EX WA BEKA AELEZA SABABU ZA KUACHWA "NISINGEWEZA KUMKATALIA HARMONIZE"/ALITUMA MESEJI MBAYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 447

  • @frankfelix5344
    @frankfelix5344 3 ปีที่แล้ว +50

    Huyu ni mjinga sana ndomana wanawake ni nyoka unawezaje kujichukulia maamuzi kuwa vixing na hujatoa taarifa kwa mme wako beka well done

    • @mkobainnocent2368
      @mkobainnocent2368 2 ปีที่แล้ว +7

      Kwani ametolewa mahali? Kama hajatolewa hana uhalali wa kuwa mke ni mzazi mwenzake tuu,,kikubwa yeye apige pesa maisha yaendelee,,kwani huyo beka ana vi chuplichupli vingapi?😁😁😁😁

    • @shadyarif653
      @shadyarif653 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/tMmrY5XSATY/w-d-xo.html

    • @shadyarif653
      @shadyarif653 2 ปีที่แล้ว

      @@mkobainnocent2368 th-cam.com/video/tMmrY5XSATY/w-d-xo.html

    • @humphreynduye6239
      @humphreynduye6239 2 ปีที่แล้ว +1

      Mkoba huna akili,,, nahx hujaoa ww
      And hujui ,,, nn maana ya mke ,,
      Mwanmke ukikaa nae miez miwil tuu hta kma hujmtolea posa n mkeo halal mkiachana kisheria mnagawana ,,, hta mlivyonavyo

    • @najmahamso8364
      @najmahamso8364 2 ปีที่แล้ว

      @@mkobainnocent2368 alimuoa na huyo dem alislim na wakafunga ndoa ya kiislam

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 2 ปีที่แล้ว +5

    Shout out kwa mchaga OG na thisisaaliyaah na refresh kwa ujumla na wasafi media kwa kazi nzuri🤝👏👏

  • @philbertemmanuel7630
    @philbertemmanuel7630 3 ปีที่แล้ว +26

    Unaitwa tu hovyo kushoot wanakuona we danga wenzako huwa wanaandaliwa

    • @stevenchenga1978
      @stevenchenga1978 3 ปีที่แล้ว +5

      Si ndio apo vixen huwa anaitwa na anaandaliwa kwa kupewa maudhui ya video jinsi itakavyokua na sio kukurupushwa Kama ww unavyosema...kweli walimuona ni cheap prostitute ndomaana

  • @danielathanas5872
    @danielathanas5872 2 ปีที่แล้ว +5

    Both wanaonekana wako humble kwa kiasi Chao. GOD have them together.

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 3 ปีที่แล้ว +54

    Happy Kwa hakika, umempoteza mume, dadangu

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 ปีที่แล้ว

      Nouma th-cam.com/video/yKXCNFMSwHg/w-d-xo.html

    • @PendahlawKE
      @PendahlawKE 2 ปีที่แล้ว

      Much love th-cam.com/video/Smu7gj2od5Y/w-d-xo.html true story jamani

    • @chamalawana3606
      @chamalawana3606 2 ปีที่แล้ว +1

      Mungu anakuona we dada

    • @FauritoOmar
      @FauritoOmar หลายเดือนก่อน

      77777 um PB CGD

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 3 ปีที่แล้ว +21

    Acha jeuri za kiiraki dadangu, mtafute Beka ndugu yangu, achana na wazugaji hao, wewe ni mtoto wa kike Una muda mchache sana wa kuondoka kwenye chat

    • @r14kgroup68
      @r14kgroup68 2 ปีที่แล้ว +2

      Mwambie ukweli

  • @daudimatelot9339
    @daudimatelot9339 3 ปีที่แล้ว +27

    Bonta alisema Mwanamke mzuri kama hana skills ni sawa na Pete ya dhahabu kwenye poa ya Nguruwe

    • @PendahlawKE
      @PendahlawKE 2 ปีที่แล้ว

      Much love th-cam.com/video/Smu7gj2od5Y/w-d-xo.html true story of

    • @shadyarif653
      @shadyarif653 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/tMmrY5XSATY/w-d-xo.html

    • @vummyjulias6951
      @vummyjulias6951 2 ปีที่แล้ว

      Unamakosa razma ungempa taarifa mwenzaako

    • @vummyjulias6951
      @vummyjulias6951 2 ปีที่แล้ว

      Dah naomba beka msamehee 2 uyu mdada Mana nimzur sana

    • @daudimatelot9339
      @daudimatelot9339 2 ปีที่แล้ว

      @@vummyjulias6951ana tamaa sana uyo dada

  • @Maseras.love5
    @Maseras.love5 2 ปีที่แล้ว +4

    It"s so painfull najiskia mawazo yamenizidi..nishawai experience such things kama ni mtu caring na huruma mbona akuache hio inamean kuna kitu ulifanya na ibra😭😭you so cute mamy we men we are not that good as you think utachezewa na uregret badae mnaendana sana na beka aki am ready to give you all kinds of things zenye utataka bora mrudiane na beka sipendi kuona true love ikivunjika beauty pls rudi nyuma.Nimefatilia hii story sana na imenigusa..From lamu Kenya

  • @rogathebarran9944
    @rogathebarran9944 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana happy mi Bado nakuelewa wasikichanganye watu wa media rogathe bwawani biskuti upsent date kumbuka umejificha sana huko dar wasanii ni kama tu kina lao la usanii kila kitu wanaigiza na kuimba

  • @sniperreally9078
    @sniperreally9078 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa waliomuonea huruma bekq let's go 🚶‍♀️

  • @satwanthoogan6746
    @satwanthoogan6746 2 ปีที่แล้ว +9

    Ex- wa Beka,mzuri sanaaaa!😍👍👏

  • @azzizazizion5056
    @azzizazizion5056 3 ปีที่แล้ว +8

    siongei kwa ubaya ila wanawake weng walojaliwa uzur bas wanahis kutulia na mwanaume mmoja watachelewa kimaisha so wanatumia uzur wao kama fimbo ndio mana weng wanaishiwa kudanganywa kwa kupewa pewa vijihela lakin mwsho wa cku watu wanapiga kisela wanasepa tumien akil

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 ปีที่แล้ว +4

    Alafu Oooh wanaume kwa kununa wanamaindi vitu vidogo sio kununa wala kumaindi vitu vidogo tunaitaji heshma ya dhat na kweli sio heshma ya kuigiza

  • @embeteidi5023
    @embeteidi5023 3 ปีที่แล้ว +26

    Shida ya wanawake wa bongo wanaweka pesa mbele kuliko mapenzi

    • @lightnessdominick6887
      @lightnessdominick6887 3 ปีที่แล้ว +6

      Nyie ndo mnataka iwe hivyo

    • @fathers19991
      @fathers19991 3 ปีที่แล้ว

      Wende jaza mimba

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 2 ปีที่แล้ว +2

      Tafuta pesa utapendwa hadi na chawa

    • @johnjoseph763
      @johnjoseph763 2 ปีที่แล้ว

      Kwa kifupi Wanawake walio wengi ni tatzo sn na uwa hawajui km kuna kesho hyo ndio shda na wanajifanya wajuaji sn ndio maana wanaishia kuzaa zaa ovyo tu na hata uwaambie nn yanapita huku yanatokea huku

    • @salamaseif4183
      @salamaseif4183 2 ปีที่แล้ว

      Kweli

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 2 ปีที่แล้ว +6

    Happy una lugha za kubadilika. Ulisema unamjua beka ukimuaga hawezi kukuruhusu leo unasema ulikurupushwa. Hakuna mwanaume anaweza kukubali eti itokee kwa video bila kumshirikisha ulikosea sana.

  • @Sppah697
    @Sppah697 3 ปีที่แล้ว +14

    Happy umechemka! Umeona mwanaume wako hafai ukaina Harmanise/ Ibra ni zaidi siyo!

  • @saleheabdallah5461
    @saleheabdallah5461 3 ปีที่แล้ว +11

    We acha kijishusha thaman kwa kushobokea ustar mume wako ndo amekufisha mpaka hapo ulipo alaf unakuja kufanya vitu bila kumshirikisha huna stara ya kuwa mke wew..

  • @aminahhill1277
    @aminahhill1277 2 ปีที่แล้ว +11

    Waw I like the way she’s talking

    • @PendahlawKE
      @PendahlawKE 2 ปีที่แล้ว

      Much love th-cam.com/video/Smu7gj2od5Y/w-d-xo.html true story jamani

  • @placidiasilvanus9113
    @placidiasilvanus9113 2 ปีที่แล้ว +6

    Atleast umeeleza mema yake big up

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 3 ปีที่แล้ว +9

    Mimi nakushauri fanya ufanyavyo, mtafute Babu Tale au Fella waongee na Beka

    • @oyay2821
      @oyay2821 2 ปีที่แล้ว +1

      Kama ashaonjwa Beka hawezi mkubali kabisa

  • @isackdalushi2255
    @isackdalushi2255 3 ปีที่แล้ว +9

    Beka fleva yuko sawa kumwacha huyu dem maana hajielew wee unaishi na mme wako ushindwe kumpa taarifa wanaume hatupend hayo mambo

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 2 ปีที่แล้ว +1

    Aaah weeee ulishindwa kumheshimu mumeo kwa sababu ya pesa kwani Becka pesa alikuwa hakupi? Kwahiyo hapo ulipo umeridhika kabisaaaaaa na hayo madanga yanayokupa kiburi eti ingekuwa ni mwanamke uliyekamilika ilikupasa kabla ya mwaka mpya kuanza ungeomba radhi kwa mumeo

  • @mathiaslaurent756
    @mathiaslaurent756 2 ปีที่แล้ว +11

    Huyu dem ni mjinga na ndio tabia nyingi za wanawake, anajiona mzuri na kuanza kusikiliza maelekezo ya wanaume wengine fikiria anasema ni msanii mkubwa nisingeweza kumkatalia dah!

  • @erickthomas3436
    @erickthomas3436 2 ปีที่แล้ว +4

    You can't decide and then ask for advice, about making decisions, he also knew that Beka would not agree with those decisions nor was it time to explain it to him, as that is the responsibility of the family

  • @chamalawana3606
    @chamalawana3606 2 ปีที่แล้ว +7

    Hii ndio aina ya wanawake wengi tulio waoa eee h mungu tusaidie

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 2 ปีที่แล้ว +4

    Tatizo lenu no nizamu
    Hiko ndicho kilichokuwa kipimo kwako kwake sio jambo dogo kama unavyochukulia jifunze kitu hapo hili husije kuludia kwa mwanaume mwingine.
    Hata ningekuwa Mimi nisinge kuhuliza maana hulishajichukulia maamuzi mikononi mwako.
    No Matt unaenda kuonana na nani taarifa kwanza.

  • @martinkinyua7650
    @martinkinyua7650 2 ปีที่แล้ว +7

    For sure this lady loved beka so much but beka sometimes he is non understandable.

  • @isackwsmithwsmith9027
    @isackwsmithwsmith9027 2 ปีที่แล้ว +8

    Teacher konde 🔥😍🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 2 ปีที่แล้ว +28

    Ulimthaminii msanii mkubwa Harmonize..... Baada ya kuachika kakusaidia nini?
    Umeulizwa beka ni mwanaume wa aina gani?Umesema vizuri...mwanaume mwenye kujali sana na huruma ..Heshima...
    Umeulizwa tena kama unajutia ulichokifanya ni kitu kibaya?
    Anasema haujutii
    Wewe Dada unafeli sana..Kumbuka mambo ya anasa ni ya kupita tu..Istoshe unamtoto anateseka kwa ujinga wako na tamaa zisizo na mpaka....
    Ushari wangu rudi kwa mungu wako piga magoti muombe radhi mume wako mrudiane mlee mtoto wenu..Jeuri ya kijinga haina faida....Mwenyezi mungu akufanyie wepesi....

  • @jastinmollel5502
    @jastinmollel5502 ปีที่แล้ว

    Unaongea vzr had raha mnapendana sana ubarikiwe madam

  • @babuunavaz9843
    @babuunavaz9843 3 ปีที่แล้ว +27

    Ukiona demu anakuelezea kwa uzuri hivyo ujue kurudiana naye sahau 😂😂

    • @rickierunyota3613
      @rickierunyota3613 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kabisaaaaaa

    • @dankalama7677
      @dankalama7677 2 ปีที่แล้ว

      Wahuni tumeelewa 😂😂

    • @shkjumaa8339
      @shkjumaa8339 2 ปีที่แล้ว

      uko sahihi mwamba

  • @peter_paulofficialy
    @peter_paulofficialy 2 ปีที่แล้ว +8

    She is so cute....i love her💕

  • @aboubakarykitemi3721
    @aboubakarykitemi3721 2 ปีที่แล้ว

    Sasaiv ana sura nzuri bdo umri ngoja afike miaka35 tu uone km utaitwa kwen izo shooting pumbv ww yni kisa konde ni msanii mkubwa ndo ufnye utkcho bila mumeo! wnawke wa ckuiz dawa yao kuwachfua tu afu unasep zako mamae kbsa

  • @musason1680
    @musason1680 3 ปีที่แล้ว +56

    Hapa ndo utaona jinsi walivyo wajinga ety nimekurupushwa na msanii mkubwa ko siwez mkatalia ni bora afanye dhen Amwambie akili za kijinga sana hawa wanawake wa mjin ni WA kudate nao maisha mengne ttatafta watu wengne wa kufanya nao maisha ujuaji mwingi

    • @kidjhdf7568
      @kidjhdf7568 3 ปีที่แล้ว +2

      Yes ni mjinga kweli huyu dada

    • @jassonnelly3445
      @jassonnelly3445 3 ปีที่แล้ว +3

      Sahihi uzuri bilaa akili ni kasha kabisa

    • @frankbizatv6023
      @frankbizatv6023 3 ปีที่แล้ว

      Upo sahihi

    • @stevenchenga1978
      @stevenchenga1978 3 ปีที่แล้ว +6

      Huyu msichana ni mjinga Sana ata ambavyo anaongea..ety nilikurupushwa na msanii mkubwa so siwezi mkatalia afu msanii mwenyew Harmo mweny tamaa ya wanawake dah! Afu aliliwa kabisa siku iyo sio bure mpaka Beka akamaind

    • @AliMohammed-df7iz
      @AliMohammed-df7iz 2 ปีที่แล้ว +4

      Wallah hujielewi mumeo utuambie msanii mkubwa

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 3 ปีที่แล้ว +8

    Huyu bint mwanzo nilikuwa na muelewa ila Kadri siku zinavosogea namuona chenga. Et Leo hii anasema beka anajari Sana na huku interview zilizopita anasema Becka hajari. Inaonesha kabisa yy ndio ako na matatizo Ndiomaana Becka kagoma kukarudia na uzuri wote huo kabak kuhangaika ktk media😂😂

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 2 ปีที่แล้ว +2

    Naungeomba kutombwa ungetombwa kwanza ndo umuombe mume wako ruhusa ya kuchepuka. Ulifeli dadangu just respect your husband before everybody.

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 2 ปีที่แล้ว +3

    Alikosea sana kwa ufupi mwanamke hasomuheshimu mumewe hafai honestly...

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 3 ปีที่แล้ว +12

    Wanawake wa Dar kwa kupenda Kiki duh mpo Vzr aisee mnapenda san maixha ya Mtandaon kumb Njaa tu, kiukwel hauna Maajab

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 3 ปีที่แล้ว +15

    🤣🤣🤣🤣🤣 chezea pesa wewe wanawake heshimuni mlioko nao kwenye mausiano

  • @bornfaceisaalivisonisaa7495
    @bornfaceisaalivisonisaa7495 3 ปีที่แล้ว +5

    Hizo dharau hata mm ningekuluhusu uchanganye mbarigaa wende

  • @luckyyusto8159
    @luckyyusto8159 3 ปีที่แล้ว +7

    Fala Sana huyo msanii mkubwa yupo wapi? Na anakusaidia Nini!! Malaya wewe

    • @samwelmassi1932
      @samwelmassi1932 3 ปีที่แล้ว

      Hafaiii kuwa mkee ila ni kwamatumiz anafaa etioi ila sifa za mkee hakunaa hata chembee

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 3 ปีที่แล้ว +5

    Mmewako hutakiwi kufanya vitu kama hivyo bila ruhusa yake unaonekana tu mdangaji unapenda maisha ya utandawazi hufai kuwa mke wa nyumbani bali wakula nae maisha ya anasa

  • @isibanianews1329
    @isibanianews1329 2 ปีที่แล้ว +6

    Wewe ni mshobokaji tu,lazima wawe walikuwa wanafanya na mengine.

  • @abdulishaban7795
    @abdulishaban7795 3 ปีที่แล้ว +3

    Wana wake wabaya saana wana wake yaaan cyo kabsaa yaaan mwanzon una muona mtu lkn tamaa aiseeeee tamaaa

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 3 ปีที่แล้ว +7

    Saiv wasafi bila kumzungumzia jeshi hamsikiki mjini khaaaa

    • @olipambwilo6055
      @olipambwilo6055 3 ปีที่แล้ว +1

      Mabinti wengi wanasahau ni kuchanganya mapenzi na kazi

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 3 ปีที่แล้ว +2

    Mmmh pole ndugu apo ulifeli, kabra ujaenda ungemuambia mwenzio, lkn umejiamulia tu.... Kaona umemzalau sio vzl my dear, cjui ulimuona jinga kumbe mwenzio ana msimamo wake

  • @mwangekatabia9136
    @mwangekatabia9136 3 ปีที่แล้ว +8

    Sai ao waliomkurupuaha kufanya video wako wapi

  • @mariamubonifac3775
    @mariamubonifac3775 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwahiyo beka Yuko singer🤣🤣🤣🤣wooo nitajimilikisha na mim

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 2 ปีที่แล้ว +3

    Wanawake wengi wanaojiona wazuri wametenganisha malezi ya baba na mtoto kisa tamaa zao,Kingne nimejifunza hata Kama unampenda na kumjali mwanamke ambaye bado hujamuoa usimuoneshe upendo huo atakupelekesha na kuona hata akukosee vp huwez muacha kisa umezaa nae

    • @ibrahscharo2703
      @ibrahscharo2703 2 ปีที่แล้ว +1

      Nakubaliana na wew Kakangu hili n somo kubwa sana kwangu.

  • @mzalendoonlinemedia7170
    @mzalendoonlinemedia7170 2 ปีที่แล้ว +1

    Tamthiliya ya PAZIA mmeipotezea Wabongo. mnakwama wapi!?

  • @sarahbraison417
    @sarahbraison417 2 ปีที่แล้ว +3

    Wanaume wengine wababaishaji tu hapo bdo alikua hajakuoa kwahiyo una Uhuru wa kufanya lolote chamuhm heshima tu

    • @juliasmihwela1326
      @juliasmihwela1326 2 ปีที่แล้ว

      Hapana watu hubarika wakiingia ndani sasa yeye hata hajaolewa anafanya mabaya je akishaolewa ingekuaje huyo usimtetee hana adabu tu na licho fanyiwa ni haki yake

  • @skythugblackmonster9041
    @skythugblackmonster9041 2 ปีที่แล้ว +1

    hakuna mwanaume yeyote yule ambae anakubali kufeli, huyu demu alim- undervalue mshikaji huwez kua kwene mahusiano afu unajiamulia vile unatak, she z not serius mazee ni sawa na mke wako amuheeshimu boss wako zaid ya anavokuheshimu ndo kitu kilichotokea.

  • @musason1680
    @musason1680 3 ปีที่แล้ว +9

    Ety anipende kulko navompenda unawajua wanaume ww 😅😅😅 utapendwa na atakujali akishazagamua ndo utajua walivyo

    • @boyochu1308
      @boyochu1308 3 ปีที่แล้ว

      Hajawajua vizuri huyuuu😀😀😅Subiri limfike

    • @musason1680
      @musason1680 3 ปีที่แล้ว +1

      @@boyochu1308 hajui neno mwanaume hiyo me ina maana gan hapo mbela 😂

  • @franklinkessy586
    @franklinkessy586 2 ปีที่แล้ว +3

    Kunde Gang ni kikundi flani cha wahuni ambao hawana adabu wala heshima kwa wake za watu pumbavu kabisa

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 2 ปีที่แล้ว +1

    Eti mke wa beka 😏, mtu hajakuoa alafu anataka kukupanga mjinga nini dada fanya mambo yako , kama angekupenda angekuoa mfungu ndoa hapo unakuwa na uhakika na unachovumilia

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 2 ปีที่แล้ว +2

    Heri kuoa demu mwenye sura kaa lori ya jeshi but hivyo hivyo atarukiwa tu

  • @shamsakiobiya2526
    @shamsakiobiya2526 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu happy kafika mjini kajisahau amesahau alipotoka na beka,wasichana wa Arusha hawajatulia

  • @barakanassari700
    @barakanassari700 2 ปีที่แล้ว +1

    Na hiyo ndo point Dada kuongea kwamba yeye kwake ni upendo 2 vingine havimsumbui

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 2 ปีที่แล้ว +10

    Ukitaka kuachana na mwanamke wako mjali sana. Ila kama mnataka kudumu mpelekeshe kama gari bovu. Yani mpe mikiki mpaka ajute kuzaliwa hapo mtadumu milele.

  • @tonnykenga9468
    @tonnykenga9468 3 ปีที่แล้ว +2

    Nonsense huyu mjinga bado anatafuta umarufu kilazima..mwka mzima story ni hio hio tu

  • @AbuBakar-fu9ov
    @AbuBakar-fu9ov 3 ปีที่แล้ว +4

    Et harmoniz mtu mkubwa🤔🤔beka hajakosea. Kukutema fara ww kwahyo beka hana heshima ya kuheshimiwa kama harmoniz👹👹

  • @wapotionline1421
    @wapotionline1421 2 ปีที่แล้ว +2

    Dada wewe ni mbaya dada Kuna wanawake warembo bila mekap ,,,,ila pia ni mwanaume mjinga tu angeweza kuvumilia huo upumbavu wako hata mimi siwezi

  • @daudidisu6703
    @daudidisu6703 2 ปีที่แล้ว +1

    Wambulu kaa nao mbali nimalaya wa kutupwa yani arusha uku wame shindikana beka kakosea cana huyu mwanamke mmbulu ninoma

  • @alira6789
    @alira6789 3 ปีที่แล้ว +10

    Nimependa nilipoona kipande cha wimbo wa ibra..huu ndo upendo wadau

  • @sinirdot1705
    @sinirdot1705 3 ปีที่แล้ว +4

    Mwana mke ndo mwenye ttz kumbe 😏 nilifikiri Beka ndo mjinga kumbe ni mwanamke ndo mjinga, Unahanza je ku shoot video bila kumtaharifu mumeo eti Harmonize ni Msani mkubwa ujinga kbs

  • @jastinefaustin9982
    @jastinefaustin9982 2 ปีที่แล้ว +1

    Leo umevaa vizur halaf umependeza Ndugu mtangazaj

  • @neemakapinga7224
    @neemakapinga7224 2 ปีที่แล้ว +1

    Watarudiana coz kupata a star or mtu fulan amaizin ukiwa na mtoto utasubir sana, labda ujipange kuzoa yoyote ka unavyosema,no man want to raise another guy kid

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 2 ปีที่แล้ว +2

    Myaka mi 8 mtu amekuvumiliya vingi uka mu ache kwa message ? Beka hajawahi kukosea? Huu dada haku msameh!!!??? Wanaume huruma yenu finyuuu kabisaaa🤮🤮🤮 Happy Mungu akupe mwenye kheriii zaidi
    Nawe mara nyingine umsaminishe utakaye kuwa naye na usikubali kukurupushwa👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

    • @asmaameir3663
      @asmaameir3663 2 ปีที่แล้ว +1

      Ndo wale wale

    • @chrispinkilasi1648
      @chrispinkilasi1648 2 ปีที่แล้ว

      Wanaume huruma yetu finyuuu kabisaaa? Sawa je unaesema atampata mwenye kheri atakuwa mwanamke?? Kubali tyu wanaume tuna wivu mkali hivyo shemeji alikosea kufanya maamuzi mwenyewe

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 2 ปีที่แล้ว

      @@chrispinkilasi1648 labda😡😡😡

  • @salimali7930
    @salimali7930 3 ปีที่แล้ว +6

    Kueni Makin mapenz aya ingiliwi sio kwa kumnyooshee mwengine kidole angalia na kwko usisahau Dunia duara..... Usha pitia na yatakukuta na twaishi nayo na pia twayaona.. .

  • @janemhango5884
    @janemhango5884 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi kwa mawazo yangu tu huyu mwanamke kaona kapata vipesa kaanza kiburi wanawake wapole ni nyoka lakini atakuja kumkumbuka Beka kila mtu anakuwa na wivu kwa mtu ampendae hata wakiishi bila ndoa inatakiwa amsikilize huyo bwana ake

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwani huyu harmonise alishindwa kumuona beka kabla ya kumchukua?

  • @venancekavishe9823
    @venancekavishe9823 2 ปีที่แล้ว

    Mwanamke ambae hana Akili basi sehemu zake za Siri zitapata tabu sana mamae

  • @danielmwaisaka2330
    @danielmwaisaka2330 2 ปีที่แล้ว

    Was a nice

  • @allybakari5265
    @allybakari5265 3 ปีที่แล้ว +6

    Yan kwaukweli wanawake niwajinga Yan kwaukweli mm na hawawa2 sinaiman nao Yan kisa m2 ni msanii mkubwa akualibie ndoa

    • @johnasso6944
      @johnasso6944 3 ปีที่แล้ว +1

      Acha izo Wew kazi Ni kazi Kwani Hakulipwa?Kwani Alipo anza kukutana nae hakuijua kazi Anaeifanya

    • @stevenchenga1978
      @stevenchenga1978 3 ปีที่แล้ว +2

      @@johnasso6944 ww huyu binti alikua hafanyi uvideo vixen alikua ni *makeup artist* na aliingizwa na kutambulishwa na uyo aliyekua mumewe Beka... Ata Kama ingekua ww uyo ndo mkeo anakuaga nyumbani anaenda kazini kwa ajili ya makeup alafu unakuja kushtukia anaonekana kwa video ya msanii kawa vixen utamuelewaje uyo mkeo??

    • @drdbmwakipigo7927
      @drdbmwakipigo7927 3 ปีที่แล้ว +1

      @@stevenchenga1978 na kwa kuongezea hapo Ukweli ni kwamba huyo demu aliliwaaa na kondeboy

    • @drdbmwakipigo7927
      @drdbmwakipigo7927 3 ปีที่แล้ว +1

      @@johnasso6944 huyo demu baada ya kushoot video aliliwa na kondeboy hotelini

    • @stevenchenga1978
      @stevenchenga1978 3 ปีที่แล้ว

      @@drdbmwakipigo7927 kabisa iyo nakubar maana tunamjua Harmonize ana tamaa Sana ya wanawake na ivi uyo mwanamke mshenzi ety siwezi mkatalia msanii mkubwa 😅😅😅😅 pumbavu kabisa

  • @jumaasalim1008
    @jumaasalim1008 2 ปีที่แล้ว

    Namsapoti beka sana cz huyo mwanamke nimshamba2 hajui mana ya ndoa

  • @sannycpaul9423
    @sannycpaul9423 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu majibu yake ukiwa karibu lazina umtie mabanzi,yaani mwanaume upewe taarifa sio uombwe ruhusa pumbafu sana.

  • @chalodavid4537
    @chalodavid4537 3 ปีที่แล้ว +1

    maybe kwa interviews za awali but kwa hii moja tu mwanamke anaonekana ako very smart kichwani na anajutia.

  • @hassanchauluwa7308
    @hassanchauluwa7308 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani unakunywa sumu alafu unategemea maziwa.

  • @gentilsafarikacheranga3025
    @gentilsafarikacheranga3025 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hataivi, harmonize si mrembo kama bekawako?
    Ona vile munavyo ji letea aibu.
    Hebu nenda kumuomba masamahaaaa.
    Hâta ivi, si vema kushuti n'a msani mwengine kama unajuwa mpenzi wako naye ni msani mkubwa.

  • @kasrajymatimbwa6755
    @kasrajymatimbwa6755 2 ปีที่แล้ว +1

    For sure ww ni mpuuzi mwanaume atakaeweza kuvumilia ni hanisi 2 na c mwengne

  • @qassimmwalimu2771
    @qassimmwalimu2771 2 ปีที่แล้ว

    Walai ulimdhilalisha mwenzio,aki so poa ulivomfanyia afu naamini bado mwapendana ila mnaona aibu jamii utawasemaje,hasa hasa kwa beka..harmonize na watu wengine watamringia sanaa,haezi tena jivunia mama mtoto wake tena mbele za watu, anyway that's is your destiney

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 2 ปีที่แล้ว +2

    Wasafi habari zikiwa za kondegang wanavalia njuga washenzi nyie

  • @bushsutimeline766
    @bushsutimeline766 2 ปีที่แล้ว

    Hum

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama Beka anaheshima mbona hukumueshimu ?? Ulikosea mwombe msamaha, ninyi ni wazazi

  • @billymateo5005
    @billymateo5005 2 ปีที่แล้ว +1

    Yan Kaona Ku-Shoot Video Ni Bora Kuliko Kumjulisha Mumewe Na Anasema Hakupata Muda Wa Kumjulisha Mumewe

  • @fadhililitupa7512
    @fadhililitupa7512 3 ปีที่แล้ว +1

    Beka huyo achana nae hiko kimalaya inaonekana ana mambo mengi mno ambayo huyajui akina mpango kitakuua na na magonjwa omba mungu utapata tu mwanamke mwingine tena mwenye hekima haka kadada katakusumbua sana shenzii huyo

  • @mwakazisaidi1175
    @mwakazisaidi1175 3 ปีที่แล้ว +2

    She’s really

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 2 ปีที่แล้ว +2

    Aah harmonize ni msanii mkubwa

  • @mwangekatabia9136
    @mwangekatabia9136 3 ปีที่แล้ว +6

    Huyo aligotwa uko location

  • @nestorassani5461
    @nestorassani5461 3 ปีที่แล้ว +4

    Nakuja hapa kwa sababu nasikiya jina la harmonize

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 2 ปีที่แล้ว

    Uyo mwanamke ajielewi na atopata mume Kama beka amezalauliwa Sana na walimwengu ulipata mume unaangaika Kaa na uzuri wako

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 ปีที่แล้ว +2

    Dada alikuwa natafuta ela

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 ปีที่แล้ว +4

    Yaan wanawake wa sasaivi hovyo kbs hapo ndo mnapokosea sana hata kama umeshtukizwa ujue Harmonize sio mumeo ulitambue ilo video ya muda tu ulipaswa umtaarifu kila kinachoendelea umejiamulia tu

    • @licious3456
      @licious3456 3 ปีที่แล้ว

      Sawaa ni kosa ila ndo kosa la kuachana? Angechunguza sidhan km wangeishia hivyo

  • @kapopaelisha6406
    @kapopaelisha6406 2 ปีที่แล้ว

    bien sana

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 3 ปีที่แล้ว +3

    Dada ulikosea, jamaa yuko right

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 2 ปีที่แล้ว

    We dem mujinga sana hauwezi kufanya ujinga wa maamuz hayo, duh tamaa mbaya sana

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 2 ปีที่แล้ว +1

    Duh wanaume tunachangamoto sana zama hizi, katika hili nimejifunza kitu kikubwa sana kuoa tuoe lakini kujaaliwa kuoa mwanamke mwenye hofu na Mungu ni Jambo jema sanaa.
    Nimeumia kana kwamba ni Mimi nimefanywiwa hivi maadili gani mke wa mtu unaenda kushoot video bila ridhaa ya mume na yupo comfortable kabisa anaueleza umma kurahisi rahisi dah kweli uzuri bila akili kichwani ni Changamoto sanaa.

  • @jizzomonster
    @jizzomonster 2 ปีที่แล้ว

    Asa ww Dada tamaa mbaya itakuponza huwez kuacha kumuaga mmeo kosa kubwa hilo

  • @humphreynduye6239
    @humphreynduye6239 2 ปีที่แล้ว +1

    Hta,, mm ngemuacha tena nsngemrudia beka fresh kbxa,,,,
    Tena uxmfkilie huyo mwanmke ujichkulie maamuz,,, binafx ,, a wap halina heshima hlo,,, achana nalo ndyungi hilo

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mwanamke mshenzi anataka kiki ajue atapotea