Wanahabari Nakuru waandamana kulalamikia dhuluma
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- Waandishi wa habari jijini Nakuru chini ya muungano wao wameandamana hadi kwenye ofisi ya kamanda wa polisi wa nakuru wakitaka polisi aliyempiga risasi mwanahabari wa runinga na redio ya kameme catherine kariuki achukuliwe hatua.
Inchi yetu ya kenya 🇰🇪 Ubinadamu haupo unyama umekita kambi... Mungu kumbuka Taifa letu uturehefu maana tumepungukiwa na utukufu wa mungu