Padre Dkt Kamugisha: Ulichonacho anza/ Usiridhike katika maisha fanya kitu/ Jaribu tena na tena
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Ni mfululizo wa Mafundisho ya kila Juma kutoka kwa Paroko wa Parokia ya Mt Yohana Muzeyi Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba Padre Dkt Faustine Kamugisha , mafundisho haya hutolewa kila juma katika kanisa kuu la Bukoba Jimbo Katoliki la Bukoba. Karibu ufuatilie sehemu hii ya Mada inayohusu ''JARIBU TENA NA TENA''.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Amina mungu wangu uwe nasi
Mungu akubariki
Padre kamugisha asante Kwa neno zuri nami nasema nagangania bila kukata tamaa🙏🙏
❤
Asante sana kwa neno zuri
Safi sana fr.Kamugisha ninayapata mafundisho yako.
Baba ubalikiwe sana mwenyezi mungu akupe uzima
Safi father nimebarikiwa sana
Nangangania kwa uwezo wa mungu
God bless you father
Asante sana.
Nakuelewa unaniponya
Amina
🙏🙏🙏🙏
Mzee ananeno.lakujenga
Injili iendelee kamwe kamwe