Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mahali sahihi pa kuhubiri injili ni wapi? Injili haina mipaka inahubiriwa chooni, baa na kila mahali kama walivyofanya mitume wa Yesu. Lengo ni kuwaokoa watu mliofungwa kama wewe
Ebu tufanye kamahatukua nae kibu maana anazingua sana kamaunakumbuka yangu kunamchezaji mmoja ambae hajatambulishwa mm najua kuahuyo niyanga tusisumbukenae
Kibu nae jmn msimu mzima goli 1,hana ata assist et nae kaitunishia Simba,usipo heshim na kuipenda kazi yako hauwezi kufanikiwa...namuona Kibu akipoteza kipaji chake kwa upumbavu wake na kurubuniwa na wahuni ambao hawapendi mafanikio yake..sasa km alikua hataki kuiitumikia Simba si angeacha ku sign?
safi san limewashika wazee wanyuma mwiko
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Yesu Ninani Yako Sasa wewe Mungu ama Mwana wa Mungu???????
Hapa siyo sehem sahihi ya kuhubiri injili mpuuz wewe nyie ndo mnaifanya injili ionekane n uhun ushindwe kwa jina la YESU
Mahali sahihi pa kuhubiri injili ni wapi? Injili haina mipaka inahubiriwa chooni, baa na kila mahali kama walivyofanya mitume wa Yesu. Lengo ni kuwaokoa watu mliofungwa kama wewe
Acha ufala watu wanaongelea kuhusu kibu we unaanza kuleta vifungu apa kama mungu ndo umemzoea ivyo we bwabwa 🤫 Kaa kmy tuu shenz
Ameni, injili ihubiliwe mpaka vilindini
Wamwache aende si kitu ,,wara alofanya chama hagusi kibu kikubwa aondoke ,,
Wandishi wengi watz niwatu wakupotisha tu mara haa kibu anaidai Simba mambo mengi mnaichafua klabu yetu naviongoz mjitadhimini.
Jaman kweli kibu ndoo wakuisumbua simba kwa kiwango ganii
Kwani hakuna wachezaji wengine duuuh
Mshikaji Kazama Maulaya😅Safi Saana
Huyu mwamba anajihalibia yeye mwenyewe alikuwa anawashabiki wengi tu ila anapo elekea sijui
Ebu tufanye kamahatukua nae kibu maana anazingua sana kamaunakumbuka yangu kunamchezaji mmoja ambae hajatambulishwa mm najua kuahuyo niyanga tusisumbukenae
Et kibu nae anajiona fei toto😂😂😂😂😂mchezaji mzur kwel lkn asipoangalia atapotea kwa kibur chake na dharau
Kibu nae jmn msimu mzima goli 1,hana ata assist et nae kaitunishia Simba,usipo heshim na kuipenda kazi yako hauwezi kufanikiwa...namuona Kibu akipoteza kipaji chake kwa upumbavu wake na kurubuniwa na wahuni ambao hawapendi mafanikio yake..sasa km alikua hataki kuiitumikia Simba si angeacha ku sign?
Afadhali asirudi kabsa labda msimu huu angetuvunjia kipa wetu mikono
Kibu nae atusumbue daah jmn 😂😂😂😂😂😂 kibu denis uyu uyu au
Ni mtoto mdogo asipokua makin bench atakalia
😂😂😂😂
Kibu haidai Simba, ila Simba ndo wanamdai Kibu kuwapa huduma yake pale Msimbazi..
Mwache asepe2.
kwan wanamuongele wakati Simba ni timu kubwa
Msimamizi wa mchezaji yuko wazima amesema clabu ndo inamaamuzi yakuhongea kiwazi
Hapo Simba inaonesha kuna mtu anakula na Kibu, haiwezekani mchezaji wakaida kama huyo mnamsainisha hela zote hizo
Ameaza ngebeee mwache ameaza kutuhangaisha wanasimba
Wewe msimamizi wa Kiu D umemuuza huyo mchezaji wako.
Simba timukubwa
Safi san nimefurahi kusikia kua kibu haidai simba
Timu kubwaa ii broo
😂👍
Huyu nae akianza ujinga atapotea...kiwango kidogo afu kashaanza kujitunisha...
Kbaaaa
Muwe mna wajal wachezaji wenu nyie simba😢
Kwani anadai?