RANGE ZAIDI YA 10 ZA NABII GEORDAVIE ZILIVYOSHTUA ARUSHA KWENYE FESTIVAL, MWANAE AONGEA USIYOYAJUA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 97

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Big up sana faida kwa waingereza,,,itapendeza kuwa na brand tz

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Jamani si mnibariki atamoja nadii mkuu .m ubarikiwe🙏🙏🙏🙏

    • @Barackswai
      @Barackswai 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kirahis rahis tu

    • @Sharifa_Fashion_21
      @Sharifa_Fashion_21 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Fumba macho nikuombee upate gari leo🙈🙈

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Hii nchi kuna watu wana hela sana ila wapo kimyaa😂😂😂

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Always wasio na hela wanamtazamo wa kupiga kelele 😂😂

  • @FabianoSinghania
    @FabianoSinghania 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Na mimi ntakuja na yangu 2024.💪💪💪

    • @anordgerase3372
      @anordgerase3372 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      yan we acha2

    • @shaddybmc8342
      @shaddybmc8342 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@FabianoSinghania 😂😂😂

  • @IssaAbu-f4d
    @IssaAbu-f4d 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Sadaka yangu nitampa muhusika anaetakiwa kuipokea mwenyewe cyo kwa maagent

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    Umeolewa Dada nataka nikae hapo😮

    • @billgatejuniour8797
      @billgatejuniour8797 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Una hamu ya kutolewa kafara wew

    • @sadiqadam7971
      @sadiqadam7971 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Oyaaaa 😂

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@billgatejuniour8797 wewe ndiyo unaweza tolewa kafara Kwa kuwa Hujui Kazi

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@aediayumgo8546haya ndo yaliwaponza wengi kwa p didy haraka na tamaa za kuvamia vitu ili kutaka nafuu

    • @bless.2559
      @bless.2559 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂
      Punguzeni moto vijana wa 2000

  • @AishaNgoyi-vi2ku
    @AishaNgoyi-vi2ku 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mashalaah ♥️♥️

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Daa kweliii ❤

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Gari moja tu hapo kuipata mtihani. 😂

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Kwani Ukisema magari zaidi ya kumi ndo nini

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ndio utajua haujui Sasa, njaa ya kwako mwenyewe, njoo ona hukuuu. Lo Mungu we.

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Shida sio kupuromoti utalii hizo hela za utalii zinaiifikia jamii ipasavyo au zinaishia kwa wajanja wachache

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Jamii ya wapambanaji sio kijana wa ovyo anashinda ndani kupiga nyeto 😂😂
      Hakuna mtu atakufuata eti shika hizi labda pdidi😂😂

  • @LilianJoshua-kj8ei
    @LilianJoshua-kj8ei 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Nizawadie hilo jaman dada, baba ako ni mtu wa watu, ninampenda sana

    • @khamishaji5265
      @khamishaji5265 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unampenda na hela zako na yeye anazipenda sana, na ndio maana anamiliki magari hayo ya thamani, hizo ni hela zenu za SADAKA . nakuchanua kama ulikua haujui.

  • @ManaseMoleli
    @ManaseMoleli 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Duh! Nabii tajiri ila wengine tunaangalia penye utukufu wa wa Mungu na ambapo nafsi inakutuma kwenda kuomba.

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe unaangalia penye utukufu wa Mungu au hujawahi kukanyaga kanisani

  • @BettyKimaro-l3q
    @BettyKimaro-l3q 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wao wanapata wapi pesa

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwaio leo ndio mmeona m post 😂😂😂😂

  • @digital-d2t
    @digital-d2t 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kila jambo lina Siri yake. Mungu pekee ndo anaona. Range zaid ya 10😅😂

    • @kessynurutajiri4940
      @kessynurutajiri4940 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mmmh!!. Hivi yule Mtoto wa mkubwa wa GD yuko wapi vile? Ingependeza kama yule Kijana ndo angekuwa muongeaji ktk hili Zoezi, badala ya huyu Dada. Au yuko busy.

    • @JiggerAmos
      @JiggerAmos 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mashaallah

    • @robertmondu3878
      @robertmondu3878 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Dah watz dah szan kama ......ums

  • @whigerjnr482
    @whigerjnr482 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweny hizo range kuna buku yangu nilichangia kanisan😅😅😅

    • @mithlaabdulrahim8566
      @mithlaabdulrahim8566 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂 hii ndo comment nlokua nkiitafuta

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tusisahau ndugu zang waumin kupeleka fungu la kumi kanisani kwetu

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nakwambia watumishi hawa, hawatauona ufalme wa mbinguni,

  • @Eliombenjoseph
    @Eliombenjoseph 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    waah hizo pesaa tu

  • @DM_15
    @DM_15 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kunajamaa hapo ana kitambi kama Kimtofyolo😂😂

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    kna mpuuz mmoja alkuwa anasema iyo festval inafaida gn et bora wakajiandkshe kpga kra

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Makonda amepelekwa kwa wanaojuwa kumtumia sasa wanapiga pesa dr tulikuwa tunapiga majungu tu angaria macharii wa r sasa wanavyochangamkia fursa

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    karembo jamaani

  • @GoodluckYusuph-q5c
    @GoodluckYusuph-q5c 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hakunaga nabii tajiri hapo tumepigwa

    • @jamesmassawe4888
      @jamesmassawe4888 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Soma biblia acha uvivu

  • @FabianoSinghania
    @FabianoSinghania 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Range rover 2024 iko wapiii?

  • @AlliMohamed-q2y
    @AlliMohamed-q2y 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Harmonize kajala 1 na 2😂😂

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu4614 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Hawa watu wanatoag wap hiz pesa jamen??

    • @brownsebastianmwibi5647
      @brownsebastianmwibi5647 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂wanatafuta

    • @TheAlman
      @TheAlman 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wanauwa ndugu zao 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 natania tu kweli kabisa

    • @stephenmsanzu9850
      @stephenmsanzu9850 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @stephenmsanzu9850
      @stephenmsanzu9850 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Usijali mungu akupe pia wewe hki🙏🙏🙏

    • @godfreytarimo1022
      @godfreytarimo1022 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sadak

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    huyu mwisho katufunga kamba

  • @directorbitomedia
    @directorbitomedia 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa demu waivi unamshawishije akupende labda ubaatishe kumtomba vizuli akuelewe 😅😅😅

    • @basheer4278
      @basheer4278 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @josephpanya9654
      @josephpanya9654 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Maneno yako ni ya walevi na wajinga.muogope Mungu utaishi

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kama huyo malaya uliyo nayo kakushinda,inability ufirwe,wewe, kwanza,unaongeya ujiga kwenye jambo muhim, fala,wewe,

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Anamume wake huyu

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Duh sadaka za waumini

  • @silverman6930
    @silverman6930 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mafala ndio waliowao

  • @FestoMunishi
    @FestoMunishi 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Hiyo issue y magari ni kwa ajili y nini au kwa faida ganiiii

    • @Benny318m
      @Benny318m 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wasafi festival huwa kwaajiri ya nini, tigo fiesta huwa kwa ajiri ya nini. Efm mziki mnene huwa kwa ajiri ya nini, cheka tu ipo kwa ajiri ya nini, kuburudika, kufurahi kujifunza mambo mapya na kukuza uchumi wa eneo husika leo ukiwauliza wafanyabiashara wote wa UNITED STATES OF ARUSHA watakwambia ni kwanamna gani mapato yao yameongezeka

    • @ISSACKRICHARD
      @ISSACKRICHARD 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂​@@Benny318mumejibu kikitabuni

    • @maribaisack2097
      @maribaisack2097 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kivutio cha watalii

    • @bestmilltz7071
      @bestmilltz7071 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Inachochea uchumi wa Arusha. Hao watu wametoka sehemu tofauti tofauti. Hivyo watahitaji hotel, chakula , mafuta kwa magari yao. Hivyo wananchi wa Arusha wataongeza kipato

    • @maalimwenga452
      @maalimwenga452 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kazi ya pesa ni matumizi za kwako weka tuu chini ya godoro mwizi atakuona tuu😊😊😊

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @caesar7745
    @caesar7745 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Na halipi tax eti anakanisa 😂😂😂😂

    • @Benny318m
      @Benny318m 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Fungua kanisa na wewe uwe unaagiza bila makato ya kodi

    • @josephvenus3259
      @josephvenus3259 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Inakuuma ee 😂😂😂 Itakua we NDO mchawi WA familia YENU 😂😂😂

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Tuliitaji Land rover sio Range rover eleweni na tofautishen cjaona Range rover kwenye festival niliona land rover kwenye festival report over.

    • @tropmedia8376
      @tropmedia8376 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

      Range rover na land rover ni kampuni moja jina lake halisi ni land rover ila range ni toleo kama vile simu zinavo kua na majina mbalimbali ila kampuni ni moja

    • @shalomchaula4420
      @shalomchaula4420 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Kaka range Rover ni gari inayotengenezwa na kampuni ya land Rover gari nyingi mfano mdogo ni TOYOTA ila magari ni aina nyingi Kuna land cruiser ndani yake na gari nyingi tu

    • @extremztv596
      @extremztv596 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Jinsi ya kuambia watu hujui magari bila kusema hujui magari

    • @RobertsonNandime-eo9fp
      @RobertsonNandime-eo9fp 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Huna hata basikeli utijuaje haya Magali wew msenge mmoja

    • @damsonwilson5202
      @damsonwilson5202 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe hata hujielewi

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Unajishebeduuu@. 😏

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Sadak@ au kuna kingne ????

    • @LuluAquai
      @LuluAquai 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sadaka za wajinga elewa maana ya neno (mission)

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kama,nisadaka mbona mshungaji wako hana,​@@LuluAquai

    • @Benny318m
      @Benny318m 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Fungua kanisa na wewe uone kama nirahisi hivyo mtu kutoa pesa yake na kukupa wewe bila kibali toka moyoni mwake

    • @josephvenus3259
      @josephvenus3259 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe ulisha wai KUTOA?? 😂😂😂

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@josephvenus3259 nmeuliza tu😁😁😁

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mmewaibia Watanganyika kupitia makanisa uchwara,kisa watanganyika ni wajinga.Mmekosa wa kuwapeleka jela,nyie ni wahalifu kama wengine.