PART1:DADA ANAETAMANI KUFA BAADA YA KUTESEKA NA UCHAWI/NIMEOZA FUNZA WANATOKA UKENI/ALIGEUKA FISI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 136

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 ปีที่แล้ว +8

    Tunapaswa kumuomba Mungu sana atulinde maana watu tunaoishi nao hatuwajui wanatuwazia nini ila kwa neema ya Mungu atatusaidia pole sana dadangu Mungu akusaidie 🙏🙏🙏

  • @omarsharifa5606
    @omarsharifa5606 4 ปีที่แล้ว +9

    Ukiwa mzima hii dunia sema alhamdulillah 🤲🤲 😭😭nimepitia madhila ila haya munguu akuponyeee dadangu

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 ปีที่แล้ว +2

    Mhh Mungu tulinde na hawa wachawi ,sijui uchawi wanautengeneza na kitu gani,yaani mambo ya ajabu na mauzauza matupu .pole sana.

  • @abdulhalimhumud1917
    @abdulhalimhumud1917 4 ปีที่แล้ว +3

    Mr Facts nakubali sana Kazi zako Mungu akubarik mzee amen 🙏 tunamuomba Allah atulinde na Mtihani Ya kidunia na awangamize wachawi wote amen

  • @azizahmwimbe8548
    @azizahmwimbe8548 4 ปีที่แล้ว +5

    Duu pole sana 🤭🤭🤭🙆‍♂️🙆‍♂️dunia hii, some people are wicked because of their selfishness desire and most of the time the person you trust the most can harm you, may God see them through. Davistar part two please 🙏🙏

  • @SunguraShabani
    @SunguraShabani ปีที่แล้ว +1

    Tanga wachawi ni wengi 😂😂😂
    Ukitaka ulinzi wenye nguvu hatari kuliko nguvu zote
    Dawa ipo tena ni ya bure na ni ya watu wote dunia
    Dawa ni Yesu Kristo pekee.

  • @SamsungA-su2qj
    @SamsungA-su2qj 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atusaidie kwa kweli mana hali inatisha

  • @saadaalmamary8397
    @saadaalmamary8397 4 ปีที่แล้ว

    Subhanallah Allah akuhifadhi

  • @RahmaRahma-xp9jr
    @RahmaRahma-xp9jr 4 ปีที่แล้ว +1

    Duu mtiani pole sana

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 4 ปีที่แล้ว

    Subhanallah subhanallah

  • @atupeleasanwisye1446
    @atupeleasanwisye1446 4 ปีที่แล้ว +1

    Yesu wangu .Dunia hii hatari sana

  • @deofred1517
    @deofred1517 4 ปีที่แล้ว +4

    Nilisubilia sana kwa leo kila muda nacheki bado ,pamoja sana mzee baba

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

    Subhanallah , kumbe wote baba na mama wamewafanya watoto wao hivyo sasa huo utajiri wao sio kwa watoto wao ? wanatafuta utajiri kwa manufaa yao bila ya.watoto ni washenzi .

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 4 ปีที่แล้ว +1

    Dada pole xana, mungu u nawe

  • @سلطانالقحطاني-ظ3ع
    @سلطانالقحطاني-ظ3ع 3 ปีที่แล้ว

    kunaye jina lenye linatikiza mpaka kuzimu Jina La Yesu .Muite Mungudamu ya Yesu ilimaliza yote

  • @babymkuya359
    @babymkuya359 3 ปีที่แล้ว

    Nzur😍

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 ปีที่แล้ว +1

    😪😪😪😪mungu wangu huyo boss mchawi alitaka kumzukula

  • @asiakilea2590
    @asiakilea2590 4 ปีที่แล้ว

    Mmh pole sana

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 ปีที่แล้ว

    Subhanallah

  • @fatumahramadhani2636
    @fatumahramadhani2636 4 ปีที่แล้ว +1

    Duuh pole xan my dear Ila mungu yupo utapon kikubwa zidi kumuomb mungu na IPO cku utapon Ila pole kwa mateso unayopitia mpk moyo unaum xna

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu hajawahi shindwa dadangu mrudie nae atakusafisha na kukufanya kuwa mpya tena

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

      Awe na imani dada..hasa sie tunaofanya kazi ndani kwa watu...YESU ni mwema kwa imani ataninusuru.

    • @zakiaothman7175
      @zakiaothman7175 4 ปีที่แล้ว

      @@esterelias8189 uko wap ester

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

      @@zakiaothman7175 Oman

    • @zakiaothman7175
      @zakiaothman7175 4 ปีที่แล้ว

      @@esterelias8189 huko mm nakuogopa sitaki hata

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 ปีที่แล้ว

      @@zakiaothman7175 mbona wakuogopa

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp 4 ปีที่แล้ว

    Pole Dada na mitihani ya Dunia

  • @sarahogama9540
    @sarahogama9540 4 ปีที่แล้ว

    Waaaaa!!! kuna watu wauaji kwa kweli kwanza hawa matajiri wanavindumbwa sana

  • @martinandugai2340
    @martinandugai2340 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimewai kidogo camini kweli

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 4 ปีที่แล้ว +4

    Nimewahi wa kwanza

  • @usedthings7875
    @usedthings7875 4 ปีที่แล้ว +12

    Davistar ongeza muda hata dk 30 pls.

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 4 ปีที่แล้ว

      Wachaaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeee Akiongeza tutakeshaaaaaaaaa

    • @navorossy720
      @navorossy720 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

  • @bintimrope
    @bintimrope 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana

  • @babugsafari281
    @babugsafari281 4 ปีที่แล้ว +3

    Tupo pamoja saana

  • @jp1780
    @jp1780 4 ปีที่แล้ว

    wa africa maboya sana aise, wako na power zakila namna ila jaajabu wazungu wali tu enslave, wakatuibia mali zote nawanaendeleya nakutuibia mala adi sasa, naakuna mtu anae wazuiya tutaacha kuuwa lini ili tuanze kuilinda africa

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu wangu,,🇰🇪🇰🇪

  • @salumbunga240
    @salumbunga240 4 ปีที่แล้ว

    Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊

  • @mercybritney3970
    @mercybritney3970 4 ปีที่แล้ว

    Waiting.....nice job👌👌

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 4 ปีที่แล้ว

    Uyo mfanyakazi mwenzako atakuwa anamasharifu Yana mrinda siyo kwa machare ayo

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

    Maombi yanapo ombwa yy anasikia maumivu aiseee asante Yesu ukuu wako unaonekana

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndio maana tunaambiwa tukipa unguo mpya kwanza unaifuwa kisha unaisomea duwa ndio uivyaa

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana dada kunadawa za kubatirisha uchawi

    • @mariamfritsi9761
      @mariamfritsi9761 4 ปีที่แล้ว

      Dawa za kubatirisha uchawi zinapatikana wapi?mhh humu duniani mbona kuna mambo mengi ya kichawi,hivi wachawi wana pata raha gani kumtesa binaadam mwenzio alieumbwa.

    • @kalssambaboo9705
      @kalssambaboo9705 4 ปีที่แล้ว

      @@mariamfritsi9761 zipo ikizihitaji dunia inamambo mtu akufanyie mikazi nabado umroge

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

      @@kalssambaboo9705 ww acha tu Mungu aninusuru mie nafanya izo kazi..

  • @joyanambuya3695
    @joyanambuya3695 4 ปีที่แล้ว

    Pole ndugu

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 4 ปีที่แล้ว

    Davistar nakuombea kila la Kheri kaka hakika nimesikia mengi toka nimeanza kufuatilia visa vyako.

  • @neemaabdallah3567
    @neemaabdallah3567 4 ปีที่แล้ว +12

    WA Kwanza Leo naomba like name😁🤗

    • @fdd743
      @fdd743 4 ปีที่แล้ว

      Mm mm mm

  • @navorossy720
    @navorossy720 4 ปีที่แล้ว

    🖤

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 4 ปีที่แล้ว +2

    🙂🙂🙂

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 4 ปีที่แล้ว +1

    Be healing in Jesus Christ Name

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwendelezo jamani🇰🇪

  • @fatimamakame3939
    @fatimamakame3939 4 ปีที่แล้ว +1

    Dav ndg yng nakushaur naww ujikinge maana hao wabaya wanaozungumzwa wanajickia vbaya kuwa makini bro

  • @jonasmasinde760
    @jonasmasinde760 4 ปีที่แล้ว

    pole sana dada

  • @qelseykenya3933
    @qelseykenya3933 4 ปีที่แล้ว

    Kuropoa ni nini?

  • @najmamohmad6348
    @najmamohmad6348 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmm alafu wazazi wako wapo ww watembea pekeako kwenye shida izo mmmm nawanolea panga hao mbona mi nlichoka na kizazi changu😭😭😭

  • @mashaeliazer7433
    @mashaeliazer7433 4 ปีที่แล้ว +1

    Davista duh!! Unakutana na mambo ya ajabu

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

    Eeee Yesu tunusuru na kila nguvu ya kichawi..Amina!!

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 4 ปีที่แล้ว +1

      yesu
      mwenyewe almuomba mungu amsaidir
      sasa ww tena unamuomnçba yy atakusaıdıaje

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

      @@twaibumikidadi7377 acha kihelehele nchefuu ww..unataka nikuombe ww fanya yako sawa usinibugudhi kbs tena koma...Niache na imani yangu sijakulazimisha umfate YESU.

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

      @@twaibumikidadi7377 Kama kitu hakikuhusu pita kushoto fyuuuuuu

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 4 ปีที่แล้ว

      Ester Elias
      sasa wapi ktk bible kuwa yesıu alsema mm n mungu
      mbona mnafuata mkumbo wla hamsomi bible yote hıyoo dada yangu
      ww yesu alvyotesqa msalaban alilia kisha akamuomba mungu amsaidie sasa leo ww unasema yesu n mungu dahhh!
      wakat yesu mwenyewe anasema
      *Mnataka kuniuwa mim mtu *
      Au hili handıko halipo ktk bible????
      naomba majibu

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

      @@twaibumikidadi7377 Ahsantee YESU.

  • @bellahyuzzomylife4428
    @bellahyuzzomylife4428 4 ปีที่แล้ว

    yani mtu anakuroga huku unamjua ni nani haki mungu atakulipia

  • @leylahloo5863
    @leylahloo5863 4 ปีที่แล้ว +1

    Haki pole dada ila sisi binadamu hata sielewi tunalekea wapi jameni hata kwenye vitabu mungu Alisha sema kuwa nyie wana wa Adaam kuwa sheitwani niadui yatu sisi wanawa Adaam kisha sisi tuna fanya urafiki na hawo watu washindwe

  • @estatekisombola9251
    @estatekisombola9251 4 ปีที่แล้ว +2

    Wa kwanza leo

  • @omarsharifa5606
    @omarsharifa5606 4 ปีที่แล้ว +1

    nimewahi leo 22

  • @zuriathkajwangya1724
    @zuriathkajwangya1724 4 ปีที่แล้ว

    Kaka mbona hutumalizii kisa kimoja kwanza ndo u move to the next one?

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 4 ปีที่แล้ว +2

    Wakwanza

  • @kachaladouble4807
    @kachaladouble4807 4 ปีที่แล้ว

    Bongo bwana dhhaa kumbe Burundi pazuri

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 4 ปีที่แล้ว

    Uyu Dada kaongea lakn cjamwelewa namsikia 2 Mara baba

  • @ninasheby0159
    @ninasheby0159 4 ปีที่แล้ว

    Davista mbona stori nyingine hujamalizia? Kama dereva tax,mtoto wa mchungaji na nk?

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 3 ปีที่แล้ว

    Wachawi wabaya sana na wakikamatwaga wanavyotia uruma utadhani walitumwa kua wachawi kumanina zao

  • @aishabeka5562
    @aishabeka5562 4 ปีที่แล้ว

    Yaan hawa wachaw jaman wananivuruga akil Sana yaan hakuna watu wanaorudisha wenzao nyuma Kama wachaw...cjui hata wanapataga faida gani nawachukia sana

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 ปีที่แล้ว

    ukıtuwekea dak chache chache tutakukimbia dv.
    kuna simuliz mix tumesha aanza kuzkimbia maana wanaweka vitu vcvyoeleweka .

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 4 ปีที่แล้ว +2

    Km hana miguu vidole vitoke wapi

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 4 ปีที่แล้ว

    Allah atunusuru, 🙏🙏🙏

  • @سلطانالقحطاني-ظ3ع
    @سلطانالقحطاني-ظ3ع 3 ปีที่แล้ว

    ndio mie ninaona mawenge amamtandio unabadili rangi

  • @annastivin5606
    @annastivin5606 4 ปีที่แล้ว

    Mwendelez davista

    • @bbycandy6757
      @bbycandy6757 4 ปีที่แล้ว

      Maskini mungu atakusaidia dada

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 4 ปีที่แล้ว

    Mmmh dunia simama nitelemke, tutasikia mengi jmn.

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 4 ปีที่แล้ว

    Yani apo kama angekuwa uyu binti ni ndugu yangu yani tunge itana wana family wote tunge mchukua uyu binti tunge mpeleka uyu binti kwa uyo mama na tunge mkabiz mtoto na tungemwambia kama mtoto wetu akifa basi sikuiyo tutazika misiba 3 alafu we binti ivi uyo mama ako mzazi anahakili zote au yani ktk mahelezo yako inaonyesha mama ako alichukulia poa tu duh wazazi wengine pasua kichwa sana all in all pole .

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 ปีที่แล้ว

    Hivi watu wanatoaga nguvu wapi unaaza watoto wawiliwenyewe tena unawafanya msukule hivi hixo Mali ninani atakaekula jamani

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 ปีที่แล้ว +1

    Nguvu zagiza safanya kazi ndoakampigia bi mukubwaa kama umefika naalikuonea huruma mana kama alipiga sim bs hata kukudhuru angekudhuru nausingefika kwamamayako na uchawi wake Mkali yani nguo inashika mwili pole mwaya

  • @suhfavuai7497
    @suhfavuai7497 4 ปีที่แล้ว

    Mwendelezo jmn

  • @ashamuhamad7959
    @ashamuhamad7959 4 ปีที่แล้ว +4

    Dunia ina mambo, yarrab 2nusuru.

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 4 ปีที่แล้ว +2

    mbona kabadilisha mtandio gafla

  • @elizamasilayo8090
    @elizamasilayo8090 4 ปีที่แล้ว +1

    Top five leoo

  • @mamuliciosrajab6664
    @mamuliciosrajab6664 4 ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂 Tuned 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @abdullmalik7847
      @abdullmalik7847 4 ปีที่แล้ว

      Pamoja 🤝🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @dotosalim5090
    @dotosalim5090 4 ปีที่แล้ว +2

    Nikejifunza kitu

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbona mtihan huo jaman

  • @eshalibaba1195
    @eshalibaba1195 4 ปีที่แล้ว

    😀😀ungo wa mchele

  • @latahilehsein3749
    @latahilehsein3749 4 ปีที่แล้ว

    Mziki umezidi mtangazaji punguza

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 ปีที่แล้ว +1

    Sasa ndio nini kuwatesa watoto wa wenzie bila sababu

  • @zaynabyusuf4324
    @zaynabyusuf4324 4 ปีที่แล้ว

    Huu mtandio mbona unabadilika badilika

  • @saidali4804
    @saidali4804 4 ปีที่แล้ว

    Kk davist MTU makini kabisa

  • @saumusudi9720
    @saumusudi9720 4 ปีที่แล้ว

    Kumbe ata mabosi ni wachawi sio wafanyakazi tu....mhhhh

  • @njmanjma8626
    @njmanjma8626 4 ปีที่แล้ว

    Mbn Davista video nyingi hazina sauti

  • @muusmart2015
    @muusmart2015 4 ปีที่แล้ว +1

    Wana nzengo hahaha munalala na davista nin maana mpo chap Kwa haraka kwer wana harakati ampoi

  • @omarsharifa5606
    @omarsharifa5606 4 ปีที่แล้ว

    Part 2harakaaa

  • @badymsuya6093
    @badymsuya6093 4 ปีที่แล้ว +2

    First

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 4 ปีที่แล้ว

    Kuna muda nilihisi Kama davistar unaniangalia🤭

  • @عائشهعائشه-م9ق
    @عائشهعائشه-م9ق 4 ปีที่แล้ว

    Endelea maombi Mumgu atakusaidia

  • @zulfakamwenga5354
    @zulfakamwenga5354 4 ปีที่แล้ว

    Davi, vp.. Mbona sipati notification?

  • @bettyowiti397
    @bettyowiti397 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimewahi...hizi story naogopa kuzikiza usiku hata mchana...Wana Tisha Hawa...

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว +2

      Yesu ni gome na mwamba mwamini kwa nguvu na moyo wote.....Usiogope mchawi hata siku moja ukimuogopa ndo unampa nafasi ya kukushambulia..

    • @bettyowiti397
      @bettyowiti397 4 ปีที่แล้ว

      @@esterelias8189 .Amen

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

      @@bettyowiti397 kabla hujangaliwa uwe unasali alafu unaendelea kusikiliza mpenz.

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 4 ปีที่แล้ว +2

    sawa 12 mie leo

  • @tiffaommy846
    @tiffaommy846 4 ปีที่แล้ว

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 4 ปีที่แล้ว

    Kwao na mmewako hao walikuwa wachaw Itakuwa

  • @awadhirajabu6833
    @awadhirajabu6833 4 ปีที่แล้ว

    Sasa Dada Ndege Watakua Vipi Na Vidole Ikiwa Awana Miguu

  • @thomasmwakatobe8207
    @thomasmwakatobe8207 4 ปีที่แล้ว

    Njoo nikuombee Dada 0712862066...Nina hakika Mungu atakuponya kabisa

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy1562 4 ปีที่แล้ว

    Duniani kuna mazito

  • @likeothers2498
    @likeothers2498 4 ปีที่แล้ว

    Devi mambo

  • @paschalm9849
    @paschalm9849 4 ปีที่แล้ว

    Huogopi izi interview unazofanya? 😂

    • @nasrasway7143
      @nasrasway7143 3 ปีที่แล้ว

      Aogopi davista ako na zindiko

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 4 ปีที่แล้ว

    Dv kwikwi nini