RECAP: MAPUNGUFU Collabo ya HARMONIZE na DARASSA, kama haitakuwa HIT SONG wamefeli KIBIASHARA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Hiyo n hit song
Mbona Ngoma nikali sana
Nice one story brother El namando
Mbona zinatufikia uganda bro
Hakuna Ngoma Ya Harmonize,Ambayo haiwezi fika Congo
Wewe ni mchawi. Huwezi kila kukicha ni mapungufu ya Harmonize tu.
Ungali na yeye tu
@@joelmuhindo-xe9yj Anakera sana huyu mwandishi. Yaani anaonyesha chuki za waziwazi kwa kijana mpambanaji mwenzie. Kama anaona hayo anayoshauri ni rahisi basi na yy aimbe.
Naenda na webror 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪
Wewe bro
Lengo lako kuudhohofisha muziki uwo ndo mana unatengeneza mazingira.
Wewe toa ujinga hapa. Nyimbo ni ya darassa af unamtukana harmonize. Ulitaka asimpe darassa collabo au? Harmonize habadiliki ww unabadilika nn katika uandishi habari wako? Kila cku nkifungua TH-cam ni ww na mapungufu ya harmonize, nguo umevaa zilezile hako ka t-shirt keupe.😂
Broh wacha umama na uandike story kuhusu wasanii wako pendwa na umuache harmonize. Sie kwanza tushakuchoka kila cku mapungufu ya harmonize
Waambie bro mwanzo harmonize amejisahau toka single again naona yuajitafuta sna yuapiga vibao vya siasa badala atoe vtu vya kimataifa
Wew unalipwa na dainamo
bro wewe tulia apo.( wataka iwe hit kwani wewe mungu)
Kumamamako acha kumuandama konde wetu
Hio ngoma ni hit kionjo kina sema
Iyo kweli kaka wa sani kubadilika kwao nivigum san hapa ki bongo bomgo leo nime unagana na ww kuusu ilo
Wewe mbona haupigi hatua yoyote katika taaluma yako ya uandishi wa habari? Kila siku upo hapo hapo, swagger zilezile, maneno yaleyale. Roho mbaya nayo ni uchawi.
😅😅😅😅
😅
Hadi nguo NI zilezile😂, af anashinda kuogelelea harmonize
@@charlesmunyenzie2155 Ha haaa, huyu anaongozwa na roho ya kwanini Harmonize anafanikiwa.
Imba we tuone 😏😏😏😏😏😏
Courage vraiment pour les informations nécessaires 🇨🇩🇨🇩 essayer de lui conseiller vraiment
kila siku mapungufu nhimbo za harmonize brother auna sakufanha hiii jah
Really good
Hivi unajuwa shida wanazopata wanamuziki kipindi wanaandika.
Nimekuja kugundua kua ermando unaweza kua unatombwa yaan unamkandamiza darasa kwakumuon Kam Anderdog ikiw ashafany makubw San kweny mziki makubw muno SAS unamkandaimzaje mmoj ikiw ni collabo ya wawil
Kila cku umekaa hapo kaa kiroba cha mavi hupigi hatua ukaenda hata cNN lkn ni konde tu unamuona hapigi hatua unakatisha mtu tamaa san wew huna jipya njoo na idea nyingine tumekuchoka
Hili lisengerema kila kitu cha harmo ni mapungufu mbona wew unaupungufu wa nguvu za kiume na hatukusemi umekalia mapungufu mchawi wew umekaa hapo tuu unasubiri konde atoe nyimbo uje na mapungufu toa na wew nyimbo isiyo na mapungufu mkunduchi wew
Hiyo ni hits Ila Unapenda amapiano mpaka unajisahau
Huyu huwa anafirwa na diamond mbona haujawai kuongelea ngoma za wasafi
Acha ukuma ngoma kali hiyo😂😂😂😂
Yan bro unachukulia muzik ni rahis sana hujui yaliyopo nyuma ya pazia kuwa wakubwa kama wakina davido fatilia mitandao ya nigeria ujue kilicho mpelekea mohbad kuteseka muda mrefu na kafatilie mambo ya mavin record utaelewa
Almando wanaokuponda kuna siku watakuelewa tu. Wengi hawapendi wasanii wao pendwa wakikosolewa hata kwa uzuri
No maku tu huyu almando he is too personal
We nae muongo sana kuhusu single again ulimsifia kafanya promo na kafanya tour na colabo. Leo unabadilisha maneno. Dah
Broo hata ww umeferi kwamaana unakosoa kitu ambacho hakijatoka bado kwamaana hiki ni kionjo tu sasa kwanin ukosoe kitu ambacho hakijatoka ebu acha roho mbaya na wcb wako wanao kutuma Arumando
Lomeo Darass ft zuchu ❤❤
Wee kila.cku n hamo Tu...hakuna wasanii wengn huko...Una feli pia wew...jiongeze kaka..kua mbunifu... design the background
Kinacho wasumbua nikwamba wanafanya kutengeneza ujamaa naurafiki tu hawatengenezi pesa pia atakuwalinda mashabiki zao nikweli unachokisema nikweli darasa anafeli sana ameiacha Ngoma yake namarioo wakati ile Ngoma ilikuwa tishio kwanza melody nzuri sana
Sema nini braza, na wew pia ni miongoni wa watu wanaofeli. Maana background hiyo hiyo, mic Ile ile, T-shirt hiyo hiyo yaani amna mabadiliko ndani yako. Tumekukariri hivo tu, piga step basi..🦍
I midy
Mzee wa ma pungufu😮
Huyu jamaa n maku kweli
Nilichokuja kugundua ni kwamba ukiona msanii anazungumziwa sana basi ujue huyo msanii ni gumzo au tishio kweny career yake kwaiyo sishangai kukuona unamuongerea Harmonize for Negative
una danganya baba
Chukua Pepsi mkubwa wao kwa mangi nakuja lipia 🚶🏾🚶🏾🚶🏾
Wwe umepiga hatua na hio bongo 5?
Ujama ni mshamba saaana kama aja msema konde ajarizika mbwa na mkia
Na pia uwache kupaka mkorogo katika mapungufu yako 😂😂😂
Ww mwanzo ungeweza kutowa mapungufu yako maana kipindi kibaya sauti yenyewe mbaya camera pia mbaya 😂😂😂
Dah kwenye hiyo Romeo and Juliet yake na zuchu uyu jamaa kaiharibu sana. Ile kolabo ya zuchu ni moto sana ila mwamba hafanyi promo kabisa sana
Kwako sio hit ila watu tumeielews
Nawewe ipo siku utapotea na wadishi wa habari
Mbona wewe huendelei ukafka hata sound city au trending Medias km Crown Efm Au Wasafi tako kweli ww😅😅😅😅
Wewe mbona unamuandama sana harmoniz wimbo bado haujatoka lakini unaanza kulaumu why
Tatizo mkiambiwaukweli mnapinga
Uyu jamaa uwa anafirwa na DIAMOND sio bure paka ww
Kiufupi broo unatumika na Wcb kutaka kumpoteza Harmo huo ndio ukweri na habari zako hazibalance kiufupi taaluma yako hutendei haki na hujui miiko ya uandishi wa habar broo
Huyu muandishi wivu na loho mbaya kwa konde
Bro tuna taka Nawewe huwe juu ya wengine hunao fanya nao kazi moja, ila bado huko hapo tu, au wewe ndo wale waku ridhika na kidogo chao
Km ile ya Bien wa saut sol fit Harmonize haiku hit cjui ilikuwa amapiano ile 😂😂 wakati Bien ni noma
Ngoma haijatoka umeshaiponda ww hater kweli, ww ni shabiki wa diamond sio mchambuwaji.
WATAKUTUKANA SANA KAKA ILA UNASEMAGA UKWELI SANA BRO . NA WAKIFATA UNACHO WAAMBIA TUNAENDA MBALI KWELI
@@ushahuri_tu Mbona huyo kaka yako haendi popote, kila siku tshirt ni ile ile. Kama kuimba ni rahisi na yeye aimbe.
Mjinga wewe wacha kumuadama jeshi,toa Wimborne wako
Nawewe umbwa unakaa hapo hapo to kuchambua kazi za watu si utoe nyimbo i hit? We ni umbwa