NAAMINI HAUTAJUTA KUTAZAMA NA KUSIKIA UJUMBE HUU... karibu sana mpendwa! Usiache kushare like... Pia weka coment Yako ya Baraka hapo ili tuipitie... Asante na Mungu akubariki sana 🙏🥰
Kweli Mungu hajaacha kumimina vipawa kwa wanawe. Hiki Sasa ni kipaji asili/original. Kumbe twaweza kosa kucopy wengine tukawa sisi na Mungu atukuzwe na watu wabatikiwe na alichotupa!! Mtumishi Chilolo Yona Barikiwa na uzidi kuinuliwa na Mungu
Kupitia huu wimbo please God niambie tu zamu yangu ni lini kama kuomba nimeomba nimefunga sikia tu nipanguze machozi tu haya machozi ya uchungu nimechoka kudharauliwa😪😪😪
Video nzuri kabisa naombea kila mmoja Mungu awabariki sana 🙏 hawa vijana wamecheza vizuri malaika wa ulinzi awe nao awaepushe na hiki kizazi wakati wa Mungu ukifika atawabariki endelea kumwamini sending love from Capital of Africa Kenya ❤
Ujumbe 🔥🔥mwimbaji🔥🔥 studio🔥🔥 producer🔥🔥video🔥🔥 diractor 🔥🔥 dancer's 🔥🔥 GAIRO 🔥🔥🔥💥💥💥💥💥"msitunyanyase anaetoa ni mungu na wakati ukifika hazuiwi na mtu" hivi mnanielewa nyieee kina fulanii? my favorite song brother chilolo next level
Jamani Mungu tu niambie zamu yangu ni lini😭😭😭 Kila nikiskia huu wimbo natamani nilie jamani😭😭 Mungu nikumbuke tu🙏🙏 Yona ubarikiwe sana, huu wimbo umebeba majibu yangu, Mungu akijibu nitatoa ushuhuda🙏🙏
Wonderful big proud of you 🙏🙏🙏 tu nashukuru kwa ujumbe wenye mafundisho mazuri katika maisha ya kibinadamu,, kwa maana umenena ukweli, hasaa mambo haya kwenye maisha ya binadamu yapo, tu nashukuru kwa message send ✍️✍️✍️ Mungu Akubaliki 🤝🤝🤝🤝💐💐💐💐💐
@KarenKetura. My Rev i never regret knowing you, your such a wonderful Woman of God, u always introduce me to anything good, anything good u always share, waaauuu! I'm real Blessed this morning such a wonderful msg, may God take you to another level Man of God Mr Yona , may this music be an international, may the Almighty God expand your territory and favour of God be with you whenever u go mob ❤❤❤ from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪, good things wilk always follow you, so happy with what your doing such an Amazing song 😊😊😊😊
Next time wewe comment wacha Story mingi sijui your Rv Karen Hiyo nisiri yako dada mtu Akishare kwako ,,,, just support huduma ya Man of God.sio kila mtu anajua @Karen ketura ndio amekuleta kwa You tube...heri ule mtu uletwa na Ufunuo.
@@janetkanongo3265Are u here to teach people how to comment???? I didn't have any idea on that, If so then I'm very much sorry Madam Teacher, i think I have to attend classes on how to comment on people pages.
Najiuliza hii nyimbo mbona haijawa top of the town ... Nyimbo kali san sana .. ilifaa iwe hit song.. nataman ufanye kitu nyimbo hii inabid iwabariki wengi
NAAMINI HAUTAJUTA KUTAZAMA NA KUSIKIA UJUMBE HUU...
karibu sana mpendwa! Usiache kushare like... Pia weka coment Yako ya Baraka hapo ili tuipitie... Asante na Mungu akubariki sana 🙏🥰
Personally am blessed 🙌 😇 🙏🏼 keep pressing your turn is coming 🙏🏼 🙌 💪 sending love ❤️ from Capital of Africa
🙏
Kweli Mungu hajaacha kumimina vipawa kwa wanawe. Hiki Sasa ni kipaji asili/original. Kumbe twaweza kosa kucopy wengine tukawa sisi na Mungu atukuzwe na watu wabatikiwe na alichotupa!!
Mtumishi Chilolo Yona Barikiwa na uzidi kuinuliwa na Mungu
Halleluyaaa
Amen ❤❤❤
Gongaaaa like nyingi kama unamkubali chilolo
🙏🙏
Kupitia huu wimbo please God niambie tu zamu yangu ni lini kama kuomba nimeomba nimefunga sikia tu nipanguze machozi tu haya machozi ya uchungu nimechoka kudharauliwa😪😪😪
Ameen
Mungu Yuko
Zamu zetu zitafik tuu mungu yupo nasii
Hiyo Kali sana mtumishi keep up brother yona hongera ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Asante Sana
Video nzuri kabisa naombea kila mmoja Mungu awabariki sana 🙏 hawa vijana wamecheza vizuri malaika wa ulinzi awe nao awaepushe na hiki kizazi wakati wa Mungu ukifika atawabariki endelea kumwamini sending love from Capital of Africa Kenya ❤
@KarenKetura. My Love to his song's i never get tired of listening to his song's, they all have a very strong msg,,,,,🙏🙏🙏❤❤❤
AMEEN AMEEN
@@janeatjaneat6599 ❤️❤️❤️much humble dear God's grace is sufficient we thank Him 🙏🙏♥️♥️ blessings queen ❤️❤️❤️❤️🌹
Ameni nyimbo nzuri sana yenye ujumbe mzuri sana
Babaa niambie na mimi zamu yangu ni lini?🙏🙏
🙏🙏🙏
Ujumbe 🔥🔥mwimbaji🔥🔥 studio🔥🔥 producer🔥🔥video🔥🔥 diractor 🔥🔥 dancer's 🔥🔥 GAIRO 🔥🔥🔥💥💥💥💥💥"msitunyanyase anaetoa ni mungu na wakati ukifika hazuiwi na mtu" hivi mnanielewa nyieee kina fulanii? my favorite song brother chilolo next level
Ameen...Mungu akubariki sana
Hapo sasa my favourite song watching from 🇰🇪 Kenya more fire 🔥🔥 bro 💪💪
#254 naomba likes zenu please,
The guy with true gospel
Yona wetu amevuka na ametufikia na ujumbe wa wakati.
ASHUKURIWE MWENYEZI MUNGU milele Amina
Ameen
MUNGU wa mbinguni akuinue zaidi mtumishi wa MUNGU.. napenda sana wimbo uhu
Nyimbo nzuri praising from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kila ninapo sikiliza nyimbo zako I feel blessed 😇, BARIKIWA NDUGU😇😇😇
Ameen
Kazi nzuri sana bro ni Msanii RAMLI MUKHWANA OFFICIAL
Jamani Mungu tu niambie zamu yangu ni lini😭😭😭
Kila nikiskia huu wimbo natamani nilie jamani😭😭
Mungu nikumbuke tu🙏🙏
Yona ubarikiwe sana, huu wimbo umebeba majibu yangu, Mungu akijibu nitatoa ushuhuda🙏🙏
Unanibariki sana kak Mungu Aendele kukulinda tuko nyuma yako
Alooooo huyu Munguu hajawahi kunyamaza tutapokea mara mua saba sabinii, Hongera mnoo mtumishii barikiwa kwa kazi nzurii
Asante Sana
Hongera,,,, 👍👍👍 napenda sana👏👏👏 injili kamili kama ilivyo,,, Jina la jehovah litukuzwe 🙌🙌🙌🙌
Ameen
Fire mungu akubariki Kwa kazi nzuri
Ameen
Song tamu sana MUNGU akubariki mtumishi wa MUNGU❤
Ameen
MUNGU wa mbinguni Akubariki kwa kazi nzuri , ujumbe mzuri hakika Umeutendea kazi dear huu wimbo na katika video pia ni nzuri💪🔥🔥🔥
Asante Sana
Anayetoa ni Mungu,na wakati ukifika hazuiwi na mtu. Amen🙏🏾
Bloodline 🙌🏾 yani ndugu kabisa Mai yumwedu tumbo mbali mbali🤣 umetisha Sana MKULU
Napenda nyimbo zako zote 🎶🎶🎶🎤🎧baba niambie Zamu yangu ni lini tunakupenda sana 🥰🥰🥰 chilolo
Mungu akubariki chilolo na azidi kukuinua nyimbo zako ziko na message poa sana nazipenda
Asante Sana
MUNGU AZIDI KUKUINUA🎉
Ameen
Mungu akubari sana kwa wimbo huu, kama NAMI vile nabarikiwa ❤❤❤🤲🤲🙏
Ameen
Wonderful big proud of you 🙏🙏🙏 tu nashukuru kwa ujumbe wenye mafundisho mazuri katika maisha ya kibinadamu,, kwa maana umenena ukweli, hasaa mambo haya kwenye maisha ya binadamu yapo, tu nashukuru kwa message send ✍️✍️✍️ Mungu Akubaliki 🤝🤝🤝🤝💐💐💐💐💐
Ameen
Hongera kaka siezi acha kuusikiza huu wimbo all the way from 🇪🇦 Spain Barikiwa Tu sana
Kazii kubwaaa Sana babaa🙏🙏🙏
Asante Sana
AMEEEN MUNGU AKUBARIKI sana bro na aendelee kukikusa kibawa chako.
Ameen
KUNA WATU WANA JUHUDI SANA KULIKO WEWE, LAKINI HAWAJAPATA MATOKEO ULIYOPATA WANAPAMBANA.. Hakika mtumishi MUNGU ni mwema sana🙌
Ameen
Napenda sana utunzi wako mtumishi wa Mungu. Lakini ni Mungu anayekuwezesha tu🙏
Mungu wangu zamu yangu ni lini🙏
Asante Sana
❤❤❤amen,,, I love 💕😘 your songs broo 👌👌
Ameen
Zidi kubarikiwa kaka ,hakika nyimbo zako zanipa matuini makubwa,🎉🎉🎉🎉🎉Mungu akuinue zaidi
Ameen
@@yonachiloloofficial ,Ameen ,kaka uinuliwe
Kazi nzuri mtumshi Wa mungu ubalikiwe sana kaka
Ameen
Congratulations brother napenda nyimbo zako sana
Mungu zamu yangu ni lini😭 kama naomba vibaya yaone ata machozi yangu .Amina
nyimbo zako za nibariki tu sana niko saudi ubarikiwe sana muibaji
Ameen
Uko vizuri kwa nyimbo zako zote zikipigwa stendi musoma nasimama kwa nusu saa
Baba nami naamini zamu yangu itakuja tu bado nasubiri🙏🙏
Kabisaa
🙏🙏na mungu azidi kukubariki na kukuongezea kibali penda xna nyimbo zako
Ameen
Mungu akubariki sana wimbo huu mzuri sana 🙏🙏🙏🎉🎉
Asante Sana
Ukovizuri Sana baba yangu Yona balikiwa mtumishi
Ameen
Barikiwa,sana Una ujumbe mzuri
Mungu aendelee kutiya nguvu nimebarikiwa kupitiya hii nyimbo.
Nyimbo zako zantoa machoz kila nkisikiliza Acha mungu azud kufungua njia juu yako
Nyimbo za maudhui safi sana kijana Mungu akufikishe viwango vya juu zidi
Babaa na mimi zamu nilini nakugoja mungu wangu😴😴💘
Ameen
Nice song mtumishi,be blessed
Your songs are always on point servant God be blessed and more grace🙏
Powerful song, wangapi tumetoka tiktok
Hunger sana ujumbe mzuri sana huu Mungu azidi kukuinua na akupe atua moja zaidi
Nmekutana na video yako tiktok nikapenda vile unavyo imba ....May God bless you ...favour favour as you go high ...blessings
Ameen
Kaka unajuwa kuimba, MUNGU akubariki sana ,
Ila JITAHIDI KUBORESHA VIDEO IWE NZURI ZAIDI🙏🙏
Congratulations 👏 brother wapi likes za wakenya
Thanks
Keep it up mtumishi, na umenona, hongera
😂😂😂
Safi sana my homeboys mungu awabariki sana ❤❤🙏🙏
Asante Sana
Mungu azidi kukuinua katika kulitangaza neno lake
Ameen
🎉, this is true story. Zamu yangu ni lini
First time am listening to him and am like wooow!❤ really touching songs 👏👏
Have been listening to your music,but huu ,nimekimbia u tube for subscription, keep up bro
Congratulations chilolo,ur song never disappoint.
Ameen
Kweli kabisa bro,huu wimbo message kali sana ,na yenye ukweli.watching from laikipia kenya.
Amen napenda kusikiliza Nyimbo zako ziko na message mzuri sana mungu akubariki sana kaka
Chilolo apewe heshima zake👌na Mungu azidi kumubariki sana🙌
Kazi nzur sanaa Mungu akubariki sana kaka
@KarenKetura. My Rev i never regret knowing you, your such a wonderful Woman of God, u always introduce me to anything good, anything good u always share, waaauuu! I'm real Blessed this morning such a wonderful msg, may God take you to another level Man of God Mr Yona , may this music be an international, may the Almighty God expand your territory and favour of God be with you whenever u go mob ❤❤❤ from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪, good things wilk always follow you, so happy with what your doing such an Amazing song 😊😊😊😊
Next time wewe comment wacha Story mingi sijui your Rv Karen Hiyo nisiri yako dada mtu Akishare kwako ,,,, just support huduma ya Man of God.sio kila mtu anajua @Karen ketura ndio amekuleta kwa You tube...heri ule mtu uletwa na Ufunuo.
@@aviosilona epu jifundishe kunyamasa Usiwe mpumbavu...ata bible imesema, recipient hii huduma hapo simahali pakucomment venye wataka
@@aviosilonaYes my Rev, and I'm much humbled may God meet all your heart desires your such a wonderful Woman of God Love you so much ❤❤❤❤
@@janetkanongo3265Are u here to teach people how to comment???? I didn't have any idea on that, If so then I'm very much sorry Madam Teacher, i think I have to attend classes on how to comment on people pages.
Ubarikiwe sana nilikuwa nangoja vedio kwa hamu pokea🎉🎉🎉🎉
Ameen
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 baba nami zamu yangu ni lini
Hongera chilolo fanyakazi ya mungu kwa moyo mmoja
Nimebarikiwa kupitia huu wimbo.i will not give up
Wanathani tunawaomba Pesa wimbo Poa. Zamu yangu ni lini wimbo kali bro
Mungu akubariki kwa hizo nyimbo Safi amen
Amen
Moto sana hii ujumbe mzuri barikiwa mtumishi funguwa kabisa lako sasa❤
Kweli kuna watu wana juhudi na bidii kuliko mimi hawajapata wanapambana
Namm naongeza zamu yangu inakuja
Ameen
Congratulations my Brother 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Thanks so much 😊
Congratulations 🎉🎉 your song never disappointed bro .. .
Thanks
🎉❤ Safi mtumishi tuko pamoja
May almighty God whom we trust continue lifting you up ❤❤ barikiwa zaidi bratha
🙏🙏🙏
Kazi Yako ni njema mtumishi
Kazi nzuri kakangu❤❤
Najiuliza hii nyimbo mbona haijawa top of the town ... Nyimbo kali san sana .. ilifaa iwe hit song.. nataman ufanye kitu nyimbo hii inabid iwabariki wengi
Nakukubali sana mtumishi MUNGU azidi kujutia nguvu
Aiseee huu umetissha hatari kipaji kikubwa sana sjui nitakupata wapi tuongee kidogo
Asante Sana 😊
Be blessed 🙌 Ndugu 💪
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ameen ameen mwaka huu Lazima twende viwango 😂😂😂ubalikiwe sana mtumishi
🎉🎉🎉
Nakuku bar cans chilolo do mwingne no wini apa
Pia mm baba niambie zamu yangu ni lini
❤❤❤manze nyimbo za huyu chilolo ni tamu.zinapea mtu hope
Wasitunyanyaze anayetoa ni mungu,powerful message it is❤
Kazi kubwa bro mungu akuinue zaidi🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu amewezesha
Hakika
👏👏👏👏👏💃💃💃💃
From Facebook watching from 🇰🇪
Good song thank you so much God bless you congratulations ❤❤❤❤
Baba zamu yangu ni line nimechoka
Yona unajua sana. The most high God Wana lift u up to the other levels
Congratulations ❤