Mtumishi wa shetani kweli jarani zetu wa cristo mda mwengne hua hamfikirii ivi huyu anaweza kua nabii kweli? Ina sikitisha kiukweli tena watu wazma na elimu zao wana pelekwa na imani za kishetani inna lillah wa inna ilayh rajyun. Hakika namshukuru mwenyez mungu kwa kuniumba nikiwa muislam. Alhamdulillah.
Ina wezekana na ww nikati ya wale wale kondoo wake anao wachunga kuna neno lina shabihiyana na hukumu hapo? Mrudieni mungu wa kweli alioumba dunia na vilivyomo humo na hakika ya Muhammad ni mja nani mtume wake .msisumbuliwe na hawa mitume isio kua na dalili wala vitabu.
Huo ni mwendelezo wa Shetani/Ibilisi (Jini muasi/Jini m'baya), amewatungia na kuwapambia Bibliia na Ukristo kupitia Yesu! Hayo ni magugu na tusubiri siku ya mavuno......mwenyemasikio na asikieeeee.
Acha ulevi wa ujana wewe, heshimu wito wako kama kweli umeitwa kumtumikia Mungu, kumbuka KILA.MTU hupitia ujana hata Bwana Yesu alipitia ujana lakini imeindikwa alimpendeza Mungu na wanadamu, ikiwa watu wanakuhukumu kwa mwenendo wako usiofaa inamaanisha hufai kuwatumikia...kuwa makini usiichukulie kazi ya Mungu poa kihivyo....
Ni vigumu kumuelewesha mtu ukweli pindi amepoteya matokeo yake mtagombana na kuvunjiyana heshima yote tumuachiye Mwenyezimungu kila mtu abaki na imani yake katika roho yake ila Mungu hashindwi na shetani piya anamuamini Mungu uku akitupoteza sisi binaadam ili asiwepeke yake kwenye moto
Kama sababu ya nywele hataiyona mbingu dungu kumbuka samsoni alikua na vishungi sab za nywele sasa jiulize aikua amesonga au na MUNGU alisema wembe usiwai pita katika kichwa sasa tusiukum kabisa kabisa tutafute ufalume wa mbingu na kuomba msamaha
Wakiifanya dini yao pumbao la mchezo katika dunia surah al khaf na ahera wana hazabu kari ila dini za wezetu matatizo ila wakiambia ukweli wa kali alafu wanakwambia unaukumu kwani wew mungu da!🤣🤣
Mtumishi wa shetani kweli jarani zetu wa cristo mda mwengne hua hamfikirii ivi huyu anaweza kua nabii kweli? Ina sikitisha kiukweli tena watu wazma na elimu zao wana pelekwa na imani za kishetani inna lillah wa inna ilayh rajyun. Hakika namshukuru mwenyez mungu kwa kuniumba nikiwa muislam. Alhamdulillah.
Acha kutoa hukumu ww, we sio mungu
Ina wezekana na ww nikati ya wale wale kondoo wake anao wachunga kuna neno lina shabihiyana na hukumu hapo? Mrudieni mungu wa kweli alioumba dunia na vilivyomo humo na hakika ya Muhammad ni mja nani mtume wake .msisumbuliwe na hawa mitume isio kua na dalili wala vitabu.
Kwa unabii hilo siwezi judge ila nabii ni yule anaepingwa na wengi katika jamii yake
Kwanini asiweze kuwa nabii kwani manabii wanamikundu miwili au acha ujinga wewe
si hatuna kosa kama yeye aajiita nabii si tumfanyaje?! wenye akl timamu tunakaa pemben
Mtumishi wa Mungu yupi
Huo ni mwendelezo wa Shetani/Ibilisi (Jini muasi/Jini m'baya), amewatungia na kuwapambia Bibliia na Ukristo kupitia Yesu!
Hayo ni magugu na tusubiri siku ya mavuno......mwenyemasikio na asikieeeee.
Acha uislam ubaki kuwa dini ya kweli na ya hakki kwa mungu hayo madudu mengine na dini zao tuwaachie wenyewe
Sure thing stellar,,I Ike u
Shila ,umepotoka , achana na dunia kama umeamua kumwishia Mungu dili huko ila kama unataka dunia basi ifuate usiwe mtu wa kutaka yote.
Nakubali
Yupo kisifa,kihuni,majivuno,pale kwenye birdy alisema alikatazwa ackae na maskini,Yesu alipenda maskini,Yupo alojuu kuliko weye,nyamaza.
Vp kaka Shila, yule kampeni meneja wako kutoka mbeya ulishamlipa hela zake
Acha ulevi wa ujana wewe, heshimu wito wako kama kweli umeitwa kumtumikia Mungu, kumbuka KILA.MTU hupitia ujana hata Bwana Yesu alipitia ujana lakini imeindikwa alimpendeza Mungu na wanadamu, ikiwa watu wanakuhukumu kwa mwenendo wako usiofaa inamaanisha hufai kuwatumikia...kuwa makini usiichukulie kazi ya Mungu poa kihivyo....
Mungu amsamehe kwani hajui alitendalo
We endelea kuichafua bbria2 mungu anakuona
We're Mungu wa mbinguni liponye kanisa lako
Acha uongo wako wewe
Acheni kutumia jina la Yesu vibaya
Huna cha Yesu moyoni
Wewe unaroho wa ibilisi
Ndo dini yenu hiyoooo
Naomba like apa
Mmepigwaa
Mungu atuhurumie
Acha kumtania mungu wewe mtumishi gani huna heshima mbele za mungu
Hii nchi inavijana wa hovyo sana
Huyo Daniel ni mpumbavu sana
Ni vigumu kumuelewesha mtu ukweli pindi amepoteya matokeo yake mtagombana na kuvunjiyana heshima yote tumuachiye Mwenyezimungu kila mtu abaki na imani yake katika roho yake ila Mungu hashindwi na shetani piya anamuamini Mungu uku akitupoteza sisi binaadam ili asiwepeke yake kwenye moto
Daaah
Sitaki like🤕
mungu angekua anatuona kwr walai ten tungekuf wot kwa hali ii maan du
Mungu anaona we unahisi haoni
We mungu anaona tena anaona kupite we unavyo ona anasikia tofauti unavyo sikia
Hakuna nabiihapo
Aisee nimesikia ninayo manne pia na penda mwanamke mwenye Shep na sura nzuri bwanamchungaji huyo
kanisani kwake pia atu wawe wa kisasa ' sio mikanga mikanga ... hahaha
Bangi huwa ni mbaya sanaaa😆😆
Dah naangalia views nakuta pameandikwa no views ko hata mm hawajanihesabu dah Co pw
aaah hamna chochote hapa
😞👽👽
Duh??,
Yesu wanguweee
Pumba tupu refresh angalieni watu wakufanyanao interview eti mtumishi wa mungu mk kabisa wewe
Huyu ni pepo wale wanaoitwa manabii wa uwongo ndio hawa sasa maneno ya mungu hayaanguki lazima yatimie
Vijana acheni bangi mbaya sana aiseeee
Hapa hakuna MTU au nabii hapa.
Mbosso ft zuchu Amina iko kwenye channel yangu
Mbna cjaiona
Mhhh hama k2 hapo bali kuna m2 mishi wa rusifa
Yaani huu utumishi wa sasa ni Shida
Yani motoni tutakutana wengi sana ukiwaona manabii wa uongo kama hawa motoni usishangae
Kama sababu ya nywele hataiyona mbingu dungu kumbuka samsoni alikua na vishungi sab za nywele sasa jiulize aikua amesonga au na MUNGU alisema wembe usiwai pita katika kichwa sasa tusiukum kabisa kabisa tutafute ufalume wa mbingu na kuomba msamaha
Ata shetani ana watumishi misishangai muhuni tu uyuu
Hv yukwap sikuiz😂😂
Je
Mtumishi rassy😁😁
Cjafundishwa kujudge kanisa nimefundishwa kusal
Amna kitu hapo
😂😂😂😂 hatarii sanaa
Yupo unayemtumikia aiseee sio Mungu,biblia inasema utawezaje kumpenda Mungu ikiwa wanadamu huwapendi? Uko na shetani wako
Tanzania
Natamani kutukana ila sheria hainiruhusu dah,
Hahahahaha sawa
Mimi sitokaa niende kwenye kanisa LA wanaojiita manabii bora niwe mpagani
kumbe Yule Tito watu tulikua tunamwonea mhhhhhhhh hatar
Hivi huyu jamaa mnamuangalia tu mbona tapeli wa wazi kabisa
Jamani mnaingiza zambi kansani
Jaaamani
Umelaaniwa boya
Baba piga dred nyonga Sana ujeuri utakuponza poa.
Angalia video achana na comments
huyu mwizi
Duuuu sina cha kusema ..Appearance yake kama kweli Ni Mtumishi wa Mungu hainiingii akilini!! Mwenye ufahamu Na atafakari
Kamata hili,sukuma ndani
Asukumizie kabisa
Muuu makubwa
bibilia inasema tusuke dread?
Nimecheka jamani!!
Siwezi kukuchukuwa weka stop af akaona anataka kujichanganya hivi akabadili gea angani siwezi kukuowa
Ungaungaaaaaaa hahahahahaaha
Mtoto wa nabii Tito au😂😂😂😂😂😂😂
T
Vijana acheni mihadarati
Mngese ww acha kudhallsha dini
Muhuni tu huyu
🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢ila we jamaa Mungu anakuona kwa kweli.
Niliwambia huyu jamaa muongo...tutawatambua kwa matunda yao
Hmmmm 🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Bangi huwa sio ya kujifungulia kuvuta
Dunia simama nishuke kabla hayajanikita haya 😭😭😭😭
Huyo ni roho mtaka fujo au roho mtakavitu
🤣😂🤣😂🤣😂wasıkırısıto bana haya aondomanabıı wenu duh hatarı
hahahahhah duuu im speechless
Unawaibia waumini kanisani ww
Ukitaka utajiri basi anzisha kanisa,Leo ni billionaire 🤪🤪🤪
Wakiifanya dini yao pumbao la mchezo katika dunia surah al khaf na ahera wana hazabu kari ila dini za wezetu matatizo ila wakiambia ukweli wa kali alafu wanakwambia unaukumu kwani wew mungu da!🤣🤣
Ingekua alietuumba anaangalia dini dah mbinguni hakuna hata mmoja ataeenda
😂😂😂😂🤝🤝🤝asante bana mchungaji
huyu kwanzia akiwa sekondari ni m.sanii msanii sana...😂😂😂
Unamfaham kumbe
health tips kumbe unamjua
Nimeshangaa kusikia ni nabii nakumbuka alikua anasalishaga morning prayer kwa kifaransa na alikua mjanja mjanja sana
@@user-pe9uo4ec6y kamaliza mwaka gani shule gani mbona jamaa anahela sana naskia
Sijajua kazitoa wapi lakini kamaliza form four 2013 Lord Baden Powell bagamoyo kwa kipingu@@erickmpalanzi6021
Mmh
Ivi unajielewa
Mtumishi wa Mungu je? Niujumbe gani huo unatufikishia kupitia nywele ,au tuangalie neno la Mungu? Yer:23:25-29
Huyu anahitaji Masada Sana...
uko poa
Jamaa atachapwa vibaya sana huyu🤢🤢
Hakuna nabii hapo naona ibilisi tu 😨
Kabisaa
Maskin wa akili
Muongo sana boya wewe
Atuwezi kuwa na mtumishi mpuziiii km wewe
Hahahahahahahahaha
H
Hivi huyu jamaa mnamuangalia tu mbona tapeli wa wazi kabisa
uko poa