LIVE ; SOMO ; AINA TATU ZA NADHIRI /IBADA JUMAPILI KANISA LA KKKT MOSHONO " PASTOR MGOGO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ค. 2021
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
TH-cam : Pastor Daniel Mgogo th-cam.com/channels/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Asante sana mtumishi umenisaidia Kwa upande wa kuweka nadhiri barikiwa sana Mungu akufunulie ufunuo uzidi kunena nasi katika jina la yesu christo
Amen,neno la baraka limenibariki sana
Asantee mchungaji kwa neno limeningusa kiukweli ndo maana naona mabadiliko .
Asante mtumishi
Mch. D. Mgogo nakuelewa sana baba yangu kipenzi. Unanipa raha sana
Nakubali Pastor
Amen mchungaji ! Kuhusu Mahouse girl hapo umepatia kabisa
Mungu Akubariki
Mungu azidi kukutia Nguvu Mtumishi wa Mungu
Mchungaji nabarikiwa sana nikiwa Kenya bungoma county
Amen
Amen mchungaji nimebalikiwa na somo lako umenifungua kwakweli kwa upande wa nazili
Ahsante mtumishi, nabarikiwa Sana.
amen
Ninamshukuru Mungu sana KUFUATA mafundisho yako . Yananibariki ni ya ukweli unaeleza mambo ya msingi kabisaaaaa. Kweli kuna makabila yanakum buka sana nyumbani walikozaliwa hasa WACHAGA, WAMEJENGA MIJINI NA MASHAMBANI MIJENGO YA KUELEWEKA, NYUMBA NI CHOO ,MAJI NA UMEME PIA. KWANI KUSOMA SI KUELIMIKA,.WACHA WIVU, UCHAWI, NANUONGO . CHARITY STARTS FROM HOMES.
Napenda sermon yako zaidi ,endelea kutubariki na neno
Mungu akubaliki sana sana sana sana
Barikiwa baba neno la uzima
Mungu akubark Sana, 🙋🙋🙋🙋🙋.
Kilimanjaro oyeeeee barikiwa mtumishi
Asante Sana muchungaji.kwa mafundisho haya yana tusaidiya saaana mungu aku funulie zaidi.ameeeeeeeen
Asante sana kwa mafundisho yako mungu akulinde nakuelewa sana.
Mungu nisaidie
Napenda huu ujumbe mchungaji
Jamani karibu Moshi Mchungaji
Wataama kabisa
A man of God be blessed
Amen Amen
kawaida swafi Baba barikiwa sana 🙏🙏
Dawa Yao ita police kamata weka ndani🙏🙏
Ameen
Amina
Hahahaaa uwiii nimecheka hapo wa ukoo wa sadaka
Wape dose 😂 amen
Amen 🙏🙏
😊
MCH UMESAHAU KAGERA MIJENGO YA KUELEWEKA MIGOMBANI.
Mchungaji Sasa ni namna gani tunaondoa hiyo nadhiri endapo htunakua tumeshindwa kutimiza?
Sema tupone ! Ni kweli kabisa
Makabila Mengine Yanasumbuliwa na Ubinafsi, na Uchawi Ukijenga Kijijini Wanakuua mfano Wasukuma na Wajita!
ni kweli sio kwamba hatupendi kujenga nyumba zuri kijijini ila ukijenga tu unarogwa😔😔
YAANI MCH UNA MANENO KWELI KWELI YENYE UKWELI NDANI YAKE.
Hakuna kuchezea taasis
Very good message from the Bible thank you pastor Mgogo
AMEN 🙏 true gospel.
Amina baba sema tupone!;!!!!
Ameen
Pastor Mungu azidi kukupa maono napona
Bwana abariki mifupa yako L🤣L Mungu atusaidie jamani.
Amen
Amen
Amen