Alhmdulilah, nifakhar kubwaa alotupa karima kwa Zanzibar nawazalendo wote kuwa tuna tarab halisia, ambacho chombo safi kabisa cha kwanza ni ikhwani safaa🎻🎶, na ikawa faraja kubwa, kwa visiwani kote hadi Africa masharik,
Nimefurahi kuona kuwa Nadi Ikhwan Swafaa wamezihifadhi vitabu vyao karibu vyote vya nyimbo ama za mashairi ya Nyimbo kutoka chama kibuniwe. Nawapa kongole kwa hilo Lakini nikiangalia katika hiyo vedio naona vitabu vyote za mashairi na nyimbo pamoja na kumbu-kumbu za picha zipo katika hali sio nzuri na nimuhimu jitihadi ifanywe ili zihifadhiwe kwa kutengenezwa nakala za kidijitali ili ziweze kuwa na maisha marefu na pia kutumiwa na vizazi vitakavyo kuja. Pangine Zanzibar National Archive wangalizichukuwa wakazihifadhi huku wakitengeza Digital copies ili wanaondelea kuimba katika Nadi waweze kuzitumia.
Naam hakuna kama zanzibar niko mbali lkni naipenda zanzibar ❤
Alhmdulilah, nifakhar kubwaa alotupa karima kwa Zanzibar nawazalendo wote kuwa tuna tarab halisia, ambacho chombo safi kabisa cha kwanza ni ikhwani safaa🎻🎶, na ikawa faraja kubwa, kwa visiwani kote hadi Africa masharik,
Nad ikhwan Safaa ni utambulisho halisi wa mzanzibar
Historia ya mambo ya zamani nayapenda
BME
Love zanzibar
Zanzibar zanzibar
Kiukweli wapo vizuri na mnahistoria kubwa ila jitahdini sana mrudi kama zamani
Nimefurahi kuona kuwa Nadi Ikhwan Swafaa wamezihifadhi vitabu vyao karibu vyote vya nyimbo ama za mashairi ya Nyimbo kutoka chama kibuniwe. Nawapa kongole kwa hilo Lakini nikiangalia katika hiyo vedio naona vitabu vyote za mashairi na nyimbo pamoja na kumbu-kumbu za picha zipo katika hali sio nzuri na nimuhimu jitihadi ifanywe ili zihifadhiwe kwa kutengenezwa nakala za kidijitali ili ziweze kuwa na maisha marefu na pia kutumiwa na vizazi vitakavyo kuja. Pangine Zanzibar National Archive wangalizichukuwa wakazihifadhi huku wakitengeza Digital copies ili wanaondelea kuimba katika Nadi waweze kuzitumia.
Kuna Mambo ningependa yafanyike
1.mashairi yote yachapwe kwenye vitabu ambavyo baadhi ya copy zipelekwe maktaba kuu
Inaskitisha mashairi yanatumiwa bongo flava hawa bado maskini
sasa hivi kianga sio shamba tena