Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran Allah amuongeze amuongeze nguvu amulide ampe afya dawa iendelee Allahamdhullah barikiweni
Kama sinagogi ni msikiti basi Quran ni uwongo Quran 22:40 Yohana12:42-43 Walakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi. 43 Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu. Yahudi-Sinagogi Wakristo -Kanisa Waislamu -Msikiti Yahudi ni dini sio kabila . Ole wenu waislamu mnaopotosha watu kama Yesu alivyosema katika Luka 17:1-2 Akawaambia wanafunzi wake, Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye yaja kwa sababu yake! 2 Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa.
Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran Allah amuongeze amuongeze nguvu amulide ampe afya dawa iendelee Allahamdhullah barikiweni
Masha Allah Allah amuongoze ishallah
Nampenda sana mandugu zangu
Ya rabi wajaalie ndugu zetu wakristo wakiona haki waifuate
Aaminayaarab
Takbiri Allahu Akbaru
amiri yusufu kujeni kkmega,
Mtihan wakristoHawasomi
Saidi mwirigi 😂😂😂😂😂😂 hiyo nakataa sjai skia hiyo andiko😅😅😅
Ndacha wako wapi wajioneee nyota ya Muhammad mtume wetu
Anaendakuleta BibiliaYake🤣🤣🤣🤣
Bana unaitwaje hassan na wewe mkristo. Hasaan ntumie namba yako gurbaa we need to talk
Kama sinagogi ni msikiti basi Quran ni uwongo Quran 22:40
Yohana12:42-43
Walakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi. 43 Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.
Yahudi-Sinagogi
Wakristo -Kanisa
Waislamu -Msikiti
Yahudi ni dini sio kabila .
Ole wenu waislamu mnaopotosha watu kama Yesu alivyosema katika
Luka 17:1-2
Akawaambia wanafunzi wake, Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye yaja kwa sababu yake!
2 Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa.
Ole wao wakirsto wanaokufuru kusema yesu n Mungu au mwana wa Mungu na kuabudu kupitia Nabii issa .nausimshirikishe Mungu nakitu chochote
@@Nora-v1m3p if only you knew the secret in Jesus Christ