MTUMISHI WA MUNGU by Annoint Amani (Official music Video )
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2022
- #mtumishiwaMungu#byannointamani#
Huu wimbo ni wa kwanza kuachiwa kutoka katika Album mpya itakayo achiwa Rasmi 2023,
Ujumbe huu ni Mungu mwenyewe ana sema na kanisa kupitia Mtumishi wake Annoint Amani ili kuliandaa kanisa lake,
Pia ni ujumbe mzito kwa wakati huu,
na kila alie kusudiwa Mungu amfikie popote duniani,
Nasisi tuna tetemeka na kumuogopa zaidi Mungu kwa namna anavyo enderea kumtumia mtumishi wake Annoint Amani,
Tunaomba Mungu anapo sema na kuwandaa wengine,
Bas Annoint Amani na team nzima tusipitwe maana neno la Mungu ni upanga ukatao kuwili )
This song is the first to be released from the new album that will be released officially in 2023.
This message is God himself speaking to the church through his Servant Annoint Amani to prepare his church,
It is also a serious message at this time,
and whoever is destined by God to reach him anywhere in the world,
We tremble and fear God more in the way he continues to use his servant Annoint Amani,
We pray when God speaks and gathers others,
Bas Annoint Amani and the whole team should not be overtaken because the word of God is a double-edged sword )
Annoint Amani For Bookings
+255767240181 = +255755099942
Instagram Annoint Amani )
Video Directed by Kheri (+255693 354 566)
Audio,A.E,A Tones studio
producer by Meddy ) - เพลง
Kumbe umenyoah kidog nikusahau ira nmekutambuah kwa sauti ya upako
This is the man of God wapi likes za mtumishi wa mungu
Huwa napenda nyimbi zako lakini Leo umeugusa moyo na roho.
Barikiwa sawa....
💙💙💙🙏 amen bro
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu 🙏🤲
Mungu akujaze zaidi mtumishi wa mungu
Waooo umenifrahisha Sana muonekano wako Sasa wewe ndiwe upako amani yaayayayayaaaaaaaaaaaaa
Aaah ! Hallelujah 🙌🙌
Aisee nimebarikiwa na huu wimbo mpaka najishangaa.ah be blased Man of God
Ina nguvu ya Mungu saana ,Kila siku nikisikia ni kama mpya 🙏🏼
Ameni balikiwa sana mtumishi wa Mungu kazi zuli sana
Nasubiri
Wow nice song bro💕💕💕 be blessed
Nyimbo zako hunibariki,mungu azidi kukuongoza katika nyimbo zako zenye ushuhuda,watching from laikipia Kenya
Your best dear
Hallelujah and hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Unazidi kupaa kwenye level ya kiroho,Mungu azidi kua na wewe zaidi mtu wa Mungu
That's is the man of God like za mtumishi WA mungu 🙏🙏🙏
Ujumbe mkubwa sana! 🔥🔥🔥🔥
Among the first to watch, God bless you mtumishi wa Mungu
Hallelujah 🙏
Wao....
Ahhh daaah! Mtumishi annoint amani ume change sana👍👍,ahsante pia kwa kazi nzuri🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
The devil is in trouble
Blessings Mtumishi,,
God bless you so much mtumishi wa Mungu zidi kueneza neno la mungu katika mataifa yote
Annointed song very Good God bless
Amen barikiwa sana 🙏👌
Weuweeee that song it has a message God bless you anoint ,,,, I'm watching day and night
God bless you always
Oooh yes be blessed man of God
God bless you Mtumishi wa Mungu
Bwana akuongoze katika huduma hii,good exmp for youth am Foward from kagera
Nyimbo zako inabariki saana,may God bless you abundantly
Naipenda huduma yako Mtumishi,hongera
Ongera KUBWA ƙwakweli Mtumishi wa Mungu elshamah washira
UDUMA yako piya Nzuri
MUNGU akuinuwe atuwa zaidi kwa atuwa
Haunizidi mimi jamani 😅😅😅🙏🏼
God bless song 🙏🙏🙌🙌
Amen mtumishi wa mungu .wanibariki na nybo ni Elizabeth kutoka Kenya Nairobi
Hakika amebarikiwa.Ameni
Nakuombea mungu ukae miaka mingi ukiimbia watu waokoke asante sana Annoint Amani baraka irudi kwako❤❤
BARIKIWA SANA wimbo mzuri💪💪💥💥💥 @Anoint
Woooh so nice 👍💞 💞 i love most keep it up bro.
I love the ministry in you
Amani mungu akubariki sana bro tukutasama kutoka kenya
Kweli kabisa Mtumishi MUNGU atusaidie
Wooza brother, keep it up blessing us powerful nice songs
Hallelujah hallelujah 🙏 God bless you man of God 🙏
Like ur song so much dear amani
Nice song 🎵 👌 👍be blessed
Le père des artiste musicien Nabii Bikemwa & Les autres artistes
Annoint Amani is blessed.I pray for him to live in the name of the Almighty God,to obey God's commandments and his service to the Lord and the entire world shall prosper.Amen
Congratulations bro❤❤❤
Amen amen 🙏🙏🙏 kazi zuri sana,kuna watu wako n kiburi Kwa kazi y mungu,mungu akupariki sana mutumishi
Amen amen
Be blessed, for the song with mere truth
Jitu la Mbinguni kwa saa yake 💪💪
Nikweli tuko siku za mwisho mtumishi
Amina kubwa mtumishi
Shujaa wa Afrika 🙏🏼
Nyimbo za mchungaji hunibariki na kunitiya nguvu maishani
Your songs always touches, God bless you
🔥🔥🔥🔥
Thank u God be with you
Âme
AMEN
Amen
❤Amen ❤
AMEN AMEN HALLELUYAHA
Daah kijana MUNGU aitunze huduma yako umletee BWANA mavuno mengi.
God bless you brother 🔥🔥🙏
tamu xana
🎉
From Kenya I love this song
Amen amen baba MTUMISHI barikiwa sana na bwana
Oooh hallelujah jina la BWANA liinuliwe amina
Good job mtumishi wa mungu never give up God is with you
Asante kwa nyimbo sa mafundisho mungu akubariki ,God bless "🍰💛🙏💛💛💛🙏🙏🙏
Nice song , it's touching song,
I love ur songs bcz they blessed me,
Hallelujah Amen 🙏
Safi
Ubarikiwe Sana nyimbo zako hunibariki Sana God bless you 🤝🤝
Kijana umegrow kiroho ..level yako ni Kama ya mtumishi wa mungu Angela chimbalonza ,..mungu akupe ufunuo kabiza...
Utukufu apewe Yesu 😭😭🙏
This is a great song,it's a revelations to the New Testament Churches,your are great our brother kuisuta kanisa.
Faya
This man never disappoints🙏🙏🙏
Asande kwa waimbaji wakenya wote mparikiwe sana #ipo
Ooh Halleluyah 🙌 kweli kabisa 🙏Amiina 🙏
Number one song
Hapo sawa umeanza kubadilika Kimavazi na Kiroho yaani Kimuonekano. Mpendwa tunamuimbia Mungu na tuhakikishe tunaenda Mbinguni
🔥🔥🔥🔥🔥 tubadirishe mienendo ujumbe kutoka kwa Mungu
mambo vipi tazama
Barikiwa mtumishi kw wimbo mzuri
Haleruya❤❤❤
May ur God lift u higher am blessed from kenya
Be blessed man of God 🙏🙏🙏 , from Kenya ilove you
such amazing song may God.continue lifted you up to preach gospel i like the.way unapanga nyimbo zako
Ubarikiwe sana mtumishi na Yesu akuinue zaidi 🙏
Amen merci beaucoup
Mungu ambariki tu ju mm Sina la kusema nyimbo zako zanimbariki sana
God bless you
Balikiwa mtumishi I love you so much
SAFI SANA God bless you
Nice song
Barikiwa xana ndungu mungu azidi kukuinua, waambie ukweli wa mungu,
Barikiwa Sana mtumishi wa KRISTO
Ubarikiwa brother Annoint napenda sana nyimbo zako