MACHOZI YAMTOKA IBRAAH HARMONIZE AWAZAWADIA MAGARI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia
Ubalikiwe Harmonize 🙏🙏🙏 upendo kutoka Rwanda 👌🏻❤
Amen
Very Big Heart KONDE BOY MAY ALLAH BLESS YOU MORE AND MORE 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😢😢😢
Amen
Mashaallah 👏👏💕
Asante
Daaaah harmonize mukubariji
Kond boyi urifanya vizuri saana arakini utumiye hakiri basikudanganye uharibu hera asante saaana❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hogera sana sana ibraah
Sanaa
Hogera sana ibraah sana sana harmonize
Watching from Kenya
Together
Allah akufanyie wepesi Kwa kila jambo
Ila nisiwe mucoyo mempendeza kwakwel kwamavazi meva😍😍😍
Asante
Good sana dogo jeshi
Sanaa
Mashaallah 😍😍❣️
Asante
Jeshi Oyeeeeee
Oyee
FUATA NYAYO ZA SIMBA!!!...BABA LAO!! MWALIMU WAKO , MLEZI WAKO.... NA BOSS WAKO!!
Hakili zenu za paka nyie!! Hivi diamond kwenye hii dunia ndo wakwanza kutoa zawadi ya gari? Punguwani nini?
@@kezimanamelchisedek6037 hahaha...ewoo..tulia dawa ikuingie pole pole weee!
Wema kwa wema
Sanaa
It was Awesome ❤❤❤🔥🔥🔥
Yani wallah nimejikuta nalia, 😂😂😂
Acha tuu
Mashll mung akuongeze barak
Magari ndiyo issue siku hizi
Umeonaee
Safi sana hamonaiz
Mashallah
Konde blessings of Allah be with you🙏
Iko powaa
Safi Sana Jeshi
Ubarikiwe
Mmependeza sana wapenzi
mashallah
Amen
💣💥💥💥💥🐘🐘
Nimejikuta tu nami machozi ya furaha yakinitoka, kweli maisha niya Mungu
Wooow they are so happy ❤👌
Konde boy brooo may God be with u
Safi
Nice kond
Ndiyo maana nakupenda harmonize.
Nakubali
IBRA oyoooooo
This is the point Harmonize did leave his mentor DIAMOND in good faith and good deed are following him. He is deeming. Ukitoka sehemu na wema , wema inakufata. Sas ona aliaga vema
Harmonze comedy Sana .eti cheed zakweku zikowapi🐘🐘🐘🤣
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤kawaidi sana
Good luck ibraa
Amen
😢❤❤😢😢🎉
Jamaa kamnong’oneza amwambie ibrah atoe machozi kwani ni nguvu au machoz ni lazima😂😂!!!
hahaha...we mwana wew...
Utani siyo zambi mdogo wake
Kweli aise umeona
Mngu akibaliki ibla 3:34
Konde boy 🐘🔥 🔥
Naamin kabisa mkikaza hivi tutapata jina kubwa kutoka wasanii tofauti
Kwahiyo country boy hakua na gari
Wakwanza
Huna adabu ahahahaha
Elimoze ft mr slow-mapenzi yamenishinda official video out
Cover photo ya video hii bwana nimecheka Sana
Uyu kwl kafwat nyay za mond
Hauna hakili wewe
Hakuna kitu kibaya kama kucopy mwenzako yaani copy ni copy tu sio kama original hata interview ni fake aibu sana, kwni kumpa mtu zawadi hadi mwonyeshe makamera na masuti tena watu wazima wapo nyuma wamevaa miwani acheni huo ushamba 🤣🤣🤣🤣!! wa kulazimisha watu kulia
Kweli kabisa
Amelia saa ngapi?Nilimuona kaka yake anamtania MBONA HULII BRO
Simba modo wenu
Makumbwa man
Mm amenikera hajampa gar ibra
Ujaona kwal
Mmm
Mmm
wacha umama unalia mtoto wa kiume nini.WCB Gari ni kama pilo broo wachakupagawa dogo
Machozi ya furaha jamn ...
Hahahaaaa
Vigari vya eight million simba atabaki kuwa simba tu
Swala ni unayo wewe
Ww unalo achakupiga
Ushukuru mungu unasmart ila gar utasikia kwa wenzio
najua unajisifu ww umepewa zaidi ya iyo kumbe ndo wale wale wasojielewaa mwambie simba na ww akupe