Upendo Kwaya (Choir)(Ngara Kagera) - Jenga Juu Ya Mwamba (Official Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Hii Ni #KwayaMpya Iliyojinyakulia Ushindi Katika #Kwayazainjili2023 Mwanzoni Mwa Mwaka Huu, Ni Kwaya Yenye Kukutia Moyo Na Kukupa Nguvu Nyingine Zaidi Pale Ukiwa Katika Hali Ya Wasiwasi Lakini Hata Ukiwa Katika Hali iliyo Shwari, Usipitwe Na Mazuri Mengi Kutoka Katika Channel Hii, #Subscribe Na Weka Notification On Ili Uwe Wa Kwanza Kupata Habari Katika Channel Hii Kila Tunapo #Post Videos Mpya.
Niko ndani toka Kenya nipee like nijue tuko wengi tukifuatile style za ajabu huku
Baraka zikawe juu yenu
Muandishi wa habali ujielewi kweli yan sasa gumzo ipo wapi au Cha ajabu kipo wapi chizi kweli weww
😂😂😂😂
Wenye mmefungua kuona style zenye gumzo rise up tujuane😅😅
Mimi pia
Tz ina watu wa ajabu sana 😅😅
Tuko wengi sana
Mimi hapa 🇰🇪😀😀
Htr
Sawa style za ajabu zikoapi hapo🤣🤣😂😂😅😅😆😆; mbarikiwe Sana wanakwaya wimbo mzuri sana
Enyewe hamna style hapo bt wako sawa kapiza.style tuachie aict negro geita nyarusugusu.🇰🇪
Style za kawaida tu. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakiitwa wa style kali hao hawaoni ndani ng'oooo
Vile nlikuja kwa kasi 🏃 kuangalia style za Ajabu Kama nawewe umekimbia Kama Mimi tupeane Pole
Waimbaji wapendwa, huu ni wimbo wa msingi! Umeleta matokea makuu katika kujenga imani za walio wengi. Yesu Kristo ni mwamba wa kweli jana, leo na hata milele. Shetani amepata changa moto na wajumbe wake. Haya twendeni na silaha zote za Mungu zitiwe mafuta.
Amina
@@cocomapicha saf Sana Wana wa mungu
🙏 NAKUOMBA BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Waandisha wa kichwa nimabwege japo wimbo mzuli laki watumishi mmekuwa waongo sana
Hongereni. Ni wimbo mzuri. Mbarikiwe.
Nzuri sana nyimbo hiyo ongela
maneno flani hvi ya kumtukuza Mungu..barikiwa sana
Nimetafuta style za ajabu hapa na nimepewa 😯😯😯😯ng'oooo!!
Jamani waandishi weeeeh mtatuonyesha mambo
Hehee!!! Ivi ni pekeangu nmekuja kuona style za ajabu😀😀😳
Na mm🤣🤣🤣
Ninavutiwa sana na wimbo huu. Bwana Mungu akubariki.
Woouu so nice naona wanarika ndani which is good shikilia hawa wanarika waendelee kueneza injli it's 👍. Wapy likes zao.
Mwimbie Mungu kadri ya uwezavyo cheza kwa Mungu kadri uwezavyo
Kweli je injili ni viashara tangazeni injili sahihi bila kutarajia chochote kwa watu
Wimbo mzuri sana,pia yesu ni mwamba imara usiotikisika
Mungu tufundishe tujue namna ya kukuimbia maana dunia imejaa mambo
Mungu anaimbiwa au anaombwa?
💃💃💃🤗 🤗 chenga juu ya mwamba nyumba itasimama 🙏🙏
Ongeren sana wimbo mzuri tu
Mbona wabovuu sanaa
Jenga juu ya mwambaaa....... daaahh penda sana swagaaa hizi.nabarikiwa aseee
New vibes new style
Kweli.mpo.vzr.mungu.azid.kuwaendeleza.ivi.ivi
Nyimbo nzurii barikiwaa wanakwaya
Sawa nimeona style nyingi,
Hila nyimbo ninzuri sana.
🙏 NAKUOMBA BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Kucheza mbele za Mungu siyo dhambi kwahyo sijaona style za ajabu hapo ww tu ndo uandishi wako wa habari ndo wa ajabu
😀😀😀😍😍🙏mmejuwa kuza vyimbo watu wa mungu
Mimi hapa nimelizo
Upendo choir...Angrican Ngara mjini👏👏
Heko sana mwapendeza😘😘😘
Wakosawa mungu hawajarie kipanji zaid
Nimepata kitu najenga juu ya Yesu nisitikisike daima
Nawapenda sana,Mungu awabariki sana
Utajifunza kitu wapo vizur
style sio za ajabu ,ilani nzuri na wimbo unabariki
sijaona maajabu kabisa kila kitu ni cha kawaida tu
ninajua maajabu utayaona wakati wakuta kwako dipo utaikumbuka injili yote ulio hubiriwa
Mbona wameimba na kucheza vizur tu mim cjaona cha ajabu hapo
Nawapongeza kwa wimbo mzuri mungu awabaliki amin
Safiiii, nimependaaaa
Upendo choir ngara big up sana
Wimbo mzuri mungu awape nguvu zaidi
Yeah
Kweli ni stely zahatal by elia
Nzuri sanaa👍😍🥰
Tliokuja kuona hizo stail za ajabu tujuanee
Acha tu kilichonifanya niprey nyimbo hii ni stail za ajabu sasa mmmmh
@@rehemamwazembe2257 😂😂😂😂
Namimi nimo
Nimekamatika nilikuja kuona stly za ajabu
Ahhh jmn ila si tume enjoy?
Nakujia style za ajabu but sioni 😂😂big up wanakwaya
Nikweli kabisa hata Mimi nakusaport hawa jamaa wanaweza wakakuharibia cku kabisa
Sijaona style ya ajabu mimi
Hakuna style za kushangaza hapo.
Jamani waooo najihis nipo paladso
Baada ya apostle Harry kushare nasi kwenye mtandao wa whatsapp nilikimbia hapa mbio..... My salutations from 254 Tasia ❤❤❤
M'barikiwe sana 🙏🏼🙏🏼
Mwandishi mwehu wew
Yeah hizo style zimeweza Sana😂😂😂
Aliefuata style za ajabu tujuane kwa likes 😂😂🤣
nipo
😂😂😂✋✋
Nafanya kuesabu dakika kuona stail iz kumbe imeisha😅
😂😂😂
😂😂😂😂
Hakika ni wimbo mzuri
Nzr saaana
Mungu aendelee kujaza vipawa mlivyonavyo Amen nimebalkiwa
Mungu awabariki Sana upendo kwaya Ngara mjini from nakatunga
Nawapa hongera mungu awabariki
Daaaah wamecheza vzr
Mungu awape nguvu wapendwa
Wapo vizuri sana
Mwamba ni Yesu mubarkiwe
Mungu azidi kuwainua
🙏 NAKUOMBA BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Tumikeni madam mnanguvu💐🌹🥀🌷🌺💱👏
Wenye Chanel mnasikitisha sana kwa maneno mnayoandika bila yakutafakari kuwa hata sisi watazamaji tunaangalia na pia tuna uwezo wakutambua,wamefanya kazi yakumtukuza Mungu wao,wewe umefanya nini kwa Muumba wako.
Hizo style za ajabu sasa ,ebu nami mnipe like zanu😁😁
Nzuriii, Nimeipenda
Mungu awabaliki waimbi hawa
Hongeren san kway
Doo! Anyway sawa ni style za ajabu
Nimefata kuamgalia stail mpya hats sijaona cha ajabu
Wimbo mzuri hila mwatafta nini kweli shauli yake sijaona styli mpya
Very beautiful and melodious voice . God bless you abundantly. AMEN
Amina kubwa xna
Nzur sana Asante Sana God 🙏🙌
Kichwa cha habari ndo kimenileta...khaaa
Nzuri!
Hongereni kwa wimbo
Acheni utani wa kumtania Mungu
Sema Hicho Kichwa cha Habari Kimewapa Viwers Kirahisi Sana😅😅😅
Sana
Ulicho SEMA ni kweli kabisa
Yap,, na sioni hizo styles ,, ama ziko wapi??
Muogopeni MUNGU watumishi
Hongereni saaana ndugu zangu
Mh! Za kawaida sana
Nimebarikiwa kupitia wimbo huu
Mungu ni mwema
Ahsante Kwa Mchango, Karibu
Hongera sana
Azionekan mbna
Zakawaida sana mbna
Staili za ajabu ziko wapi Sasa? Badala ya kusemea ujumbe uliopo kwenye nyimbo unaandika.... Wimbo mzuri wenye ujumbe
Ujumbe mzur
Mungu awabaliki
Mbona mnapenda mambo ya kisenge nyie waandishi
Kweli nimejionea style ya ajabu🤣🤣sijaambiwa
Kwaya nzur
Kweli syle ni za ajabu 💃🕺💃🕺
Mbona sioni style😭😭
Kama upepo mnatuvuta tu hayaah
we mbona style za kawaida 🙌
Wala sio staili za jabu mkuu, mbona kawaida sana
Nyimbo ya kiroho harafu mwandishi wa habari mpagani mzuri tu hata shetani anajifunzia kwake
Sorolist anapanga vzr sauti ,waitikiaji hawapangi sauti sio poa
Ila mwimbo mzr mnoo