FRIJI BOVU : PURE FINISHER SIMBA KUSHUSHA MCHANA NYAVU KUTOKA MAMELODI | REKODI ZAKE CAF BALAAH!!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
  • #mzeemagoma #tundaman #nbcsports #shorts
    #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #manchesterunited #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi

ความคิดเห็น • 60

  • @DavdiMalegi
    @DavdiMalegi หลายเดือนก่อน +1

    Cici wanasimba tunamtanka mabururu❤

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn หลายเดือนก่อน +3

    MabuLuLu angekuja runyasi ingekua mpango mzima sio kuleta masteca hata nguvu kiguuni hawana kama Fred akisukumwa kidogo tu chaly 😂😂😂🤸

  • @shabanmtula9242
    @shabanmtula9242 หลายเดือนก่อน

    Mabululu ❤

  • @merycianshinda546
    @merycianshinda546 หลายเดือนก่อน

    Fred aende tuu,,mabululu ❤

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j หลายเดือนก่อน +1

    Tunamtaka mabululu

  • @eliangowi1864
    @eliangowi1864 หลายเดือนก่อน +1

    Bwaba minja kama hutaki usikilize hiyo ni habari current.

  • @Chuma09
    @Chuma09 หลายเดือนก่อน

    hahahahahah JAMANI 😇😇😇😇😇😇😇😇

  • @VicentTarra
    @VicentTarra หลายเดือนก่อน

    Friji mbovu mwongo tu aliongeà sana kuhusu mpanzu

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 29 วันที่ผ่านมา

    Uyo mchezaji wa kawaida mno potezeeni

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 หลายเดือนก่อน +1

    Friji bovu hii issue inawezekana huu ni uongo tuu.

  • @lusungupaul297
    @lusungupaul297 หลายเดือนก่อน +1

    Pia mlituaminisha kuwa mpanzu alisajiliwa Kiko wapi? Mimi mpaka atangazwe

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el หลายเดือนก่อน

    Mmh

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 หลายเดือนก่อน

    Kama nikweli viongoz wa simba wanamtaka uyu mwamba bs wafanye araka ni bonge la mchezaji anavitu vingi sn Yan kifupi ni mchezaji mzuri sn

  • @GumboAthumani
    @GumboAthumani หลายเดือนก่อน

    Firij bovo Miminashauli simba waachane nangoma ayubu lakled nakobla fungafunga, wamchukuwe Abubakar naasar au mabululu, halafu watafute mchezeji kalba yampanzu achukuwe nafas ya ayubu lakled, nasimba wasipokuwa makini hawatachukuwa ubingwa.

  • @gibonykiyao9698
    @gibonykiyao9698 หลายเดือนก่อน

    Fridge hili bovu na linakutu sio madini

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 28 วันที่ผ่านมา

    Unaele yakuchukua mchezaji wa mamelod ww shoga tu mtekwaji wamekufanya nn aoo

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz หลายเดือนก่อน

    Naomba vyongozi simba aondoe Fred na kibu

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 หลายเดือนก่อน

      Kwani Kibu kakosea wapi ?

    • @BADILIJUSTUS-fs3oo
      @BADILIJUSTUS-fs3oo หลายเดือนก่อน

      Aondoke mama Yako sio kibu Denis kenge ww

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni Skudo Makudubela mwingine. Clip inayoonyeshwa akifunga goal zuri ni hiyo tu na ni ya 2022. Inaonekana siku hiyo alikuwa na siku nzuri tu lakini hakuna cha zaidi baada ya goal hilo. Wala hakuna clips za 2023/24.
    Simba ikimsajiri huyu itajuta.

  • @kiwakhalid4981
    @kiwakhalid4981 หลายเดือนก่อน

    Friji bovu kweli wewe,juzi umemsifia halafu leo unaponda

  • @user-lw2ox8fu7t
    @user-lw2ox8fu7t หลายเดือนก่อน

    Kaa kwa kutulia ww nyuma mwiko

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 หลายเดือนก่อน

    Ww kwl friji bovu,ivi Freddy kwny ligi yetu bd hajafunga kwl?

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna หลายเดือนก่อน

    yani ukishacheza na yanga tu ndio unajua kua timu yako inaubovu sehem gani😂😂

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 หลายเดือนก่อน

    Yaani simba bana kwa sajili zaa ivo mtasgua sana chukueni vyaghalama viwape mnachotaka mijibwaa nyie

    • @KhatibRocky
      @KhatibRocky หลายเดือนก่อน

      Jibwa mwenyeo

    • @lugeworkshop6174
      @lugeworkshop6174 หลายเดือนก่อน

      Kipi chenu cha gharama

    • @lugeworkshop6174
      @lugeworkshop6174 หลายเดือนก่อน

      Mchezaji wako yupi wa galama anazidi wachezaji wa simba

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741 หลายเดือนก่อน

    Lete mabururu

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 หลายเดือนก่อน

    Kila siku mnasema hivyo hamna lolote, huyo jamaa muongo sanaaaaa

  • @user-nl9xe5bu1x
    @user-nl9xe5bu1x หลายเดือนก่อน

    Sasa mchambuzi ndiyo anaye mleta ?.

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo หลายเดือนก่อน

    Frij bovu nimhun tuu uongo mwing

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 หลายเดือนก่อน

    Aondoke ayubu rakred koblani ni bonge la MCHEZAJI APEWE MUDA

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 หลายเดือนก่อน

    Hamna mchambuzi humo

  • @bakarimwachanga8803
    @bakarimwachanga8803 หลายเดือนก่อน +8

    simba waache ujinga,miaka yote mnataka strikers wa bei raising sasa huyo Nasser wa kazi gani, towni hela mumchukue Mabululu jitu la nguvu

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe umechangia kiasi gani au umejaa matusi tu mikononi mwako?

    • @renatusblandes1131
      @renatusblandes1131 หลายเดือนก่อน

      Mabululu nami narikubali

    • @BADILIJUSTUS-fs3oo
      @BADILIJUSTUS-fs3oo หลายเดือนก่อน

      Yes mabululu au sowah wako vizuri sana hasa sowah amekamilika Kila aina ya uchezaji

    • @vicentnyanda828
      @vicentnyanda828 หลายเดือนก่อน

      ​@@yugemasanza1008
      Kajinga tu haka kaongea utadhani kamebanwa na wale waliotumwa na Afande😂

    • @zuhurajabiri3900
      @zuhurajabiri3900 หลายเดือนก่อน

      Katakiwa na kocha

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d หลายเดือนก่อน

    Maburu

    • @econmirajifacts5411
      @econmirajifacts5411 หลายเดือนก่อน

      Kwa yanga hata aje nani difes ni balaa kama hamuamini mkawaulize mamelodi. sembuse nyinyi simba.

    • @econmirajifacts5411
      @econmirajifacts5411 หลายเดือนก่อน

      Na dirisha la usajili kwa simba na tff yao mtaongeza sana itafika hata mwezi wa tisa ili simba ikae sawa.

    • @econmirajifacts5411
      @econmirajifacts5411 หลายเดือนก่อน

      Kama mwaka jana tu azam na simba walicheza mechi zao zote mzunguuko wa pili hiyo ndio tff.

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 หลายเดือนก่อน

    Kila siku mnasema hivyo hamna lolote

  • @BeatriceFirika
    @BeatriceFirika 27 วันที่ผ่านมา

    Tunamtaka mabululu

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz หลายเดือนก่อน +1

    Naomba vyongozi simba aondoe Fred na kibu

    • @BADILIJUSTUS-fs3oo
      @BADILIJUSTUS-fs3oo หลายเดือนก่อน +4

      Ww chizi kweli uondoe kibu Denis ubaki na nani?

    • @michaelkaphipa4354
      @michaelkaphipa4354 หลายเดือนก่อน

      Chizi wewe

    • @BADILIJUSTUS-fs3oo
      @BADILIJUSTUS-fs3oo หลายเดือนก่อน

      Kibu Denis hakuwa na support wachezaji, wachezaji walikuwa kama mabosi wa timu wanacheza wanavyotaka wao lakini pia uongozi hakuwa imara subiria huu msimu utamuona kibu Denis wa kweli kabisa ata ngao ya jamii angeanza ule upande wa barua yanga angekufa uhakika beki za yanga barua hakuweza kuzisumbua zinatumia nguvu sana kibu Denis angeanzia kule ahou au mtale wasingezibitika kwa urahisi na wangefunga magori balua hakusumbua beki za yanga kabisa

    • @anthonymilinga8696
      @anthonymilinga8696 หลายเดือนก่อน

      ​@@BADILIJUSTUS-fs3oo Wewe umeona kibu ni mchezaji yule? Chezaji gani msimu mzima ana goli moja