Niko zangu Mamtoni, USA ngoma hii hunirudisha nyuma Miaka zaidi ya 20 nikikumbuka maisha niliyokulia Miaka ya 90 na 2000, umaskini ulio kithiri. Nikijiangalia nilipo sasa hivi Sina la kusema zaidi ya ASANTE MUNGU 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kwa Sasa Uhuru wa kutoa mawazo yako bila kukamatwa ndani ya nchi yako hayapo! Maisha yamebadilika Sana na umepitia tabu nyingi na misuko suko mingi mno Muheshimiwa! Hakika unastahili kutambulika Kama baba wa muziki huu wa kizazi kipya! Hakuna ambacho hujawahi kuimba! Ubarikiwe!
2024 sugu na kijana wake Afande
Sometimes najiuliza ni kitu gani Sugu hakuimba kuhusu maisha na naishia kujijibu mwenyewe kuwa HAKUNA. True Legend to the game.
Watu wangu wa kitambo tujuane
Niko zangu Mamtoni, USA ngoma hii hunirudisha nyuma Miaka zaidi ya 20 nikikumbuka maisha niliyokulia Miaka ya 90 na 2000, umaskini ulio kithiri. Nikijiangalia nilipo sasa hivi Sina la kusema zaidi ya ASANTE MUNGU 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Best vocals by Mr Paul
Bongo hip hop zile enzi zetu bado tupo wa dogo
hii ni Gospel kabisa bro ulishaonesha umekuzwa kiimani sana proud of mby President
Huyu jamaa sometimes naona yupo underrated. He deserves more
Kwa Sasa Uhuru wa kutoa mawazo yako bila kukamatwa ndani ya nchi yako hayapo! Maisha yamebadilika Sana na umepitia tabu nyingi na misuko suko mingi mno Muheshimiwa! Hakika unastahili kutambulika Kama baba wa muziki huu wa kizazi kipya! Hakuna ambacho hujawahi kuimba! Ubarikiwe!
Wanaofanya sasa hivi ni marudio tu sugu Kama nyereree
2proud aka Mr 2 aka sugu aka jongwe majina yote yake😅😅
April 2023
Maridadi kamanda sugu napenda msg zako zanipa hasira kutafuta life...nasikiza mziki kenya
Huu ndio wimbo wa Mheshimiwa sugu nilijifunzia Ku rap nikiwa shuleni, nakumbuka Deputy headteacher akisema ninavuta Bhangi. Upload ule unaitwa Haki.
Deepac Braxx Heavyweight Mc mwaka gani
Ahsante Mungu 2022
Dah izo siku izo
Jongwee
Nice !
Miziki ya zamani zilikuwa na full msg ...positive vibe
Sugu 💪🏾💪🏾💪🏾I grew up with this song 🎧.when music was music 🎶
Good
asante mungu