Yan hii move hata huyu lami hakutakiwa ndo awe house boy mana haendani kbs ni bora wangetafuta mkaka mkubwa kdg mana anaonekana yy na sania mkubwa sania kinaonekana kitoto kbs haina mvuto kbs halaf et ndo aliekua anagombanawa
Huyu mama mwenye nyumba ako na laana kubwa sana, huyu mama anatesa zu na kijana ya kazi,hi filamu ni mzuri sana, huyu mama kila siku atesa hawa watoto wawili kila siku, mimi nimechukia hi tamthilia kwa ajili ya huyu mama,hata siwezi weka like yangu,hata siwezi angalia hi tamthilia, kwaheri kabisa,
Jamn hii tamthilia isha anza kuchosha kipande kimoja cha maongezi na wanywa pombe mnaonesha mpaka movie inaisha aah jamn badilisheni mfumo basi tutaacha kufwatilia khaaa mnaboa sasa tunatumia bando na sio mafuta apa.
Mnaboesha watu na hili lifilamu lenu na hii Milevi yenu kama hamta punguza hizi mizahazenu mashabiki zenyu walilalamika mpaka wameeka mikono,,,kama hata hizi mtakosa mashabiki na mtaanza kulalamika,, na mtakuja kuikumbuka hii comment
kama umecheki house girl ,penzi la mtoto wa boss .dunia nipe like tujuane
Kwel kabisa hawa walevi wanahalibu movi kabisa wawatowe hawanakazi Ila tunawapenda sana❤❤❤
Leo nimekuwa wakwanza naomba like zenu 🎉
Hawa walev wamealibu movie wanao kubaliana na hili gonga
Kazi nzuri lakini walevi jama.i mutoe kwenye movie hawana kazi
Leo nmekuwa wa tano nipeni like zangu jaman
Yan hii move hata huyu lami hakutakiwa ndo awe house boy mana haendani kbs ni bora wangetafuta mkaka mkubwa kdg mana anaonekana yy na sania mkubwa sania kinaonekana kitoto kbs haina mvuto kbs halaf et ndo aliekua anagombanawa
Huyu mama mwenye nyumba ako na laana kubwa sana, huyu mama anatesa zu na kijana ya kazi,hi filamu ni mzuri sana, huyu mama kila siku atesa hawa watoto wawili kila siku, mimi nimechukia hi tamthilia kwa ajili ya huyu mama,hata siwezi weka like yangu,hata siwezi angalia hi tamthilia, kwaheri kabisa,
Una fkra za mbal San 😂😂😂
Saw baadae bas
Sania kuampole basi tunajua kuwakwenu munapesa ilakumbuka kuapesa hazinunui upendowadhath kwahio usjeukamuba baishakijana mwenyema lengoyake hujuikeshoyake itakuwaaje
Sania😢😢😢😂😂😂🎉❤😮😊
Hongereni sna kwa kazi nzuri
Hawa walevi jmn 😢😢😢wapewe sekunde 5 tuu sio mda mrefi wanaboa mnoo
Ila sania hauna machozi kama zuu, ueunajikamulia vitunguu vingi machon ili upate machoz bhna🤣🤣
Leo nimekuwa wa tato like zango
Wakwanzaa like zang jaman
Nice movie ❤❤❤
Jamani naombeni like nimekua wa sita leo🎉🎉😂
😢
Like ya nn jmn
My destin
Hawa walevi watoeni Kwa hii my destiny hawaingiliani kabisaaaa😮
Nko Kenya natazama movie zenu ila msichukue mda sana kwenye walevi tunataka matukio Sania na lami
Naomba mutuwekeye uyo muziki naupenda sana mu uposti wenyewe
Yaani huyu mama ana roho mbaya huyu mh
Leo nimekuwa wa 18 naombeni like 😅😅😢❤
Nawapenda sana
kaz nzuri ila walevi wapew dakika chache za kuzungumza wanaboa
Hawa walevi wameharibu movie
Nawapenda mnoo ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hii move inazidi kuwa mbaya Haina mvuto kabisa
Pole zuu yatakwisha
Am here from UK
Awa walevi wana faida ganj Kwa kipindi
Chakununa sania
Kipande kizima walaev ndo mnawapa mda sana hatuwataki hata hawaleti maana waondoeni kabisa
Next
Nawapenda naombeni laki
Jamn hii tamthilia isha anza kuchosha kipande kimoja cha maongezi na wanywa pombe mnaonesha mpaka movie inaisha aah jamn badilisheni mfumo basi tutaacha kufwatilia khaaa mnaboa sasa tunatumia bando na sio mafuta apa.
❤🎉
Nawabaemnoo❤❤❤❤❤
Kwahiyo walio tekwa hawawezi kurudi mjini😅
Sania wewe kila Movie yeye nimwenye kusumbu lianama penzi ninisasa gundu amaa
Unasema kwenu munahela sasa kitugani kinasa babisha musiolewe namatajili wenzenu munakalia kusumbua wafanya kaziwandani
Nimewahi leo😂😂
Mnaboesha watu na hili lifilamu lenu na hii Milevi yenu kama hamta punguza hizi mizahazenu mashabiki zenyu walilalamika mpaka wameeka mikono,,,kama hata hizi mtakosa mashabiki na mtaanza kulalamika,, na mtakuja kuikumbuka hii comment
Kabisa wanaboa sana mi ikifika sehem ya walevi na wanaongea sana napeleka mbele si paangalii kitakachofwata sasa ni kuacha kuifwatilia inakera
Mimi kutoka kenya
Mnamalizia mda kwa hawa walevi jamani
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mmh
❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉
❤❤❤🎉🎉🎉
TUNAOTAKA MLEVI ATOKE TUGONGE LIKE APA
❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤