SIMULIZI FUPI YA KUSISIMUA: SIKU ZA MATESO, By Anko Jay
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 มี.ค. 2023
- Emmy ni binti ambae anakutana na changamoto nyingi katika safari yake ya maisha, anajitahidi kupambana nazo lakini mpenzi wake anakuwa kikwazo namba moja katika kumletea matatizo
- บันเทิง
Jamani ni huzuni Sana matezo haliyo pitiya nashukuru kuwa halipokeya yesu kristo kuwa bwana na mwokozi wako
Asante sana anko j kwa kweli tumejifuza mengi sana 😢😢😢😢😢😢 ss ni wanafamiliya ya anko j simulizi tunakupenda sana anko j mungu akupe maisha mazuri na mke mzuri pamoja na watoto wazuri❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂
Sitory za hivi hapana kwakwel watunzi mtuonee huruma wasikilizaji yani sitory ni kulia mwanzo hadi mwisho Aiseee😭😭😭😭😭😭
Maisha yalivyo nafurahia simulizi ambayo itanipa furaha yani hata kama mwanzo utakuwa mbaya mwishoni tufurahie,sio lisimulizi linazidisha stres inaondoa furaha kabisa, acha nirudie kwa mara nyingine simulizi za Lissa Mwalla,loo mbona TAMUUU halafu hazichoshi, bando linaenda halali kabisa, Lissa Mwalla anajua tena ajua sana utunzi wa mambo halisi yanayokabili binadamu leo, msimuliaji wake Anko Jei 👏
@@ataamansi8941 Yani simulizi maumivu mwanzo mwisho hadi unajuta kuisikiliza hapana kwakwel😢
😭😭😭😭 hichi kisa kimeniliza sana itoshe kusema nakupenda sana uncle j wetu🌹🌹.
Mungu asifiwe. Mungu tushindiye, tupe hekima ya kweli kama dada Emerina tukumbushe kuomba na kusamee kila siku za maisha yetu Amen 🙏
Amen
@@catherinekadima18
😭😭😳😭😭ekh mungu we pitisha huruma yko kwa wanawake wanoptia mateso
Anko Jay apewe ulinzi jamani sio kwa sauti hii🥰🥰 from buja 🇧🇮🇧🇮
Gonga like kama umelia on this story 😢😢😢😭😭😭
Painful story 😢😢😢 dunia kweli sio yetu watu ni wanyama ,I can't stop crying anymore 😢
Doctor huna tofauati na mwalim wa mathe
Ank j wangu 😢😢 hakika sijutii kuifahamu kazi yakk😢😢😢
Simulizi hii tamu kweli inaumiza
Anko j hatari Sana ww🔥🔥🔥
Daah inauzunisha sana 😢
Anko jay hupo na huku haya tupo pamoja haya jamani tunainjoi tuu na simulizi tamuuu🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
😭😭😳😭😭ekh mungu we pitisha huruma yko kwa wanawake wanoptia mateso 2:46:18
Kwakweli hii simulizii😢😢😢😢😢menitoa sana machozi
Kwa kweli anko j katika simulizi zote ulishawahi kusmulia this is one of the sadest storie which has made me learn that in this life in what ever we do lets put our hope and trust in God mungu akubariki sana you make my day.
Kwakweri ni maumivu makali mungu pekee atupinganie ss wanawake tunaopitia mateso makubwa,
Anko jay wetu huyoooo endelea kutuburudisha na simuliz mix mmejua kutuliwaza sana anko jay wetu
Duh hadithi ya kusikitisha eti kijiji ulichozaliwa kinakutoa kafara eti Mvua hainyeshi Baba yako Mzazi anafanya unyama huu. Kumbe hata mapenzi kati ya wazazi na Watoto imekua mkataba kama ndoa tu. Uhusiano unaweza kwishaa na kuzikwa. Nilifikiri Mume au Mke ndio anaweza kuwa sumu. Asante Anko Jay nimejifunza sana🙏🏾
😢😢kiukweli wanawake tunapitia changamoto nyingi sana wallah hata nikikumbuka siachi kulia mtu unahagaika na mimba unajifungua kwa uchungu kisha mtu anakupa manyanyaso kisha unaambiwa mtoto ni zawadi yake😢😢
Hii simulizi imeniliza sana jamani duuh moyo unauma sana
Anko jay na huku upo bc sisi na wewe tu mwanzo mwisho hatukuachi 🥰🥰🥰
Asante Anko J kwa simulizi nzuri ya mafundisho pole mama lmerida
Hii cmulizi imeniliza mno najiona mm kabsa inaniuma sana cjui uschana ndo nn nikickia TU wenzangu wakicmulia m2 anasema mwanaune wangu wa kwanza n fulana ndye aliyenitoa ucchana wangu roho inaniuma sana kuwa cku kutwa na ucchana baada ya kukutana na mwanaune wangu wa kwanza hili jambo mm lnaniumiza sana ktk maisha yangu na litaendelea kunila had naingia kaburini inaumza mno uckie TU Kwa mtu omba yackukute mm hli linaniumiza mnoooooo ee mungu nisaidie niondolee kovu hli liliomo moyoni mwangu naumia mm mja wako
Anko J pamoja sana 👍🏻
Anko j izi simulizi izi hapn kwakwel zinaumiza jamnii tuleteeni lissa mwalaa
Kwani huwanga anko j unalia kweli ama
😂 😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri kiukweli nami nilitaka kumuuliza
Hii simulizi imenitowa.machozi sana polesana emelida
Hii story ya fanana na maisha yangu ndo siamin kama waeza msaidia mtu asifungwe jela kisha atoke jela anisahau na kuniachia mtoto kwale wanaume sitawaamin milele
Pole sana mpendwa ndio dunia japo sio wote
Very sad,pole dear 😢
Pole mpenzi ni wanaume jinzi walivyo
Mmmh nabaki nalia tuu
Pole sana mpnz
😭😭😭😭Jamani Anko mbn ume niliza ivo jaman dooh pole sana mpenz mungu atakutia nguvu na watoto ni baraka hivo pambana na mwanao😒😒😒😓😭😭one love wana simulizi mix 💚💙💜
asanty anikojeiiii Aki hiyo simulizi imeningusa Sana mbaka nimetoa machozi kusema kweli nifunzo kubwa Sana aki
Gonga like hapa kama umeguswa Kwa uchungu 😢😢😢na hii story ya ankoJay ❤❤
Sijachelewa sanaaa achaniskize kilicho jiri
Wanawake jmn yapo yakuvumilia na mengine tusivumilie mateso hata mungu anakuona😢😢😢
Umejua kutumwaga machozi anko Jay huna bahaya😢
U’re talented
Kwa kweli nilijaribu kuskiza miezi miwili nyumba lkn uzalendo ukanishida kwa masikutiko Sasa nimemaliza Asante anko kwa sauti bora
So sad simulizi nzuri saana kanzi nzuri saana kwa mtunzi
Kwanzia leo nimewacha mambo ya wanaume kabisa 😢😢😢😢😢
😂😂
😅😅😅
😢😢😢😢😢😢
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭mhhh mateso bn mateso too much mateso duuu ni huruma kwakweli 😢😢😢
Dah so sad but good story
Kweli hata mimi wanachukiya wanaume mno wa mama tuwejasiri mno
😭😭😭😭😭😭😭Lahaula walakuwata
Inaliza na kuhuzunisha haya nisubir itaishia vip. Allah tustir na vizazi vyetu😢
Ukweli hii story ni ya ukweli kweli 😢😢😢
Pole merida yote yakidunia . ...asante kwa story tam sana
simlizi ninahusu pia maisha yng japo kunatofauti kidogo nilimpenda mwanaume ambaye hata sasa siwez kusahau alipewa kesi nakutiwa ndani siku zote alizokaa sentoro pole post basi nilishinda hapo hadi polsi wakanichoka lkn siku yaliyopata uhuru alienda kulewa na mwanamke mwengine bila hata huruma huku nikiwa nauja uzito wake kitu kilichopelekea kuharibika kwa mimba mapenzi haya nyoko jaman
Akika nalia kwa uchungu sana yani naahidi wanawake hote watakaoo kuwa karibu yangu na lazima nitekeleze that is my promise by God's face 😢 😭 😢 😭 😢 😭 😢 😭 😢😢😢😢😢😢
Nimelia adi kichwa kinauma 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
AMAZING STORY ANKO JAY 🔥🔥🔥🔥🔥
anko j for life❤
Pole sana my love 😢😢😢😢😢😢😢
Brother j actually nakukubali sana we kiboko mno yani mimi shabikiako mkubwa tu naishi Canada Ontario na kuku bali sana mzee kilasiku nakusikiliza af odari kweli kweli wakusimulia kiukweli sichoki kuku sikiliza aisey.
Waoooooooooooh wajina wangu zuwena mungu akutangulie kwa wema wako ulomfanyia Emmy na mwanae😢😢😢aise nimejikuta nalia kwa simulizi hii
Haya twende nalo sambamba 🎉🎉
For sure ckuweza kuimalizia coz inackitisha sana cwezi jizuia
Jamani paka naliy😭😭😭😭😭😭
Mhmm 😢😢😢😢😢😢😢jamani mwe😢😢😢😢😢😢 nashindwa hata kufikiri huyu baba Imelda jamani
Anko jey bigup n smix
One love anko jay
Anko jay tupatie part 2 yke
Story nzur asante anko J
This story Anko is too emotional 😢 😭 😫
Simulizi nzuri na yakuskitisha sana ,,asante sana msimuliaji tunaenjoy ❤❤
imeniliza sana😢😢😢😢
Aww under J nakuaminia
Kweli Mungu awalinde mama wote tunakipaji Mkubwa kwa kuleya watoto
Anko j mwambie lisa mwala atulekee simulizi bana juu lisa pekee niye ako n vitu moto moto
Pole mway matatiz tumeumbiwa binadam mung atakusaidia ❤❤❤
Pamoja san anko j❤
Anko j 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Watu hawana huruma jaman 😭😭😭
Imenilza sana 😭😭😭 Anko Jay
No I don't agree with this ety bwana alimleta duniani alafu akamtoa tena apana ,God brought her to the world and villagers and one idiot so called a man walimtoa dunianiani jamani mbona mimi nitakufa na dhambi I can't forgive them it can never be me I am commenting this with a lots of pain in my heart 😢 😢
Pole saana dada
It's so sad story but I personally nimelearn so so much 😢😢😢😢
❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤
Inasikitisha sana jmn
Kwakweli😂 wengi wanafungwa bila kosa wamenyimwa haki wamenyanganywa hali
Nimashidwa kuvumilia nimajikuta nalia jamani Anko jay 😭😭😭😭💔💔💔
Asate sana ako j
Hivi kuwahukimu binadamu wasio .na hatia kutaisha lini duniani😭😭😭😭😭😭
Nimeshanga sana na Sheria za Tanzania kuchukua adhabu mikononi mwao?na kutesa binadamu mwenzao?
Bila kigugumizi naomba mjue yakwamba hii simulizi ni moja ya elimu ninayotembea nayo leo
❤❤❤❤❤
duuuu jaman ninauma sana
Isaya kamkufuru mungu mbwa huyu kama nikweli mtoto mtamuckwa mama ake ata awe vipi 😢
Imelida pole sana 😢😢😢😢😢😢
❤❤❤❤❤❤❤
Mm hapa nalia Sana nkimalizia hii simulizi lako anko jay
Saw rikuwa na chochote anko jey
imeniliza sana hii daah 😭😭😭
Story inaumiza na inasikitisha😢😢😢
Uyo mkaka ningemuona ninge mtiya risasi sheteni
Yani inauma sana inaliza
Yan nyiyi wanawake w tanzania bara muna moyo😢 sasa huondok unasubir nini
Jaman dhambi 😢
Acha tu😢😢
Akih nimelia😥🙆