Magori ya Feitoto hayamaanishi kuwa amefauru, George Mpore alifunga gori 17 ni mchezaji makubwa? Mhilu anagori 12 lkn alipokuwa Simba alishindwa kufunga hata gori 5, Memolod,Al Ahaly, Orlando,Kaoza chief wanamtaka Aziz ke kwa mkwanja mlefu lkn Feitoto hata Gor mahia tu sijasikia.Fei toto nimchezaji makubwa kwenye timu ndogo.
Azizi ki ni mfalme wa boll big up ma brother
Yanga wamebakiza mechi mbili
Kweli azizi Bora sana
Kweli friji bovu.
Magori ya Feitoto hayamaanishi kuwa amefauru, George Mpore alifunga gori 17 ni mchezaji makubwa? Mhilu anagori 12 lkn alipokuwa Simba alishindwa kufunga hata gori 5, Memolod,Al Ahaly, Orlando,Kaoza chief wanamtaka Aziz ke kwa mkwanja mlefu lkn Feitoto hata Gor mahia tu sijasikia.Fei toto nimchezaji makubwa kwenye timu ndogo.
Azam waangalie undugu na makolo eti? Wewe David ni kolo tunakujua.😂
Acheni unazi wote wamebaki na game mbili mbili
Young bado mechi mbili