waTZ kazi yao kubwa ni kushabikia yanga na Simba na kusifia "mama Samia!" usiku na mchana ila wamekosa haki nyingi kutoka kwa serikali zao.....VERY DOGMATIC PEOPLE!
Kwan nyie mepewa haki gani na maandamano yenu mpaka Sasa zaid ya wabunge kupitisha muswada bila kujali maandamano yenu 😅😅😅 sisi wa Tz tofaut yetu na yenu ni nyie maandamano tu ila uongoz wetu na wenu the same dear
WaTz nyie endeleeni kuongelea Mpira asubui mpaka jioni, endeleeni kumshangaa Chris Brown kumpost Diamond, Endeleeni kumsifia Mama anaupiga mwingi wakat hali mtaani sio poa!😂😅
@@Chettymlambalipsi-lb9km 😂🤣Hatar yaani asubui na mapema watu wanakutana Maskani kushinda Simba na Yanga upande mwengine Machawa nao wanamwambia Mama anaupiga Mwingi Halaf serikal inasema nyie tulieni msilete vurugu Tz ni Nchi ya Amani🤣😀
Hivi wewe sky mbona ya kwenu hamuhoji Mnakimbilia ya kenya kuyajua Ya kwao .Mbona ya kwenu bajeti. Ni tozo kila mahari mbona hamuhoji serikari yenu ya Tanzania. Yenu du yawezenu midomo juu.
Tanzania tubadilike tuungane na chadema tupate katiba mpya kuwe na uhuru wa vyombo vya habari kuwe uhuru wa kujieleza kuwe na uhuru wa kundamana . Rais apunguziwe mamlaka kuwe na serikali ya majimbo, Jaji mkuu asiteuliwe na rais IGP na CDF na DCI Mkuu Wa usama wa taifa . Kutoka kaloloni nairobi
@@agneskighenda3795wana ichi wa TZ na wasanii wao ni umbea, uchawa kwa wana siasa, kuongelea ngono, vigidoro, mikorogo, hayo ndio ya wa Tz Elimu, katiba, kurekebisha wana siasa wa Tz wako mbali na hayo
Haya ndio maandamano yenye mguso achana na yale ya mkumbo wa kisiasa,inaonyesha ugumu wa hali ya gharama za maisha,tuombe Mungu hali iwe nzuri watawala wawasikilize wenye nchi.
Yan viongozi wetu waha wameshindwa kuuwa na uchungu wa mataifa yao yakaja kuwa na mionekano kama ya ulaya wamekuwa wajinga wajinga nakuwadangaya danganya wanaichi kuwa watabawadilishia mataifa yao mwisho wa siku wanakuwa na kazi ya kunguka zunguka TU kwenye mataifa ya wazungu jaman Africa ivi nikweli tumelaniwa ss et? Mbona viongozi wa kizungu hazunguki hvyo kama wakwetu? Wakosrious kujenga mataifa yao
hawa jirani zetu wanamchukia Rais wao bure tuu labda hili ndo kakosea lakini kwa ujumla kwa mambo mengine ana nia njema. mwanzoni wakamchukia sana Kenyatta, kweli jmni hii ni sawa?
Tusiwe waninga wakenya wako sawa ila wao wanakosea maana Kila mdaa wanabarilisha vyama haya ndiyo matokeo yake lakini bass watanzania lazima tujifunze kama wanafanya ni kizuri tuige kama kibaya tuaachane nacho
Wakenya wanavadilisha vyama na hayo ndio matunda ya Demokrasia. Tanzania mmefumbwa macho kila mtu anasifia CCM tu. Naishangaa Sana nchi ya Tanzania. Kidemokrasia bado mko nyuma saana
Watupekeee ambao ukitaka kuipindua nchii au kuandamana maandamano ya Moto tumia wanasheria,wanajeshi ,na wanachuo hao tu ndiyo wanaweza kufanya maajabu na serikali ya tz imeweza kucheza na hiyo nafasi kwakuwapa hela kuwatimizia mahitaji yao nakuwapa ajira yakudumu kwa ujumla
Wanaichi wanaakili kuliko wanaijiita et ni wasomi wana madigilii yaan madigilii walio jipajikia viongozi wa kiafrica kutokana na mifumo ya kielimu ya wakoloni kumbe sio digilii zile ni ujinga vichwani et niwasomi Sasa kama ni wasomi kwa nn wameshindwa kutumia usomi wao kufuta umasikini kwenye mataifa yao.
Nyie endeleeni kuongelea Mpira asubui mpaka jioni, endeleeni kumshangaa Chris Brown kumpost Diamond, Endeleeni kumsifia Mama anaupiga mwingi wakat hali mtaani sio poa!😂😅
Kuwa na Kundi kubwa La Vijana ambao hawana Ajira ni Hatari katika Nchi ! Alafu unawaongezea Kodi kwa kile kidogo wanachojitaftia,hii inaumiza !
Inauma sn
waTZ kazi yao kubwa ni kushabikia yanga na Simba na kusifia "mama Samia!" usiku na mchana ila wamekosa haki nyingi kutoka kwa serikali zao.....VERY DOGMATIC PEOPLE!
U sound lyk one of us
Kwan nyie mepewa haki gani na maandamano yenu mpaka Sasa zaid ya wabunge kupitisha muswada bila kujali maandamano yenu 😅😅😅 sisi wa Tz tofaut yetu na yenu ni nyie maandamano tu ila uongoz wetu na wenu the same dear
Kwa east Africa ile kitu inaitwa self determination wakenya wapo juu mush respect kenyan people
WaTz nyie endeleeni kuongelea Mpira asubui mpaka jioni, endeleeni kumshangaa Chris Brown kumpost Diamond, Endeleeni kumsifia Mama anaupiga mwingi wakat hali mtaani sio poa!😂😅
Wabongo wanasemaga tumwachie mungu 😅😅😊
@@Chettymlambalipsi-lb9km 😂🤣Hatar yaani asubui na mapema watu wanakutana Maskani kushinda Simba na Yanga upande mwengine Machawa nao wanamwambia Mama anaupiga Mwingi Halaf serikal inasema nyie tulieni msilete vurugu Tz ni Nchi ya Amani🤣😀
@@Hamad10Salafi😂😂😂😂😂😂😂😂 yaaan mimi hushindwa eti nchi ya Amani lakini wananchi hawana haki hata ya kuandamana😢😢😢😢
@@eben_ezer8853 ndio hvyo Tz kidogo wanatakiwa waamke waache kuyapa kipao mbele mambo ya kipuuz waongelee Mustaqbali wa Nchi
We will continue REJECTING THAT USELESS BILL as a Kenyan we will fight till we get what we WANT ...
Sisi kama wakenya hatutachoka...we will keep fighting till death.we will put ruto down❤Inshallah
Hivi wewe sky mbona ya kwenu hamuhoji Mnakimbilia ya kenya kuyajua Ya kwao .Mbona ya kwenu bajeti. Ni tozo kila mahari mbona hamuhoji serikari yenu ya Tanzania. Yenu du yawezenu midomo juu.
But tz hamna freedom
Uwezi kwa kiongozi na watu ambao unawaongoza hawakupendi. #RUTO MUST GO
#REJECT_FINANCE_BILLY
Ahsante wakenya mnatuandamania na sisi in the name of kenya, respect
I just love Kenyan people 💕 huku weng hawajielew
Je likianza kunuka utaweza kuingia barabarani
Asante Sana Kenya 🙏🙏maan uku kwetu bado vita vinasuluhu na kupona ni majaliwa na atuwezi maandamano tunajua tutauwawa😂😂
😅😅😂
Tanzania tubadilike tuungane na chadema tupate katiba mpya kuwe na uhuru wa vyombo vya habari kuwe uhuru wa kujieleza kuwe na uhuru wa kundamana . Rais apunguziwe mamlaka kuwe na serikali ya majimbo, Jaji mkuu asiteuliwe na rais IGP na CDF na DCI Mkuu Wa usama wa taifa . Kutoka kaloloni nairobi
2lia ww 2meridhika na katiba ye2 hatutaki kelele zenu Chadema
@@KassimAlly-xp4dz inaonekana ujielewi
Mapinduzi tu kama kinavyoitwa yata matter
Hakika
@@Zaikadena big up
Alikua amefiriwa😅😅😅 but all in all mmefanya poa sana, mbele yenu nyuma yetu from +255 TANZANIA
Nyuma yenu uhakika utaweza ww ingia barabarani acha utoto watz waongo sn
TANZANIANS PLEASE NOTE SULUHU WAS HRANTED 750M DOLLAR LOAN BY IMF...ukiona mwenzako anyolewa...
Yani watz kushadadia yawatu yakwao wanayakalia 😂😂😂😂
Umeona eehhh yaaan kama ya kwao vile😂😂😂😂
Haswaaa! Tena hawa sns huwa hawagusi kabisa topics hot zinazogusa wananchi Tz.
@@agneskighenda3795wana ichi wa TZ na wasanii wao ni umbea, uchawa kwa wana siasa, kuongelea ngono, vigidoro, mikorogo, hayo ndio ya wa Tz Elimu, katiba, kurekebisha wana siasa wa Tz wako mbali na hayo
Wakenya tusichoke 🇰🇪
#REJECTFİNANCEBİLL2024
Bado mapambano
Hata kama mkenya hasoma anaelimishwa na mwenye amesoma...hapo ndio unaona watu wote wanajua maana ya katiba na hii bill ya 2024
Haya ndio maandamano yenye mguso achana na yale ya mkumbo wa kisiasa,inaonyesha ugumu wa hali ya gharama za maisha,tuombe Mungu hali iwe nzuri watawala wawasikilize wenye nchi.
HATUKATI TAMAA HADI WATUUE,
TUESDAY TUKO SITE, NO RETREAT NO SURRENDER. REVOLUTION MUST BE DONE.
Kenya we are already dead but still taxed this Guy calling himself president is a vampire
"the most potent weapon in the hands of the oppressor is the mind of the oppressed" the oppressed are rising in Kenya 🇰🇪🇰🇪
Sema kenya wana usubutu madaktar wakigoma wanagoma walimu wanagoma wananchi wanaandamana mm ni mkenya muoga sana kwa vile nimekua tz
Kiongozi wa wiper Steven Kalonzo myzoka na makamu mwenza wa ODM Wilfey Oparanya wamemtaka IGP Japhet koome na Inspectr police of Nairobi wajiuzulu
Jpm aliwahi kusema unaacha kukusanya kodi uliyopewa na mungu unaenda kuminyana na watoto masikini sasa madhala yake ndiyo hayo
hapo ingekuwa ni Uganda watu wangeliwekwa wamejifungia kwa nyumba 🏠 maana hawaezi kufanya mambo kama haya....
Kenya Uganda na Tanzania tuungane kama tunavyoungana wakati wa kusoma Bajeti😢
Mebili40 duuh hatary apuguze jmn 😢 polen mno❤
Ikosawa nakubaliyana na huyo ratiba.
MAGUFULICATION OF AFRICA.
Wasanii wa Kenya mungu awabariki awa wa bongo ni machawa tu utafikil hawana hakili uchwa umewekwa mbele
Nay wa mitego
😂😂😂😂
TZ WASOMI WENGI ILA WAOGA WANAISHIA KUSIFU TU HATA KAMA NI MBAYAA 😅
BRAVO KENYAN PRESEDENT RUTO,THAT KENYA IS FOR KENYAN WE ALL BELONG TO KENYA.PLEASE RUTO TAKE CARE FOR KENYAN.
Safiiiiiiiiiiiiiiiiii Sana kwel hayo ndo mapinduz yakwer
Tanzania tutafika huko kweli
Tuko busy na Simba na Yanga kwanza😂😂😂😂😂
Ngoja nisiseme kitu maana nchi yetu hii🤐🙌
Zakayo ashuke hatumtaki😂😂😂😂😂😂😂😂
Tanzania mko nyuma sana....
Safi sana
Nyie jamaa topic zenu zinanikosha sana. Ndio youtube online station number 1 nayoifuatilia daily
Ruto,Ruto,Ruto,how many times have I called you. What is this nonsense ,please stop this.
Yan viongozi wetu waha wameshindwa kuuwa na uchungu wa mataifa yao yakaja kuwa na mionekano kama ya ulaya wamekuwa wajinga wajinga nakuwadangaya danganya wanaichi kuwa watabawadilishia mataifa yao mwisho wa siku wanakuwa na kazi ya kunguka zunguka TU kwenye mataifa ya wazungu jaman Africa ivi nikweli tumelaniwa ss et? Mbona viongozi wa kizungu hazunguki hvyo kama wakwetu? Wakosrious kujenga mataifa yao
Kutoka kaloloni nairobi
As a Kenyan we must reject finance bill
Not only finance bill...all these burukenges in this government
Nawapata vizuri Nikiwa Kenya.
Poleni sana ndungu zangu wa kenya, wana nchi wakenya musilale nchi tiyari imesha kodishwa.
Hatari sana
Eee Mungu weeee sie waafrika tumerogwa wapi jmn
Very sad
Sns karibu tuesday
William Luto,, A.K.A Zakayo 😂😂😂
Kenya mnajitambua co ng'ombe wa tzeee
Wakenya wameenda shule sio wa tz
Mara sita tu!! 😂😂😂😂😂
Kumbukeni maneno ya jomo kinyata na Juliasi nyerere ndiyo utajuwa tofauti ya watanzania na wakenya
Tukumbushe nime sahau
Mimi hiyo ratiba tu ndiyo nimechoka😂😂
Mangaribi wanawanhonha
Good job ❤❤❤
Tunataka li sasi
hawa jirani zetu wanamchukia Rais wao bure tuu labda hili ndo kakosea lakini kwa ujumla kwa mambo mengine ana nia njema. mwanzoni wakamchukia sana Kenyatta, kweli jmni hii ni sawa?
Si makosa yko haujui tunachopitia
Tuliza mshono
Funga kimdomo...zungumzia mambo ya tz ya machawa yenye unaelewa...bure kabisa
Hata huku tz samia anasafiri sana😅😅😅😅
😂😂😂
😅MUJIDANGANYE😅
Nimecheka mieee 😂😂😂
Sisi tuko na mtalii saazote ako kwenye Anga
@@jaybajay9973 😂😂😂
Tusiwe waninga wakenya wako sawa ila wao wanakosea maana Kila mdaa wanabarilisha vyama haya ndiyo matokeo yake lakini bass watanzania lazima tujifunze kama wanafanya ni kizuri tuige kama kibaya tuaachane nacho
Uchawa tuu kuoga aaaah😂😂😂
Wakenya wanavadilisha vyama na hayo ndio matunda ya Demokrasia. Tanzania mmefumbwa macho kila mtu anasifia CCM tu. Naishangaa Sana nchi ya Tanzania. Kidemokrasia bado mko nyuma saana
You need to go back to school Lol 😅
#RejectfinanceBill2024 ♥️🇰🇪
dah
Goood
Kwani hawa wakenya wanatowa wapi nguvu na sisi Tanzania tujaribu, inapendeza sana wallah
Watupekeee ambao ukitaka kuipindua nchii au kuandamana maandamano ya Moto tumia wanasheria,wanajeshi ,na wanachuo hao tu ndiyo wanaweza kufanya maajabu na serikali ya tz imeweza kucheza na hiyo nafasi kwakuwapa hela kuwatimizia mahitaji yao nakuwapa ajira yakudumu kwa ujumla
Ni kweli kabisa sisi tunazidi kudanganywa tu
Wanaichi wanaakili kuliko wanaijiita et ni wasomi wana madigilii yaan madigilii walio jipajikia viongozi wa kiafrica kutokana na mifumo ya kielimu ya wakoloni kumbe sio digilii zile ni ujinga vichwani et niwasomi Sasa kama ni wasomi kwa nn wameshindwa kutumia usomi wao kufuta umasikini kwenye mataifa yao.
Kama hii tozo Ya miamala kwa kweli ilitakiwa kupingwa.
Hata Chadema kimnyaaaaaaaa hawasimami kuandamana ila kwa kifupi ni mzigo kwa sisi wa chini
M NIKISKIA MTU ANASEMA WAKENYA WANAJIELEWA SJUI ANA MAANA GANI MBONA NAONA WANAFANYA VITU VYA OVYO AU NDO KUJIELEWA KWENYEWE
Huwezi elewa kaa hivyo hivyo mkuu
Unaweza Kuona mtu hajielewi kumbe ww ndio hujielewi😂😂
Huwezi elewa juu huna akili
Thats why tanzania ni ndogo kwa kenya wakati mtafikia hapa kenya itakuwa another level wewe chill
Nyie endeleeni kuongelea Mpira asubui mpaka jioni, endeleeni kumshangaa Chris Brown kumpost Diamond, Endeleeni kumsifia Mama anaupiga mwingi wakat hali mtaani sio poa!😂😅
Sema wanangu mkimaliza kusikiliza hii interview tembeleeni channel yangu muone prank nimewaomba mademu wajifanye kuwa wapenzi wangu,!
nimesubscribe ndugu, na wew kasubscribe kwango itapendeza
HHHH 🤦🏿🏃🤦🏿HHHHH
Nin mkuu
@#rejectfinancebill2024