Wanao fatilia hii movie wallah iko na mafunzo mengi mno ukizingatia sana utafaidika congrats kai na wenzio Allah awajaalie kila la kheri mzidi ku2elimisha❤❤❤❤from kenya
Tunaoamini Sania atawin deel lake tujuane hapa, hakuna mkate mgumu mbele ya chai😂😂😂😂 ila Zuu unapendwa mno na bibi Yako ila ningefurahi waowane TU jmn❤❤❤
Aya Tena ❤❤❤ wale mawif zake zuu kutoka 🇴🇲 tujuwane bas Hila shangala hyoo watasha wa 🔥🔥🔥 saw harusi tunayo hatuna Hadi rahaaaaaaaaaaa❤❤❤ wale kama naolewa mm jinsi ninvyojisikia raha ebu fanya nimaliza mtaba mapema na mm nakaolewa 🇹🇿
Whatsapp Group 👇👇
chat.whatsapp.com/Gboxs71PAvtHl0nvTLi66k
mbona haifunguki
Samahani naomba kuuliza hili group Ni bure au kunagharama yoyote
@@MozahFamilybureee dear😂😂😂😂
@@winnermauky9116 ahsante nimeliona nishaingia
mbon hii link kwangu nikigusa inaniletea kucoment
Wakukimbilia kucomment 😂😂 any Kenyan 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 in the house 🏡 bibi naye kashajua yai limepasuka hayah 😂
RejectFinanceBill🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ::::::::
Leo Monday tuko hapa Tuesday tuko reject bill
@@februarygirl1554 kesho kama Kawa mapema 💪💪🦾
😂😂😂😂😂😂😂@@ChaguVeeNovida
@@februarygirl1554ya kesho pia ikuje Leo kesho ni kurejact🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera Bibi zuu hatimaye umefurahisha moyo wa zuu
❤❤❤❤bibi Zuuu safi sana aliyosababisha ajali ndio akuoe safi sanaaaa zuuu ndoa iyooooi
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakufa inaonekan 😂😂😂😂😂😂 huyo aliesababisha ajali jaman nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂uongo wa zuu na kai jamn imewapa ndoa cha nguvu zaidi😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉hongera zuu
Jaman eh nani anaona candri anaenda kupigwa na kitu kizito kichwan❤🎉🎉
💃💃💃💃💃💃😊
Wanao fatilia hii movie wallah iko na mafunzo mengi mno ukizingatia sana utafaidika congrats kai na wenzio Allah awajaalie kila la kheri mzidi ku2elimisha❤❤❤❤from kenya
Asante sana🙏
Daah Kila nikijizuia nisiombe like ni comment kuhusu movie ilivyo Kali nashndwa nikimuanglia zuu nakpnda haka kadada ebu nipeni like zake zuu
❤❤❤❤fresh
🎉🎉❤Ndoa tunayo zuu hongera Kwa kujitunza ,candy 😮😂😂kimemramba kuoga aaaaaaaaah 😂😂
Kwan like zinakaz gani jmn 🎉mnaacha muisifie house girl yetu🎉😂
Haha😂😂
Team hammamu mupoooh! Mwenzenu katolewa bikra na bos wake vp nyie
Usituponze hatutaki risasi za maeneo😂😂😂😂
Wataka tufe weee😂
@@NeemaNixon hahaha
😂😂😂😂 tunatoa bikra na WiFi tyuuuuu
Jaman 2liekuwa twasubili house girl 52 Leo nimekuwa wakwaza nipeni like zangu
Movie nzuriii mnoo na inatufunza kwel lakini mjitahidi sana kutuwaishia ❤❤❤❤❤
Mm naon kuchelew chisa aondok na masozi jmn waondok t naamin kai atarud kazini na atapt t nyumb ingn❤❤❤❤❤
Owaaa
Wanaoamini Candi anatapeliwa na mume wa masosi tujuane hapa , Ila Candi utakujalia ww na kicheko kitageuka kilio badae😂😂😂
Woye namuhurunia
Cand atalia vibaya😂😂😂😂😂😂
Watalia wote. Candy, Dada Masozi na Ndevu za mbuzi.😂😂😂😂
Na atalia mpaka dunia aikute nyeusi
Tayar kashatapeliwaaa😂😂😂😂😂 atapeliwe mara ngapi dear
Tunaoamini Sania atawin deel lake tujuane hapa, hakuna mkate mgumu mbele ya chai😂😂😂😂 ila Zuu unapendwa mno na bibi Yako ila ningefurahi waowane TU jmn❤❤❤
Mm napenda Kay asimpe zuu nyumba
Jaman acheni kukimbilia kuomba like basi ata ushauri kwa wasaniii wetu jaman😊😊
Coment yako iwekewe ulinzi🤝👏👏
Sijapenda huyo kaka alivyomjibu Sania hata kama hampendi hakuwa na haha ya kumjibu maneno magumu hvyo 😢
Kwel hata me sjapenda hio
Anamajibu ya ajabu tokea enzi kwanza smpend
@@pyelesyamwakatika540😂😂 hii ni move lakini
hongereni sana kwakazi nzuri nimejifunza mengi sana nimejifunza tamaa conzuri nivema ukalza kwaunacho kipata asanteni
Wa Kwanza hpa naombeni like kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯
Nakuona kamovie katam 🎉🎉❤❤❤
Aya nimekupea like yngu
Kai Na zuu nawapenda bure yani Asali ushailamba❤❤❤🎉🎉🎉😂😂
😢😢 eti uongo mzuri 😂😂hakuna kitu kibaya Kwenye maisha kama kutoa juwa unataka nn tasha kwann usimuoe huyu dada mbona sania katulia kwasasa
Wakwanza leo jmn like 10 from Zanzibar 😊
😂😂😂😂😂 Ila Mr Tasha true love never die inahusiana vp hapo Kwa mke mwemaaa mke boraaa 😂😂😂
Waache wajifunze kingereza😂😂😂😂
Bora pia Nina mwezang😂😂😂
Bora na ww umeona😅😅😅
Filamu hii ni nzuri
Mimi Leo wa kwanza kutoka kenya mnipee hata like kumi😅😅😅
Jmn Leo nmechekesha sanaaaa juu uo uongo WA Kai na zuuu😂😂😂😂😂 jmn ,mm natokea Kenya naomba like zenu
wanyakyusaa 2juanee
Ila uyu bibi nampenda jaman
Hio wimbo inaitwaje jameni,,,yenye inaimbwa kwa hii video🙏🙏🙏🙏🙏
Watu ambia jina ya wimbo tafathali
Tetema😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣@@DeeDan-sj1mr
Jaman mi mwenyew nitaka jmn naupenda
🤣🤣🤣@@DeeDan-sj1mr
Jamani mungu asaidie watoto wetu kumbe malaya nao wanataka kuolewa move nzuri jamani
Mimi naona mbelen candy atajutia kuusu hio nyumbaa
Daah na Mimi Leo ngoja nijitokeze, jaman nawapenda waigizaji
Saniya umetisha kwa kujikosha 🎉🎉🎉 honger
Jamani naona wakenya wanapenda kaka Kai 🔥💯💯💯💯
Sana tu
Wangapi wanao subiria harusi ya zuu na kai❤❤ gonga like tujuane
❤
Ntafrai sana nikiona zuu na kai wamefunga ndoa
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏kazi nzuri sana tim kay pamodja sana lubumbashi wantashi🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Waaaw Bibi zuu ni MTU WA ajabu sana
Candy poleee kitakacho kukuta kinasikitisha😢😂😂
msitoe like hadi zuu aorewe na kai baadaa tujuwe movie itaendajee nyie like like tu tuwape nyia hawa tujuwe wana kosea wapi nyie like like
Mie mpaka kiumane kwenye hati. Mpaka waangukie pua Candy, Dada Masozi na Ndevu za mbuzi.😂😂😂
@@umfahad2609 na vitaumana wenyewe kwa wenyewe
Rr
mnaboa mulisifiwa tembo mshaaanza kulithia maji ...sinapendra ya leo
The first one to watch my likes
Hongera tasha kuliwaAza sania. Mtuwahkma sana 🎉🎉🎉
Hata chai hamjanywa mshawahi busati tv jmn😂 aya mje mniungishe na keki nipate pesa ya bando
Msisahau hii movie bila @candy haiwezi ikabamba,,,@candy ako vizuri sana
🙏🙏
Kabisa
Nakupenda bibi❤❤❤
Ambao walikuwa wakitegemea chiko atasepa like hapa 😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂
😂😂😂🎉🎉🎉
Tupo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa kwanza from USA naomben like 10 tu
Waooooooooo nimechrewa jamani kila siku.nakua waa mwishoo❤
Tasha utarongwa na sania mpaka wingiliane tu.
Kabisaaaa
😂😂😅😂😅😂😂😅😅mbona kai na tasha wanamchamba sana sania 😢😢😅😂😅😅😂😂😅 alafu bibi hadanganyiki ilakanifurahisha kwamfanya zuu atabasam ❤❤❤hongera bibi
Nyie njoon tiyar
Sania n tashi mambo zenu 😂😂😂 ila yote n hayo harusi ya kai n zuu tunayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
🙏
Jamani nichelew kidogo liké zangu kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nakupenda sana zuu
Wapendwa mimi wakwanza likes hata tano jamani 😂😂❤
Kai 😂😂eti kijuso🙌🙌team zuu ndoa ipo ama aipoooo
Jaman Leo nimewahi naomben bas likes🎉🎉
Candy kitamkuta kitu mana kina mosozi Wana mlamba kisogo watamwacha waende marekani waanze kuimba tenge tenge😂😂
Oyee tasha nataka sitaki😂😂😂😂😂
Jama hii movie inamafunzo mazuri kweli nikujifunza jamani
Jamani zuu ulikosea nyanya kwa kweli kwa kutumia undanyifu sio poa😂😂nawapenda kwa mafunzo yenu nyanya yuampenda zuu❤❤❤❤
Kai ata ivike episode 100 tunawapenda kwa kazi zenu zuri sana ina mafundizo mazuri sana ❤❤❤
Nakubali na tupo pamoja mpaka tamati ❤❤
Mmmh nimechelewa sana ila naomben like hata 2 tu😅😅😅
Jamani kai inamaanaumekubali kumpa nyumba kendi
Sema Kai n handsome 😊😊😊
Napendamnavyo leta vitu mapema❤❤❤
Hata kama nmechelewa naomba like ndo nisirudi kuchelewa tena
tasha km tasha nakukubali sana unasitahiri maua ❤❤yako ❤❤❤
Aya Tena ❤❤❤ wale mawif zake zuu kutoka 🇴🇲 tujuwane bas Hila shangala hyoo watasha wa 🔥🔥🔥 saw harusi tunayo hatuna Hadi rahaaaaaaaaaaa❤❤❤ wale kama naolewa mm jinsi ninvyojisikia raha ebu fanya nimaliza mtaba mapema na mm nakaolewa 🇹🇿
Kama unakubaliana na bibi zuu gonga likes hapa tukisonga mbele🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
Nilijuwa bibi atachukia jamani baba Kai kuwa na amani ila zuu aoleweeeee🎉🎉🎉🎉🎉
Hakuna kitu nachukia kama kuomba likes, badala ya kusema jamani Candi kawa hivi na vile kila nikiscrow chini nakita wa mwisho na wa kwanza shenzi zenu
Umesema ukweli hapo
Kweli kaka
Pumbavu zao 😅😅 kbs
Mm leo wamwisho
Acha nikae mkao wa kula nisubiri ubwabwa wa harusi ya Kai n'a Zuu🎉🎉🎉🎉🎉
Turiotoka kwenye move ya visa ya menina kuja uku tujuane😂😂😂😂
Fanyen mhitimishe bhan series ikiwa ndefu nae inakosa ladha mtoe mzigo mpya tujue cand anaenda kuuramba
Jamn mpo vzr sana
mapemaaaa
nimewahi leo❤
Daa jmn uongo dhambi movie zuri sana mnajitahid sana Kuna kitu najifunza kwakweri sio tu kufurahisha jmn endeleeni
Asante sana 🙏🙏
No 1
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kazi nzur❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
wanaenda kutaperewa
Mnachelewesha jamani...tunaomba muwahi kutuwekea ❤❤
We baba ale na kai hacha kulalamika sana bana kwani Cha ajabu kitu gani wa
Yaani huyu candy Kitamramba huyu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣mh hata kaa a amni we mwache ajichekeshe tu 😁😁 kifuatacho ni kilio 😭😭hapo
Harusi tunayo
Hatimae🎉
Mbona mnapenda like kwani zinasaidia nini ☺️ mm ndo nimenunua simu leo
Hii show inabamba sana keep up the good work guys Esther kutoka KENYA
Zuu kashindwa kuvumilia inabidi acheke😅
Waomba like mkonwap
Leo Mimi wa kwanza fanyeni hivo wakuu
❤❤❤
Khaii bibi kashakujua 😂😂😂
Candy ananipa raha sana kachangamsha movie na mambo yake 🥰🥰
Chisa kama chisa kajua kunifurahishaa uyu candy kama nakuonaa vile😅😅😅