Mim nimwana Simba ila chama Sina ibaya naye nisehem ya Kaz naomba nikutakie kazi njema mungu awe pamoja nawe kwenye Tim yako mpya ya Yanga.Simba nguvu moja 🙏🙏🙏
Hongera sana Chama kwa kuwa na maneno machache, cc fans wa Yanga tunakuombea kheri na kwa sababu tunakuamini tarajio letu hautatuangusha, Kila lenye kheri likawe pamoja nawe
Karibu sana Mwamba umekwisha pendeza tyr huna baya lolote. Karibu sana ingia hadi uvunguni kabisa. Kwa mara ya kwanza nakuona unacheka, kumbe shida zilikufanyaga uwe kama umeng'ata ndimu kila mara. Na sasa vumbua designe nyengine ya ushangiliaji ili tuendelee kupata raha😂😂😂
Mana simba tunakupenda na bado tutaendelea kukupenda hautuwezi kusahau kwamengi mazuri ulio tutendea itoshe2 kusema kila lakheli uko ulipo upate mafanikio zaid
Mim nimwana Simba ila chama Sina ibaya naye nisehem ya Kaz naomba nikutakie kazi njema mungu awe pamoja nawe kwenye Tim yako mpya ya Yanga.Simba nguvu moja 🙏🙏🙏
MUNGU ni mwema hongera Sana Chama kila la kheri kazi njema barikiwa Sana Yanga
karibu jangwani mwamba utengeneze history zaid. ya hapa. ❤
Waoo karibu sana and all the best dear
Wao unamta uyochama
Au nin
Karibu sana jangwani
Tunakupenda pia ❤❤❤❤❤❤ karibu sana chama
Karibu Sana Tena Sana Mwamba you're welcome all the best be blessed shalom
Mwamba kabisa welcome to our team🎉
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉tunakupenda piaaaaaaaa
Hongera sana Chama kwa kuwa na maneno machache, cc fans wa Yanga tunakuombea kheri na kwa sababu tunakuamini tarajio letu hautatuangusha,
Kila lenye kheri likawe pamoja nawe
ahsante mungu karibu sanaa
welcome ⚽ team. yellow & Green.🎉
Lazima upewe maua yako🎇🎆🎇❤❤👏👏
Karibuu kwenye timu ya wajanjaa aseee💛💚💛
God bless you brother 🔥🔥🔥🔥🔥🌻🌻🌻
Makolo wataipita hii kama wanaaga maiti 😂😂😂😂
Hapo cha ajabu nini..si mlisema mnamtambulisha na jezi mpya..ndio hizo???
@@rahimmarions5712 tatizo liko hapo ulipoleta makasiriko kolo wewe
@@rahimmarions5712hayawahusu😮
Wenye tunaàngalia na meno😅😅
Chama. Ni. Wetu. Kutesa. Ni. Kwa. Zamuu. ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉❤
Karibu sanaa💚💚💚💚💚
Triple C ataacha historia nzuri kwenye soka la Tanzania, katika historia hiyo atakumbukwa zaidi kwa alichokifanya SSC
Karibu sana
Kalibu Mwamba
Kwa hyo unawapenda wananchi??Simba unatuchukia co??
karbu baba
Tunakupenda pia.
Cool mwamba you born to play football
Karibu sana mwamba❤❤
Aseh blood utulie please usjefukuzisha viongozi brother tulia jangwani naimañ tutafik mbali 🎉
Karibu sana Mwamba wa lusaka
Hatali Moto faya kalibu Sana mwamba tunakupenda sana
Welcome mwamba ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Karibu jangwani❤❤❤
Hauna tofauti na mwanasiasa ushaleft group la wanaume umeingia nyuma mwiko
Karibu mnoooooo MWAMBA wa LUSAKA
Wakwanza mm leo like please ❤😂🎉
Nilikuona wa maana kumbe shoga tuu
Karibu sana mwamba wa lusaka
kalibu sana ila mbona kiti kina langi nyekundu
Mm cjapenda iyo rangi ya ichi kiti apo juu dah😅😅😅
Nguvu moja malzia 😂😂😂😂
Karibu sana mwamba
Karibu mwamba wa lusakaaaaaa🎉🎉🎉🎉
Mbona kwenye hicho kiti kuna red kwa juu😂😂
Ni fireeeeeeee 💥💥💥
Kwenda mbwa chiba mzee umezeeka mpaka mavuzi nenda kwa wazee wenzio wa tasafu shoga wew
Wewe sio mwamba tena, wewe ni the hard Rock hii ina maana zaidi.
Mwamba wa Lusaka🔥
❤❤❤au bachiiiiiiii
Karibu mwamba warusaka
Toka Apo nauwo uzee
Mwamba karibu sana
Tukutane uwanjani bro ndo watajua tofauti ya WANAUME NA MAKINDA
Pamoja sna
Mwambia huyu hapa💥
Wa Lusaka huyo🎉🎉🎉🔥💚⭐🔥⭐💪💚🔥🔥🙏🤲
Karibu mwamba wa lusaka triple C kwenye klabu ya makombe mabingwa WA kihistoria
Ni balaaaaaaa
😂Uwanjani Sawa Baba Chama
Miaitwa chama nani asiekujua mapi😅
Hongera chama kwa usajili bora karibu sana Yanga
Safi mwamba 🎉🎉🎉
Triple C mwamba wa Lusaka 🔰
nimependa rangi ya hicho kiti
Your mostly welcome. Feel at home. We love you so much 🎉🎉🎉🎉
Msenge www
Uyu jamaaa analeta zalau anakujua anakoenda au😡
Ila hiyo rangi ya kiti sijaipenda
tafta hela kija kumbuka mcheji hana.tim popote anaenda ila.aache maneno mengi
Hiyo kauli ya mwisho,ametangaza vita...watalambishwa nyasii mpaka waseme basii
xafi kaka
Karibu jangwani
karibu penzi jipya ila uta weza kulisahau lile là zamani kweli ????????????¿???😢😅
Karbu sana jangwan
Karibu sana mpenzi wetu😂😂❤
Asat
Karibu mwamba
"Tukutane uwanjani" kazi ipo
😂😂😂oyaaaa kafanye yako
Karibu MWAMBA WA LUSAKA....❤❤❤
Inauma hyoo
Msalit mkubwa
ata sisi wapenzi wako tunakupenda sana triple C
Kilaa la kheri pigaa kazi
kalimbu san chama yanga
Mpenzi wenu😂😂😂😂😂
Karibu sana Mwamba umekwisha pendeza tyr huna baya lolote. Karibu sana ingia hadi uvunguni kabisa. Kwa mara ya kwanza nakuona unacheka, kumbe shida zilikufanyaga uwe kama umeng'ata ndimu kila mara.
Na sasa vumbua designe nyengine ya ushangiliaji ili tuendelee kupata raha😂😂😂
Ngapi ukooo😂
Mbona rogo ya YANGA nyekundu kwenye kiti
Mana simba tunakupenda na bado tutaendelea kukupenda hautuwezi kusahau kwamengi mazuri ulio tutendea itoshe2 kusema kila lakheli uko ulipo upate mafanikio zaid
Kuma mmojaa
Tuna kuamini saana mwamba
✊🏽✊🏽✊🏽
karibu nyumbani kumenoga baba ❤❤
umependeza na jezi kalibu jangwani 💚💚💚💛💛
Tunakupenda piya💚💚💚💛💛💛
Mungu akutunze mwamba
Utarudi tu kama ulivyorud berikane
Chama kumbe huwa unacheka😅
Mwanacham
Eeeeeendraaaaa umedheeeeeka chama
Karibu jangwani chama tunataka ushindi tuuuuu
Atasisi tunakupenda
karibu sana mwamba walusaka 💪💪