MAJI YA FURIKA TUNDURU DARAJA YA MTO MUHUWESI HAIPITIKI!!!!!!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.พ. 2024
- Daraja la mto muhuwesi ni daraja muhimu sana kitaifa na kima taifa maana linapitisha bidhaa mbali mbaliza ki ma taifa. Ma taifa hayo kwa haraka haraka ni #msumbiji #congo #Rwanda #Burundi #Zambia #Malawi #China #America na #ulaya pia #tunduruonlinetv #habarika #clouds #tvkusini #tvkusini #azamtvburudan #tunduruonlinetv #tvkusini #diamondplatnumz #alikiba #tanzania #kilimo #kilimoufugaji #tanzaniayetu #2022 #2023 #kwetu
- บันเทิง
Vitus mapunda
Sehemu kama izo ni kutengeneza fry over tu
Ata mimi niliwai kukaa masaa matatu bila kuvuka naomba linyanyuliwe
Huu mwaka kila sehem maafa yapo kikubwa kumuelekea mungu atunusuru mvuwa hizi zinazoendelea
Duuh poleni sana wanatunduru wenzangu
Ahsante sana
Polen sana wàna tunduru wenzang pamoja na wasafir
Ahsante sana
Duh
Wa muhuwesi tujuane,Kampanga family nimekuona ,
Pamoja na kuongeza makalavati mengi yatakayo saidia kipumulia maji ,
Lakini tumtangulize mungu aliye leta mafuliko na ndoatakae toa haya mafuliko ipo sili kubwa ndani yake
Mvua nyingi sana mwaka huu madaraja lazima yafumuke tu
Engenear ambaye aloplan hili daraja alikuwa hopeless kwani alivunja daraja la zamani akaanzisha daraja hili jipya ambalo liko chini ya milima kwenye tambarare
😢
Duuh mbn changamoto serikali ifanye hatua muhim daraja liinuliwe
Jamn viongoz wetu apo wilayan ebu muongee na uongoz wa ngazi zajuu tufanyiwe wepes kidog ilo sio dalaja ni matatizo duh!
Nnje ya mvua wakandarasi wanaofanya kazi zetu hawajakua actv na kazi zao
Ata mimi niliwai kukaa masaa matatu bila kuvuka naomba linyanyuliwe
Wa muhuwesi tujuane,Kampanga family nimekuona ,