Basi huo wimbo huku kenya pia unaimbwa kwa chama cha KANU.Zama kidogo hivi! Ooooh KANU yajenga nchi Ooooh kanu yajenga nchi Kanu haaaa Hoo hoo kanu Yajenga nchi. So lovely I love history
Neno sukuma alilitoa mnyamwezi akimaanisha wanaishi kaskani mwa tabora hii ni wakati wanafanya biashara za masafa marefu kama alivyoelezea hapo kwahiyo Msukuma ni neno la kinyamwezi linalomaanisha watu waishio kaskazini
Babu yuko vizuri tunajivunia kua Wanyamwezi👍👍👍
Basi huo wimbo huku kenya pia unaimbwa kwa chama cha KANU.Zama kidogo hivi!
Ooooh KANU yajenga nchi
Ooooh kanu yajenga nchi
Kanu haaaa
Hoo hoo kanu
Yajenga nchi.
So lovely I love history
Tingiza kidole 🤣🤣
Wanyamwezi tupo vizuri
Uko vizuri sana mzee
My tribe my prestige
WANYAMWEZI TUJUANE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥂🍾
My mom ni Nyamwezi lakin ajui kwao nwy Soon tutamleta Tanzania akanyage Ardhi ya kwao
@@Sulesalim111 Mnaishi wapi kwani??
Babu sauti yake kama mwalimu julius Nyerere
Babu yupo vizuri tatizo mmempa muda mchache saana
Mzee
Nadhani mmemuelewa!!
Neno sukuma alilitoa mnyamwezi akimaanisha wanaishi kaskani mwa tabora hii ni wakati wanafanya biashara za masafa marefu kama alivyoelezea hapo kwahiyo Msukuma ni neno la kinyamwezi linalomaanisha watu waishio kaskazini
Mimi piya mzewanga naitwa maganga
Mzee alikuwa ana madini saana lakini mmenyima muda
Najivuna kuwa mnyamwez
Sanaaaaa
Sara naomba unipe sifa za wanawake wa kinyamwezi
Hatujivuni bwana😂
Mchanyato au mkundugu