Munguwangu naombea Keita ana roho nzuri kiasi ivyo mungu wangu nisipo kuwa mbali nae naweza nikumupa soda kbx so Bujumbura Burundi team tenu tuko pamoja n'a nyie
Rakini kp kunashida moja kwahii muvi punguzeni kelele zamziki basi uwe mala chache maana tunaoskilizia kwenye hedifone nishida sawa wapendwa washezaji wahii muvi ❤❤❤
Hamjambo jamaniii,,,,,,,niwazo tu ndugu tukio hatari kama hilo,,usiwanie kumshika mtu ama majerui Kwa mikono yako mikavu,,,Kwa maana ikifikia kukaguliwa n polisi zinaangaliwa alama za finger print zilizoshika mwili Huo au mtu,,,n kama anamajeraha basi unajiepusha n vitu kama ugonjwa,,,asanteni 😊😊😊😊😊
Big up brother kp wa aquino,kwa ujio wa tamthiliya nyingne ,naamin itakuwa poa sana ,kama unamkubal kp weka like hapa tumsupport kijana mwenzet
wanaoamin kua kisai ndo muhusika wa kutekwa kwa kp like zenu
W😂😂😂watu mlivyo muwenga kisai kwenye pran b ndo mnaendereza na uku wakati hii ni ep ya kwanza😂
😂😂😂😂😂ni yeye kabisa
Aswaaa atakua kisai hayo ndo Mambo yake toka kwenye last card had plan b na hii atakua mhusika tu
kausika sheisheiiii
Kisai ndo kamteka Kp,,wanaoamin tujuane
Tulioanza salama mwaka mpya sema amina na Mungu akuongoze katka series yetu ya mwaka mpya
Amina hongera pia
Amen ❤❤❤
Amen
Allahamdulih 🤲
Amina
Munguwangu naombea Keita ana roho nzuri kiasi ivyo mungu wangu nisipo kuwa mbali nae naweza nikumupa soda kbx so Bujumbura Burundi team tenu tuko pamoja n'a nyie
Wow jamani vizurii sana unabalaa kp naombeni like zangu
Wanaofurahia Aquino family kuendelea kukua gonga like🎉🎉🎉❤
Mimi nipo hapa
Mimi
Niko hapa from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦❤❤❤nawatakia mwaka mpya wa kheri InshaAllah wakwanza leo
Same mwakA MPYA🎉🎉🎉🎉🎉 KUTOKA KENYA MOMBASA🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️
@aminajuma8915 🩷🩷🩷
Nawatakia mwaka mpya nkiwa hapa Kenya
@@aminajuma8915 Amiin
@@EstherLonzi Amiin
Wangpi wanaangalia saiv wakiwa kitandani😂
Mimihapa
@JoyceJosephu-t9i tuko pamoja
Mimi apa 😂😂
Nko hapa
Tuko wengi
Wote ambao mukokweny hii move mung awatie nguv nawapend❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Rakini kp kunashida moja kwahii muvi punguzeni kelele zamziki basi uwe mala chache maana tunaoskilizia kwenye hedifone nishida sawa wapendwa washezaji wahii muvi ❤❤❤
😂𝘱𝘶𝘯𝘨𝘶𝘻𝘢 𝘴𝘢𝘶𝘵𝘪 𝘺𝘢 𝘴𝘪𝘮𝘶 yako
😅😅𝘱𝘶𝘯𝘨𝘶𝘻𝘢 𝘴𝘢𝘶𝘵𝘪 𝘺𝘢 𝘴𝘪𝘮𝘶 yako
Wazo zuri sana
Mnaesema apunguze sauti ina maana atakua anapunguza na kuongeza mpka movie itakapoisha mana mziki Una sauti kuliko waongeaji Hili inabidi walitatue Tu
Hujui chochote wee kaa kmya
Jamani kp Hana kazi mbovu mpeni mauwa yakee🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tuliwamiss sana.love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
Move nzur sana hongera kp ujawahi feli👏
Wow kwa movie hii ninzuri sana kipande cha 1 kimenoga vipande vinavyofuata vitakuwa moto ni albastini epsd 2 tunasubilia ahsante
Angarau kp umebadirixha sura hongera
By kp leo nimekua wakwanza naomba likes zanguuu jamahuu kila siku nakosaaa naomba hata 01
Tunaanza mwaka na filam nzuri. Wangapi wanaipenda gonga like apo chin
Ila Sanaa dah,yaan zebu ana vumilia kumuona kp na Nora waki shikana,tobaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ana rohoo
Mm najuwaa kisaiii ashavurugaa mamabow huko 😂😂😂😂
Mambo mazuri hayatzki haraka asante sana Kp kwakutuleteya move mpya🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu mdada aliemsaidia KP ni msanii mpya ambae amekuja vizuri sana, anakipaji na ushawishi ktk uigizaji wake. 🤝
Kweli ❤
@liliy-u3n tukopamoja 🤝
Ana macho mazuri sana
@JamesComplexnumber ohooo 😁 hapo kwenye macho mimi simo 🙆♂️.... sijasema mimi jamani
@@JamesComplexnumberushaanza kumtamani ww😂😂😂😂
Wow! Am greatful of u KP. Tumeanza mwaka vizuri.... !! Tulikua tumekumiss Sana, na ulijua.
God bless..... Frank from Nairobi
Hongeren kw kaz nzur Allah awalinde wotee mlouon mwak 2025
Félicitations vraiment Kisai je te suit dépuis le Congo RDC 🇨🇩 Kinshasa
KP plz tunaomba mutupungizie mziki 😢 hongeleni Sana movi nzur sanaa ❤❤🎉🎉🎉
Kp haujawahi kuwa nakazi mbovu nawakubari mnooo WW na timu yako❤❤❤
Kp kazi mzuri sana upewe mauwa yako
Kp nanifanya niceke kumdonowa uyu mdada amejitoleya kumsaidiya nakwaho awana uwezo🎉🎉🎉
Atamsaidia labda kumlipia ada.wazazi jamni lipen madeni yenu wenyewe msitupe mzigo😂😂😂
Mungu awabariki sana timu nzima kwa kazi nzuri yenye mafunzo makubwa kwa jamii yetu ya kitanzania
Kutoka kambini Malawi i like it
Asante sana kwa kutuletea movie nzuri hongeren sana mwenyezi mungu awazidishie kilalaheri
Tuwe wawazi2 hii ngoma kali bongo na nje.❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mkuu wa upelelezi, nasema kisai kahusika kwa 100%, Nawakubali sana team.
for sure
For sure
Wali kp utakuja kunimaliza sai niko na okoa jazi 2002 nadaiwa ju ya movie zako ni haatari sana❤❤❤❤❤ naipenda sana kazi zako bro
Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 to saudia🇸🇦🇸🇦🇸🇦 team kp&zebuu love you somuch
Kazi kubwa hii ongereni saana jaman 🎉🎉
Sjui m niwangap😂leo from Oman 🇴🇲 naomben like ata 5 to 🎉🎉🎉
Mnajita san mungu awabaliki san kwa kazi mnayo ifanya
Wanaofrahia kumuon anuuu kma mim gonga like
Siyo kumuona tu mpaka kumpenda nampenda
Yan anuu kaja kuongeza nguvu kaz ya kund
@@bakaribilali27 tena anajua
Hamjawah kuharbu yn nimecomment mapema KABLA hta dakika Moja ya movie sijamaliza
Kazi safi Nora napenda vile mnafanya Kwa pamoja na kp
Tunatalajia iwe kazi nzuri na tutaipenda sana
Kutoka kenya nakubali kazi zèñu
Kusai kazeeka haraka Sana Nani akaona hilo
Wee kisai ww maybe n ww umefanya hio plan much Love guys 🎉🎉🎉🎉🎉
Onger kp we ni noma xana nakukubali ❤❤❤
Congratulations 👏 kwa location mpya na actors wapya big up kutoka kenya
Naomba kama Sisi warundi mutujuze vizuli maana ya hii title ya mouvie.tunawapenda sana
😂😂 kwa kweli watuambie maana yake nn
Mm imenichanganya
Nina imani tutaielewa baadae kama vile WAMANGUSHI
Ni mchezo wa kalata
Ni aina ya mchezo wa karata.. kama ilivyo last card na mengineyo
anaejua maan ya ALBASTINI anijuze ina maan gani
MCHEZO WA KALATA
Forty six😅😅😅
Albastin:Ni Mchezo Wa Karata Ambapo Karata InayotawalA Ndiyo Huongoza Mchezo
Kutoka USA nawakubali sana tm kp nawafatilia sana nawapenda sanaa
TANZANIA OYEEEE❤❤
@@MunahHassan-v1y Asante kwa kutu support
@@Baba_ZEBUU thanks dady❤
@@MunahHassan-v1y welcome
USA hahaaaaaa
😂😂😂 Arushaa hukoo
❤❤❤❤❤ congratulations 👏👏 kaka good job
Nzuri sana tena inapendeza sana kaka wasalamie wengine kp wa Aquino much 💖 you 🎉
Asantee kp nilsubir sana move mpya 🎉❤
Tuko pamoja sana
🎉🎉😊😊😊😊😊😊
Kaka kazi nzuri tena sana nafurahia vipindi vyako sana nevin from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kp ukiendelea hivi bro utakuja kuwa zaidi ya kanumba una creativity sana mwanangu 💪💪😍😍
Hyo dada marasta mgeni huyo anajua sana nmempenda
Kp kazi nzuri kabxa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉wenye mnamkubali kp gonga like❤❤❤❤❤❤
Hapa sasa nita nafulahi sana kwel kuona munatupa tena movi zako
Kisia mungu anakuona unamfanyia ubaya hadi mdogo wako unafanya hadi kp kawa chizi jaman
KP WA Aquino hongereni Sana ndgu zangu ❤❤🎉🎉
Leo nimejitahidi kufika wa mwisho wapi mauwa ya kp❤❤❤💙💙💝 Kama unamkubali weka like apa👍👍
Kazi Mzuri Sana 🙏🙏🙏🙏💖💖💖💖💖💖💖💖👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wahoo my brother kp,kapenda kazi zako sana brother ujawahi kuniangusha💪💪💪💪💪
Video nzuri sana 🎉❤😮😂
Sema kp una big tallent 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Movi ipo fresh ila kwel kak kp pungz makelel yaan umetya sauti kubwa snaaa zinaumiza maskiooo❤❤❤❤❤niushaur
Kazi nzuri sana kp 🎉🎉🎉❤❤
Mbona 'nimeanza kuwa na presha mapema nitafika kl😢😢kp wang😢
Kazi nzuri kaka saluti kwako❤❤❤❤❤
Movie smart sana jitaindini 😊❤❤❤❤
Noma anatoka sheila anaingia Sheila mwingine
Wakwanza🎉
kaka pongezi zuli😊
Kazi nzuri sana Kp ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 alafu ndefu yaani tunaifaidi uraha tupu❤
❤❤❤❤team kp🇹🇿 nawakilisha Kanda ya ziwa
Kp hongera kazi nzuri sasa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Stoli ipo good mna balaaa
Jamn iko poa sana hii yan kp na Zebuu family tunawapenda mpaka tumewatungia wimbo❤
Kisai kunyoa kawa mbaaaaaaaaya
@@TumainMarco 😂😂😂 kweli tena
Maaajabuu😂😂😂
Wa kwanza kutoka drc 🇨🇩🇨🇩
Jamanii❤❤❤❤
😂 Nawasiwasi aliyetengeneza matukio ni KISAI 😂😂 Maana huyo jamaa hanaga adabu kabisa 😂
Kabisa Yan hanaga dogo 😢
@SuzieCossy-yn1hr 😁 nimeshagundua ni yeye imepofika mwisho 😁
😂😂😂😂 inaweza kuwa kweli
@Alphonsine-zc8cp ukiiangalia mpaka mwisho jibu utalipata 😁😁😁 Kisai na majambazi wake Opiche na yule mwingine 😁😁😁
Na uckute ni wivu wa mapenz
Hamjambo jamaniii,,,,,,,niwazo tu ndugu tukio hatari kama hilo,,usiwanie kumshika mtu ama majerui Kwa mikono yako mikavu,,,Kwa maana ikifikia kukaguliwa n polisi zinaangaliwa alama za finger print zilizoshika mwili Huo au mtu,,,n kama anamajeraha basi unajiepusha n vitu kama ugonjwa,,,asanteni 😊😊😊😊😊
🙏🙏
😊
Dah umetulete watu tofauti. Ngoja tuone uigizaji wao
Wow kazi nzuri sana kp❤❤❤❤
Good job guys am watching from saudi Arabia 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦 🎉🎉
Ceta sasa umekuwa star🎉😂😂😂
Tunawapenda,tunakusupport ,tunafurahia movie zenu.walio ondoka usiwafikilie Mungu ana njia nyingi kukuvusha❤❤🎉🎉
Heri ya mwaka mpya 2025 kutoka ka ma fans wenu , Nakuru, Kenya.
Uyo msanii mpya mdada Big up anajuwa sio poa
Hapo ndipo mlipo feli kp kuwa chiz😮😮😮sjapenda jamani🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️
Ukumbukee t move ndy inaanza siyo final
Hapo kweli...bora kisai angekua chizi..na roho yake mbaya
@@NamikBBoy 🤣🤣🤣Et kisai angekuwa chizi
Wamezingua asee huu mchezo ushaanza kuboa kabsa
@@NamikBBoyhhhhhh kisai anazingua
Watching from Kenya 🇰🇪 🇰🇪
Uyu kisai uyu ndio kafanya mchongo kp atekwe
Hongera sana kp na zebuu family
Twende nalo Bro KP huku kwetu Kenya 🇰🇪 tunasema back to back....am locked in like never before...Happy new year to the Crew🤝
Kp , zebu,miss sheishe Nora mnanikosha kwenye kazi zenu ❤❤❤❤ kwenye plan B 🔥🔥🔥👏👏👏
Mmh Kwa haraka haraka hili nalo lipo nyuma ya kisai na baba ake🎉🎉🎉ila ngoja tuone #ALBASTINI nayo inasemaje.....
@@FahimuFarao duh
Yamekuwa hayo tena?? 🤣🤣🤣🤣
@Baba_ZEBUU 😆😆😆atutaki mwacheni Kp bhn 🤣🤣
@@FahimuFarao mnanionea tu
🤣🤣🤣🤣🤣
@Baba_ZEBUU ngoja tuone kama siyo wewe muhusika mkuu🤣🤣🤣una hatari mzeee
Dah we kisai mtu mbaya sana sema team kp wote ❤
Mmmmmmmmmmmmmmmh movie tamu
Kazi nzuri sana Kp na Zebuu❤❤❤❤❤