Dogo janja, mpenzi ni km maji ya mto, so mwombe Sana Mungu akupe kibali cha kumtoa moyoni, Hawa watu hawanaga huruma kabisa, wana roho ya paka akiamua ameamua, Pole sana Mdogo wangu.
kuna nyimbo waimbaji wanatoa yanausiana na maisha yao binafsi, ama pia maisha ya wenzao ambapo wameyashuhudia, pia wanaimba hali halisia ya kila mwanadamu...... zengine pia msikilizaji anaeza sikiza akatoa machozi...... Bado nina Imani....#ubunifu huo... bali kando na hilo Janjaro unaonekana na msongamano wa mawazo au pia kuna kitu kinakuumiza kwa undani.. kakangu tafuta ushauri wa mtu wa karibu nawe before is too late.... Big up for the great song...#Bado nina Imani....Support from +254
Bonito yes😩😳 sas unahisi tutamp msaad gan said y kuw n sisi kama yeye mwanamke amemkimbia unathan atfny nini ngoj nimsaidie tu maan jinsia moja inawez kudumu I love yuo dogo janja nkupnd san amani kwko tu😢😚😗
Ushauri wangu dogo kaka yangu ukitafta mijimama tafta walio starabika wanaji heshim wanaweza thamini ndoa n.a. wakastirika kinafsi n.a. maumbile naalie mmbora kwako akaijua. Nn thamani ya mune ....so ukupijao ndio ukufuzao i think now u grow up and u learn her lesson ....okay....big up 4 iman song iko juu ajab song......+254🇰🇪
Maskin namuonea huruma hyu dogo yn anaonekana hayuko sawa kabisa amekua mpole anakitu kinamsumbua hayuko sawa anatia huruma dah!!! pole dogo Janja mapenz yanauma najua B STRONG me ni kama dadaako nko kwny situation kama yko ryt now!!! just pray 2God!!!!
Ndo maan wanasem hakuna mtihan mgumu kama ndoaa ndo maan huw wanatoa vyeti kwnzaa na wangesem mtihan enthn vyetii weng wasingetakaa cha msingi ndoa inachangamoto nyingii kilichopo ww pamban my brooo Kuacha mke sio njia ya kusolve tatzo coz unaez enda kwa mwngnee akaw boraa kulikoo Irene
WEEEEEEEEEE ACHA KUMPUMBAZA DOGO .. ACHA DEMU AJIVINJARII KWANI IRENE KALAZIMISHA MTU KUMPENDAAA?? ACHA ALE BATA KWA UZURI WAK NA KIBWENYA CHAKE ANACHIKITEMBEZA ANAKOJUA YEYE.
msaidieni mlioko karibu nae huyo dogo yupo na strees za ndoa japo hajasema lakini uso wake unaonyesha .tatizo la wabongo maneno mengi kujaliana hakuna.
Irene Uwoya Kama kuna michezo michafu unaifanya juu ya huyu kijana hakika unatafuta laana kwa nguvu. Aliyekwambia uolewe naye ni Nani? Huyu n Dogo janja na Kwa Ndikumana je? Irene Irene
Yani namuonea huruma sana huyu kaka anaonekana anaumia sana moyoni yani vile anavyo jibu maswali na kueleza kuhusu ngoma yake kuna kitu kinamsumbua moyoni pole sana
Mwenzi anakla bata wwe unaumia, kama kwel kakizngua uwoya pole sana kjana lkan huklazmishwa na mtu ulitaka mwenye umekorogo miuji amabayo haijaiva vzur na hujawwka skr hunabud kunywa ivyoivyo brow, ulitaka kuish kstaa wakat watoto wazr amambao hawana mambo meng wapo wengi tuu lakn ukajiingza kwenye kna krefu kwa kujiamn et unajua kpga mbiz utakfa kama mv fulan....... Pole sana, kama sio kwel bac hongera kwa kmmlk mtoto mzr,
Dogo Tunakuombea dua ndoa yako idumu lakini Sisi watu wa chuga hatuna ufala aina hiyo mbona kitambo ulikuwa mgumu Sana nao umekuwa Kama mlenda niaje jombaaa wacha Uduanzi weka ndoa yako sawa
Irine nazungumza na wewe jimama ulieshindikana mpaka kwa wazazi wako,kumbuka kuna mungu..kumbuka kuna mwisho wa maisha haya..mkumbuke masogange...then mrudie mungu acha kutumia huo uzuri wako kwa kuumiza viumbe wa mungu waliojitoa kama huyu kijana mtogo..wallah namuomba mungu bora uage kwanza dunia wewe ukachomwe moto huko umuache mtoto wa watu
Jamani mnapoeka hio miziki wala hatuwaskii mkiongea ni mivumo na midundo ya miziki tu ndio inayoskika kwa interview hadi nikata njiani sjaimaliza, naombeni sku nyengine musituekee miziki bc inatuharibu maskio yetu pindi tunapovaa earphones.
Dogo janja, mpenzi ni km maji ya mto, so mwombe Sana Mungu akupe kibali cha kumtoa moyoni, Hawa watu hawanaga huruma kabisa, wana roho ya paka akiamua ameamua, Pole sana Mdogo wangu.
kuna nyimbo waimbaji wanatoa yanausiana na maisha yao binafsi, ama pia maisha ya wenzao ambapo wameyashuhudia, pia wanaimba hali halisia ya kila mwanadamu...... zengine pia msikilizaji anaeza sikiza akatoa machozi...... Bado nina Imani....#ubunifu huo...
bali kando na hilo Janjaro unaonekana na msongamano wa mawazo au pia kuna kitu kinakuumiza kwa undani.. kakangu tafuta ushauri wa mtu wa karibu nawe before is too late....
Big up for the great song...#Bado nina Imani....Support from +254
wewe Irene mungu anakuona kwa unacho mfanyia huyo Dogo mungu hawezi kukuacha salama Dogo njanja don't give up mungu pamoja nawe 😕😕😕😕
Pole dogoooooo ..... Kuna maisha baada ya kuachwa
Pole saana Dogojanja Mungu akusimamie ktk yote
Dogo usipo kuwa makini utamfata ndikumana maana unaonekana auko sawa kwa mawazo tena unaonekana unalia kimoyomoyo msaada waharaka unatakiwa kwako dogo
Dogo unahudhunixha sana I just feeling sorry of u.. But hata me pia yalxhanikuta bro so nipart of life tu..
Fatwima Makungu 🔥🔥🔥🔥
Fatwima Makungu .😂😂😂😂
unachokisema true ndugu huyu dogo ana hali mbaya
Achan nae mdongo Wang huyo malay
Dogo Janja Ww ni kijana Mdogo sn, lakn nimependa Jinsi unavojieleza.... hongera kwa hilo
ndo muwe munakoma huo ujinga et mapezi hayabagui.
na uyo kijana ni wewe mwenyewe na irene ndo mwenye stoli ulomtungia pole sana dogo LOVE IS LOVE BUT LOVE IS DANGER usipouwanika utautwanga m.bichiiii
Dogo janjanja hauko sawa kabisa embu Muombe Mungu akufanyie wepeai
dogo ana hekma sna Mungu awaweke na irene wako
safi sana dogo janja mtu mzma hanyanyaswii bhana
Bonito yes😩😳 sas unahisi tutamp msaad gan said y kuw n sisi kama yeye mwanamke amemkimbia unathan atfny nini ngoj nimsaidie tu maan jinsia moja inawez kudumu I love yuo dogo janja nkupnd san amani kwko tu😢😚😗
I believe inshaAllah u gonna be well don't worry kijana wetu Allah be with u acha stress
Janja never give up on your situation
You are still young and energetic!!
Be strong and move on.................
nakubaliana na ww janja....kuchukua goma kam lile umewakilisa sana kaskazin.tunakubaliiiiii
Pole sana dogo janja nahisi unasiri nzito Sana nahisi unamaumivu makali Sana mungu akusimamie .
Dahhh pole sana Dogo una stress kweli huna furaha kabisa masikini hadi huruma
Dah Dogo Mungu akuokoe huko ulipo.
Jipe. moyo kaka usikate tamaha akuna kitu kikumbwa duniani kama matumaini usijali hiyo. Niupebu itapita bahandaye itaicha
🌼🌹🌹🌿
Sasa hii iliokotwa wapi😕
Huwa napenda wasanii mkiumizwa coz huwa inawafanya mtoe ngoma Kali, Kuwa makini na mapenzi dogo
Ushauri wangu dogo kaka yangu ukitafta mijimama tafta walio starabika wanaji heshim wanaweza thamini ndoa n.a. wakastirika kinafsi n.a. maumbile naalie mmbora kwako akaijua. Nn thamani ya mune ....so ukupijao ndio ukufuzao i think now u grow up and u learn her lesson ....okay....big up 4 iman song iko juu ajab song......+254🇰🇪
Janjaro achana na hilo limama Irene tunajua anakupa stress ila unaficha..huyo ni kahaba yu r too young to deal with that harlot...rip ndikumana
😀😀😀😀 trueee
Atakufa uyo naye
Sijui alijingizaje huko wakati umri mdogo
@@glorygadielmshana1070 😂😂😂😂😂😂😂👊😂😂😂😂👊
KENYAN LADY
Nimekuonea huruma mdg wangu Jipange upya acha kuwa na mawazo. Mabaya songa mbele Mungu atakusaidia, utapt mwanamke wa ujana wako
nakupenda Dogo Mungu awe naww
yaani kaa utulie tu my dr Mungu yu pamoja nawe
Mwenye macho haambiwi tazama dogo kashaachwa ajipange upya pale kachemka kiukweli mtazamo wangu
Kokuteta Doreen p
Dogo janja njoo kwng ntakupenda kwelii
Dogo sura haifichi na macho hayadanganyi
Jicheki xanaàaa dogo love sio lazima Yule ni material
Gonga like kama unakubaliana na janjaro
HAHAHAHAHAAAA KWENDAAA UKO
Goody Alphonse 😂😂
Good
dogo janja pamban
pw
Pole sana janjaroo jipe moyo bro
Maskin namuonea huruma hyu dogo yn anaonekana hayuko sawa kabisa amekua mpole anakitu kinamsumbua hayuko sawa anatia huruma dah!!! pole dogo Janja mapenz yanauma najua B STRONG me ni kama dadaako nko kwny situation kama yko ryt now!!! just pray 2God!!!!
Ndo maan wanasem hakuna mtihan mgumu kama ndoaa ndo maan huw wanatoa vyeti kwnzaa na wangesem mtihan enthn vyetii weng wasingetakaa cha msingi ndoa inachangamoto nyingii kilichopo ww pamban my brooo Kuacha mke sio njia ya kusolve tatzo coz unaez enda kwa mwngnee akaw boraa kulikoo Irene
Dogo Sura yaonyesha sana una msongo wa mawazo mengii lmani itakusaidia lnshaallah.
Polesana kwahoma ukiumwa niiba jambolakumuomba mungu tu
MHHHHH
pore dogo hila jipe moyo kunawakati mtu unakata tamaa hila muombe Mungu Ndiyo kila kitu
Dogo
Pole nahongera sana mdogo wangu umezungmza vizury sana nakwahekima kubwa mungu nimwema sana
Mdogo wangu nakupa ushauri tu siku nyingine ukome kutembea na mamazako
wilonja hatua hey
Haahaa....
😂😂😂😂
Hahaaaa...
Mapenziiiiii
We bado Chalii mdogo hebu acha ayo mambo yatakuaribia maixhaaa
Ulikurupuka acha ujinga muombe mungu akuepuxh nailo jimama
Pole sana dogo Ila nilikushw ukipata nafuu nitafute nipo kenya
pole sana janjaro imentokea kakaako
Umetisha mpenzi D.M
masikini dogo wakimtaja mkewe anakosa amani kabisa.pole dogo
pole sana jamangu dogo jaja
Dogo janja ulikuwaa mzuri sana
Såsa umezeeka hadi huruma
Naomba nitoe ushauri tuuu. ..
Interview inatakiwa isikilizwe bila sauti ya mziki. Inatibua kila kitu 😩
kitu kinacho niudhi ni hizi sauti
kibongo bongo kweli mziki unaboa
UMENGONGA NDIPO
Sahihi maneno yako hatusikii kitu
N
Mackin dogo uko na mawazo Pole mungu atakujalia kupata mke mwema
Pole sana ndugu mapnz mabaya
pole but never give up. MUNGU yupo nawe 1 day yes
Masikini nimeumia jamani anaonekana anamengi kweli ila anajizuia pole kaka mungu akupe Imani katika hilo
pole sana mdogo angu acha streets nakupenda sana
Hapo ni yeyey hataki tu kuweka wazi pole janjaro mungu akunyoosher yote katika safari ya maisha maana umepata mtihani
Dua kwa dogo janja jamaa na marafiki.Jamaniii🙏
Polesana janjaro njoo kwangu nikuliwaze achana nahilo gubeli yule asharifiki kama mchuz wamagoz na itakuwa ndo kawaida yake kuuwa wanaume kwa laana za ukahaba punguza mawazo atakuuwa allah atakuongoza na utapata mke alokuowa ns kher nawewe muache adange shetan yuko ktk kampeni
Pole kwa ndoa
WEEEEEEEEEE ACHA KUMPUMBAZA DOGO .. ACHA DEMU AJIVINJARII KWANI IRENE KALAZIMISHA MTU KUMPENDAAA?? ACHA ALE BATA KWA UZURI WAK NA KIBWENYA CHAKE ANACHIKITEMBEZA ANAKOJUA YEYE.
msaidieni mlioko karibu nae huyo dogo yupo na strees za ndoa japo hajasema lakini uso wake unaonyesha .tatizo la wabongo maneno mengi kujaliana hakuna.
Ukome
AHAHAHAHAHAHAHAHA
Dogo don't let stress take over ,vumiliyatu and remember God is able..
Joyce mashikolo. mungu amxaidie
Anashikitisha sana wallah daa mola akupesbraa mutihani mtt wakiume kazana
Irene Uwoya Kama kuna michezo michafu unaifanya juu ya huyu kijana hakika unatafuta laana kwa nguvu. Aliyekwambia uolewe naye ni Nani? Huyu n Dogo janja na Kwa Ndikumana je? Irene Irene
Shangwe Fisima ndikumana alisema kwamba mama krish ataniua na nikifa atakuwa maarufu sana.akumaliza wiki akafa.nayote yametimia.dogo kuwa makini
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHA WEWE NINI WEWE ACHA WATU WAPAMBANE NA HALI ZAOOO AHAHAHA
Ulijichanganya kwa wadangaji maarufu tanzania / ulitengemea nini ( HELA KALA ULE MAMA THEN AMEKUACHA UNAUMWA ) duh wadada wa dar ni hatari
asante dogo umeimba kwa hisia,hata mm imenigusa..
Yani namuonea huruma sana huyu kaka anaonekana anaumia sana moyoni yani vile anavyo jibu maswali na kueleza kuhusu ngoma yake kuna kitu kinamsumbua moyoni pole sana
inakuaje mwanangu mbona sauti ya ngoma tu rekebesha kbs siku nyingine aanza kusikiliza interview kabra ya kuyi post
Ushauri wangu dogo janja tafuta mwanamke mwingine achana na irene
Mwenzi anakla bata wwe unaumia, kama kwel kakizngua uwoya pole sana kjana lkan huklazmishwa na mtu ulitaka mwenye umekorogo miuji amabayo haijaiva vzur na hujawwka skr hunabud kunywa ivyoivyo brow, ulitaka kuish kstaa wakat watoto wazr amambao hawana mambo meng wapo wengi tuu lakn ukajiingza kwenye kna krefu kwa kujiamn et unajua kpga mbiz utakfa kama mv fulan....... Pole sana, kama sio kwel bac hongera kwa kmmlk mtoto mzr,
Pole Sana dogo lakini nikuombe tu kitu acha mawazo sahau yalio pita japo ni vigum kukubali jaribu kuachana na huyo mwanamke
Dogo janja endelea kuwa msiri lakini ww mtt unapata tabu😭kama c kudhulumiwa kimziki basi ni mapenzi☺
Hahahahaa
Jamani Jamn..dogo hayuko sawa IPO siku watu watajuta kutompa ushauri ili aachane na lile jimama atakufa kwa bresh au anywe sumu
haki mapenzi yanaua hasa kwa mtu uliyempenda kwa dhati akutende duuuh janja hata uso una onekana anatoka kulia jamani pole sana kakangu
I feel u janjaro, wanaume wa tz wooooooooooooote kujieni wanawake Kenya achana na Malaya wa tz wanawahadhaa tu wanawatumia hela shikiisha wanaondoka
Sema background sound sio muhimu inatia kelele
Dogo Tunakuombea dua ndoa yako idumu lakini Sisi watu wa chuga hatuna ufala aina hiyo mbona kitambo ulikuwa mgumu Sana nao umekuwa Kama mlenda niaje jombaaa wacha Uduanzi weka ndoa yako sawa
Irine nazungumza na wewe jimama ulieshindikana mpaka kwa wazazi wako,kumbuka kuna mungu..kumbuka kuna mwisho wa maisha haya..mkumbuke masogange...then mrudie mungu acha kutumia huo uzuri wako kwa kuumiza viumbe wa mungu waliojitoa kama huyu kijana mtogo..wallah namuomba mungu bora uage kwanza dunia wewe ukachomwe moto huko umuache mtoto wa watu
wengi wamepitia hyo iko siku utasahau Inshallah mungu yuko nawe
Swali langu. Ivi usipotokewa na kifo tunasema mwenyezi mungu kukupenda. Ivi waliokufa Mungu hawapendi?
Nakukubali sana janjaro
Pole. Kwa. Maumivu. Dogo
Subscribe kwenye chaneli yetu bonyeza picha itakuleta kwenye chaneli yetu kucheki ubuyu habari zoote za instagram , comedy na filamu zetu asanteni
Gonga like kama unamkubali dogo janja
MPE neno moja Janjalo naanza mim namkubali sana janjalo
Maskini dogo mpaka huruma,, hivi dogo hapo ulianguka mwenyewe ama ulisukuzwa,,, ila Irene ndiku alikufa,,, na janja akifa hatuta kuacha salaama
lol! ungeliweza wp hilo gumegume.. pole dogo
Pole Sana Dogo janja
Pole sanaa dogo
Unatia huruma mungu akutie nguvu
Imani iko poa xna
Pole dogo ongea yako unaonekana bado unaumwa pole sana
dogo pole sana unaonekana unaumwa ongea ako
Gaha kiki tu.
Na kama ukweli shiba.
Mung akulanz mahala pema isha allah .kaka amadi katauti.
Imana niyo nkuru gusa
Pole mdogo wngu
nimekuelewa sana mwenetu imani kitu muhimu sana nami nimepitia makubwa
Mapenz yanakutesa sana dogo uso umepooza yaani kama umetoka kulia
Hio..nyimboo..umeejiimba..mwenyewee..dogoooo...
Jamani mnapoeka hio miziki wala hatuwaskii mkiongea ni mivumo na midundo ya miziki tu ndio inayoskika kwa interview hadi nikata njiani sjaimaliza, naombeni sku nyengine musituekee miziki bc inatuharibu maskio yetu pindi tunapovaa earphones.
Wa kwanza ku comment pole dogo.
Yani ndoa ya dogo na irene haipo kabisa maongezi yake tells it all pole bro....ila na irene hamuendani kabisa ule tabia kama kina tz sweethrt aisee
Pole
Perry Benson @
Dogo analia maisha haya wanawake ni rafiki yako wa karibu lakini ndio adui wako wa karibu
dogo kaza usjal wala uspanik kaa tulia uweke mipango yako sawa kwan hii ndyo dunia yetu
kwani warembo wazuri Uwaoni kitaaa mpka unatembea na jimamaa njooo humu Chuga Umchukue mdogo wangu milka
Mtafutaji Hachoki nimechekaa mnooo
Fact Joyce
pole xana
Chalii unaakil sana 👊🏾
HAHAAAHAHAHA UKO SERIOUS..???
Goody Alphonse yaaah ndo vile mwanaume unatakiwa ujibu man
Alicho fanyiwa Ivan na Hamadi ndikuman ndicho wafanyiwa ww ila pole kaka Allah akutangulie na akupiganie ushinde mitihani Amiin
Rafiki mwanaume ni kujikaza
Ukiwa na kitu kinakusumbua rohoni kitoe usiogope mtu utapata nafuu sana hakuna asiekosewa wala kukosa,
achana na irene tafuta size yako dogo janja
pole janjaro aupoxaw kabixa yan