#LIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2022
- Mpenja Tv imetembelea Nyumbani alikozaliwa Mchezaji wa Yanga Sc, Dickson Isack Ambundo,Nyakato National Mtaa wa Ikoi Jijini Mwanza ambapo ilipata Wasaa wa Kuzungumza na Familia yake ili kujua Historia ya Maisha yake na Soka kiujumla.
#MpenjaTv #YangaSc #DicksonAmbundo - กีฬา
Thanx Bi mkubwa kwa kutuletea hiki kiumbe kwa taifa la tanzania tuseme Alhamdulillah 🤲💛💚💪🇹🇿🇦🇪
Familia hii inaupendo sana Mungu azidi kuwabariki jaman na azidi kuwapa upendo mzuri
👍 kazi nzuri
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Eeeeeh M/Mungu uzidi kumlaza Mama angu maala pema peponi ama kweli Mama ni nguzo na mwanga wa maisha duniani....!!!🙏🙏 Naamini Mama ungekuwepo ungenipongeza kwa kazi ninazozifanya....!!
Allahumma Ameen
Huyu mama ambundo nimempenda bule jamani anazungumza vizuri sana na anatoa baraka tele kwa mwanae na kwa tim nzima
Hii familia inaonekana ina busara sana na upendo mama mchesi pia anaonekana ana Hekima sana 💚💛
Mzazi Bora kizazi Bora nidham Bora upendo kwa wingi Mungu awabariki🙏🙏
Oooh having a mother is a blessing.
Ambundo niatariii sanaa
Natamani hii interview ingefanyika baada ya mechi ya jana ya Yanga na mbeya kwanza ingekuwa bomba kweli kweli, ki ambundo ambundo 🤣🤣🚶🚶
Mpenja TV mko vema kwa habari zenye tija kwa jamii
Huyu mwandishi ni mzuri Sana.. nimempenda Sana.. yupo humble Sana.. na charming
Ht mm
Na anabashasha zakutosha na anajua kuhoji kwakweli
Safi sana mama Dickson Ambundo uko vzr umependeza usiache kuishabikia yanga
Mtangazaji aongezewe mshahara very charming,
Naunga mkono hiyo kauli Binti anajitahidi Sanaaaa yaani Sana Sana MSHAHARA Uongezwe🙏💛💚💛💚💛💚
Mm mpenzi sana sana wa simba lakini nampenda sana huyu mtoto
Acheni uswahili eti hapafanani. We kwenu pazuri? Au ulitakaje kumbuka hapo ni kwa wazazi wake siyo kwake.
Shida hao vijana wanaosema maisha ya watu hawajui background za familia za watu,Yawezekana Ambundo ndio mkombozi wa familia kwahiyo mtu mwenye anafikiria vyema ataanza kujudge umri wa mtu ndio tuangalie mafanikio
@@Andrew_Kibasa upo Sahihi kabisa aiseeee
Vijana Wengi tunapambana mnoooo kuokoa family zetu
Yaani tena Kama wengine ndo ukute wa kijijini Basi tu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mama mungu ampe afya njema
Wasafi mgepata mdada wakutafuta content kama huyu mtakua mmejitanua Zaidi kwenye media yenu hatusemi mumuibe huyu mdada hapana jitengenezi wakwenu huyu ni wa mpenja tv! Dada upo vizuri
Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ukiona mtu anadharau maisha ya mtu mwingine jua hyo nilimbuken wa maisha maisha ameyajulia mtandaon
Weweeeeeeee mwandishi hujafika Shelui umefika Mwanza au Air Tanzania hahahahaaaa ! Super interview
Mzeee edwin waekeze mtaa wa national chimbuko la kocha MASTER one lv
Wow ndgu zangu kabisa wanyiramba oyee
Edwin (edo kipanga) bonge moja la mido
Hongera ambundo na huyo kaka yake atafutiwe timu acheze vipaji vimekaa tu
Wew dada tuna kuombea kwa Mungu mpenja akuongeze mxhahara mana unatuhabalixha habari nzuri xana ambazo zimejificha yan wewe ni zaid yaah
Hongera familia ya Isaac Ambundo
Ambundo mchezaji muhimu ktk match muhimu (a.k.a Game changer)
Ambundo anafanana na mamaake ! Safi sana
Nendeni kwao na yule dogo wa namungo, Emmanuel Charls, nampendaga sana.
Yule sio mtanzania ni Mnigeria
@@mingajohn6518 No ni mtanzania, nilisikia ni mtu wa kanda ya ziwa pia. Nimemaanisha yule anachezaga namba 3
Yule ni mtu wa mwanza
Jamani nimeamka asbh uku mtaani kila Mtu anatembea kale ka staili ka ambundo adi makolo mi sijapenda kabisa ichi kitu😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
edo kweli wew fundi sisse nakueelewa sana
Edween anamzid kiwango Ambudo tunamjua niukweli anasema Ila aaache kale katabia kake akae vzr
That feels good mpenja tv
Kijana wetu taratibu ameanza kuipora mioyo yetu wananchi.......
Wee dada unaijua kazi yako sana.
Mama hongera kaongea vzr
Yanga oyeee
Ambundo stail
🤣🤣
Feytoto 🤸💪🕊️
Tupo mtaani tunadunda ki ambundo ambundo chezea wewe 🚶🚶
Waoow
Bonge la interview
Fungal domo lako we. VM VP au kwenu pazur sana acha ushamba kama keen pazur ukfa unaeda napo
Kaka hujakosea mdogo wako Dick fundi sanaaa
Pale Yanga Dick na Mapinduzi huwa mafundiiiii
Kmb Ambundo Yanga dam tumejua🤣
💚💛💚💛💛💛
Ali gaucho 1
Huyo edwin hatar
Apo Kwa Arsenal apo cha chaaaaaaa
Kaka kama kaka
Hapo kwa mama kanifuhisha
Da!! Nimewaona washikaji zangu wa mwanza home boy,,kadanke ungezungumzia na ligi ya mbuzi ya mahina sec nusu itoe roho watu,,,, mpe hai kocha wetu MASTER kawatoa wengi kasoro mimi tu Haha
Ambundo fundiii
W
Huyu jamaa katokea familia ya kishua
Wananchi
Ninachompendea huyu Mama ni mtu wa mpira
Ndomna kafanikiaa kumbe anatumia jina lababuakeupandewamama yani isack ambundo
Aloooo kumbe ambundonimsukuma
We kwenu pazur?acha. Ushamba
Hhhh
Mimi siangalii chochote namuangalia asha kabuga tu
Dada uyo kakake fundi. Vby
Kandanki😂😂😂😂😂
Huyu mwandishi hajui kazi ya uandishi wa habari sijui ameokotwa wapi hata hajui kuuliza swali anakurupuka tu
Wivu utakuua
@@Andrew_Kibasa Kolo huyo
Hongera , master ,Frank ndekeja nakukumbuka tulisoma wote veta tabora
Wivuuu tuuu
Mbona hapafananii na mchezaji anaechezea clabu kubwa au halipwi vizuri na utopolo
Ww unataka paweje, na Yanga ana mda gani? Unaujua uwekezaji wake?
Kwani we kwenu pakoje idiot
nazani kwenu do hapafai kabisa
Ulitaka pawe Mecca?
Sip vizuri hivyo unavyoongea, usimdharau usiemjua
Muulize vizuri mzee atakimbia ukweli maana mmefanana sana
Mama mungu ampe afya njema
Daa hiyo ambundo kwasisi wasafwa tusi Kubwa sana