RAIS MWINYI 'ASHTUKIA' WAFANYABIASHARA WANAOFICHA CHAKULA "TUTAWASHTAKI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2023
- RAIS MWINYI 'ASHTUKIA' WAFANYABIASHARA WANAOFICHA CHAKULA "TUTAWASHTAKI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nakukubali sana rais wangu hakika wewe ni muungwaana sana
Asante huku bara runa kivuli tu
Sasa kama hivyo vyakula vipo kwanini wafanya biashara wanaendelea kuuza kwa bei wanazotaka wao??? Hili ni Tatizo la serikali na sio wafanya biashara.
Sjaona facts ht moja hojaj zko pumba hazina mashiko sasah km hko Pakistan ndo umepanda bei kwann kusiwe na free port ya mchle unga na mafta ta kul ili kulta unafuu kw raia
Mitigation please. Stop many words.
Muheshimiwa rais wafanyabiashara wa znz wakiona mwenzao anauza rahisi chakula wanakinunuwa wao chote wauze wanavotaka wao
Mheshimiwa unanifurahisha sana kwasabu wakati huku bara tunahangaika na kumpiga marehemu na watu wake wew unahangaikia maisha ya masikini
Mawazo yako finyu hayo na utateseka sana Hussein Mwinyi ni bora ila Mh. Samia bora zaid,i sasa nakushauri utateseka sana na Mama Samia anaupiga mwingi sana tena Allah ametupa tunu Rais wetu.
Mh.rais tunakukubali kwa kila hali kwa hatua unazopitia kwa ajili ya wananchi wako..
Point yangu ipo hapa...
Fungeni mipaka kama awamu ya maguful mchele usitoke nje ya Tanzania kwa kipindi hichi cha upungufu wa mchele...
Mukishirikiana kufunga mipaka all is all mchele unaweza kupatikana kwa wingi na bei nafuu.
That's among the good ways to avoid that disaster ☝️
Sasa kwanini serkali isiagize chakula nje kwa ajili ya wananchi
Wafanya biashara wapo why serikali ishindane na wafanya biashara,ila kama watakuwa wanamagumashi hapo serilali wanaweza kufanya kama unavyosema
Jamaa hataki kuswemwa mfalme huy
Msemeni kwa yalio ya kweli na sio kuyazusha yasio ya kweli ,hakuna anaependa kusemwa kwa mabaya yasio ya kweli
Pembe bei gani kwani..
Hawa ndio maraisi tunao wahitajii
Haya ndio matatizo ya sekta binafsi yajayo ni makubwa zaidi serikali ikiendelea kuweka mikono nyuma
Mmeruhusu maindi kuuzwa nje mnasema kosa sio la kwenu
Yahni samiya angekuwa anatujalj km uyuu raic wa zenji aseee naumia sana kuwa na raic asiyea jali wanyonge na kuambatana na matajiri tu
Wewe unateseka na udini na sio Mh.Samia na utaendelea kuteseka sana maana bado yupo yupo sana Mama Samia.
Basi hamia huko unapofikiria utapata nafuiu
@@froma3732 mwambie huyo ila kwa upande wangu mimi namshauri aondoe chuki na Mh.Samia kwani atateseka sana bado yupo yupo sana.
We raisi Fanya unavojua hao wanaokukosoa wote niwashenzi vilevile
Twambie ushenzi wao ni upi..
@@AbdillahSOthman uoushenzi wa kukosoa kila kitu wauona mdogo ww
Wana roho mbaya tu chuki na choyo
Huyo BIBI anatembea tu hajali watu wke anakula yy anashiba nyi mfe tu