8135
    @azmedmtwana8135 3 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaj unaficha biashara yako hutaki watu wajue roho mbayaaa

  • @aishamsemo5154
    @aishamsemo5154 3 ปีที่แล้ว +1

    Anajua Sanaa❤️❤️

  • @pieremchome5202
    @pieremchome5202 3 ปีที่แล้ว

    Kweli pesa ndo kila kitu,zamani wakati Bahati anaanza kuimba alikuwa ana kidevu kirefu,pia alikuwa mweusi,.lakini sasa hivi sioni kidevu,wala weusi hakuna .mmh dunia simama mi nishuke

    • @neimaweigolo4613
      @neimaweigolo4613 3 ปีที่แล้ว

      Hahahaaa kumbe naww umemuona nimweupe zaid saivi nikajua mimi

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂Hauwez kushuka acha tuendeleee na safari tu my dear

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 ปีที่แล้ว

    Hahahahahaha penda San ma bahati bukuku

  • @Werema3760
    @Werema3760 3 ปีที่แล้ว

    Muss u sana

  • @nrwawanndeny7394
    @nrwawanndeny7394 3 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo biashara ya nje ya kamera ni ya kuuza papa nini!

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 3 ปีที่แล้ว +3

    Mwakalombo 😅😅😅😅

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 3 ปีที่แล้ว

    Mbona hataki kutuambia kuhusu biashara kwani ni mihadarati.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Mama niaje' anapata fursa yakujitangaza biashara' analeta mbwembwe

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 3 ปีที่แล้ว

      TRA waanze kumfuatiliiiia kabla ya kamtaji hakajakomaa
      By the way ni kuandaa movies GOSPEL MOVIES

    • @lawrencehezronmwakalebela2738
      @lawrencehezronmwakalebela2738 3 ปีที่แล้ว

      Mmh mchungaji gani sasa huyo muongo tu. Biashara matangazo ye anaficha

  • @clementinajory7927
    @clementinajory7927 2 ปีที่แล้ว

    JENNIFER MGENDI

  • @mkosakuumbwamwendazake4254
    @mkosakuumbwamwendazake4254 3 ปีที่แล้ว +3

    Hana uchungaji hana ukwaju kwan mchungaj haez ficha jmbo ilo bure kbx heri ungeimba tu

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 3 ปีที่แล้ว

    Kafufuka simlisema amefariki jamani

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwakalombo

  • @gloryisaac1477
    @gloryisaac1477 3 ปีที่แล้ว

    Umesha kuwa tapel SKU hizi

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 ปีที่แล้ว

    Bahati x10, kumbuka zamani kuke mbeya,ulikuwa unauza mchicha kupeleks kwa majumba yatu,Leo hii mtumikie Mungu kwa uaminifu mno,ucmdhulumu MTU,au ucmtukane MTU mbona ulitembeza mchicha umevaa malapa na vumbi tele,usidharau wauza vitumbua.

    • @Carollembi123
      @Carollembi123 3 ปีที่แล้ว

      Hapana,Soo dharau mbali ni mfano.. Challenges zinakua kubwa na Mingi kulingana na kiwango

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 ปีที่แล้ว +2

    🇰🇪🙏

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 3 ปีที่แล้ว

    Nabii prophet shillah.......???

  • @happynyamwanji4563
    @happynyamwanji4563 3 ปีที่แล้ว

    Pacha wa neema,Neema yuwapi?

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 ปีที่แล้ว

    Ni mjamzito nini?.

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 3 ปีที่แล้ว

    Dadadume