Ukifanya Hivi Ndani Wiki Moja Tuu Unafungua Mambo Yako | Khutba Ya Ijumaa - Sheikh Othman Michael

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • #QiblateinOnline #sheikhothmanmichael #2024
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
    FACEBOOK; www.facebook.c...
    TH-cam; / @qiblatainonline

ความคิดเห็น • 75

  • @kontawaa
    @kontawaa 9 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezi mungu niongoze nami niwe kstika kumsifu mtumena aniondoe katika shida yahela yarabi

  • @fatumatsopa3941
    @fatumatsopa3941 6 หลายเดือนก่อน +9

    Naunga maneno yako Sheikh .Swalla ya mtume ina ajab.Allah akupe mapenzi zaidi ya kumpenda mtume na akuandalie pepo kwa ajili ya kuhimiza swala ya mtume.

  • @ANIFASELEMANI-ec2cp
    @ANIFASELEMANI-ec2cp 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie ghelimu

  • @HusnaNgwaya
    @HusnaNgwaya 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akuifadhi shekh.

  • @AishaKansime-wt3np
    @AishaKansime-wt3np 6 หลายเดือนก่อน +1

    Assalam alaikum ww Allah akulipe zaidi duniani Na adhéra

  • @user-dg2gs7hv3q
    @user-dg2gs7hv3q 6 หลายเดือนก่อน +2

    mashaAllah,our religion is amazing,it has an answer to every question,this year have planned to memorize the holy Quran, kindly remember me in prayers🎉

  • @user-kp6so7mx8f
    @user-kp6so7mx8f 6 หลายเดือนก่อน +3

    Sheikh swala ya Mtume swalallha huwalaiyhiwa swallah ni KIBOKO

  • @rehemakibwana9903
    @rehemakibwana9903 6 หลายเดือนก่อน +1

    Maashaallah shekhe Allah akulipe na akutie nguvu

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh ALLAH AKUFIFADHI 😢 NKIKUSKILIZA SICHOKI HADI MACHOZ YANANITOKA
    NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH MUNGU AKUPE PEPO YA JANATIL FIRDAUTHI😭🤲

    • @pilihassani6111
      @pilihassani6111 6 หลายเดือนก่อน

      Amiina Allahumma Amiina

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah niombee dua kwa familia juma tatu ju ya ndoto za kula nyama harusi yajjirudia

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 6 หลายเดือนก่อน +16

    Shekh Naomba mas hafu Hata moja niwe nasoma Allah Atakulipa,na mwingine nkampe kakangu kijijini Anasoma sana QURAN 😢 SAMAHANI KM NTAKUA NMEKOSEA

    • @naimahhussein8430
      @naimahhussein8430 6 หลายเดือนก่อน +4

      Asalam alaikum warahmatulah wabarakhatu ,unapatikan wapi?naomba nikununulie msahafu iwe swadaka kwa baba angu ALLAH apunguzie adhabu ya kabur 🤲na pia usinisahau kwenye dua zako nifanikiwe kwenye rizki zangu niweze kununua juz na misahafu mingi nigawe kwa watoto wa madrsa 🤲

    • @mwanaherimatata8571
      @mwanaherimatata8571 6 หลายเดือนก่อน

      @@naimahhussein8430 inshallah mwenyezi Mungu Akuripe ,na patikana sinza kwe remy nkaa kwa sister pia nyumbani Bagamoyo, pia kuna wanafunzi wa madarasa lakini sisi tumelelewa katika kuisoma quran sasa hata kka zangu wana mashafu chakavu na uwezo sina wa kununua ila Naamini kupitia wewe watu wataisoma quran na inshallah nia yako kwa mzazi wako kila utaposomwa msahafu basi kher zitaingia

    • @mwanaherimatata8571
      @mwanaherimatata8571 6 หลายเดือนก่อน +4

      Na Allah kuamrisha maraika wamuandikie mema yule ambaye Aliyefikiria kufanya jema hata km hajalifanya..MUNGU AKUFANIKISHIE NDUGU YANGU.. KATIKA MWEZI HUU WA SHAABANI UWEZE KUPATA KHER NA NEEMAA INSHALLAH

    • @user-lm5bj4pd6h
      @user-lm5bj4pd6h 6 หลายเดือนก่อน

      Unapatikana wapi nitafte nikupe misahafu

    • @wardalwena5846
      @wardalwena5846 6 หลายเดือนก่อน +2

      Mashallah ALLAH awabariki nyote mnaotaka kutoa

  • @qurankareem582
    @qurankareem582 2 หลายเดือนก่อน

    Allahu albar

  • @SuleiBakari
    @SuleiBakari 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akupe mwisho mwema na AKupe mwisho mwema

  • @user-jj1nq6gz7m
    @user-jj1nq6gz7m 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jazakalaukheiry,hakika tunafatisha na tunafanimiwa

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 6 หลายเดือนก่อน

    Man Sha Allah Tabaraka Allah 🙏 ❤️ Allah akuifadhi sheikh wetu mja wa Allah ❤️ 🙏

  • @faridadumasalhathoseni
    @faridadumasalhathoseni 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe shekhe wetu

  • @hassanhussein2371
    @hassanhussein2371 5 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah 🎉

  • @KhadijaKhadijadawa
    @KhadijaKhadijadawa 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah

  • @nyawazawadi856
    @nyawazawadi856 6 หลายเดือนก่อน +1

    Assalam alaykum warahimatulillah wabarakatuh kwa majina naitwa zawadi natoka kenya me ustadhi niko na shida jambo la kwanza nimesoma lakini sijapata kazi, pili niko na watoto wawili lakini sijaolewa mtu nikishikana nae huwa anaishiwa thamani yakua na mimi mpka tunatenga la tatu huyu mtoto wa pili yuko na kifafa huu mwaka wake wa 4 na bado anafifitika dawa anatumia lakini bado anafifitika hizo ndizo shida zangu

    • @ShaniAbdala
      @ShaniAbdala 6 หลายเดือนก่อน +1

      Allah akufanyie wepes nakupe subra sana

  • @salmahanai
    @salmahanai 6 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah mawaidha yamenitoà machozi Allah Rahmu atuongoze tuwe na ufahamu

  • @hassanhussein2371
    @hassanhussein2371 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah 🎉

  • @qwnlynuzlah3115
    @qwnlynuzlah3115 6 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah Darsa Nzuri,,Shukran Jazzillah Sheikh

    • @ashakomba2480
      @ashakomba2480 5 หลายเดือนก่อน

      Mashaallaa allah akuzidishie

  • @nimosaid2497
    @nimosaid2497 6 หลายเดือนก่อน

    Mashalla Mashalla Mashalla

  • @estherwamaitha1006
    @estherwamaitha1006 6 หลายเดือนก่อน

    JazakaAllahkheir

  • @nasrahassan2260
    @nasrahassan2260 6 หลายเดือนก่อน

    Masha allah ❤❤❤❤

  • @user-td6xx2pc5q
    @user-td6xx2pc5q 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ❤❤

  • @user-wj4mv3ms5o
    @user-wj4mv3ms5o 6 หลายเดือนก่อน

    SubhanAllah

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 6 หลายเดือนก่อน

    Allah atujalie kheri

  • @aminasuphian7685
    @aminasuphian7685 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah alahuakibaru

  • @user-jk6xk7id3q
    @user-jk6xk7id3q 6 หลายเดือนก่อน

    Jazakallau kheiran 🤲🤲

  • @user-qq8qn5ie9o
    @user-qq8qn5ie9o 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asalamualeykum warahmatullah wabarakatuh Allah akulipe mema duniyani n'a kesho a khera nichoki kutiza vidéo zako🎉

  • @hamzaabdallah1969
    @hamzaabdallah1969 6 หลายเดือนก่อน

    Allahu

  • @user-wu2zd5zg8c
    @user-wu2zd5zg8c 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ostadh naomba msaada wa dawa ya kifua mam yangu nd anacho mwak wa 3 katembembe mpak kachoka bd hajapt dawa ya kumponya

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 6 หลายเดือนก่อน

    Ninaomba unikutanishe mtume hata kwa ndoto inshaalla

  • @yusramwadini
    @yusramwadini 2 หลายเดือนก่อน

    😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @user-iz2oc4lq4j
    @user-iz2oc4lq4j 6 หลายเดือนก่อน

    A w w mimi ninajaribu angalao kukutafuta hata mimi hutuma ujumbe lakini sipati majibu je nifanyeje ndoo tupatane

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 6 หลายเดือนก่อน

    Namba zake sizipo hapo mpigiye

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 6 หลายเดือนก่อน

    Nyaza wadi mtafute kwa Namba zake hapo kwenye sceen

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama yy huyu ni muongo tuambie wewe mkweli jiblili kaja mala ngapi Kwa mtume

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 6 หลายเดือนก่อน

    Hivi nyie Masufi mtaacha lini kuilingania uwongo Mcheni ALLAH

    • @wardalwena5846
      @wardalwena5846 6 หลายเดือนก่อน

      Una matatizo na akili pia huna

    • @wardalwena5846
      @wardalwena5846 6 หลายเดือนก่อน

      Acha kufata mkumbo

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 6 หลายเดือนก่อน

      @@wardalwena5846
      Wewe Jahil kweli Dini inataka Dalili wala sio fikra zako na Akili
      Leteni hoja wapi mtume kafundisha? na Dua ni Ibada. Ibada zenu munazitoa wap ??

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 6 หลายเดือนก่อน

      @@wardalwena5846
      Acha kutetea uwongo Ustadh wako huyo maneno makavu bila Dalili Sasa atuambie Dua hiyo alio fundisha ameitoa kwa nani ??

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 6 หลายเดือนก่อน

    Jibril kaja mara elf 24 kwa mtume hadithi za alf Lela ulela hizo. nikikuomba dalil huwezi kunipa usanii mtupu

    • @ammaryammary3554
      @ammaryammary3554 6 หลายเดือนก่อน +3

      ALLAH ndo mkamilifu yote mazur aliongea huja yaona acha roho mbaya

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 6 หลายเดือนก่อน

      @@ammaryammary3554 mazuri yapi ameongea mbali na uongo na usanii tu nyie wafuateni lakini mi nawambia mashehena wetu hawana elimu wanakalia uchawi wanawake na hadithi za alfu lela ulela za kulaza watoto hawana tofauti na ze comedy

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 6 หลายเดือนก่อน

      @@ammaryammary3554 nimemuomba anipewe dalil kitabu gani jibril kaja kwa mtume mara elf 24 acha kushobokea mwache anijibu au kama unaweza msaidie kujibu

    • @user-hw2ri4ft6t
      @user-hw2ri4ft6t 6 หลายเดือนก่อน +1

      Miongoni mwa sifa mbaya tulizonazo sisi waislam ni kujifanya mtu anajua wala hajui na hawezi lolote ambalo mwenzie anafanya

    • @user-hw2ri4ft6t
      @user-hw2ri4ft6t 6 หลายเดือนก่อน +3

      Toa na wewe mawaidha basi tukuone
      Waislam tupunguze choyo