Watanzania tumeingia mkenge kinoma kumpitisha huyu mwanamke Ikulu. Kumuondoa ni shida sana kama hatutaungana wote na ccm wenyewe wamkatae kwanza asigombee kbs
Kwani nyie mlipata wapi hela za kukodi machopa kwenye mikutano Si ni huo huo ufisadi tu ? Hapo hakuna msafi kila mmoja ana uchafu wake We shukuru umekombolewa kutoka utumwani huko kwa mashoga ukarufishwa nyumbani Ukakombolewa toka kifungoni ukaachawa huru Ukapewa uhakika wa kua huru bila kesi kama alivyotaka kukushtaki magu Ukapewa na mafao yako bado unamtukana aliekuhurumia Mwanasiasa wa nyoko kweli
Wanaipenda CHADEMA matajili wanajitolea kutokana na madhira wanayopitia kodi za nguvu mabavu watu wanajitolea tu kuiangamiza ccm kwa namna nyingi mwenye hela gari mafuta watu wanajitolea tu
Usidanganye watu LISU hajapewa mafao yake usibebe dhambi isio na lazima wala msingi ameliongelea swala la mafao yake na malipo mengi ikiwemo matibabu ni haki yake hakuna hata malipo aliopewa LISU kama wanasema wamelipa wajitokeze waseme waonyeshe kidhibitisho
Then ukishafanya kama french hio nchi umpatie nan unamkubal atakuwa mzalendo???. Kwa nchi tulionayo ili tupate haki na maendeleo halali lazima tuwe na kuongoz kama Magufuri mwenye nia ya kwel na msimamo asieyumbishwa na upepo wa kisurisuri.
Wewe usie na njaa Ongera zako Lisu amekuzidi kila kitu ktk Maisha yako Kuanzia Kiumri Kielimu Kiumaharufu Kujulikana Kieshima Kifedha Kutembea Nk adi Zambii
Umesahau sio mlitaka kumnunua huyu mmeshindwa mkaona mumuundie mpango wa kumtanguliza mbele za haki waliomuundia wametangulia wao yeye bado Mungu amemtunza ana kazi nae maalum upo uliejaa bendera ya ccm?
Mungu akuongoze
Ubarikiwe sana.
Lissu big up
TRA watuambie wamekusanya tsh ngapi kwenye hizo pkpk? Like twende sambamba
Kwa nini hawamjibu Lissu hela za pikipiki Samia katoa kwa Waarabu. SIMPLE AND CLEAR
Kweli kiongozi wetu tutalinda kurazetu
wakulima EFD ina wasubili na nyinyi mtoe lisiti 😂😂😂😂
Makonda mtetezi wa haki za wanyoge.
Kuwaondoa mafisi bila tume huru I tawezekanaje maandamano yaendelee
Watanzania tumeingia mkenge kinoma kumpitisha huyu mwanamke Ikulu. Kumuondoa ni shida sana kama hatutaungana wote na ccm wenyewe wamkatae kwanza asigombee kbs
Fisiyemu mtupishe tunamuelewa mbeba maono dunia ya jana siyo ya leo
Nina mashaka na hiso pikpk labda hata Kodi hazijalipiwa
Kwani nyie mlipata wapi hela za kukodi machopa kwenye mikutano
Si ni huo huo ufisadi tu ?
Hapo hakuna msafi kila mmoja ana uchafu wake
We shukuru umekombolewa kutoka utumwani huko kwa mashoga ukarufishwa nyumbani
Ukakombolewa toka kifungoni ukaachawa huru
Ukapewa uhakika wa kua huru bila kesi kama alivyotaka kukushtaki magu
Ukapewa na mafao yako bado unamtukana aliekuhurumia
Mwanasiasa wa nyoko kweli
Wanaipenda CHADEMA matajili wanajitolea kutokana na madhira wanayopitia kodi za nguvu mabavu watu wanajitolea tu kuiangamiza ccm kwa namna nyingi mwenye hela gari mafuta watu wanajitolea tu
Usidanganye watu LISU hajapewa mafao yake usibebe dhambi isio na lazima wala msingi ameliongelea swala la mafao yake na malipo mengi ikiwemo matibabu ni haki yake hakuna hata malipo aliopewa LISU kama wanasema wamelipa wajitokeze waseme waonyeshe kidhibitisho
Huyo anayesema lisu kapewa mafao ni mlevi acha naye mpuuzi.
Sio mafao tu na uhuru wa kuropoka kapewa
Enzi za mjomba alikimbilia kwa mashoga huko
Hakuthubutu kusema nyoko
Tanzania inabd tufany km french walivomtoa mfalme lous
Then ukishafanya kama french hio nchi umpatie nan unamkubal atakuwa mzalendo???. Kwa nchi tulionayo ili tupate haki na maendeleo halali lazima tuwe na kuongoz kama Magufuri mwenye nia ya kwel na msimamo asieyumbishwa na upepo wa kisurisuri.
Wewe c unataka madaraka tyu wala hakuna kingne njaa hizo acha kutupoteza cc
Waloko madarakani walitaka Nini ?
Wewe usie na njaa Ongera zako
Lisu amekuzidi kila kitu ktk Maisha yako Kuanzia Kiumri
Kielimu Kiumaharufu Kujulikana Kieshima Kifedha Kutembea Nk adi Zambii
Wewe hujui ulitendalo ko tunakusamehe tu lissu sio saizi yako
Hayo maoni ni ya kibaraka. Mwenye kuijua historia yake huchutama !
Umesahau sio mlitaka kumnunua huyu mmeshindwa mkaona mumuundie mpango wa kumtanguliza mbele za haki waliomuundia wametangulia wao yeye bado Mungu amemtunza ana kazi nae maalum upo uliejaa bendera ya ccm?