Miss shei shei,mi nakuita miss sharp sharp...upo vizuri dadaa na team yote kwa ujumla # sitachoka kulisema hili kp michezo yako waumiza ubongo kaka 👍 👏
Kp na kukubali move zangu unatumia akili mtu wangu yani ni kiangalia move yako lazima ni waambie family yangu una pendwa sana kp na zebuu mungu awalinde kazi nzuri sana kp na team yko na wakubali nyote
Kusema ukweli movie zenu huwa zina mwelekeo mzuri na msiche mkachanganyikiwa kama movies zingine hapa TH-cam plz love u guys from 24:35 kenya lovely country
Kp kazi yako hua nzuri na kuvutia kwakua jinsi yampangirio hua makini hivyo bigap sana kp and zebuu🎉🎉🎉
Ila hii movie ni nzuri sana jmn kp mauwa yako🎉🎉🎉❤❤❤
Jaman shey shey upo vizur kifkra kama unamkubal shey shey gonga like🎉🎉🎉
th-cam.com/video/4BduxYtZxIk/w-d-xo.htmlsi=PjRSMizMHz5WunlI
Namkubali mpk namkubali tenaaaaah🎉🎉🎉
Shey kweli kichwa ila nawe like za nini kama sio shobo.
🎉🎉🎉🎉🎉
@@AllyMkola-u7e xhobo gan 😜😜
Miss shei shei,mi nakuita miss sharp sharp...upo vizuri dadaa na team yote kwa ujumla # sitachoka kulisema hili kp michezo yako waumiza ubongo kaka 👍 👏
❤❤❤ I really like the flow of these episodes be blessed the talented guys
Shey shey anajua mpaka anaboa,anavaa uhusika kinoma me namuelewa sana ananifanya nisijutie kufatilia series zenu
Hajui kukoseaaaaa
Hakika hii ni fire🔥🔥🔥 tukiachana na last card piga keleee kwa kp na timu nzima
Asante sana KP leo nimekuwa no 1 aya tusalimiane team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno 🥰❤️❤️❤️🔥🔥 kazi kazi 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
th-cam.com/video/4BduxYtZxIk/w-d-xo.htmlsi=PjRSMizMHz5WunlI
Kwenye shei shei hua hapakoseki mambo🎉🎉❤❤❤❤❤
Kazi nzuli sana kp na Sheila ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubali kazi zako kp team nzima iyo mnajuwa sio pouw
Mamb
.
@@AthanasNkugwe pow
KP kwa vile upona shey shey najua hapaharibiki kitu BIG UP KAZI KAZI❤❤❤🎉🎉
Kisai hapo umeingia kwanye mkumbo wa vibwengo kp ni mjanja sana
Ninacho wapendea kingne Zaid ni kwamba m2 akiimba nyimbo lazima muilete hyo nyimbo axilia axanten xna❤❤
Palipo kp na zebuu na shey shey na diboz na likoma nimemsaha nanora na kisai hakunaga shoo mbovu mauwa yenu wanangu sana❤❤🎉🎉🎉🎉
Dakika ya 20 nimoooo tuuuu😂😂
I love plan B ❤ from TABORA
Mashaalh congratulations leo mm w kwanza kp naomba like yko najua wtaninyima ❤
Good job kp and your team congratulations ❤❤ much love from kenya
Naami hapo zebuu atajua ukweli kuhusu kp kulala na yeye nawapenda sana team KP
I can't wait for the next episode ❤. The one and only Representing Mombasa Kenya 🎉.
Nakupenda sana kp pamoja na team Yako mubarikiwe Sanaa ❤❤from saudia❤❤
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
Jaman, angalau ingekuwa hata baada ya siku mbili mnaachia, nice, series
Mim ata natak iwe kila siku🎉🎉🎉😂
Nikooo hapaa nimetuliaaa🥰🥰🥰🥰
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤
Sheila movie zote za kp na zebuu hii ya uhuni walai Sheila umetisha na uhuni😂😂
Apewe mauwa yake yuko vizuri sana😂
@@m.mmarckus6298 kweli kabisa
Nampenda mno huyu dada anajua mpk anakera@@m.mmarckus6298
Banaeee 😂😂😂
Yaani mahali kuna mzee likoma mm huwa sibanduki🎉🎉🎉🎉🎉
Kp na Shey shey nawakubali nyinyi mwamba nawakubali team kp🎉🎉🎉
🇲🇿🇲🇿 namkubali sana KP wa Aquino nainjoy nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kazi zenu nzuri sana ila mda mfupi tuongezee muda kidogo tuenjoy🎉🎉❤❤
❤❤kp kweli atafanikiwa kumuokoa mama akee jamanii na zebuu ndio uyo
Kp big up sana.?!!!na ww shey shey hakili yako nisawa
Much Love From Burund 🇧🇮♥️♥️♥️♥️
Mm napenda Sana shey shey top fun from Kenya🇰🇪
Kama unamkubali kp gonga like hapa❤
Woyoooo wa kwaza leo mpaka nliwaota kp na zebuu nawapenda sna
No moja weuweee napika huku nikiangalia plan B ❤❤❤ hongeren saaana
th-cam.com/video/4BduxYtZxIk/w-d-xo.htmlsi=PjRSMizMHz5WunlI
Nimeamua Namii kwenye maisha NITUMIE PLAN B. Maana Plan A imeferiii
Ewaaaaaaaaah
😂😂😂😂
Kisaii aongee vizurii banaa kila sehemu anaweka aaaa ndo anaongea anii anaongea kama anaigiza hujaelewa hapo kwamba anaigiza
Kp na kukubali move zangu unatumia akili mtu wangu yani ni kiangalia move yako lazima ni waambie family yangu una pendwa sana kp na zebuu mungu awalinde kazi nzuri sana kp na team yko na wakubali nyote
Nice job bro KP na zeeb my GOD BLESS YOU,mwenyezi MUNGU naomba awatangulize katika mipango yenu yote
Wa kwanza from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Nice sana kabisaaa🎉🎉
Nili mc sana pln B hii jamn kazi nzur kp ❤
Plan B ni zaidi motoooo, hongereniii sana team mungu azidi kuwasimamia kwenye kazi yenu.
Munaweza jamani Sheila nakupenda bure mamaa ❤ niko saudi Arabia 🎉🎉
Jamani kazi izuri ndugu zangu shikeni maua yenyu 🎉🎉team izima,,bt tunaomba muwache kutucheleweshea tafadhalini
Yamotroo hongeren sana me naomba uyo mama asife na kisai afer mpango wake 👌🔥💯
KP AND YOUR TEAM YOU ARE THE BEST
Kusema ukweli movie zenu huwa zina mwelekeo mzuri na msiche mkachanganyikiwa kama movies zingine hapa TH-cam plz love u guys from 24:35 kenya lovely country
Kundi lenu nina lipenda sana ila kwa chei chei ni final nampenda sana mambo yake
Purity kutoka Kenya hii episode nmeingoja sana finally 😅😅 all the best Sheila and Kp
Nawakubali sana Sheila na kp mna miundo mbinu mikubwa
Mungu akushushie baraka tele na maisha marefu wewe na kipenzi chako zebuu
Sheila round hii kacheza umafia halafuu mahesabuu anayajua kweli kweli kp umepata jembee haswaa
HIII MDIO PLAN B YENYEWE NI NOMA SANA KAZI NZURI TWENDE NALO🎉🎉🎉🎉🎉
Ety nn sheyla 😂 pich Ampost na bimkubwa mnaenda kumkomboa🤣🤣🤣🤣🤣mumeweza Sana KP wa Quinho💪
Anajiamini kweli kweli
Vipande mnaweka vifupi sana yani kama hapo pakuangalia location mmetumia muda mwingi sana sheyshey na kp move nzuri sana ila jitahidini hapo
The best series ❤❤❤ Kam unaikubali plan B show love hapa❤
Wanawo penda kp ahokowe mom ❤❤❤
Daaaah kp unatisha bro keep it up
KAZI nzuri Sana team KP bt mbna dakika mmepunguza jaman
th-cam.com/video/4BduxYtZxIk/w-d-xo.htmlsi=PjRSMizMHz5WunlI
Asante kazi ila mutupunguziye ku siku jameni ilituburudike vizuri
Sheishei ndo master planner wa Kp😂
ahsante sana kp umenipa kitu moyo unapenda
This is awesome
Wa kwanza Leo from Kenya ❤kazi nzuri sana kp napedna show zako sana
Wa kwanza mie
Nakubali sheila baya sana tuko wagapi wanamupeda
Chuma kwa hewa nakubali sana🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda sana wanaomshabikiyazeebuun❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Movie nzr sn vipenz kazi nzr sn mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza leo naomba like
Nawakubali
Kila mtu wakwaza wamwisho sijui nani kazi ipo kweli 😂😂😂😂
Shy shy unaweza kamam❤❤❤
Haaaaaaaaaaaaa nimeielewa iyo kp.nora haaaaaaaa asante🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuu hatar Namuombea Mama KP asife jamani 😢😢😢
Mmeupiga mwing
Wuee leo nimewahi kabla mahours hayajapita.furaha kubwa team kp .likes zangu kutoka kwa mtukufu William
Yangu hiyo
th-cam.com/video/4BduxYtZxIk/w-d-xo.htmlsi=PjRSMizMHz5WunlI
Shey shey noma sana nakubali
Jamani shey shey nakukubali🎉🎉🎉🎉 big up sana kp ucjali ukiwa na mrs apo uko fit🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Good mission kijana
Mungu ameweka kipaji sana ndani yako.
Movie nzur
Nimeisubiri sana 😊
th-cam.com/video/4BduxYtZxIk/w-d-xo.htmlsi=PjRSMizMHz5WunlI
Napenda umoja wenu kp na shey shey❤
Nambar 1 team kp like zenu apo
Wa kwanza tokea Nairobi ❤Gonga like ya Kp na Sheila 😊
ay na m leo nimewai
Wa kwanz
Wa kwanza leo❤️❤️much love kaz,nzur🎉🎉🎉
Haya twende nalo kp na family yake❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉maua yenu hio 😂
Kp na zebu nakubali🎉🎉🎉🎉
We shey shey noma sana 🎉🎉🎉
Wa kwanza nipeni likes zenu
manshallah kp na zebuu na Tim ya mungu Awabariki wote ❤
Jamani kp huwa watoa wapi hizi story upo vizuri xana
Sasa bongo movie zimerudi Wapendwa Big up KP na timu yako🎉🎉
Leo naona kila m1 wakwanza sasa kwanini msiifanye hii siazon kua Bora Kwa kutoa maoni
Tupoo sana🎉🎉🎉🎉🎉
Nimeipenda sana❤