Thank you so much guys, nmesoma comment nyingi sana wengi mnatuombea sana, Inshallah Mungu atatuongoza Na Dua zenu zipo nasi najua, Tunawapenda Sana Team KibzBeka❤️
Ila kaka kusema unaficha mabaya yake unamstiri ukimstri tulia ivo ivo ukisema unamstiri watu wanaezazua story zao kumpagazia mtoto wa watu....ni ushauri tuuh
maskin namuonea huruma huyu Dada😢 kwa muonekano tu ni mtihani kumbe tena umetoka gulf jaman daah nyie wakaka tuhurumieni jaman weng mnaigiza kutupenda mapenz motomoto watu wakiwa kwenye utaftaji lkn ukirud mkitumia fesa zkaisha bas mapenz yanaontoka 😢😢😢 baadhi sio wote
Wanaume sukuizi wanaloga usijekusubut kumtajia jina halisi na la mamaako basi umekwisha hapo huyo dada hajui ila atakuja kuzinduka tayali pesa zimekwisha hapo hata mumshauli vipi hajali kwasababu ya dawa ngoja dawa zije kuisha yani huyu dada ndugu zake wasipo mchangamkia atakuja kulia kilio kibaya sana
Mashallay Mashallay mm nawaombe kila lakherii ishalla 🎉🎉🎉😮😮 muishi kwa wema iila beka tuliaa kaka na uyu mtot kbz juu watu uku wanasubiri umuache2 wamchekee so usisikilize yawatu😂😂
@riziki,,kuhathirika na lugha sio mbaya sababu anaeacha mila atakuwa mtumwa .. Kuongea kiswahi na kuchanganya kizungu kingi pia ni ulimbukeni wakati mahojiano ni ya kiswahili alafu mtu anaanza kizungu mara anaanza kukwama kwama maneno ya yes,no,this,me,you
Mashaallah ❤ Mashaallah ❤nanyie mnao kimbilia kwa comment section polepoleni msikanyagane na hapo mbele kuna mkebe wangu wa mabuyu so msiuangushe mnipromot tukiendelea kubambika😊😊😊😊I love KIBZ MOHA❤ my schoolment🎉🎉🎉all the best in your relationship journey ❤🙏🙏
Maa Shaa Allah nawapenda nyote❤lakn Beka haya yasiwe mapenzi ya fulus.Nendeni kwa kadhi muka halalishe...In Shaa Allah kheir
Thank you so much guys, nmesoma comment nyingi sana wengi mnatuombea sana, Inshallah Mungu atatuongoza Na Dua zenu zipo nasi najua, Tunawapenda Sana Team KibzBeka❤️
Kijanaaaaaaa asaivi unakula cha gulf😂😂 Nakukubali damu yangu
Ila kaka kusema unaficha mabaya yake unamstiri ukimstri tulia ivo ivo ukisema unamstiri watu wanaezazua story zao kumpagazia mtoto wa watu....ni ushauri tuuh
Beka kaka jitahidi umuoe kibz awe mke wako wa halali na mungu atazidi kuwabariki inshaallah
Me to fanyeni muoane mtabarikiwa zaidi zinaa inapunguza rizki
maskin namuonea huruma huyu Dada😢 kwa muonekano tu ni mtihani kumbe tena umetoka gulf jaman daah nyie wakaka tuhurumieni jaman weng mnaigiza kutupenda mapenz motomoto watu wakiwa kwenye utaftaji lkn ukirud mkitumia fesa zkaisha bas mapenz yanaontoka 😢😢😢 baadhi sio wote
Muonee huruma sana juu huyo mwanamume nimrongo sana na sijuwi huyo mume Ako na kazi gani but olewa ujionee
Wanaume sukuizi wanaloga usijekusubut kumtajia jina halisi na la mamaako basi umekwisha hapo huyo dada hajui ila atakuja kuzinduka tayali pesa zimekwisha hapo hata mumshauli vipi hajali kwasababu ya dawa ngoja dawa zije kuisha yani huyu dada ndugu zake wasipo mchangamkia atakuja kulia kilio kibaya sana
Ok@@mwanaidiali6166
Yan mm imeniuma sana nmewafatilia san ila huy kaka muongo juz kashikwa na police😢😢😢😢
Yashanikuta haya nanikaolewa kabisa after pesa kwisha nikaachwa😭😭😭😭😭
Niko hapa kwa kibzs enjoy ur love mamy❤❤❤❤
Mashallay Mashallay mm nawaombe kila lakherii ishalla 🎉🎉🎉😮😮 muishi kwa wema iila beka tuliaa kaka na uyu mtot kbz juu watu uku wanasubiri umuache2 wamchekee so usisikilize yawatu😂😂
MashaAllah hdi raha,,,,, Allah awepushe na shari za walimwengu amiin yarabbi amiin yarabbi amiin yarabbi
Huyu jamaa nilikuwa namkubali lakini kama mshamba ila nimeamini wakenya watu wa drama,hii nchi yetu ya Tanzania ipewe mauwa yake❤Tz
😂😂😂😂😂i almost broke my legs running here 😂😂😂
Masha Allah mungu awape subra tele na awaepushe na asad mana maneno ya walimwengu ni mengi
Naomba nimuudhi kibz...kibz anampa beka pesa😂😂😂😂lol (jocking)
Nakupenda Bure...Beka ruga❤...
Beka en kibz congratulations guys
😂😂😂😂mashaallah beka eti naam kubz wangu bc usimtende kibz penzi lidumu inshaallah
Mashaallah Allah awaongoze kwenye kheri inshaallah ❤❤🎉🎉
Hongera mpenzi mungu awajalie mahasidi wasipate lakusema zangu dua🤲🤲
Mashallah ❤️ nawatakia kila la kheri InshaAllah
Mashahalla mungu awajaliy inshahallah twasubiri hiyo ndoa sas❤❤❤
Beka na kibz lafudhi ya kidgo imewaatiri mngeongea tu kidgo
@riziki,,kuhathirika na lugha sio mbaya sababu anaeacha mila atakuwa mtumwa ..
Kuongea kiswahi na kuchanganya kizungu kingi pia ni ulimbukeni wakati mahojiano ni ya kiswahili alafu mtu anaanza kizungu mara anaanza kukwama kwama maneno ya yes,no,this,me,you
😂😂😂
Mashaallah nawaombea mapenzi yenu ya dumu mpaka muowane kifo kiwatenganishe
Mashallah mungu awalinde tenà sana wako kweli wanaogea maisha ya beka na kbz ila mungu mbele ❤❤
❤
Hii couple imeweza Beka, mshike uyo mtoto ❤❤❤❤
The way anamuangalia uyo Dem wake akiongea means alot❤❤❤❤
nice interview boss wngu
😊
Beka tuletee wifi kingwede plz❤❤😂😂😂😂
Ni makosa kuitana mke na mume wakat bdo mpo nje ya Sheria iliyo ruhsiwa na Allah.
Wallahi Mimi naona kuwa wameoana kumbe Bado?😮😢😢
Hta mm nikafikiri wameoana kumbe bado
Niawara wake lakin sibibiyake..na niharamu kuitana mke namume kama amjafunga ndoa haram haram haram
Mashaallah mwenyezi Mungu awasmamie
Anayetaka kuangalia mwezi huku kwetu pia unatoka.😅
Nakupenda bure chidada❤
Allah awajaalie ndoa soon in sha Allah.....ili Allah azidi kubariki mahusiano yenu...mob love kwenu ndugu zangu....❤
Aamin
😂😂😂😂😂😂mmmmh sawa
Beka atuonyesha shavu moja tuone dimple hahahahahaah😅
Kitapiga chanifata iyo kauli siipendi kuitwa na mpenzy wangu 😁😁
Napenda couple yenu kibzbeka muwe na mwisho mwema❤
MashaAllah 🥰 nawapongeza
Mash Allah ❤❤❤good job mommah
Hongera saana ❤❤❤❤❤mungu awape mafanikio mema inshallah Allah 🙏🙏
Beka polepole na kiswahili broo hahhahaa
Mashallah aky🎉🎉🎉❤❤
Maasha'Allah Tabarak'Allah ♥️ Allah awatangulie muhalalishe Insha'Allah
Best interview and again its great for you both to enjoy your relationship before getting into something as holy as a marriage
😂😂😂😂😂
🥰❤️
mashaAllh mungu awataguliye❤❤
Kitantumia message ama kitapiga😂😂jamani Beka wewe
Hongereni kwa msimamo wenu hope n funzo kwa wengne nawapenda🥰🥰
🥰❤️
True love congratulations Kibz and Beka
Masha Allah Allah awajalie mfikie malengo yenu ❤❤muwashinde mahasidi na hasad zisiwapate inshaallah 🥰🥰
Amin on their behalf
Nawapend San beka n kibz ❤❤❤❤❤
😂😂Congratulations guys adi raha❤
Beka nikisikia umemuacha huyu dada nitakutafuta uniambie n wap amekosea nawaombea uhusiano wenye uvumilivu na baraka kutoka kwa mungu inshallah
Interview iko poa unajikuta wa smile😊
Mashallah ❤
Mashallah Tabaraka Allah inteview nzuri sana 🥰
Thabk yuh
Mashallha vizuri ❤❤❤❤❤
Mashaallah ❤
So amaizing❤❤❤
Harusi na mapema❤
Natafuta kibz Moha wangu jamani 😂😂😂
😅😅😅
kumekuchaaa.... kumekuchaa😂😂😂
Na mm nataka interview na beiby wangu
So amazing 🎉❤
Tx
Namuomba mapenzi poa❤❤
FATHUSH FAFA HII IMEENDA UBARIKIWE ....MASHAALLAH ALLAHU BARIK
🥰❤️
Mashaallah nawapnda msisikize ya watu
Hapo kwaharusi jamaa yuwahepa eti alebataar miezitatu kwanzo😅😅😅 muonjaji hanunui
Itakuaje kama kweli huyo JAMAA anakupenda kweli hapo kwa MAHOJIANO anakuzarau namna hiyo na ULIMWENGU mzima unasikiza na kuona - Why ?
Ilikua pambe mashaallah❤💃
Senkyuh ❤️
Beka kakangu isiwe ni kk mmnataka ndoa 😂
❤❤❤❤❤❤❤
Na yule mtoto wa Kibz so si wa Beka,nauliza tu
Best couple in town
Mashaallah 🥰 😊
🥰
Mashaallah ❤ Mashaallah ❤nanyie mnao kimbilia kwa comment section polepoleni msikanyagane na hapo mbele kuna mkebe wangu wa mabuyu so msiuangushe mnipromot tukiendelea kubambika😊😊😊😊I love KIBZ MOHA❤ my schoolment🎉🎉🎉all the best in your relationship journey ❤🙏🙏
Tumesikia mpenzi na umejua kunifurahisha 😂😂😂😂😂😂
Mkoko.hoyeeee😂
Hao n Mario n Paula wakenya ilove the 🎉🎉couple muoane
Fafa nitkutft dear nikija Kenya 🇰🇪 unifnyie yangu n ex wangu coz tulirudiana❤❤❤❤
😂😂😂😂wewe nae😊
Allah awajalie muixh kwa amni wallah nawapenda sna
Amin in their behalf ❤️
Ukipenda u star kwa nguvu utavumilia mengi😂enyewe wengine wetu red is our favorites colours and not 🚩 flag
Na uyu mtoto alipatikana lini ikiwa mlipatana mwaka juzi online 😊😊😊 umbea sikazi kazi n kusutwa🙈🙈🙈🙈🤐
Likua alioleka huyo bitwa akaacha mumewe akafata beka
@@user-iq8mj7ud1k 😄😄😄🤣
@@user-iq8mj7ud1k
🤔weh alipewa talaka? Na hapa sioni ndoa naona doa
@@user-iq8mj7ud1k😂😂😂😂😂😂
Wachawe 😂🤭🤣 bdo mm n mother flowers 😂😂😂
Twawaoza Buree😅
Sasa hamjaoana unasemaje ni mkep😂😂😂😂
First to comment thanks Habibty❤
Thanks for watching habibty ❤️
Couple in town❤❤
Mungu awajalie maisha mazur inshallah
Amin
We beka mambo ya drama kwisha sasa nendeni mukahalalishe insha Allah iwe ya kherii❤
Wali waliwa na wale waliwao😮😮😮😮😮😮😮
Itapendeza zaidi iwapo mutaoana haraka iwezekanavyo
Sasa we beka😂😂😂eti kitapiga ama kitatuma message 😅😅😅
❤❤❤❤
😂😂😂😂awhiiii ndio mambo ninayoyapenda mimiiii
😅❤️
Sijui mbona naona tu red flags but nawatakia kila la kheri wapenzi.
Mbna beka yuwa address kibz ati "kitapigaa" "kitatext" 😂😂😂😂 respect your darling basii eyy
Shosti ushafika😅😅😅
Mashallah
❤❤❤❤nice 👌 Mashallah
Nice
Kila la kher wapendi ❤
Maashallah 🥰🥰
Love you guys.....bt Farthus Fafa love you much sweery
Love yuh too
NAONA WIVU MIMI😂😂
Na bado 😂
New subscriber nipitieni pia
Beka kwenye mapenzi hakuna kulipizana
Kiswahili waaaaah