SIKIA MFANYABIASHARA ALIVYOMTULIZA RC CHALAMILA KWA NONDO ZAKE KUPINGA SOKO LA SIMU 2000 KUPEWA DART

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

ความคิดเห็น • 12

  • @SuzanGabriel-tp2cx
    @SuzanGabriel-tp2cx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Heri ya kijana masikini mwenye hekima, kuliko mfalme mzee Mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 หลายเดือนก่อน +2

    Samia hawezi kuwasaidia chochote niamini mimi labda mnemgekuwa mnamshauli kuuza maliasili za tanganyika au kukopa au kusafili na ndege hapo angewaelewa

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo serekali inafikiria watanzania bado tupo mwaka 1985.
    Kila sehemu wanapewa wageni hata kama halina faida na wananchi.
    Raisi anacho kisema na serekali inavyo tenda havifanani!!! Swali nani anaiongoza nchi???

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 2 หลายเดือนก่อน +1

    Samia anateua takata maannhazimsaidii

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 2 หลายเดือนก่อน

    Kada kindaki ndaki wa chadema, anaitwa Mussa Ndile.. graduate wa ifm,,, IT

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 2 หลายเดือนก่อน

    Sio haki kumvisha kila jukumu Mkuu wa Mkoa. Mambo ya Masoko yanaweza kumalizwa na Halmashauri zinazohusika. Wamuache Mkuu wa Moa afanye kazi zake nyingine

    • @SuzanGabriel-tp2cx
      @SuzanGabriel-tp2cx 2 หลายเดือนก่อน

      Kazi gani hiyo ndiyo kazi yake moja wapo

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 2 หลายเดือนก่อน

    Sheria kufuatwa ndio njia pekee ya kuleta maendeleo na amani katika nchi yetu.

  • @BartonMwakyejo
    @BartonMwakyejo 2 หลายเดือนก่อน

    Nime ipenda hiyo hichi kizaz ni cha ZAHABU tu amke haki haiji kiwepes

  • @KarumeKindamba-lk1px
    @KarumeKindamba-lk1px 2 หลายเดือนก่อน

    Ongela mkuu wa mkoa kwakufaham wamachinga wanaweza kuwa walipakodi wazuri kuliko wanaoitwa wafanyabiashara.Kwahiyo niwakati wakuwa na machinga city.Mji ambao utakuwa na huduma muhimu kama maduka ya jumla, kituo cha mabasi n.k.Kumbuka mmachinga haitaji kujengewa masoko ya ghorofa

  • @shd12m55
    @shd12m55 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna haurudi tena wewe 😂 ndio tabia yako kutuacha njia panda

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน +1

    RC Hii kazi imemshinda kazi yake ni porojo tu soko la mabibo limemshinda 😂😂😂😂😂 kabakia kuunga juhudi tu.